BAADA YA KAULI YA RAIS SAMIA TUNDU LISU AMJIBU KWA UKALI AMTAJA MWANAE AMENILETEA RUSHWA

  Рет қаралды 35,238

KUSAGA TV

KUSAGA TV

Ай бұрын

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZfaq : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 114
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Heche,Mbowe,Mnyika na makamanda wengine mko wapi?
@Nyalafu
@Nyalafu Ай бұрын
Salum Mwalimu pia alipotelea wapi
@nabii-zc1hm
@nabii-zc1hm Ай бұрын
​@@Nyalafuatakuwa alipotelea kwenye noti ya mia
@veronicanicholaus3375
@veronicanicholaus3375 Ай бұрын
Kigaboni nako tumefukuzwa.
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 Ай бұрын
Muungano unaumiza Tanganyika! Zanzibar kukoshwari lakini Tanganyika hakuna peace tunavurugwa sana.
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 Ай бұрын
Tanganyika tulipigwa changa machoni! Zanzibar wako vizuri.
@matiredms917
@matiredms917 Ай бұрын
Mbona hii ni hotuba ya Tundu Lissu ya tarehe nane June na siyo majibu ya Tundu Lissu wa kauli ya Samia? Huu ni uhuni tu kwa upande wa Mtangazaji?
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Kweli kabisa huu ni uhuni kupitiliza.ujinga tu.
@1961nungwi
@1961nungwi Ай бұрын
Ni kutokuheshimu watazamaji wenu na wasikilizaji wenu!
@gracemima5234
@gracemima5234 Ай бұрын
Tuambie utawafanyia nini watanzania? Ni kusema huyu mama si mama yetu! Wewe utaleta manadiliko gani?
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 Ай бұрын
Mm kichwa kiko sawa kweli
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x Ай бұрын
Wew shonga asha kiongosi wetu
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 Ай бұрын
Huwezi kuzuia mafuriko kwa Mikono😂😂😂😂
@byamungujustin44
@byamungujustin44 Ай бұрын
Mungekuwa Congo
@adenmwakalobo760
@adenmwakalobo760 Ай бұрын
Kweli Watanzania tunakuwa walegevu kiasi cha kukatisha tamaa! Yaani hongo ya wazi ya hizo pikipiki 700 kila mkoa, tena zikiwa tayari na jina la anayetarajiwa kuwa mgombea u Rais 2025, bado watu hawataki TL aikemee kama rushwa ktk uchaguzi? Kama hilo halikemewi kwa vile ni la Rais SSH, hiyo rushwa nyingine kwingineko kwa nini inakemewa na kuchukuliwa hatua?? Inastaajabisha sana jinsi mambo yalivyo hovyo hovyo hapa nchini; someone once said: CERTAIN THINGS ONLY HAPPEN IN TZ!
@RutinikiGosbert
@RutinikiGosbert 26 күн бұрын
Kwakweli ndugu watanzania hatujielewi baadhi lakini maana hii ni hongo na pesa za umma ndo zinanunua izo pikipiki
@RichardMeena-sm5vm
@RichardMeena-sm5vm 29 күн бұрын
🙏🙏🙏
@KayongoOba-ht2rf
@KayongoOba-ht2rf Ай бұрын
Mama Abdul izo ni mvua za Rasha rasha Bdo mda
@dyoa6987
@dyoa6987 24 күн бұрын
Upuuzi tu
@Abdallahshadia
@Abdallahshadia Ай бұрын
@williammarete3970
@williammarete3970 23 күн бұрын
Zungumza tu sera ili tukubali au tukatae. Usimguse mtu! Anaweza kuitwa mama kulingana na athari zake kwetu wote.Hilo tuachie sisi.
