Al Ustadh Muhammad Al-Hady amrekebisha Khatibu wa Vetenari juu ya kumkufurisha Sheikh Nabahani. Kama alivo mkufurisha kwa Video na CD na yeye arekebishwa vilevile ili na sisi tulio sikia kupitia CD turekebishike kupitia CD.
Пікірлер: 242
@abdirahmanvideos5557 жыл бұрын
nurdin kishki tunampenda kwa ajili ya mwenyezi Mungu
@allyrabbany45384 жыл бұрын
رحم الله العلامة الشيخ يوسف النبهاني رحمة واسعة إلى يوم الدين.
@shekhally57413 жыл бұрын
Subhana Allah. Namuomba Allah amlipe kheri sheikh Nabhaan
@ramsoothman68567 жыл бұрын
Subhaanallah!!!! huyu jamaa amefika mbali ktk kukufurisha wanazuoni wakubwa na wa zamani... lkn huenda kuna watu wanamlipa kwa kazi hii.... hii ni hatari kwa akhera yake.
@ramadhanitawaqal89584 жыл бұрын
nimeangalia zaidi ya mara kumi sijaona kosa lolote la kishk nilichogundua ni kwamba mzungumzaji anatafuta umaarufu kupitia sheikh Nurdin
@hassanhabasharashid36196 жыл бұрын
Wallah uislamu ni dini ilokamilika.waislamu hawakoaoani kwa kuaibishana.kwa kughafilishana laa waislamu hukusoana kinyenyekevu...
Shukran Sayyid Alhaatimy kwa kutupa elimu ya لولاه na خبر كان hahaha Nahwu ni Elimu kubwa sana
@COM099 жыл бұрын
Allahu Ya Allahu Ya Allah Ya Malja a lkassdi ya ghauthaau.
@swafiamohammed17085 жыл бұрын
Shukran alkhatimiy Muelimishe huyo hana ajualo
@salamakhamis80924 жыл бұрын
Nashkuru nimjifunza mengi yanayohusiana na Nahwu Baaraka llahu fiiqu
@iddramadhani27154 жыл бұрын
Shekh haujamwelewa vizuri, Shekh mwenzako amesema "kwenye kitabu cha wasilati shaffi kuna maneno ya kishiriki kabisa" haja sema Shekh aliyeandika hicho kitabu na wanaokitumia ni makafiri au washirikina na mwandishi ni binadamu anaweza kuteleza kama binadamu. Allah ndio mjuzi zaidi.
@abdulrahmansalim30168 жыл бұрын
Al Ustadh Muhammad Al-Hady Mwenyezi Mungu akulinde na kila mwenye ubaya nawe, Akupe afya njema na Umri mrefu, na usichoke kuwarekebisha hao watakasifa machoni mwa maamuma na kujiona wao ndio walio karibu Zaidi na Mwenyezi Mungu na Mtume wake. kisha huwa nashangaa sana Kishki kujiita Sheikh wakati wanaomrekebisha makosa wanajiita Al-Ustadh, hii ni aibu kubwa sana.
