La Haula Wala Kuwwata Illa Billah! Leo kwatokea Mtu tena Katika Madaa'i na kutowa matamshi yasio na Heshima wala Adabu Juu ya Mtume Muhammad S.A.W Bila ya Kujali, tena akiwa Juu ya Mimbari ya Mtume Muhammad S.A.W.
Пікірлер: 120
@ramadhanwilbard46854 жыл бұрын
Mimi nadhani Shekh Kishiki alitaka kutuambia ya kwamba Mwenyezi mungu ndiye namba 1 na kila kiumbe kinamsujudia yeye tu na Mtume wetu Mohamedi naye katoka kwake na sisi tunamuheshimu katika imani yetu ya Uislamu Mtume wetu lakini hatumsujudii kama mwenyezi mungu mm kwangu naona Kishiki yuko sawa!
@ismailchilonga28784 жыл бұрын
Kishki napenda ila Huyu sheikh yupo sawa hana makosa yupo sahihi kabisa mwenyezi mungu amzidishie imani
@aishamalaki13526 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie Sheikh Hatimy maisha marefu yenye kheri ili uwasomeshe nawengine zaidi maana haoulio wasomesha wameanza kusoma sasa INSHAALLAH ALLAH atawabadilisha wajuwe vizuri dini yao
@tiffahbby36975 жыл бұрын
SubuanaAllah,, AstaghfiruAllah AstaghfiruAllah ewe mollah wetu tusamehee na utuweke ktk njia iliyo ya kheir
@abdulsanz78855 жыл бұрын
uyu kishki atatuponza... asante Al Hatim kwa kumkosoa kiakili... Kishki usiwe na Kibri... Kafiri mwenyew hawez kusema ati Mtume hanufaishi wala hadhuru ww umepata wap jeur hii
@nganzirashidi14635 жыл бұрын
Huyu Sheikh mm nimemuelewa na ninamkubali sana
@binmwerionlinetv12564 жыл бұрын
Wallah elimu ni bahari
@burhanhaji7696 жыл бұрын
"Na wala hatukuwatuma katka mitume (tuliowatuma), ispokuwa in lugha ya watu wake ili kuweza kuwabainishia(Haki)....QUR-AN 14:3, kwa mujib wa aya hii, imamu WA veterani yupo sahihi kutoa khutba kwa lugha ya watu anaowafikishia ujumbe.
@jaafaralsadiqchannel19068 жыл бұрын
احسن الله علينا و على المسلمين. و لنعلم ان هذه امتنا امة واحدة فرويدكم رويدكم
@semenimtoka11214 жыл бұрын
Wallah shekh unaelimu kubwa sanaa lkn msipende kurekebshqn mtandaon mungu akuhifadh al hatimy
@AhmedMohamed-hc6pp8 жыл бұрын
Subhan'Allah! what a beautiful reply. I hope you may reply to more of such sheiks INSH'ALLAH
@hassanowgennogenno57405 жыл бұрын
tunaomba masheikhe wetu wa ahlusunna watembee kote kufahamisha wengi waliopotezwa .wallahi wengi hawafahamu dini
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Alhatimi your right.May Allah bless you.
@mohamedseph93795 жыл бұрын
Sheikh Al - Hatimy achana na babu wa vetinari ss tunamjuwa kama mfanya biashara tu
@slamecktz8 жыл бұрын
Shekh AL-Hatimy Mwenyezi Mungu akuongezee umri mrefu na akuongezee hekima uendeleee kuitangaza dini ya haki ya Mwenyezi Mungu.
@alhajrialhajri40263 жыл бұрын
Kama kishki kakosea kamkosowe mwenyewe mkiwa wawili sio mitandaoni hii tabia haifae kwa mashekh kama nyinyi