@charlzmboya
@charlzmboya Ай бұрын
MH LISU WATANZANIA TUPO PAMOJA NA WEWE UNACHO ZU NGUMZA UNAELEWEKA KWA ASILIMIA 100...CHAPA KAZI BABA AMSHA NA ENDELEA KUWAELIMISHA WATANZANIA ...TUNAKUPE DA TUNAKUAMINI TUPO PAMOJA MH
@salhaomar5382
@salhaomar5382 Ай бұрын
Katika hao watanzania mimi nitoe
@paulmathias6328
@paulmathias6328 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂saf sanaaaaaa lisu nakukubar sanaaaaaa
@byamungujustin44
@byamungujustin44 Ай бұрын
Kamaunamradi wakufuga unapashwa kununua maeneo kwaajili yamifugo yakwako
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Ай бұрын
HIVI MBONA HAMTOI TATHIMIN YA MAANDAMANO AU ILIKUWA N JOGINGI😂😂 NAOMBA KUWASILISHA
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
UMEJUAJE?
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Ай бұрын
Jibuni hoja safari hii habebwi mtu na mama
@athumanimhina1869
@athumanimhina1869 Ай бұрын
Muandishi akili huna hutuba ni ya tarehe nane na mama kaongea jana wasemaje kuwa kamjibu mama?
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 27 күн бұрын
Tundulisu huwa hun 25:40 ahoja zaidi ya kumsema Rais hakuna Rais ambaye hujawahi msema .pikipiki hizo zinakuhusu nini nawewe nunuwa uwape wanachama wako
@Khalidhassan-fb2qm
@Khalidhassan-fb2qm 27 күн бұрын
Me lisu bamkubali ila sipendi akiongelea mambo ya dini tuu nd namchukia
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l 29 күн бұрын
Nyie watanganyuka mnacheka kusema mtu atafanya mkurano au atakuwa mahabusu hayo ndo yakucheka lisu akiwa serious au mbowe nyie mnacheka
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
LAKINI MBONA WALINZI NI KAMA NI MAPACHA?
@glorymungure7740
@glorymungure7740 Ай бұрын
😄😄😄
@JoelJoel-xu7lj
@JoelJoel-xu7lj Ай бұрын
Toa Sera utatuletea Nini tupe ukitawara utaiendeshaje nchi elimu ndogo wewe huwezi ungekua umesomea uchumi kerere tuu
@byamungujustin44
@byamungujustin44 Ай бұрын
Watu niwajinga kweli mumtu anasaidia wakaaji atinimubaya kuanzia wakatiwa maguli ilikuwahivyo tu watanzania hamunashukrani
@manuchochannel5538
@manuchochannel5538 Ай бұрын
Duh hicho kiswahili😅😅
@williammarete3970
@williammarete3970 23 күн бұрын
Swala la kuitwa MAMA tuachie. Uchungu wa mwana anaujua mama. Uchungu wa mama anaujua mwana! Ana UCHUNGU wa kweli na sisi watoto wake wa Kitanzania.
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 19 күн бұрын
Mavi ya kuku wewe
@JoelJoel-xu7lj
@JoelJoel-xu7lj Ай бұрын
Isitoshe hotuba kuwatukana polisi kila siku matusi tupe utatufanyia Nini wewe ukipewa nchi
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 Ай бұрын
Hana jipya kibaraka wa wazungu huyu
@makobamasawemangu4122
@makobamasawemangu4122 26 күн бұрын
We ni mwehu police gani katukanwa
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 26 күн бұрын
Ona ulivyo na tatizo la afya ya akili hiloooo jibu kwa hoja matusii yanakushusha utu wako na kama unahasira usijibu hoja nayo huwa ni hekima
@user-kv6vc8sd7c
@user-kv6vc8sd7c Ай бұрын
Kwanza mimi na hasara kumsema vibaya Rais mala nyingi muache afanye kazi kama wewe huoni kazi anazofanya kasafishwe macho
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 Ай бұрын
Lisu mungu hawezi kukupa nchi wewe kwa kuwa unadaiwa fedha nyingi na wafadhiribwako wakoloni weupe cha zaidi mungu atakunyang'anya pumzi kwa uchochezi
@aaronswai3092
@aaronswai3092 Ай бұрын
Wewe nani umsemee Mungu kwa ishu za Lisu?