@abujamalaalghammawiy74705 жыл бұрын
Kweli elimu ni bahari, na kadri unavyosikia wanawachuoni, ndio unajifahamu kuwa kumbe dini hii ni ya kusoam, na ukiona elimu yakobado sio ni bora uwe dai tu, wawaita watu katika dini na si kuanza kuwakosoa watu. Unaweza jiona kumbe wewe ndio hujui Kbisaaa kama ndugu yetu wa Vetenary. Allah amuongoze yeye na sisi
@abrarmohamad62505 жыл бұрын
Wallahy dunia hii yaisha.. mpaka ma sheikh wankua wakidhalilishana kwa mitandao.. subhana Allah mungu awaongoze wallahy twaenda pabaya.. leo wafurahisha watu kwa kumkajili mwenzako na uko na uwezo ukajadiliana nae kwa makini pekeyenu bila kumpa mtu faida.. inalilahi waina ileyhi rajiun.. Allah atusamehe wallahy😭😭😭😭.. tupe mwisho mwema yaraby
@asedzuberi45367 жыл бұрын
Jazaakallaahu khairaa......usichoke Mwalimu,endelea na watatuelewa tu muda wakua wakuu wao huko Saudia wameshatuelewa ktk mambo mbalimbali kama vile maulid n.k
@fatmaomar6779 жыл бұрын
Shukran kwa ufafanuzi wako sheikh Mungu akujaze kheir amwongoze sheikh kishki azinduke
@mariamomari58483 жыл бұрын
Kishiki Ako Sawa MA SHA ALLAH
@Abdul1120129 жыл бұрын
Assalaam aleykum warahma tullahi wabarakatul. Binaadam tumeumbwa na kughafilika utakapoona mwenzio amekosea ni khery kumfuata face to face kumueleza sio kujitoa ktk CD na kumkosoa kwa kuwa watu woote wamuone kama anamkosoa. Ikiwa na ww ni binaadam basi tunamakosa mengi sana hata ww pia unakosea. Tujue kurekebishana kwa kumfuata sio kutangaza ktk cd au kujitangazia kwa watu huo si Islam bali ni chuki. Allah atusaamehe kwa makosa tunayoyatenda hali yakua hatuyajui ameen yaa Rabbi
@hussainyahya47589 жыл бұрын
ni vnye uwajui wakina kishki na bahero wake. wameitwa mara ngapi mijadala wakasusia...................bahero mara ngapi amemwita ustadh kijibarawa?????????????????????????????
@rukyaabdilo79214 жыл бұрын
Mkamilifu ni Allah..mkosowe kwa njia sahihi si kwa c.d..tunampenda Nurdin kishk kwa ajili ya Allah..Mungu amuogonze InshaaAllah.
@Mjingacom9 жыл бұрын
Shukran kubwa kwako ya sheikh kwa kuelimisha umma na fitna ya hawa mawahhabi.Ni saratani kubwa kwa uislamu.
@rashidichoyo53564 жыл бұрын
Nawapend san mashekh wangu wete dunian kwa ajili ya allah ila huu mwenendo huu so mzury mm napend san osuman malim mungu atujalie mungu atu onyeshee njia njema inshallah ila huu munatengenezaa uwadui na muna uwaribu uislm ndug zangu mamuma tusio juwaa tujitahid tuisome din yetu tukufuu ila soo kwa haya maneno ya kuzalilishan tungu na kam mm nimekosea nisamehen asate nawapend kwa ajili ya allah mungu tubarik waislam wote dunian
@lolooman91704 жыл бұрын
Hii CD ya mwaka gani munatuchanganya maana nyote shekh wazur mumesoma vyema Qur an.
@antv55902 жыл бұрын
Allah akujaze Sheikh Khatim,Allah akuenue darja na kukupa umri twaweeel
@munasayed86576 жыл бұрын
Allahu Akbar, Maasha allah tabarakallah sheikh
@mrishoabdulhakim63848 жыл бұрын
Shekhe hamkosoi Kishky, anachofanya ni kutoa elimu juu ya alichokisema Kishky, na ni bora akatumia CD kulekebisha maana Kishky ametumia CD kueneza alichokisema. sasa mlitaka Sheikh amfate Kishky msikitini amlekebishe? wale wasio na elimu ya lugha wangejaje?
@allyyassin17244 жыл бұрын
Toa tafsiri ya hayo maneno ili tujue ni ya kishirki ama laa?
@kishkisady1735 жыл бұрын
naam sheikh endelea kumsahihisha
@ahmedkhamis83198 жыл бұрын
kila binadamu nimwenyekukosea. mashekhe wetu wapendwa tutafuteni njia na mbinu nzuri za kuekana sawa na kabla ya kutowa c.d za kukosoana uislamu haukutufunza hivyo.
