LIFE WISDOM: VITU VINAVYOSABABISHA MATATIZO YA KIFEDHA - Joel Nanauka

  Рет қаралды 18,170

Joel Nanauka

Joel Nanauka

4 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 103
@ShedDjeey-cn9ti
@ShedDjeey-cn9ti 27 күн бұрын
Kama timu joel nanauka Like apaaaaa achana na vikundi visivyo na msingi 💰💰💰
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤
@aboubakaribakari988
@aboubakaribakari988 4 ай бұрын
Upo Kama Mimi huruma jaman daah 😴🙌🙌
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
@@aboubakaribakari988 Kiukweli hii hali tuombe Mungu atusaidie
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Hongera kwa kujifunza, fanyia kazi 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
@@shukranjulius9526Ameen
@christianmaringo4251
@christianmaringo4251 4 ай бұрын
😊
@AlfaMbisa
@AlfaMbisa 2 күн бұрын
Joel naomba uniambie Bei ya kitabu cha Money formula maana nakihitaji kweli
@IsaWeightloss
@IsaWeightloss 3 ай бұрын
Wewe ni kocha wangu, Mwalim wangu, na kaka yangu Kawa Baba yetu mmoja yaani Yesu Kristo, Mungu na azidi kukupeleka katika viwango vya kimataifa🙏💪💪
@rhodasimba1804
@rhodasimba1804 3 ай бұрын
Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you
@GodsonDaniel-oo3sz
@GodsonDaniel-oo3sz Ай бұрын
Nimejifunza kitu mwalimu
@NeemaPeters
@NeemaPeters 3 ай бұрын
Asante sana nitarudi na ushuhuda joel
@elibarikioltaporu
@elibarikioltaporu 3 ай бұрын
My mentor stay blessed and see you at the top of Global public speakers ❤
@furahasweya7433
@furahasweya7433 3 ай бұрын
Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 Ай бұрын
Nimejifunza asante 🙏🙏
@divinemalachi
@divinemalachi Ай бұрын
Ubarikiwe sana broo
@shijamak
@shijamak 2 ай бұрын
Well said brother 💪🙏
@Bigbootyhot
@Bigbootyhot 3 ай бұрын
Barikiwa sawa mwalimu , hapa unenifungua sana mungu anisaidie niishinde hali hii❤️🙏🙏🙏
@lestutamdota715
@lestutamdota715 4 ай бұрын
Kuna watu wameletwa duniani kwajili ya kubadilisha watu . Nakushukuru sana masomo yamenibadilisha sanaa🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ahsante sana🙏
@happyswai6688
@happyswai6688 3 ай бұрын
Ahsante sana
@israelfumbo2093
@israelfumbo2093 4 ай бұрын
Asante kwa masomo mazuri nakusikiliza Toka makongolos chunya
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Wasalimie sana Makongolos Chunya
@paulmayombe4336
@paulmayombe4336 3 ай бұрын
Asante
@janetmbwana553
@janetmbwana553 4 ай бұрын
🙏🙏🙏 àsante sana coach unazidi kubadili maisha yetu
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 4 ай бұрын
Nikweli mwalimu kile kidongha ndicho huzaa kikubwa.asantesana mwalimu munghu akuzidishiye
@khalidihilali9967
@khalidihilali9967 4 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili somo kunavitu vingi natakiwa nijirekebishe mambo mengi
@user-xd2kz4pf5s
@user-xd2kz4pf5s 4 ай бұрын
Kweli mkuu ujumbe umefika....mungu akujalie kwa maarifa hayo.🎉
@ViviKitchen23
@ViviKitchen23 4 ай бұрын
Vivi ubuyu mtamu hapa Ahsante my mentor Naendelea kuimarika zaidi❤❤❤
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Tuendelee kujifunza 🙏
@bonifacemoses6774
@bonifacemoses6774 4 ай бұрын
Joel ndo mentor ambaye tangu 2017 mpaka leo hajawahi nidisapoint
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kwakweli mimi pia toka nianze kumfatilia 2017 sijawahi juta
@henrymoghu5087
@henrymoghu5087 4 ай бұрын
Asante Mungu kupe maish marefu...Mentor wangu
@joely22
@joely22 4 ай бұрын
Asante sana maan nimejifunza kitu maan nilikuwa moja wapo Asante san 🙏✍️👏
@goldenwizzy123
@goldenwizzy123 4 ай бұрын
Kwann asa hv utumii mfumo wa picha unatumia sauti tu
@everose276
@everose276 4 ай бұрын
Joel,nakushukuru sana, najiona kama nina deni kwako. Elimu hii kuipata just kuweka bundle naona unastahili zaidi.❤
@ImanMwakyeja-cw3ty
@ImanMwakyeja-cw3ty 4 ай бұрын
Umesema ukweli mtupu. Anastahili kufanyiwa muamala mara chachechache
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen, ahsante sana Rose 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
@@ImanMwakyeja-cw3tyNashukuru🙏
@saidkhalfan8207
@saidkhalfan8207 4 ай бұрын
Thank you
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 4 ай бұрын
Asante sana kaka.
@MalongoRichard-md5dv
@MalongoRichard-md5dv 4 ай бұрын
Ubarikiwe Sana
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 4 ай бұрын
Asante sana kaka
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 4 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka❤❤❤
@kanezajoella6663
@kanezajoella6663 3 ай бұрын
Asante sana mwalimu nimeskia na nimejifunza
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 3 ай бұрын
Thanks alot and be blessed
@nehemiamminza4663
@nehemiamminza4663 4 ай бұрын
Asante sana kaka kwa somo lako zuri barikiwa sana
@AgustinoKinyaga