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 Ай бұрын
@@aaronswai3092 mkono wa mungu mfalme wa aman
@azruntravel4306
@azruntravel4306 Ай бұрын
kijiti kimekukaza jiulize wale waliowahi kutawala Zanzibar walikuwa kutokea wapi?
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Ай бұрын
MAKAFIRI WA UINGEREZA NDIO WALIOTAWALA ZANZIBAR Waliotawala Zanzibar ni Makafiri kutoka Uingereza na ndio walotoa Uhuru Kamili kwa Sheikh Muhammed Shamte al-Shirazi kwa niaba ya Wazanzibari.🎉❤🎉 Makafiri wa Tanganyika na Wabara walojiita Wafrika walikereka na waliubatiza kuwa ni Uhuru wa Bandia. Waliwapindua Wazanzibari kwa sababu ya Dini yao ya KIISLAM na kuunganishwa na Tanganyika kwa faida ya Kanisa na Usekula✝️ KWAKHERI UKOLONI KHEKHERI UHURU ZANZIBAR ARIJOJO 😂😂
@byamungujustin44
@byamungujustin44 Ай бұрын
Bila Kodi hakunamaendeleo
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f Ай бұрын
Kodi inakanuni yake sio Kodi ya hovyohovyo.
@ImaniAdam-go6eg
@ImaniAdam-go6eg Ай бұрын
gg
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Ай бұрын
Yan baba unavyohangaikia mambo ya dunia achana nayo baba angu siasa co nzuri..nawa mikono kwenye mambo ya siasa saiv tafuta uso wa MUNGU na NGUVU ZAKE ingali bado unanguvu baba yangu..tangu umeingia kwenye siasa umepata nini. Sasa nakuombea na MUNGU akusaidie
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Ай бұрын
Yan baba unavyohangaikia mambo ya dunia achana nayo baba angu siasa co nzuri..nawa mikono kwenye mambo ya siasa saiv tafuta uso wa MUNGU na NGUVU ZAKE ingali bado unanguvu baba yangu..tangu umeingia kwenye siasa umepata nini. Sasa nakuombea na MUNGU akusaidie
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Ай бұрын
Tatizo lako kubwa hujui lolote kuhusu siasa inahusisnaje na Mungu!!!
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI
@josephbundala1475
@josephbundala1475 Ай бұрын
Hao wanaosikiliza kwako mkutanoni wachekapo wanakucheka wewe LISU. Hutambui hili? Sera zako Baba ndizo zinazotakiwa. Unatushangaza ati!
@user-kv6vc8sd7c
@user-kv6vc8sd7c Ай бұрын
Huyo Lisu ana tatizo la Afya ya Akiri Akatibiwe baada ya kuongea mambo ya msingi anamsema RAis kwanza anatuzazalisha sisi wanawake
@user-kv6vc8sd7c
@user-kv6vc8sd7c Ай бұрын
Hata mama wa mwenzio ni mama Yako
@user-kv6vc8sd7c
@user-kv6vc8sd7c Ай бұрын
Umechoka achia uongozi kwa vijana .kapumzike
@user-kv6vc8sd7c
@user-kv6vc8sd7c Ай бұрын
Kama unaweza kumsema vibaya mtu ambayo alikuja kukuona Nairobi hospital ulivyopigwa risasi jee sisi wengine wa mama utatujali?
@THEPOTTINGBENCH
@THEPOTTINGBENCH 28 күн бұрын
Lissu akachukue ubunge tu!
