Makamu wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu akihutubia wananchi wa Singida Mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Stendi.
Пікірлер: 93
@tibbsminja2575Ай бұрын
Asante sana Mheshimiwa Lissu. Endelea kupiga spana hadi kieleweke. Ila Sasa huku nyuma yako CCM wako wanauza kadi kwa lazima na tsh. Elfu 10 juu. Pamoja na mikutano hii. Hebu Rudini ndani ya chama kuanzia Mwenyekiti, Katibu Mkuu na wale wote tunaowajua mkaondoe tofauti na sintofahamu tunahisi ziko ndani! Ukimya huu unatuumiza wafuasi wenu!! Pole kwa jitihada zako baba.
@user-lt1nr4tk9rАй бұрын
Mungu akupe umri mrefu hakika mungu anamakusud yake kukuweka hai mpaka leo
@hamphumichael7194Ай бұрын
Una akili sanaaa yani God bless you all the time
@SeifYusuf-jf7bnАй бұрын
TUNDU LISSU ANALIHUTUBIA TAIFA NA WATANGANYIKA.
@ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын
Asiye mwamini lisu na kumwani samia atakuwa mjinga
@anosiata8242Ай бұрын
Mungu akulinde lissu.
@user-we5px7gp2rАй бұрын
Lissu Mungu atakuongoza njia kama alivyomuongoza Musa wala usihofu haki hukaa upande wake na uovu hukaa kwa shetani.
@nicodemusngwala2079Ай бұрын
Naomba Mungu ampe maisha marefu atufundishe Watanganyika ili tujitamvue tuweze kuipugabia nchi yetu kuilinda Tanganyika
@lupyanamatimbwi8064Ай бұрын
Big up brother tundu lisu
@josephmlazier1391Ай бұрын
Na kwa haya madini anayoyatema Lisu ambayo yanamtetea kila mwananchi bado unampata mjinga mmoja akisema Mama kazi iendelee 😢😢😢 ama CCM dumu 😢😢 upumbavu wa Hali ya juu sana
@adamlubawa1281Ай бұрын
Wapumbavu ni wale wanaodanganywa na LISSU LISSU HANA SERA ZA CHAMA CHAKE SANA SANA HAPO ANAJENGA UKABILA TU
@faustinebahenobi3412Ай бұрын
Yaani kwakweli sijui wamerogwa du!
@ibrahshifta1595Ай бұрын
Nyie ndo mmerogwa ,hamjitambui japo ni watu wazima, nn msichokielewa au familia zenu zinanufaika na utawala huu wa kipumbavu
@MajiiIfandeАй бұрын
Tena wapo wasomi wanashangilia udhalimu unaoendelea
@raymondnlelwa427Ай бұрын
Bora Korona mpya inayotarajiwa ije itumalize tu kama hivo, tumechoka sasa na tunaambiwa hatueleweki!!!
@matiredms917Ай бұрын
Mheshimiwa Tundu Lissu una stamina kubwa na uwezo mkubwa wa kuelimisha wananchi kuhusu madhila/shida wanazopata kutokana na dhuluma zinazofanywa na Serikali dhalimu ya CCM.
@user-lt1nr4tk9rАй бұрын
Huyu mpiga picha mbadilishen kila siku hajui kupiga picha kamera n hapohap tu
@richardnganya2311Ай бұрын
Muhimu ujumbe uwe wazi. ( Loud and clear)
@rogersiddyАй бұрын
Ujumbe wako ulikuwa kichwani mwangu kwakweli amelemaa sana sijui anahongwa na maccm asituonyeshe wananchi waliojitokeza kwenye mkutano hii inachefua sana onyesha wananchi kwa upana na utulivu sio karibu karibu tu umemaliza huyu kazi haiwezi kbs
@ChristerKokuАй бұрын
Minja na muunga mkono,viongozi wa Chadema,kama ilivyosema Mwenyekiti taifa,makamu mwenyekiti,Katibu mkuu na makamu Katibu mkuu rudini pamoja mtoke na jibu la pamoja tunsmuona Tundu Lisu peke yake anatoa elimu nzuri sana hatakayekataa akatae kwa ubinafsi wake.ukimya wa viongozi hao unatukosesha amani.
