No video

ALICHOKIFANYA MC ELIUD KWENYE WAISA (DOUBLE IMPACT PART 1)

  Рет қаралды 462,459

Eliud Samwel

Eliud Samwel

Күн бұрын

#Waisacomedy #comedy

Пікірлер: 389
@user-vz7qe8im6d
@user-vz7qe8im6d 7 ай бұрын
Dah eliudi nakupenda sana anaempenda pia gonga like
@jullyhandmadecards
@jullyhandmadecards 7 ай бұрын
Mungu anakushika mkono Eliud...mweeh mweeh mweeh usije ukamuacha huyo Mungu wako......anakupambania
@monicakiwia5649
@monicakiwia5649 7 ай бұрын
Eliud anaongea kama masikhara lakini hivyo ndivyo ilivyokua na wazee wetu kila ifikapo skukuu jamani I miss those days sana
@user-uh2qv6wf5k
@user-uh2qv6wf5k 7 ай бұрын
Ni kakako eeeh
@MuharamiKaposo-qt9cy
@MuharamiKaposo-qt9cy 6 ай бұрын
Eliud ni mchekeshashaji natural, hatumii nguvu kabisa. Kila neno lake ni kiburudisho😂
@KidotiTwiga
@KidotiTwiga 7 ай бұрын
Lamata village mna umoja sana Mungu awabariki❤️
@fatumahashimmcheni9610
@fatumahashimmcheni9610 6 ай бұрын
Kazi ya Lamataaa
@user-dy7cw6yk6h
@user-dy7cw6yk6h 6 ай бұрын
Jua kali mtanivuja mbuvu zangu😂😂😂😂😂
@user-bd2re1cj9u
@user-bd2re1cj9u 2 ай бұрын
Eliud unajua sana... Nimekupenda bure Bwana Yesu azidi kuwastawisha.❤🙌
@godfreycomedias9181
@godfreycomedias9181 7 ай бұрын
Mzee Eliud we nihatari baba, bora uzima tu ✌️ mr Godfrey comédy from uganda 🇺🇬🙏
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 6 ай бұрын
Naiona tim jua kali ramata frank na wengine😂😂 mbarikiwe
@rahelihaule
@rahelihaule 6 ай бұрын
Jamani Eliudi Mimi Raheli Rechol WA njombe nimekukosea nini jamani 😂😂😂😂
@rev.musabalalarogersmusabalala
@rev.musabalalarogersmusabalala 6 ай бұрын
Ninakupenda sana Eliud Mungu akutunze
@esterstaphord5184
@esterstaphord5184 7 ай бұрын
Juakal team nimewaonaaa ...stay blessed
@user-vi4sz4fq9h
@user-vi4sz4fq9h 3 ай бұрын
Namukubali sana Mungu atuweke sote tuzidi frahi
@HonorinaSimba-tw6ke
@HonorinaSimba-tw6ke 6 ай бұрын
Hongera sana broo sio Kwa bahat mbaya ndo Nia na madhumuni ya watanzania hatupendag kuwadharau watanzania wenzetu tupo nyuma Yako tembea kifua mbele❤❤
@user-vx1cz3rc2u
@user-vx1cz3rc2u 6 ай бұрын
😂😂😂😂 nampenda eliud anavoongea
@user-yd8fh6qn5q
@user-yd8fh6qn5q 6 ай бұрын
Nawapenda Sana timu jua Kali ❤❤❤
@user-se4gi2or6o
@user-se4gi2or6o 6 ай бұрын
Kibibi axnte Kwa kumsapoart anganile wetu
@frankabdallah5054
@frankabdallah5054 7 ай бұрын
😂😂😂Mungu akubariki sana bro, uko na talent kubwa sana
@joiriawanjala8497
@joiriawanjala8497 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana eliud yani sura yenyewe n kichekesho kabisa😂😂😂naona kaka frank anavyoisha kwa kicheko....big up to all jua kali family mnaushirikiano sana 🇰🇪🇰🇪
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m 6 ай бұрын
Nimecheka sana sate mjomba ake diba😂😂😂😂
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 3 ай бұрын
UNACHEKA MWANZO MPAKA MWISHO NA HUCHOKI UNATAMANI IENDELEE,,TALENTED
@franktiba1506
@franktiba1506 7 ай бұрын
Wow nmependa nmemuona Kibibi asanteni kwa upendo
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau Ай бұрын
Kuna mda tunakaaga tunalia2😂😂😂 mwanangu umetisha sana nimeipenda hiyo
@matronmkenda3510
@matronmkenda3510 6 ай бұрын
Najiuliza wanaoishi na huyu jamaa si watakua na mbavu zimechoka sana
@ahz6907
@ahz6907 6 ай бұрын
Yupo kazini hapo 😂
@matronmkenda3510