@RutinikiGosbert
@RutinikiGosbert 26 күн бұрын
Rais wa mioyo ya watu
@RutinikiGosbert
@RutinikiGosbert 26 күн бұрын
Mimi Lissu mwangu ni chaguo mpenda haki na mkweli kura yangu na familia yangu ni kwako 25
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 Ай бұрын
LIsu hahahahahaha amegawa nini?kaka ndo maana wanakupiga hahaha ume mtait sana samia japo kuuza ardhi yetu sio sawa kabisa
@byamungujustin44
@byamungujustin44 Ай бұрын
Watanzania serkali imewadekesha kabisa huyu mupinzani alikosavyakushitaki serkali kabisa aje Congo mashariki. Aone wanaoteswa
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Ай бұрын
Mkutano una watu kumi na migomba kibao
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Ай бұрын
,,,😂😂😂😂😂😂 em kunywa soda af ulipe ehenzi kabisa😅😅
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 Ай бұрын
Hujielewi wewe eti watu 10 lissu hasombi watu na malori
@abdallahhashim236
@abdallahhashim236 Ай бұрын
Binafsi sipendi approach unayoutumia mhe Lissu! Instead of critics mi nadhani ungejikita kwenye Sera zaidi. Sishabikii chama chochote ila nadhani watanzania wanapenda zaidi kusikia mikakati ya maendeleo rather than kusikia ukimtuhumu mtu kwa hili au lile. Angalia point zitakazomkomboa mwananchi ndio unaweza kuwavutia watu zaidi kuliko ku diss
@victaboy7273
@victaboy7273 Ай бұрын
Umesema binafsi, so ungekaa kimya au husiangalie video crip zake. Hujalazimishwa
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Ай бұрын
Sera chadema wameshasema kwa Sasa wanatufindisha tuwe na ufahamu wa kutambua Hali ya nchi na nini kinaendelea.anatufjndisha ni kwanini ccm wameshindwa kutupatia maendeleo
@adenmwakalobo760
@adenmwakalobo760 Ай бұрын
Kweli kuamsha mifugo ni kazi kubwa sana! Yaani wewe hutaki azungumzie rushwa ya wazi hiyo ya hizo pikipiki 700 ushee kila mkoa kwa wapiga kura, unataka badala yake azungumzie tu yeye atakavyoleta maendeleo kwa watu, hivi unaelewa usemacho wewe? Maendeleo gani yataletwa na Rais anayetaka achaguliwe 2025 kwa hongo ya pikipiki? Kama hilo kwako si hoja bali 'maendeleo' basi wewe kioja, mfugo😢
@leonardmallya7923
@leonardmallya7923 Ай бұрын
Kama hauna akili nzuri utashindwa kumuelewa mh Lisu.Mungu azidi kubariki na kulinda kwani anawazindua akili Watanzania hasa Watanganyika
@joscamwoshezi2986
@joscamwoshezi2986 Ай бұрын
Maandamano yenu faida yake iko wapi
@victaboy7273
@victaboy7273 Ай бұрын
Vipi na wewe. Una ungainly nyumbani au umelala njaa
@HabibuSaid-up5sn
@HabibuSaid-up5sn Ай бұрын
Amna kitu apa Kwisha kazi
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x Ай бұрын
hutba mavisana,haieleweki maanayake
@AishaAli-yo3zk
@AishaAli-yo3zk Ай бұрын
Toa sera zako kaka acha kumzungumzia rais sawa
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Ай бұрын
Sera tusubiri kampeni kwa Sasa ni elimu ya kujitambua. Jitahidini kukubali mabadiliko
@twahirshali8014
@twahirshali8014 Ай бұрын
Wewe tukana Tu hupati Kitu nenda Kwa zungu wakufire
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 Ай бұрын
Jinga sana wewe
@user-mo3ik6go6r
@user-mo3ik6go6r Ай бұрын
Kuwa na hakili kidogo
@allonjoseph5467
@allonjoseph5467 Ай бұрын
jinga ni ww unae pata lushwa kutoka ccm wana nchi tuna teseka huku mtaan
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Wajinga ni wewe mchawa wa samia nani anayetaka utumwa wa wa Zanzibar ila ninyi wachawa wakubw. Hongera mtangazaji na Hongera jembe la wa Tanganyika Tundu Lissu
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Ай бұрын
kelele za chura tu hizooooo
@AlexanderJoachim-uu6rw
@AlexanderJoachim-uu6rw Ай бұрын
Demokrasiaaaaa
@AlexanderJoachim-uu6rw
@AlexanderJoachim-uu6rw Ай бұрын
Mimi nampenda sana rais wa nchi yangu.simtaji kwa jina kwa kuwa ni kumkosea adabu.yeye ni mh.mtukufu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania.
