No video

ALIYEMPORA MCHUMBA WAKE MILIONI 4 NA KUMUUA ATIWA MIKONONI MWA POLISI ZANZIBAR

  Рет қаралды 41,215

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Жыл бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 76
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 Жыл бұрын
Mlango wa kuingilia na kutokea yote iko wazi, nchi bila passport haiwezi kuwa salama zamani haikua hivyo wenyewe ealitambuana hata kwa tabia, mlevi watu walikua wanamshangaa wakijulikana hata kwa majina, ulevi ulikua wakutafuta Leo jee
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 6 сағат бұрын
Sasa hapa una maanisha nini husda zimewajaa watu wa pwani roho mbaya vunjeni muungano
@aminaalabri4170
@aminaalabri4170 Жыл бұрын
Saiv zanzbar imekuwa ya kigaid wallah 😢😢haipo tena zanzbar ytu😢😢
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 Жыл бұрын
Innallillah wainnaillah rajoon MUNGU awape nguvu Familia 😢.
@stonetown578
@stonetown578 Жыл бұрын
Zanzibar kwishney
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
Damu ya mtu haipotei bure 😢😢😢lkn hariyat c angeenda nyumbn baada ya kutoka bank nn kilimpeleka kwa huyo bwana ? Yn wadogo zetu hawa na mapenzi mungu atunusuru 😢😢
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 Жыл бұрын
Tumefikia pabaya jamani.unauwa kisa million 4 tu?tumrudie Mungu jamani.
@madamaisha1641
@madamaisha1641 Жыл бұрын
Ndofaida ya kuacha maamrisho ya Allah na kuwa na viongozi ambao kwenye kufungua misikiti wamo na kwenye kufungua kumbi za starehe, kutoa vibali vya mabaa na kujenga nyumba za miziki wamo hiyo ndo faida ya kuacha kuchanganya dini na dunia halafu nyinyi mukaona ndio sahihi kumbe ndo mnaangamia.
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Жыл бұрын
Mashallah jeshi la police mungu akuzishieni kwa kaz nzur❤
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 Жыл бұрын
Inna lilahi waina lilahi rajiun sai unguja imeharibika vibaya sana
@aimanshija4230
@aimanshija4230 Жыл бұрын
Al fatakha online tunawaomba mtuekee MAWIYO YA ASUBUHI wengine tupo nnje ya nchi tunapenda MAWIYO,
@salummzee9739
@salummzee9739 Жыл бұрын
Mitihan Allah atujaliye kheir baraka na vizazi vyema
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Hili ndio la kuomba sahihi kabisa lakini sio kusema mnakuja kwetu hamelin wakati nyie huko Pemba mmehama nyote mmehamia huko mnakotaka watu wake wasije kwenu. Kweli mmakunduchi kasema sahihi. Mpemba kutu lya ng'ombe. Mmejazana mpaka kwenye majority ya wamasai huko lakini nyie hamtaki watu waje kwenu. Njaa inawasumbua. Wapemba wapo tele bara huko wanalimishwa vikataa kama kwenu kuzuri mbona mnahama. Kuzuri Brunei peke yake mpaka maziwa wanapewa na Serikali. Alipotawala Seif hapa Unguja nyote mlihama Pemba kama kuzuri basi Rudin kwenu na nyie.
@abdiabdallah1995
@abdiabdallah1995 Жыл бұрын
Mungu ilinde Pemba yetu, wajaaliye watu wawe na mawazo ya kuwa Pemba maisha magumu wasiende kuharibu kisiwa chetu,!!! Maisha magumu Pemba msije bakini huko huko!!! Pesa hakuna pesa, hii kauli naipenda sana maana wageni inakuwa hawaji kwa wingi!!!!!