@lunangabenjamin3121Ай бұрын
😂😂😂 lisu unanifurahishaga sana siyasa zako nzuri sana mama abduli shenzi.
@RUSTERNYAIKOBAАй бұрын
Shemeji yangu ni 🔥 mno.Elimisha
@paulmadundo8084Ай бұрын
sentensi zimenyooka sana, ila marais wa nchi za nje "marekani n.k"mbona wenyewe hawapewagi udaktari wa heshima kama marais wa nchi yetu?..au mimi ndio sielewi.Udaktari wa kutokusomea huu siuelewi kwa viongozi wa nchi yangu...
@MajiiIfandeАй бұрын
Hahahaha, udaktari wa uongo nani anautaka.?
@DevothaLighton-dl6ziАй бұрын
Pole sana mh lissu Kwa kuwahutubia majitu ambayo kichwani wako tupu
@willyadam4776Ай бұрын
Tundu lisu Mungu akulinde sana kazi yako ni kubwa mno yakutuelimisha sisi watanganyika
@YohanaThadeo-ki2qgАй бұрын
Ongera lisu
@ChristerKokuАй бұрын
Jamani Tundu Lisu mmmm
@geraldgedi4657Ай бұрын
Naongezea na hili la mkataba na Wakorea na matrilioni 6.51 ikinasibishwa na bahari na madini .
@prospermalala6636Ай бұрын
MH Lisu Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha,/ kufundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe haki zao, kwa ufundishaji wako haki Mungu mkubwa akulinde na kuonyesha njia ya kupitia, IQ yako hakuna wa kukutisha, Mungu ndiyo muweza wa yooote, ktk maisha yako 🙏🙏🙏🙏
@ambitiousholyspirit395Ай бұрын
Kweli tuu
@BonaBonala-bp5qmАй бұрын
Kwahaya siendi msiba hata mtu wa ccm kwaujinga huu akifa ccm siendi naenda bazaar kunywa bia samia ataondoka kama raurent gabgo
@BelievePeace-jg5pcАй бұрын
Tuko pamoja kiongozi hatukuachiii
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Huyu mama abduli hamna kitu bara ajiuzuru atakuwa ameniheshmisha
@salummichael87Ай бұрын
Kama maneno hayo yanatoka Kea Mungu lazima tuokoke pia nchi ha Tanganyika iokoke AMINA
@mashakalukinda2350Ай бұрын
kamanda Lissu huwa nakkbali sana hutaki ujinga ujinga sikuzote unapenda haki kwa wezio nakwako pia haki Pande zote
Tundu lissu ninabiiii wa kizazi hiki tz ukibisha muurize mwendazake jpm Kiongozi wa watu wasiojurikana muurizeni??? umeenda Wapi?? Uriotaka kuuwauwa mbona bado yupo hai nae ni tundu lissu
@rastheuniqueАй бұрын
Tundu Lissu 💪💪
@King_Of_EverythingАй бұрын
✌️👍👊.
@deusdebitkowa9657Ай бұрын
This man is very intelligent.
@rabsonchisumo6640Ай бұрын
Makini sana
@ponsianomnyaru9140Ай бұрын
Rais Hana kitu
@SAMSONKOIKAIАй бұрын
Mungu akulinde sanaa raisi wa mioyo ya watanzania mh lissu ,akili nyngi sana..elimu yako kwa wanachi tunahitaji sanaa,mungu akupe nguvu ya kutuelimisha
@MajiiIfandeАй бұрын
Huyu ni Lincoln/Sankara ajaye kwa nchi hii
@khalidikaghembe1775Ай бұрын
Inauma Sana SEMA matanganyika mengi yapo masenge sengelema tu Wala hayajielewi
@bukurunestory3540Ай бұрын
Kama kawaida moto unawaka
@emmanuelrobert4757Ай бұрын
Unapambna sana kamanda tundu anti pas lisu munu akubarik sn
@user-gr9wc7bc2mАй бұрын
Haya mambo ni mazito sana
@msabahaali758Ай бұрын
Tatzo ni moja tu wanaohutubiwa wamelala kabisa ila kama Mzaznzibar namkubali Lissu kuliko mama ake Abdul
@fabianmainchanyangachika5017Ай бұрын
Tarime pia tupoooooo🎉🎉🎉
@josephmatiko4805Ай бұрын
Kiukweli tunakuamini sasa!!maana,wa Tanganyika nikama ndio tunaamka!!kiukweli inabidi tuamke
@IssayaNdingaАй бұрын
Usituchoke kuna siku TU mngu atakumbuka sisi wanyonge santen sana lisu
@user-qz2cs5wm5uАй бұрын
Nimeipenda iyo ndio upinzani unavotakiwa
@lupyanamatimbwi8064Ай бұрын
18,200
@SalumChemaАй бұрын
Bomoa.baba.tuyajue.huyondio.lisu.jembe.liliobaki
@salummohamed2689Ай бұрын
Hivi sisi Watanganyika tunajifanya hatuelewi Kwa manufaa ya nani?