@AgustinoKinyaga 4 ай бұрын
Ahsante sana kaka @joel
@dianachipojola2991
@dianachipojola2991 3 ай бұрын
Asante nimejifunza
@user-uy7oz8vr2l
@user-uy7oz8vr2l 4 ай бұрын
Kufanikiwa kwangu lazima kila ninachojifunza nakifanyia kazi barikiwa sana kakangu sijawahi acha kukusikiliza na kufuatilia unachofundisha....
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen, nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia🙏🙏
@josephinejumba9923
@josephinejumba9923 4 ай бұрын
waw ❤
@nduhe_victor
@nduhe_victor 4 ай бұрын
Thanks
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 4 ай бұрын
🏆🏆🏆🏆
@user-be3uw9zj1g
@user-be3uw9zj1g 4 ай бұрын
Be blessed my greatest mentor
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen 🙏
@RICHARDWAUSA-ep4xe
@RICHARDWAUSA-ep4xe 4 ай бұрын
@MCmakore
@MCmakore 4 ай бұрын
Hakika Joel unatufaa katika maarifa Mungu akubariki Sana see you at the top''
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen, See You At The Top🙏
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kaka Mungu akubariki sana kiukweli unafungua akili zangu kilasiku, naomba Mungu anisaidie niishinde hii hali
@jozidasuperior7257
@jozidasuperior7257 4 ай бұрын
Mungu atusaidie tu
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
@@jozidasuperior7257 Kabisa yani
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
@@jozidasuperior7257🙏🙏
@user-is5xi3ve2r
@user-is5xi3ve2r 4 ай бұрын
ubaikiwe saaana👏👏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@eliasmugume254
@eliasmugume254 4 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen🙏
@johnjames-pw1dp
@johnjames-pw1dp 4 ай бұрын
Thanks sana Bro Barikiwa sana aise
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@gilbertbaya1546
@gilbertbaya1546 4 ай бұрын
Thank you -from Kenya 🤞 crossed
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
@suzancharles8897
@suzancharles8897 4 ай бұрын
👏
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 4 ай бұрын
Wanaotaka kuonesha watu kuwa wamefanikiwa ni wengi kuliko wanaoishi maisha yao halisi😂😂😂,kweli nimeamini apendae mafundisho upenda maarifa.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Tuendelee kujifunza 🙏
@ChristinWanjiku-ec6px
@ChristinWanjiku-ec6px 4 ай бұрын
My best menter❤🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@paschalmbiya93
@paschalmbiya93 4 ай бұрын
At the top we well see!. Umenipa mdomo bro . Big brain nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ahsante sanaa🙏
@dr.msuyah1867
@dr.msuyah1867 4 ай бұрын
Shukran kwa good presentation NAWEZAJE KUPATA VITABU VYAKO?
@masudibaja
@masudibaja 4 ай бұрын
Ili darasa kubwa sana mwalimu,, ubarikiwe sana kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen, nisaidie kushare na wengine🙏
@masudibaja
@masudibaja 4 ай бұрын
Sawa mwalimu
@SukaDmGuy
@SukaDmGuy 4 ай бұрын
Duh bro umenena
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameeen
@moseskenedy7042
@moseskenedy7042 4 ай бұрын
Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kweli ndugu yangu, hii hali iko kwangu kunamuda nanunua kitu hata hakikua kwenye ratiba
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Naamini utafanyia kazi🙏
@user-hr7wl4vg9h
@user-hr7wl4vg9h 3 ай бұрын
ubaliki we e
@mangasinikusaya8157
@mangasinikusaya8157 4 ай бұрын
Morning speech ❤❤Ahsante sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Tuendelee kujifunza🙏
@vibetz9991
@vibetz9991 4 ай бұрын
Mimi appetite ya Internet connection ,, 😂
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Fanyia kazi🙏
@revdrseni
@revdrseni 4 ай бұрын
So wonderful subject
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ahsante sana🙏
@VictorOne-hc9fi
@VictorOne-hc9fi 4 ай бұрын
Mm nataka no nipate vitab vyako
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 4 ай бұрын
Huyu ni Mimi kapisa ninaacha sasa😢😢😢
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Nasubiria ushuhuda utakapoacha🙏
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 3 ай бұрын
Asante
LIFE WISDOM: VITU AMBAVYO VIPO NDANI YA MAONO - JOEL NANAUKA
14:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 12 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 195 МЛН
LIFE WISDOM : JIFUNZE HILI ILI UPATE MSAADA - JOEL NANAUKA
13:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 4,5 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 9 М.
LIFE WISDOM : MAJIRA YA KUTENGANA NA WATU - JOEL NANAUKA
15:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
Joel Nanauka - Vitu Vinavyozuia Watu Wasifikie Malengo Yao
35:09
Mpoki na Ulaji wa Profesa Janabii
9:18
CHEKESHA
Рет қаралды 101 М.
LIFE WISDOM : MATUMAINI KATIKA KIPINDI CHA KUSUBIRI - JOEL NANAUKA
16:49
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 12 МЛН