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Huku Unguja wanaolalamikiwa kujaza mji ni Wapemba. Ni bora tu turudi kama zamani ambapo kabla ya Mapinduzi na utawala wa Karume Wapemba walikuwa Pemba na Wa Unguja Unguja. Muhimu tuishi kwa Amani ubaguzi sio Dili
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Жыл бұрын
​@@hajihassan5433 umeniwahi
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Жыл бұрын
Mie mpemba nanipo Unguja jee nirud kwetu pia ajali haina upemba wala ubara acha ubaguzi
@abumuhammad2572
@abumuhammad2572 Жыл бұрын
@@hajihassan5433 Wabaguzi nafasi kama hizi hawaziachi kuonesha walionayo ktk nyoyo zao, Acheni ujinga huo sote tutarudi kwa Allah huendi kuulizwa ulizaliwa wapi pumbaaav, Huyo karume yupo wapi leo unguja itamsaidia nn huko aliko! Allah atuongoze kwenye kher amiin
@MrKhatibu
@MrKhatibu 9 ай бұрын
​@@hajihassan5433ni kweli kulikuwa na Sehemu mbili moja ikitwa Zanzibar na moja ikiitwa Pemba. Watu wa Pemba chini ya Sultan ilikuwa ni lazima uwe na sababu malum kuja Zanzibar. Na hata chama cha siasa kutoka Pemba kiliitwa Zanzibar nad Pemba People Party.
@yussufumohd8803
@yussufumohd8803 Жыл бұрын
nyani awoo kuanzia uyoo mpinzi wake hadi aoo wahalifu wengine siwakuishi wauliwe t2 man wa rohoo za kinyma milioni 4 inawatowa imani dahhh kiukweli inauma mauwaji y yule bint mungu amlaze mahali pema peponi aminii 😭😭😭😭
@saidsalum9587
@saidsalum9587 Жыл бұрын
Unguja mbaya sana saiv better living pemba
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 Жыл бұрын
Wewe tulia tu yanakuja kinyesi kinafatana na mkojo si mnataka maendeleo
@mudighurayra
@mudighurayra Жыл бұрын
Awo wahuni wa kinuni wote ndio wa pba
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
Kwa hio yule alochomwa visu pemba siku ya ramadhani tuseme kuna ubora??ndugu yangu mambo yashatapakaa haya hakuna cha unguja wala pemba Allah atulinde tu ndio la kuomba.
@user-fd7vi4xv5x
@user-fd7vi4xv5x Жыл бұрын
Saiv brother, Zanzibar imepotea yote Unguja na Pemba, tumekua tukiwatupia lawama watu wa bara, ila sio kweli angalia hao waliofanya mauaji na kupora pesa ni majina halisi ya Zanzibar, malezi mabovu sana huyo kijana wa Kinuni keshafungwa sana ila siku mbili tatu anatolewa na wazee wake kwa dhamana, na hali ya kua wanamjua kua ni mwizi na mhalifu maana anaiba na kudhuru watu pia.. Mapenzi yetu kwa watoto yamepindukia hadi watoto siku hizi wanashindikana kulelewa na jamii nzima kama ilivokua Zamani.. Zamani ilikua mtoto wa mwenzio nae ni wako unapofanya umaluuni kokote unapigwa kwa kutiwa adabu na baadae nyumbani kwenu unaengezwa tena.. Mtoto wa miaka 19 kweli unautoa wapi ujasiri wa kushambulia mtu hadi unamuua na kumpora pesa zake..
@saidsalum9587
@saidsalum9587 Жыл бұрын
@@shamsahaji6202 hivi vitendo kote vipo ila unguja vimezidi sana
@gangmore9091
@gangmore9091 Жыл бұрын
Hayo ndio faida ya mauwaji y mapinduzi
@umiy1971
@umiy1971 Жыл бұрын
Hao wahalifu wote ni waislamu wa majina makubwa makubwa Yarabbiy mola wetu waongoze watoto wetu na sie wenyewe Katika njia sahihi
@adamzuberi940
@adamzuberi940 Жыл бұрын
Kaz mzuli
@solomonadams6337
@solomonadams6337 Жыл бұрын
Allah tuhifazi CCM imekaribisha migeni ya kila aina kutoka nchi tofauti hii ndio faida yake Allah tulinde Zanzibar isije ikafika kama Jamaica.
@jofreymsigwa85
@jofreymsigwa85 Жыл бұрын
Jamaica ilikuwaje ndugu yanalandana?