@OmarAli-wr1ti7 жыл бұрын
Mm nimependa sana hii unajua Uislamu sio dini ya mchezo mchezo challenge lazima iwepo hii sio dini ya kusema sema ovyo ovyo tu halafu watu wakubali tu lazima watu wachunguze ni sawa kutokana na Aya za M.mungu na hadithi za Mtume Muhammad s,a,w
@rahmaabid4474 жыл бұрын
Twampenda kishk Allah amuongoze inshallah
@ashuashu38434 жыл бұрын
Subhannah Allah,hata mie nasoma hichi kitabu sana,sasa hizi ni zama za kupotoshwa sie maamuma tunapotezwa subhaanah Allah.
@yassinomary59135 жыл бұрын
Mkamilifu ni allah peke yake
@abdallahally33615 жыл бұрын
ww shekh ww ni kweli kabisa katika hiki kitabu maneno ya shiriki yapo sasa swali ya faa kujifunza shiriki kishik yupo sawa hiki kitabu kina makosa sana
@hamisishafii16456 жыл бұрын
Allah ya Allah ya Allah maljaa lkaaswid ya ghausahu
@muhammedngonyani87763 жыл бұрын
Kumpenda MTU kwa matamanio bila kufuata muongozo WA Allah HIYO ndiyo shirki,kishki kakosea tena sana,SHEKH wetu Muhammadil had alhatimiyyy ahsante sana kwa kutupa elimu,kishki hana kitu makelele tu.
@cesarbukuru99153 жыл бұрын
Weee cheikh muogope Allah kishki yuko kwenye haki !
@farajikilindila79456 жыл бұрын
yaani shekh kishiki namfananisha na nabii musa alipotoa khutuba akaulizwa musa kuna mwenye elimu zaidi yako akasema hapana mwenye elimu zaidi yangu mungu akamwambia nenda kamuone mwenye elimu na ni alkhidir shekh kishiki elimu bahar jifunze kwa musa na alkhidir usijinadi km unaelimu sana
@sharifahandhara85924 жыл бұрын
Allah akuhifadh sheikh wetu nurdeeen muhammaad ahmed almaaruf kishk Uswajal mkamilif ni Allah
@husseinkazungu51019 жыл бұрын
Kishki nimzunguzaji lakini elimu yake iko chini
@fauzibrahim12308 жыл бұрын
haya mambo yanahitaji kuheshimiana
@abddulkadiralihaji50544 жыл бұрын
Masha Allah Shekh kishki yukosawa
@abdoulkarimnassurdine35474 жыл бұрын
Mungu akubariki shehi
@Haadi887 жыл бұрын
Just by one uttering words of Kufr, doesn't make one a kaafir! Shiekh kishky saying there are words of Kufr inside it, doesn't mean he's calling the shaykh رحمة الله عليه or his followers kuffaar! If the message is indirect, then one needs to ask Shiekh kishky himself what he meant, or we fall in to the prohibition of having conjecture ...
@farajikilindila79456 жыл бұрын
jifunze kisa cha nabii musa na nabii alkhidir shekh kishiki usijione unaelimu sana zungumza kwa mipaka
@salhinaselemani97805 жыл бұрын
Mukiona jambo lina wasumbua rudin katika quruan na sunna sio kupigana vijembe ! Maimamu wote wanaweza kosea
@mariamomari58483 жыл бұрын
Hizo burdani zake hunifurahisha sana, zinanifanya nazidi kuskiza mawaitha zaidi. Keep up kishki, you are the best.
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Shokran shekh wetu mungu akuweke akupe afaya wew ni mkweli kabisa edeleya kuwa fahamisha waso kuwa na ilimu huyo ana kufuru kishk amekoseya allaho allahu iko natuta endeleya kuisoma
@abdallahmuhammad47295 жыл бұрын
MashaLlahu Sheikh Allah azidi kukufungua Kichwa chakuwafahamu wapotofu na uwarakibishe.Shukran Allahu Baarik
@aminasuleyman94404 жыл бұрын
Tatizo la Kishki anapenda kuona kuwa kashamaliza kusoma na elmu ndio imeishia hapo na anaona yeye anajuwa kila kitu Na anaposema watu wanaotumia kitabu hiki wamsamehe na kama hajafaham afatwe sasa kama alijuwa hilo kwanin aongee kwanza kabla ya kuuliza. Kwa watu wenye ilmu kishki anaonekana hana ilmu kwa sababu hana sifa ya mtu mwenye ilmu,kakosa adab,hikma na unyenyekevu. Alichokifanya sheikh kumrekebisba ni sahih wala hajakosea,kishki anapenda kujifanya anajuwa hali ya kuwa anachokifaham ni kidogo sana.
