No video

ALIEBUNI MAJIKO YANAYOTUMIA TOFALI NA CHAJA YA SIMU APATA DILI SIDO

  Рет қаралды 24,139

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 63
@Dm-yd1tl
@Dm-yd1tl 4 жыл бұрын
Namshauri mkopo asichukue. Na asikubali kushirikiana nao kikaz atapotea. Hapo bwana utaka ujuzi wahuyo kijana then watamtelekeza. Trust me. Kijana unajina sasa huhitaji sido wakusapot. Jiamini uta weza taratibu achana nasido trust me
@binjmwinyirain1133
@binjmwinyirain1133 4 жыл бұрын
Eti mainjinia wa sido wanakuja kumsapoti..... Duh.
@famitoissanawanda6295
@famitoissanawanda6295 4 жыл бұрын
Hongera kwa ujumbe ila watamteka tu
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 4 жыл бұрын
Hata mm nahofu juu ya hilo.
@nyamtigaibrahim530
@nyamtigaibrahim530 3 жыл бұрын
Yaaani wabongo sura zao tu zinaonesha ki zuruma zuruma tu.
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
SERIKALI YETU TUNAOMBA MSHIKILIENI MKONO HUYU KIJANA KIUKWEL ANAUWEZO MKUBWA MNO + MIND
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 2 жыл бұрын
We dada kiboko
@ambokilesilwani4074
@ambokilesilwani4074 4 жыл бұрын
Shida ndio hiyo anauza bei poa kabisa akija sido ni balaa amesema amebuni kumkomboa maskini itakuwa kinyume chake mwacheni huyo hivyo hivyo atusaidie
@D.P.O
@D.P.O 4 жыл бұрын
Huyu mbona yuko tofauti na yule wa mwanzo Millardayo
@saidymtenda9777
@saidymtenda9777 4 жыл бұрын
Nikweli kbs
@saidymtenda9777
@saidymtenda9777 4 жыл бұрын
Yule alikuwa akitumia tofali za kuchoma na mkaa chenga kdg
@fedechfede6515
@fedechfede6515 4 жыл бұрын
Mi mwenyewe nashangaa
@mjuba
@mjuba 4 жыл бұрын
Yule wa kwanza alidanganya na serikali ilikuja kufuatilia ikagundua kua yule jamaa wa kwanza alikua ananunua majiko kwa huyo mwamba hapo
@conjetaally7051
@conjetaally7051 4 жыл бұрын
hongeraaa kwakeee
@gracealexander5309
@gracealexander5309 4 жыл бұрын
Safi sana Mungu azidi kukuinua kiwango kingine kwa maono wako
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 4 жыл бұрын
Mbona huyu yuko tofauti na yule wa Mara ya kwanza mgunduzi ni Nani sasa au ndo yule yule maisha yameshamkubari
@mwanaali7566
@mwanaali7566 4 жыл бұрын
Kelvin Audax nikweli kabisa
@babuuclassic
@babuuclassic 4 жыл бұрын
Hawa wanazingua
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 4 жыл бұрын
Inatakiwa ajulikane mgunduzi aliegundua
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 4 жыл бұрын
@@mwanaali7566 wanatuzingua kweli
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 4 жыл бұрын
@@babuuclassic kabisa
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 жыл бұрын
Mbona hiyo stiyle ilikuwa inatumkia sana PERAMIHO MISSION SONGEA RUVUMA. kwa njia kama hiyo wao wale wazungu walikuwa wanatumia kuni kama vipande viwili au vitatu, na walikuwa wana pika huku wakizlisha umeme.kwa ajili ya majengo. Sema tu watu wa songea wako nyuma sana katika kuiga vitu na kujiendeleza navyo, lakini wangekuwa kama mikoa mingine Ruvuma ingekuwa mbali sana kupitia wale wazungu wa Mission.
