Ila uku kigoma kuangaliwe kuna siku watatengeneza bomu dooh ila mungu wazidishie watu wa kigoma
@stellah3844 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@musason1680 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@Zanga93 Жыл бұрын
Litawalipua wenyew😂😂😂😂
@elispiuselias1339 Жыл бұрын
you need support and not criticism
@mariamramadhani3860 Жыл бұрын
Ubunifu huu sawa ila uangaliwe huyo mama hapo anapika huku kachomeka simu chaji hapohapo halafu nyaya kibao
@gpointBigger-lx7zl11 ай бұрын
Tunafanyaje biashara kaka
@obadiahnkwale124 Жыл бұрын
Watu kama Hawa ndo wanahtajika Tanzania ya Leo,mfano mkubwa
@charlescharles85322 ай бұрын
We jamaa uko mwz sehem Gani???
@mlionea Жыл бұрын
Utakuja Kenya?
@johncharles3232 ай бұрын
Tushasemaga sambaza majiko yako na mikoa mingine kwani wahitaji tupo wengi mno au toa namba za cm tukupigie ,
@user-xw4vl6ku7o5 ай бұрын
Tunaomba mawasiliano
@MarkaziIBNSiriinOnlineTV Жыл бұрын
Shingap Hilo JIKO
@zephaniankungu2145 Жыл бұрын
Arusha unalipataje na sh ngapi
@b-creative4662 Жыл бұрын
Jiko liko jikoni!! 😂😂😂
@johncharles3238 ай бұрын
Sambaza na sehem zingine ili upanue soko la bizaa zako nasi tunahitaji ,
@altaf.ibrahim Жыл бұрын
Bei gani na dar es sallam una leta lini
@jacktonkai2570 Жыл бұрын
kola kola wachu naomba no yako
@wemapaschal2325 Жыл бұрын
Niko mwanza napataje jiko
@siriyangu4724 Жыл бұрын
Mtu akitaka akiwa Kenya 🇰🇪 atapataje?
@stellah3844 Жыл бұрын
Chenga zitapanda bei sasa
@husseinshabani9522 Жыл бұрын
Yani kama Ulikuwa kwenye Akili yangu....Watapandisha chenga za mkaa....Angebuni yatumie mkaa mkubwa mkubwa na chenga ...Wenye chenga Wakizinguwa Anaamia kwenye jiko kubwa.
@amelinelyimo8263 Жыл бұрын
Nipo moshi nitapataje hilo jiko jamani naomba kuwasiliana na mwenye kiwanda