@abubakarawoo11975 жыл бұрын
Mashaalh
@mohdtamim79533 жыл бұрын
Assalaamu alaykum Yaa Allah wape hekma masheikh wetu wawez kuheshmiana. Masheikh msitumie njian nyengne ya kuwekeana saw kuliko kutumia media, Mimi ningependa kumtafuta mtu n kumueleza nn alichkusudia kusma manno ago.
@mwinyikadhi28703 жыл бұрын
Wakikaa chonjoww unvepta faida hapa..mbona yeye kishk hakukaa chonjo kapayuka tuuu..tulia uelimishwe ww na huyo shekhe wako wa kujikweza
@mankipaso72364 жыл бұрын
Kishki anapenda sifa yeye kama ameona kuna shirki kwnn asingenda kwa wale wanaosoma hicho kitabu yeye anapenda majivuno
@yasinimohamed53074 жыл бұрын
Shekh kishki yupo sahihi Wewe shekh wa Kenya sijui ukoje !uko elimu ya Sawa kweli?
@hadijasue67065 жыл бұрын
Ndugu chunga Sana tusikosoane on line. Hiyo sio uisilamu
@jamaliismaili72999 жыл бұрын
ahsante kwa ufafanuzi
@adanibrahim72554 жыл бұрын
Sheikh kishki anayo sema ni kweli, kwa sababu hiyo maneno tuki tafsiri((isingekuwa mohamed hatungali kua juu ya hii dunia hii wala hatungeweza kupata hidaya)) kwani hiyo mwandishi ni Allah. Sheikh Yusufu nabahani si Allah.
@ashuashu38434 жыл бұрын
Mtume saw ametajwa mpk kwenye salaaa
@ramadhan1225 жыл бұрын
Ukisoma kwenye wasila neno LAULAHU maakunna walaa baqiina Lina maanisha kwamba kama siyo yeye (mtume Muhammad saw) Tusinge kuwepo wala tusinge bakia ndipo halo alipo simamia Shekh KishkiJapo kweli tuna mheshimu sana Shekh Nabhani je kuna ukweli hapo?
@abdullay31666 жыл бұрын
Assalam alykum ingekua Bora ukakutana nae ndio mutaelewana lkn Kwa njia hii ningumu kufundishana na utatupoteza sisi wanafunzi wenu
Assalaam aleikum.Nilisema zamani kuwa hawa watakupa taabu kuwasomesha.Inshallah nadhani watafahamu na wataelewa.Mwenye ezi mungu akujazi kheyr na usichoke kuwasomesha.
@tumerbakhressa85984 жыл бұрын
Nasiha yangu kwa huyu shekhe ni kwamba msifu Allah zaidi kisha mtume ( SAW) sababu mtume hafanyi kitu bila idhni ya Allah. Hata hidaya yatoka kwa Allah. Mtume ni Mjumbe kesha fikisha.
@jaffarmguwa55664 жыл бұрын
Nabahany sio masoom.... Hakulindwa na makosa .... Tatizo lenu badala ya kusoma Quran manoenda kusoma vutabu vya ajabu ajabu
@salehesalehe99235 жыл бұрын
Alichokidany ndich anachofanyiwa . baarakallah
@rngsplif94842 жыл бұрын
Wasiilatu Shaafii ni Bidaa
@farhannurkey6 жыл бұрын
ukafiri hakuna hapo kwa sababu ametoa kulingana na ufahamu wake na kama umemkosoa basi Allah amfahamishe.sio ww umkufurishe kwa kutokujua kwake
@ahmeddahir6784 жыл бұрын
Sisi sote ni waslam bali kuna iqtilafu je tuimalize vipi iqtifu ?