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
Hao Wezi Wamekuja Kuiba Ufundi Wako Wakutupe Wapige Pesa Wao Matapeli Hao
@saulkigwengela2761
@saulkigwengela2761 4 жыл бұрын
Analindwa vipi kuhusiana na ubunifu wake mana mtaanza kukop
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 4 жыл бұрын
Aandikishe ubunifu wake mtu asIcopy Akicopy Aweze kushitaki Aandikishe INTELLECTUAL PROPERTY
@mbutomustapha2048
@mbutomustapha2048 4 жыл бұрын
Hata Yy Kakopi Haya Majiko Yapo Kitambo Atakae Bisha Akoment Namba Nimpe Ushahidi
@luganojacob
@luganojacob 4 жыл бұрын
Nipe namba mi nataka namba yangu Whatsapp Ni 0786063040
@luganojacob
@luganojacob 4 жыл бұрын
Nataka jiko
@abubakarjuma443
@abubakarjuma443 4 жыл бұрын
Wanataka wajue tu kisha wakusaliti
@danieljoseph6309
@danieljoseph6309 4 жыл бұрын
Badala wamtafutie patent haraka wanaongea tu
@emmanuelbonaventura4258
@emmanuelbonaventura4258 4 жыл бұрын
SAFIIIIIIIIII SANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA. NZURIIIIIIIIIIIIII
@joellymanyaji5249
@joellymanyaji5249 3 жыл бұрын
Nahitaji hilo ntalipatajee mie nipo mwanza
@ceysal944
@ceysal944 4 жыл бұрын
Duuuh... hyo kampuni inataka kumzingua huyo kijana wanaenda copy hao... then watamtupilia mbali... kijana afumguke hyu... asitake pesa za mteremko... akazane mwenyw kwanza mpaka sasa anajina kubwa tu...
@evinirichard1531
@evinirichard1531 4 жыл бұрын
Mbona aliyekuwa anahojiwa mwanzoni ni tofauti na yule!!!! au ndo life tayali
@saidiibrahim31
@saidiibrahim31 4 жыл бұрын
Wanasema huyu ndo wa mwanzo yule aliiga ujuzi kwa huyu
@meshackjackson3262
@meshackjackson3262 4 жыл бұрын
Safii
@hemedibakari6880
@hemedibakari6880 4 жыл бұрын
Binafsi sijaelewa, huyu ni mwengine wa na yule wa awali au ni vipi!? Halafu yule wa awali nilinunua jiko lkn mpk nakuja kulipata ilichukua week mbili na masiku, na bado jiko aliloniletea lilikuwa silo na pia halikuweza kutumika na matofali kama alivyosema, na tulikuwa wawili na wote tumekula hasara. Tulimwambia na akasema ataona cha kufanya lkn mpk ss hakuna kipya
@francisruambothetechnician
@francisruambothetechnician 4 жыл бұрын
Hiyo ndo kawaida unapoagiza kitu online don't expect that much utapotea
@hemedibakari6880
@hemedibakari6880 4 жыл бұрын
@@francisruambothetechnician kwa taarifa niliyoipata , yule wa kwanza aliiba technolojia ya watu ila huyu ndio mmiliki halali na tyr kamfungulia kesi
@renatusmisigaro6332
@renatusmisigaro6332 4 жыл бұрын
Sasa mbona yule wa kwanza sio uyo!?
@mjuba
@mjuba 4 жыл бұрын
Yule wa kwanza alidanganya na Serikali ilifuatilia ikagundua kua alikua ananunua majiko kwa huyo mwamba apo
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 4 жыл бұрын
Mainjia wamushauli nini sasa! Wao hawajabuni, sura ni ku-polish hii technology halafu atafute masoko.
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
Kila Muda Eti Gonga Tena Ujalibu Tena Sasa Unapogonga Sim C Ina Alibika
@switbertdeus7741
@switbertdeus7741 4 жыл бұрын
MBONA HYU SIO YULE WA MWANZO HUYU ANAITWA SAMWEL YULE MWINGINE ANAITW TEGEMEO DICKSON ????
@bwerumaster6691
@bwerumaster6691 4 жыл бұрын
Serikali imuwekee Dogo weka 'patent' (haki ya kipekee iliyopewa uvumbuzi) ili wachina wasikopy bure wakikopi walipe!
@mbutomustapha2048
@mbutomustapha2048 4 жыл бұрын
Jaman Huyu Sio Mgunduz Yy Kakop Haya Majiko Yapo Kitambo Sana Ila Tu Alicho Kiongeza Yy Nikuweka Matofali Atakae Bisha Akoment Namba Yake Nimpe Ushahidi
@MwlGano
@MwlGano 4 жыл бұрын
0783552264
@muzidalfaaladina2885
@muzidalfaaladina2885 4 жыл бұрын
Kigoma ya wabunifu🙏🙏🙏
@mussaagrey5679
@mussaagrey5679 4 жыл бұрын
mkishajua mnampiga chini
@msemwawalter837
@msemwawalter837 4 жыл бұрын
Pongezi sana. Tunaomba namba zako za simu tafadhali.