@matronmkenda3510 6 ай бұрын
@@ahz6907 😂😂
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 ай бұрын
Yaani huyu jamaa anafanya vitu vya kipekee
@davisnyandindi4917
@davisnyandindi4917 Ай бұрын
Nimecheka mara mbili moja eliud mbl comment yako
@matronmkenda3510
@matronmkenda3510 Ай бұрын
@@davisnyandindi4917 😂😂😂
@PaschalThomas-dm8by
@PaschalThomas-dm8by 6 ай бұрын
Mimi kama mimi cha nyumbani ni Bora kuliko chochote @eliud unajua mwanangu mpk kero😂😂😂😂
@user-wf7bj1so8g
@user-wf7bj1so8g 6 ай бұрын
tunamwona kibibi tujuane
@maryojungu8647
@maryojungu8647 6 ай бұрын
Nampenda Sana uyu mkaka❤❤...Utacheka tu
@adamfumbo5116
@adamfumbo5116 5 ай бұрын
Hongera boss wangu umefanya pakubwa boss
@asiamsemo6172
@asiamsemo6172 6 ай бұрын
Eliud wew sio mzima wallah😂😂😂
@user-oy4hn9rf4l
@user-oy4hn9rf4l 6 ай бұрын
Nimefurahi sana kumuona Jasiri wa PETE
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 7 ай бұрын
😂😂😂atimae wakazi kacheka
@thebios2553
@thebios2553 7 ай бұрын
Kuna kitu ameongea eliud ni comedy ila ni moja ya vita safi sana kwenye familia zetu za zamani Kuna watu tuliishi nao vzr na Wala sio ndugu ila tulikaa nao nyumbani vzr kama ndugu
@barakacmwanza
@barakacmwanza 7 ай бұрын
𝙉𝙖𝙠𝙪𝙢𝙗𝙪𝙠𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖
@mosesnassary6720
@mosesnassary6720 6 ай бұрын
Mwaisaaaa mtu mbaadiiiiii😂😂😂🔥
@emmanuelkato2375
@emmanuelkato2375 7 ай бұрын
Kaka unajuwa sanaaa Mungu azidi kukuonyesha njia ya kwenda juu zaidi
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 6 ай бұрын
Nampenda sana eliudi,😂😂😂😂😂😂😂
@wa-mbeyaTv4725
@wa-mbeyaTv4725 7 ай бұрын
Nsekile mpk katile fwituuu😂😂😂😂😂😂😂 mmenye gweliwe
@tusajigwengondya
@tusajigwengondya 7 ай бұрын
Fyutu fyo fiki
@edinamyovela4422
@edinamyovela4422 6 ай бұрын
Nawapenda sana team Juakali mnanipa rahaa
@Juke995
@Juke995 7 ай бұрын
Hivi eliud hizi nguo anazitoaga wapi 😂nimemuona wakazi kwa mbali analazimisha furaha 😂😂😂nikirudi bongo lazima niende kusikiliza live
@FatinaKiondo-ke9tq
@FatinaKiondo-ke9tq 6 ай бұрын
Hahahahahah umenimalizia bando🤣🤣🤣🤣
@janethgeorge5791
@janethgeorge5791 5 ай бұрын
Shangazi hataki kukaaa😁
@elolam7
@elolam7 6 ай бұрын
Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳
@felistasiwale7582
@felistasiwale7582 6 ай бұрын
Ameeeeen
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 6 ай бұрын
Amiin tajir
@bernardaugust4021
@bernardaugust4021 6 ай бұрын
Tupo pamoja matajiri
@esterwayesu
@esterwayesu 6 ай бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi🎉❤
@user-ce3kc7vc2j
@user-ce3kc7vc2j 6 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😢😢😊😢😢😊😊😮😢😊😊😊😊😊😊😢😊😢😢
@janethjustin5256
@janethjustin5256 6 ай бұрын
One of My Best Comedian 😅😅😅😅😅😅😅
@samwelimwaim7136
@samwelimwaim7136 6 ай бұрын
Nakukubali sana ndugu MUNGU AENDELEE KUKULINDA na kukupgania Katka Kaz zako,
@RechoKimaro-jp5zq
@RechoKimaro-jp5zq 3 ай бұрын
Love you so much Eliud ❤
@VedastoKeya-vt8pf
@VedastoKeya-vt8pf 5 ай бұрын
Mshikaji anachekesha halafu yy yupo comftable
@sherry7339
@sherry7339 6 ай бұрын
Eliud weee ni nyau kabisaa😂😂😂
@elskimalatukengela1058
@elskimalatukengela1058 7 ай бұрын
Wanyakyusa 🙌🙌
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 6 ай бұрын