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Жыл бұрын
Acha hizo wewe haya mambo hapa duniani hayakwepeki
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 Жыл бұрын
Innalillah wainna ilayh raji un twapelekwa wapi wajua wa mungu
@mymuhnabdallahshaban7763
@mymuhnabdallahshaban7763 Жыл бұрын
Hyo kijan anaitwa money namjua ameanz uhuni tang amemaliza y kusom na amesoma San ila Kaja kubadilika hafsa km amerogwa akawa mhun anashinda akilewa
@ghalibelghanim1151
@ghalibelghanim1151 Жыл бұрын
La kushangaza sijui kama jeshi la polisi linafanya Doria ya kuzunguka Usiku. Itakapofika saa 7usiku yoyote alikutwa anazurura njiana aulizwe . Japo kitambulisho hana jibu la kuridhisha polisi wamchukue.
@scoutpwanimchangani6711
@scoutpwanimchangani6711 Жыл бұрын
Jeshi la police Tanzania Lina wataalamu wazuri sana wa upelelezi kamanda ajitahidi kufanya uchunguzi wa hali ya juu
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln Жыл бұрын
Zanzibar hakukua na matukio mabaya kama hayo muingiliano wa watu kutoka sehem tofauti ndio imebadilisha mila, desturi ya maisha ya Zanzibar na watu kutokua na imani
@zanzibarspice8686
@zanzibarspice8686 Жыл бұрын
Hapana Tabia hizi zipo Tangu Zamani Hapa sema Utandawazi wa Mitandao Ilikuwa mdogo unamkumbuka kama Zanzibar ilikuwa ni soko kuu la Kuuza binaadamu.... Haikuwa na historia ya Kibanadam tunaisema Kwa wema sababu Ya Uzalendo ila Muingiliano wa Zanzibar Ulikuwepo Tangu Karne ya Kumi na hakukuwa na haya hii Inatokana Na Roho zile Za Kabil kukuwepo ndani Ya Nafsi zetu.....
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 Жыл бұрын
Na pia ukifatilia hao watekelezaji hayo matukio wengi wao Ni wazawa wazanzibar hasa Kuna vijana wanao tumia madawa
@fawwadhibrahim
@fawwadhibrahim Жыл бұрын
Ila pia tusiongee Tu kama wanzanzibar na Sisi tupo kwenye nchi za watu pia kikubwa ni binadam Tu hatuna Iman bas Ila tusiingize mambo ya Sisi au matabaka
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go Жыл бұрын
Zanzibar yetu imevamiwa na mijitu kutoka Tanganyika inakuja bila ya passport jambo ambalo yanamudu kuingia nchini na kuondoka mbona ujinga huu hawaupeleki Mauritius 🇲🇺, Comoros 🇰🇲, na Seychelles 🇸🇨 huu ni uonevu
@stanleysaffari4644
@stanleysaffari4644 8 ай бұрын
Bara mnaingia na passport mbona huo ujinga hamuupeleki Mozambique?
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Жыл бұрын
Nchi imeharibika kwa Uhalifu, Wahalifu wengi wamekuja kutoka TANGANYIKA.