@AlexanderJoachim-uu6rw
@AlexanderJoachim-uu6rw Ай бұрын
Pia nampenda saana mh.tundulisu kwa kuwa ni mwana harakati wa mageuzi kupitia chama chake ndani ya vyama vya upinzani.lkn pia namwona kama ni nabii au mtume wa kisiasa.e.bu tuone vissiom yake
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 Ай бұрын
Eti jembe la Tanganyika! 2025 atakua mundu! Nimekaa palee!😅😅😅😅😅
@athumanimhina1869
@athumanimhina1869 Ай бұрын
Tundu sera hana hajui akipata uongozi atatufanyia nini,kazi yake kulalamika
@saidabdillahi8107
@saidabdillahi8107 Ай бұрын
Unapoendelea kumsema Vibaya Samia, ndio unaifanya nafasi yako ya kushinda hata nafasi ya Udiwani, hao unaowahutubia nusu na robo ni wapenzi wa Samia "keep my words"
@allonjoseph5467
@allonjoseph5467 Ай бұрын
ww lissu yupo sawa na wala haja msema samia vibaya anaisemea ccm bas namna wanavo tunynyasa
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 Ай бұрын
Wacha wamsemao vibaya waseme;Naa, amsemae vizuri aseme!
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 Ай бұрын
Anoweza kushinda uchaguzi huwa anaiba kura?
@michaelmabula7444
@michaelmabula7444 Ай бұрын
Lisu anaongea sahihi Sie watanganyika kama hatutajitambua Tumekwisha
@nassorcholo2515
@nassorcholo2515 Ай бұрын
Huna hoja utawapanda wadini wezako tu nawachaga
@twahirshali8014
@twahirshali8014 Ай бұрын
Muongo mkubwa Wewe
@yasakilube9946
@yasakilube9946 Ай бұрын
Mpuuzi huyu kwann hakufa
@sophiaamnaay9726
@sophiaamnaay9726 Ай бұрын
Kweli umepofuka wala huoni maovu hata kusikia hakuna. Si Shangai hata darasani mwl akifundisha wapo wapatao A na wapo wa pato F. Sasa wewe upo kwa hao wa F.
@sarahjames2287
@sarahjames2287 Ай бұрын
Nafikiri atapata 0 plus na ni kibaka ameache Lidu wetu ni mkombozi wa Taifa hili
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 Ай бұрын
Hivyo unajeuri ya kumwambia MUNGU aliyemuumba kwa nini kumpa uzima Kiumbe wake,naogopa sana, au una kiburi cha uzima au huamini kuwa yuko MUNGU anayesema USIUE roho zote ni Mali yake,ingia kwenye magoti utubu,maana hapo unamkosoa MUNGU anayetoa Amri. 'USIUE'!!!!!!!!!
@yasakilube9946
@yasakilube9946 Ай бұрын
@@pennymahombo9528 mtu anaesapoti ushoga anahaja gni kuishi dunian
@yasakilube9946
@yasakilube9946 Ай бұрын
@@sarahjames2287 mkombozi au mtetezi wa mashoga
@dorahy1579
@dorahy1579 Ай бұрын
Kuliko wewe Afadhali Samia Suluhu Hassan
@AishaAli-yo3zk
@AishaAli-yo3zk Ай бұрын
Hunachamaana tena lissu
@charlzmboya
@charlzmboya Ай бұрын
Hawa vbaraka wa ccm wasio jielewa ipo cku wataelewa tu ni wajinga ila wataelimika tu ...LISU NO:¹
@nassorcholo2515
@nassorcholo2515 Ай бұрын
Chama chachaga hii hichooo huna mpya
@AishaAli-yo3zk
@AishaAli-yo3zk Ай бұрын
Toa sera zako kaka acha kumzungumzia rais sawa
@victaboy7273
@victaboy7273 Ай бұрын
Mfano sera zipi??
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 28 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 56 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
TUNDU LISSU AMSHIKA KOO RAIS SAMIA KWA KUHONGA PIKIPIKI NCHI NZIMA
5:55
Chadema Media TV
Рет қаралды 10 М.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 28 МЛН