@sulaymanwaziri44554 жыл бұрын
Shekhe Kishki anayo elmu kubwa kwa ulimwengu wa sasa,, lakini niliacha kumsikiliza kama miaka 7 iliyopita,, kwani nilijua ataharibu kwasababu ana majivuno sana,, hakika Kishki elimu hujafika hata robo yake kwanini anajiweka juu sana,, nilimsikia akisema yeye ndie shekhe wa kwanza Tanzania kutoa daawa kwa lugha ya kiarabu huko arabuni,, hivyo hamna zaidi yake,, nikamsikia akijivuna kua yeye nasaba yake imekwenda mpka kwa mjukuu wa mtume Nuhammadi (s.a.w) hivyo nim-bora,, shekhe yeyote atakae ongea kwa kujivuna lazime awe kwenye makosa,, mtume anapeleka dini Twaaif watu wake wanampiga mawe,, Allah (s.w) akatuma malaika laiti kama mtume angeli taka kijiji kile kingeli futwa kwasababu Allah (s.w) ailishatoa idhini,, mf. wakatu wa mitume iliyotangulia walikua wakikithiri katika dhambi Allah anawafuta na analeta wengine baada yao,, lakini Rasuulullah Muhammadi ( s.a.w) akaomba kwa Allah (s.w) asiuangamize umma wake ila ausubiri mpaka siku ya Qiyama,, sasa kwadhambi hizi tulizo kusanya kama si dua ya mtume tungeli kuepo!!? acheni kujivuna waislam,, tuache migogoro na hitilafu,, tuangalie mambo ya kupeleka dini mbele,, fanya unaloona halina shaka kwa nafsi yako
@anonymousahmadi38266 жыл бұрын
Piya quran 8:24 inasema mtume saw anatumpa uhai. Amin.
@mamawanyumba1038 жыл бұрын
ila huyu shekhe Mimi namuelewa tu sana.....
@salimkadenge32315 жыл бұрын
Mashaallah
@abdalladegera48094 жыл бұрын
Answaar kishki hana lolote zaid ya kupotosha waisalam yan kitabu kina maneno ya shirki, subhnallah.
@lolooman91704 жыл бұрын
Hewa shekh kishk ni mwana sayans uyo na tecnologia.
@asiamchingama24845 жыл бұрын
Cc maamuma cjui tutaegemea wp jamani, wenyewe kwa wenyewe mwapigana vijembe badala ya kuitana na kukaaa chini mukatafakari, astaghafirullaah acheni hizo mambo
@rajabshabanforogo75205 жыл бұрын
Silioni kosa la kishk hapo
@cakesuke12354 жыл бұрын
Naaam shekhe
@ismailyussuf18054 жыл бұрын
Shk.Ungewacha kurekodi clips.Wenzetu wantucheka.Mnaikhtarifiana. SISI SIO AKIRISTO.
@rashidabasi79405 жыл бұрын
Allah akuzidishie kheri kwa kazi yako Rafiki na Ndugu ktk iman Al Ustadh Muhammad Al-Hady
@AhmedMohamed-hc6pp8 жыл бұрын
Ustadh Muhammad Mash'Allah nice work done. And i hope you reply more of such sheiks who are causing such injustices towards Holy books, plus Scholars.