@maryamummy
@maryamummy Жыл бұрын
Kwakua nyie ni malaika
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Anarohombaya huyo mtoto miaka 19 Ansuwatu haogopi subuhanallah Allah atustiliwajawake watuwanarohoya kinyama sikuhizi
@monicambuya-sq9ms
@monicambuya-sq9ms Жыл бұрын
Jamani mbona roho ya utu imeondoka ?hata wanyama wametuzidi akili
@user-oz1pp1ck2m
@user-oz1pp1ck2m Жыл бұрын
Mtu anamuuwa mtu kisa pesa nae auwawe tena polepole afe kifo cha kikatili hongera police endeleeni na kuwanyoosha
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
Yan unamuua mtu kisa m4 kweli tamaa hiz yan mtihan yan kila siku nasema mtu hawez jua kad yangu ya bank yan tunao waamin wanao tuua 😭😭😭😭
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 Жыл бұрын
Huyu jamaa fala kwel yaan ukamuondoe mwenzio uhai wake kisa pesa wakt pesa inataftwa
@juma2979
@juma2979 Жыл бұрын
Hivi kwa nn kijana kama huyo wa kinuni mnasema ni muhalifu halafu mna mpa zamana. Huyo saiv na yy anyongwe
@yahayajuma1401
@yahayajuma1401 Жыл бұрын
Tumeacha harakati ya dini alio iacha rasuli muhm "na mwswahaba zake ndomana tumefikia hapo
@w4058
@w4058 Жыл бұрын
Hii mambo ya ukabila yametojea wapi
@kassimaliy7343
@kassimaliy7343 Жыл бұрын
Hii yote ni kua nchii yetu Haina mipaka majitu yanakuja tu ovyoo ah sw tu
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Kesho mtawatoa hao mtu muuwaji mnamuweka wanini muuwaji unamtia risas shuhuli imekuwiaha
@alikidungura9419
@alikidungura9419 Жыл бұрын
Zanzibar huru atakae aje ukarimu wetu uhuru wetu kila moja anakuja Zanzibar na ila yakazi maalumu au bila ya kitambulisho maalumu kufatilia mipaka nauaminifu walio pewa zamana ya kukaguwa wanao ingia ndo hasara zake hizi tunajifanya wema sana sisi kuwapokea kila mtu
@mussamuhunzi2957
@mussamuhunzi2957 Жыл бұрын
Muhusika ni yusufu ame ni mzanzibar sasa sio kwamba wanaofanya uharibifu ni wageni wote hapana
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Жыл бұрын
Hiyo mishetwani inatakiwa kuchomwa moto mchana kweupe.
@alimau7939
@alimau7939 Жыл бұрын
Faida ya muungano hiyo
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Nyie jamaa mnaroho ya ajabu sana kila kitu mnaleta siasa na chuki, saa hzi raisi katoka huko kwenu hakuna wa bara anaetukana ila akiwa wa huko uko kashfa kibao mnawaona wabara c watu
@alimau7939
@alimau7939 Жыл бұрын
Ww unaelewa kiswahili lkn mm nimesema faida ya muungano si kusema hasara ya muungano kitu faida maana yake unajua
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 Жыл бұрын
Ila n wapuuz yule alyemchnja mkewe alkuwa mgen huko achen ubaguz Hao wa2 n kukosa hofu ya MUNGU.
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Жыл бұрын
​@@alimau7939😂😂achana nae tatizo kiswahili kinampiga chenga
@swahibal-karama145
@swahibal-karama145 Жыл бұрын
AO WOTE WAULIWE KIMYA KIMYA.
@AhmedAhmed-bz1re
@AhmedAhmed-bz1re Жыл бұрын
WABONGO AU?
@ashamadende2245
@ashamadende2245 Жыл бұрын
Acheni unafki hao waliuwa wote ni wazanzibar na sio watanganyika kule hakuna majina ya ame
@maryamummy
@maryamummy Жыл бұрын
Kwishaa
@mudighurayra
@mudighurayra Жыл бұрын
Wanyongeni na wao mbele za watu yaishe
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Жыл бұрын
Sasa FAIDA gani umepata nyie mambwakoko.
@damianminsno1317
@damianminsno1317 9 ай бұрын
cha ajabu wanaoua ni wazawa wala si wageni,ata ukisikia kaua mkewe basi ujue kamtoa bara,kwa kweli ubaguzi ni tatizo
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 40 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 12 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 195 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 93 МЛН
MAAFISA WA POLISI FEKI WAKAMATWA ZANZIBAR
4:47
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 11 М.
HAYA NDIO MAJIVUNO YA WAPEMBA
9:05
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 82 М.
YATIMA SABA WANUSURIKA KUMEZWA NA CHATU
7:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 33 М.
#ZANZIBAR HALI ILIVYO UCHAGUZI MKUU
16:43
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 37 М.
SERIKALI YAFANYA MSAKO WA WAGANGA ZANZIBAR
6:25
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 6 М.
Rejected total Orphan with family living alone in the forest
18:22
Bosongo Vibes
Рет қаралды 1,3 М.
PENZI JIPYA | NAMPENDA KWASABABU MWALIMU | ANAONEKANA MTUMISHI
7:14
SHUHUDIA ALICHOKIFANYA ALI "MCHAWI" MBELE YA MKUU WA MKOA
8:35
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 62 М.
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 12 МЛН