@sarahwanzaa6272
@sarahwanzaa6272 4 жыл бұрын
Mbona ni Tofauti na yule wa kwanza🙄🙄
@keagleeagle821
@keagleeagle821 4 жыл бұрын
Millard hebu jibuni maswali ya msingi. Mgunduzi wa hii technology ni yupi?Maana mnatuchanganya.
@sadiaabed6687
@sadiaabed6687 4 жыл бұрын
Yuko wapi huyu maana nimeuliza sikujibiwa na namba zake
@aidanbugufi6200
@aidanbugufi6200 4 жыл бұрын
Mbona sio yeye jaman
@mussajohn1438
@mussajohn1438 4 жыл бұрын
Tunaomba awasiliano yake
@stevenmahanu9261
@stevenmahanu9261 4 жыл бұрын
Naomba mawasiliano ya huyu ndugu
@klaragreen7999
@klaragreen7999 4 жыл бұрын
Angalia mpaka mwisho wameandika no yake
@stevenmahanu9261
@stevenmahanu9261 4 жыл бұрын
@@klaragreen7999 asante best...nimeiona
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
Disappointed Ayo tv.. huyu kajana siyo mliotuonyesha mwanzo.
@saidasimba9979
@saidasimba9979 4 жыл бұрын
Mnaficha kwamba tutaiba technologia au
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
Mimi Nashangaa Sana Mtu Unaweka MB Ucheki Video Na Video Azipley Watu Wanasema Hoo Tumia Halotel Tumia Voda Sasa Nabaki Na Kigugumizi Kumbe Halotel Na Voda Ndo Wako Sawa Kwa Watanzania Kutoa Uduma Ya Intaneti Kwanini Sasa Serikali Imewaluusu Watu Wa Mitandao Mingine Nayo Kutoa Uduma Ya Intaneti Wakati Watanzania Wamewambia Halotel Voda Wako Sawa Mitandao Mingine Kwanza Waziri Aiweke Kapuni Kwasababu Gani MB Tunaingia Nazo Mkataba Na Uduma Mbovu Sasa Unajikuta GB1 Mnatumia Watu Watatu Ambao Mtanunua MB Za Sh.3000 MB Zinaisha Kama Maji Yashukao Mlimani Utazani Unaangalia Video Ndani Ya Tubemate Vire Serikali Tujue Intaneti Ndo Kioo Cha Kuijua Dunia Sasa Kuishikilia Mitandao Mibovu Kwa Kisingizio Cha Kulipa Kodi Sizani Kana Iyo Kodi Inatokana Kwa Jasho Mana Ukiweka MB Utajua Ukweli Wa Mambo MB Zinapepeluka Kama Ewa GB1 Nisawa Na MB 1000 Na Zaidi Lakini Zinaisha Kama Upepo Napia Mitandao Yenye Kufanya Ivo Inaweka Matangazo Ya Kuturubuni Kila Uchapo Kwakua Wasomi Wetu Sijui Uwezo Wao Atuoni Wakisimama Kusema Mtandao Fulani Stop Mpaka Uwe Na Kasi Ya Intaneti Ndipo Uruusiwe Mana Watu Wengine Wanapenda Intaneti Kuliko Dakika Ajue Dunia Ilivo Anaweka GB1 Matumizi Yake Nisawa Kama Katumia MB100 Sasa Huu Mtandao Eti Unalipa Kodi Hiii Aibu Uku Nchi Ikiwa Na Wasomi Mtu Atasema Mimi Nina HD Mana Ivi Hii Ajabu Kazi Ya Msomi Ndani Ya Nchi Kua Kioo Kuzuia Wizi Ambao Wengine Awaujui Sasa HD Tumia Sim Ya Kawaida Kuchunguza Intaneti Sio Sumati Phoni Utajuaje Huu Wizi Unakagua Balabala Kwa Plado
@Millidady
@Millidady 4 жыл бұрын
kila siku amtuonyeshi jiko linavyowaka mnazingua
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 85 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 16 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 5 МЛН
Mtanzania atengeneza jiko la umeme linalotumia mawe
1:52
BBC News Swahili
Рет қаралды 3,2 М.
MAJIKO RAFIKI WA MAZINGIRA YATUA MBEYA YATUMIA KUNI KIDOGO MOTO MWINGI
7:59
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН