Yaaani sijui nipataje the rest team member me am visionary
@user-xe7lv1zp7f6 ай бұрын
Me ni Human resources officer katika kituo cha afya changamoto iliyopo haya ni ukosefu wa innovator na analyst lakini shida kubwa hasa ni top leader kutokuwa tayari kwenda na changes mwishowe we loose our customers and at the end we are struggling financially . Sir please I need you help what can I do?
@maulidnuhu77336 ай бұрын
Ndugu yangu mimi naona sina kabisa
@ifmknowledgepower73336 ай бұрын
Somo limenifikia kwa wakati sahihi, Ahsante sana my friend Joel auther Nanauka
@pauljosephtarimo22796 ай бұрын
Hili limenigusa moja Kwa moja
@israelzakayo51796 ай бұрын
Ubarikiwe na mungu kaka
@Jackson_Kisanga6 ай бұрын
Ahsante kaka
@evaomondi82186 ай бұрын
Mimi ni strategist. Kwa kweli wale wengine bado natafuta.😊
@brackskinyozi3280Ай бұрын
Asante br Joel hapo umegusa ndipo...kazi tunayo
@mohamedismail26626 ай бұрын
somo bora sana
@vitarismujuni68896 ай бұрын
Ccm hao
@mohammedrashid29066 ай бұрын
Upo sawa
@francjose95965 ай бұрын
🙏🏼
@hildahmathew78006 ай бұрын
Well done broo
@joely226 ай бұрын
Samahan brother Kwa mda wa miez kadhaa nkufwatilia nimeipenda San Kaz Yako maan inaelimu ndani yak but naomba ushaur me Nafany Kaz ya kuwajiriwa nikijarbu kupang bajet yangu ya mwez ni kwamba nitabakiwa tu na &1 ya mshahar Wang naomba ushaur,🙏
@clarasabutoke69076 ай бұрын
Amen
@tumainselestine33986 ай бұрын
Nipo kwenye kundi la innovator...ninaye ona mbele
@eliastanda98256 ай бұрын
❤❤❤❤
@brotherdanii97006 ай бұрын
🖊️🙏
@edithavalelian2566 ай бұрын
Somo zuri sana, ila hao marafiki nilionao sijaona mwenye sifa izo hata mmoja 😅😅
@joelnanauka6 ай бұрын
Hapo kazi kweli kweli
@eliastanda98256 ай бұрын
Me nipo sehemu mbili communicator, pia visions but kweny team yangu sina action member
@masilastahona70106 ай бұрын
Nilidhani nikiherehere kumbe ndivyo ilivyo asnte nimepata kitu kipya Sasa 🤣 asnt kunipa jicho lingine 🙏