@mamawanyumba1038 жыл бұрын
ooooooh!!!.. subhaanallaah kumbe kishky ndo aliongea haya subhaanallaah
@ALIMOHD-bk9lr4 жыл бұрын
KATIKA suala la KUSOMA na KUTAFUTA elimu, hakuna imamu Wala maamuma. Sote TUNAPASWA KUCHUKUA JUHUDI za kuitafuta elimu ili TUWE na UHAKIKA ya ibada ZETU. MUISLAMU ukianza KULAUMU masheikh kua eti wanakuchanganya na hujui ushike wapi huo Ni udhaifu mkubwa. Tatizo letu WAISLAMU wa Leo hii hatuchukui JUHUDI za kuitafuta WALIMU tukasoma dini yetu ndio maana tunashindwa KUJIFAHAMU. Mwisho wa siku tunalaumu wanazuoni. SIKU YA QIAMA KILA MTU ATABEBA MZIGO WAKE. HIVYO NI WAJIBU WETU TUITAFUTE ELIMU POPOTE PALE KWA KUKAA KWA MASHEIKH MBALI MBALI ILI MISIMAMO YETU IWE NA MANTIKI🙏
@litimbaify8 жыл бұрын
Bdo shikh hjanishawishi zaid ya ghadhbu tu uliyotumia hakuna hoja zaid ya kutetea bida'a, Jipange na utafute njia swahihi ya kureact
@yahyamukhtaar32579 жыл бұрын
mashaALLAH
@abasiisambi26836 жыл бұрын
Kishki hajui taqdiri
@saidalsalmi93132 жыл бұрын
Kishk hapa amekosea sana. Mfundishe huyu Kishk
@faridswaleh00183 жыл бұрын
Shk ahmedal khatimy sifa ya daii hajibu
@abousuleiman393 жыл бұрын
Allaahu Akbar
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
sheikh wangu mm naona km umeshindwa kumuelewa sheikh kishki, na km amekosea sidhani km huu utaratibu uliotumia kumkosoa ni sahihi
@deathrow80044 жыл бұрын
Sheykh nabbahani ANAWEZA AKAKOSEA AU AKAPATIA KTK JITIHADA ZAKE ZA KIELIMU,,..NA KUFANYIWA RUDDUDI NI SEHEM YA DINI..,MKAMILIFU NI ALLAH JAALA FY ULAA..
@rngsplif94842 жыл бұрын
Kutunga vitabu vinngi si Hoja .
@aliushirazi51044 жыл бұрын
Mawahabi wamesomeshwa Kiarabu hao
@eliasnavytanga7 жыл бұрын
Qulla Bidaa fi dhallalah wa Qulla dhallalah fi Naar!
@rkiungiza9 жыл бұрын
Sheikh ahsanta kwa kuwajibu wapotoshaji wa dini wasio ni ilimu .
@jesmirmohamed34673 жыл бұрын
Shekh waelimishe vizuri Hua Hawa fahamu nahw Hao wala balagha wa nacho kijua ni kujisifu tu wape wape Sana Hao mawahabi.
@jesmirmohamed34673 жыл бұрын
Tusemeni ukweli Ahlusuna Wal jamaa ilimu tunayo na tutawarekebisha mpende musipende tutawaweka Sawa tu
@seifouthman64324 жыл бұрын
Ilmu swahiihu
@eiddymhampi87194 жыл бұрын
huyu kishki xx anapotosha watu kabixa
@salminisekiondo79514 жыл бұрын
shekh elimisha umma achana n kumuongelea mtu we tutakuaminije kama unasema kweli
@Pathro_Cavosia4 жыл бұрын
Umeweka Jazba mbele ndugu Yangu Wakati Shek Kishiki Pia Kaongea Kama amekosea mumfate kumuelimisha na Niko sure kama haya ungekwenda ukamuelimisha angerudi mbele nae akarekebishe mbele za watu Kama alivyo kosea Ila na ww ulitaka kuenua jina lako umenda public nyote Munaendeshwa na Dunia kwa kutaka Kuonekana na kupata sifa kwa kuleteana Jazba Ila Ulimi ndio utakao mponza Mwanadamu
@abdillahlutemba80615 жыл бұрын
Bimaana unatuhakikishia kwamba asingekua Mtume Muhammad tusingekuepo? Kwamaana IPI ?
@iddramadhani27154 жыл бұрын
Ndugu zangu mashekh naomba mnieleze jinsi mtume Muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake alikuwa akijibuje hoja kama hizi? Je, alikuwa akitumia jazba kama tunavyofanya sisi hivi leo?