Eliud anafanana sana na ex wangu jmn wanafanana mpaka kucheka na yy ni mnyakyusa pia sema eliud mfupi ila yule kima alikua mrefu sana
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 6 ай бұрын
Kima Tena mh🤔
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 6 ай бұрын
@@laurnyandwi-sb1gu ehee ndio mtu ambae unamuonyesha upendo halafu yy anacheza na hisia zako
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 6 ай бұрын
@@pikanaauntzuu1466 msamehe..,alkuwa sio riziki Yako
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 6 ай бұрын
@@pikanaauntzuu1466 utampata akupendaye Zaid yake mala dufu
@aginni94
@aginni94 6 ай бұрын
Kima Tena alafu mrefu
@fredyezekiel252
@fredyezekiel252 7 ай бұрын
Haujamalizia kipande bhanaa😂😂
@majutoeliasi
@majutoeliasi 6 ай бұрын
Namuona kajala
@sarahmsambule5235
@sarahmsambule5235 6 ай бұрын
Nusa si kwetu tayari 😂😂
@user-pi6ye5fb4s
@user-pi6ye5fb4s 7 ай бұрын
Nakupenda sana unajua
@VianaKokutensa
@VianaKokutensa 7 ай бұрын
Iyo suti ndo angevaa kweny harusi ya anna😂
@irenekaro2848
@irenekaro2848 6 ай бұрын
Anna ameshitukaa😂😂😂
@Wami-Sababisho
@Wami-Sababisho 4 ай бұрын
Eliud wewe sio mzima kijana wangu🤣🤣🤣🤣🤣, nimecheka sana story ya kulamba katoto mkono 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@issasanga8509
@issasanga8509 3 ай бұрын
😂😂😂😂ako ni noma sana
@janethmshahara4048
@janethmshahara4048 7 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 ety mikikimikiki kama ya Farida
@yuzzoruta9757
@yuzzoruta9757 6 ай бұрын
pure talent😅😂
@sayozmediatv6021
@sayozmediatv6021 7 ай бұрын
Pongezi kwako kijana safi sana
@janekapoya4733
@janekapoya4733 4 ай бұрын
Nakuelewa sana Bwana mdogo mc Eliud
@rahelyngogo771
@rahelyngogo771 7 ай бұрын
😂😂😂jamani umenikumbusha mama gulooo mweeeee
@scholasticajackson6760
@scholasticajackson6760 7 ай бұрын
Jaman naona watu wengi had my o level classmate bigup sana
@marcusjulius6572
@marcusjulius6572 5 ай бұрын
kuna wasela hawacheki😅😅😅😅
@FiveStar-uc5ec
@FiveStar-uc5ec 4 ай бұрын
😮😮😮😮😮
@user-ml3zb3gk6e
@user-ml3zb3gk6e 29 күн бұрын
Ninacho kukubari Eliud hautumii nguvu yaana yanakutoka tuu ni 🔥🔥🔥😂😂😂😂
@lyrics_forum
@lyrics_forum 6 ай бұрын
Juakali Imesababisha Tumenunua Dstv sio Mchezo kabisa 😂
@samwelimadaraka4358
@samwelimadaraka4358 7 ай бұрын
Team jua kali nawaona hapo ❤
@richardmhagama5028
@richardmhagama5028 6 ай бұрын
Team Jua Kali .... Mwali mindu...
@monicaalute3143
@monicaalute3143 7 ай бұрын
Kumchekesha mtu mzima kz sana
@HeryMwakyusa
@HeryMwakyusa 7 ай бұрын
Brother tunashukulu kwa kutuwakilisha wanyakwusa.
@user-gk7ic7dh8m
@user-gk7ic7dh8m 6 ай бұрын
Rebecca ndio mmi dda yako 😂😂
@odiliaherman5658
@odiliaherman5658 6 ай бұрын
Ivi uku kiingilio shingapi😊😊
@FiveStar-uc5ec
@FiveStar-uc5ec 4 ай бұрын
Mwenyewe s elewi natamani kweli cku Moja ningeenda
@salomenashon5864
@salomenashon5864 7 ай бұрын
Anganile😂 umenichekesha sana😅
@Jerrymaswaga
@Jerrymaswaga 7 ай бұрын
Hahahaaaaaaa KAKA UNAJUA SAAAANAAAAAAA.......nitakutafutaaaa
@samielvutsipa52
@samielvutsipa52 6 ай бұрын
Uyu jamaaa hana hofu ya kajala
@adolphriwa3534
@adolphriwa3534 5 ай бұрын
Safi sn Eliudi unajua sn .
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 7 ай бұрын
Nipo busy na nguo ya Eliud
@coleinvee3181
@coleinvee3181 6 ай бұрын
mbavu zinauma 😂😂
@marthalangia