@beinafuu6219Ай бұрын
Mpiga picha hawana aise.sijui watalam wa chadema kitengo cha habari kimelala
@dribrahimmamboleo4435Ай бұрын
Ila we nae ni mshamba! Hapo kamera sio ya chadema ni ya chanzo TV waliotuwekea youtube Leo nimekufundisha thawaa😂
@user-we5px7gp2rАй бұрын
Kama anazungu pekee yake wewe ni nani anakufahamu?
@abdullahalsharji9428Ай бұрын
Zote tisa kumi uchaguzi
@othmarluwawilo8308Ай бұрын
Samia kwa matendo yake apimwe akili zake km yupo sawa
@user-rn9og1rk3lАй бұрын
😂❤❤umepiga penyewe mwamba
@makongorowassira6593Ай бұрын
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂 Huyo Samia ni mbovu yes, sasa wekeni mtu atakae tukomboa
@dribrahimmamboleo4435Ай бұрын
Mbona wengine tumeyapata mengi sana. Tatizo unapata hayo mawili kwabasababu ndio yaliyoujaa moyo wako. Pole
@HamzaHeriАй бұрын
WEWE UNA MATATIZO YA AKILI
@helenakamenya8680Ай бұрын
Kagongwe choko wewe na ccm yako.
@philemonsnyanda9450Ай бұрын
We ndo unamatatizo wala siyo lisu
@makongorowassira6593Ай бұрын
Sasa hapa umeongea weee ninachokipata toka kwenye hii hotuba ni uzanzibari na utanganyika. Hebu tupatie mbadala wa hao unaowaongelea kila ukipanda jukwaani. Lissu jaribu kuwa creative hii inapotezea wenye akili zao muda😂😂😂😂
@husseinjosephitocho6754Ай бұрын
kazi ya kichwa sio kuota nywere tu na kutafakali pia
@stevesungura6789Ай бұрын
Tuyachukulieni poa haya maneno leo, lakini kuna siku tutayakumbuka maneno ya huyu Lissu. Hii nchi inaporwa mbele ya macho yetu. Sijui wenzetu wanawaza nini kuhusu kesho ya taifa hili
@dorothmsuya1686Ай бұрын
Sasa mbona unazunguka peke yako?? Wenzako wako wapi? Au ukipewa nchi utaongoxa peke yako?? Mujitafakari ndani kuna shida mzee wa kulia lia!😂😂😂
@user-gr9wc7bc2mАй бұрын
Hivi huyu wa camera anajua kuchukua picha kweli abadirishwe haraka
@rabsonchisumo6640Ай бұрын
Sikiliza ujembe Cyo ujinga uliyo nao kichwa
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
SERA YA LISU NI LAWAMA NA KULIALIA 🤧🤧🤧🤧🤧🤧RIP MAGU
@user-gr9wc7bc2mАй бұрын
Sikiliza vizuri
@bakarimrao3655Ай бұрын
RIP MAGU imekujaje hapo Sasa!!!!!
@OmmyJames-xn7jiАй бұрын
@@bakarimrao3655 Alisema hawa si WAPINZANI ni WAHUNI 🤧🤧🤧🤧🤧
@henrynicholaus3977Ай бұрын
Hamia chato
@rashidisaidi8535Ай бұрын
Mbona watu hamna hichi chama hichi kweli ni cha wahuni ndo maana kimepoteza mvuto kaz ni uchochez tuu