@marthalangia 6 ай бұрын
Eliud hujatufanyia poa mashabiki wa Farida mbona hujatuletea tumuone😂😂au yupo saloon anasokota dred😜
@jacksonwilliam5991137
@jacksonwilliam5991137 6 ай бұрын
Brother eliud ni kweli hujawahi kuwa mweupe kabisaa😅 au Baba aliuza rangi yako wapate hela za kupaulia msauzi 😂
@joycekaganga6924
@joycekaganga6924 2 ай бұрын
Big up sana Mc Eliudi
@veronicamassala562
@veronicamassala562 7 ай бұрын
Jua kali wapo wengi
@VianaKokutensa
@VianaKokutensa 7 ай бұрын
Wamekuj kumsupport mwenzao ujamuona ata boss ake lamata
@FaithKayamba-ji5lx
@FaithKayamba-ji5lx 6 ай бұрын
Huo ndo mtoko wa harusi wa diba umebumaa😂
@miriammaruwa2046
@miriammaruwa2046 6 ай бұрын
Hahahahahq
@dianerditto
@dianerditto 6 ай бұрын
Hahahahhaaa😂
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau Ай бұрын
Hii nyumba mbona kama wanawake wapo wawiri😂😂😂😂😂😂😂
@godblexxgyunda6060
@godblexxgyunda6060 7 ай бұрын
Hujawah kumwacha Mungu😂😂😂
@annembijima391
@annembijima391 5 ай бұрын
Ilikuwa nzuriiii😂😂😂
@hadijajuma9550
@hadijajuma9550 6 ай бұрын
😂😂😂😂unatisha boss
@user-oo5sj8hb5m
@user-oo5sj8hb5m 7 ай бұрын
Hongera Sana eliud upo vizuli
@FabienDeo
@FabienDeo 6 ай бұрын
Je eliud anajua😅
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 6 ай бұрын
Hiyo brauzi Yako umeazima wapi, ni kama ya Farida 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
@FREDCHILUMBA-hf5dm
@FREDCHILUMBA-hf5dm 7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 unajua sana broo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 ай бұрын
Aisee sahivi sitakua namiss comedy zake
@mkombozierick7828
@mkombozierick7828 6 ай бұрын
Namuona Chichi hapo
@northerncruiser137
@northerncruiser137 6 ай бұрын
Wakazi sindio huyu aliyesema comedian wabongo hamna kitu
@bettykarume5619
@bettykarume5619 6 ай бұрын
Eliud Samweli wa Jua kali bango kubwa😂😂😂
@geraldnjau7186
@geraldnjau7186 6 ай бұрын
Sauti mmepeleka wapi hapo mwanzo😂
@joycesweetbertibambasi9317
@joycesweetbertibambasi9317 7 ай бұрын
😂😂😂 eliud wa jua kali
@JoyceAbuu
@JoyceAbuu 2 ай бұрын
Eliudi jamani una nipa lahaa san😂😂❤
@magreciousthomas3527
@magreciousthomas3527 6 ай бұрын
Kajala bahis ni regina wa juakali
@clementinaaguka
@clementinaaguka 6 ай бұрын
Regina ni pindi chana mh.
@EsitaDombo
@EsitaDombo 2 ай бұрын
Nina Imani nitashinda na kushinda Tena kwa nguvu ya roho mtakatifu mi ni tajiliiiiiii
@laurenciamagera3289
@laurenciamagera3289 6 ай бұрын
Kajala kofia imechoka hiyooo😂😂😂
@user-yu1nm8rq9i
@user-yu1nm8rq9i 6 ай бұрын
Eti put your 🤞 together for eliudi
@user-vg6xe7tj8z
@user-vg6xe7tj8z 6 ай бұрын
Nimekuelewa sana😂😂😂
@rachelabnel6687
@rachelabnel6687 7 ай бұрын
Daaa jamn et rahel
ELIUD KWENYE JUKWAA LA WAISA (PART 2)
12:53
Eliud Samwel
Рет қаралды 373 М.
MAISHA BAADA YA KUFELI SHULE - mc Eliud
17:18
Eliud Samwel
Рет қаралды 551 М.
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 43 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 14 МЛН
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 293 М.
ELIUD ALIVYOCHUANA KWENYE BATTLE EDITION
7:53
Cheka tu
Рет қаралды 442 М.
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
BABY ZUCHU Akiwavunja mbavu barnaba, Mario na Whozu
6:46
WiMediaTZ
Рет қаралды 804 М.
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 43 МЛН