HAYA NDIO MAJIVUNO YA WAPEMBA

  Рет қаралды 82,146

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

Жыл бұрын

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 137
@othmanhamad7887
@othmanhamad7887 10 ай бұрын
Maashaallaah,halua ya Wete naikubali sana hapo, nilipofika Wete nikaambiwa hapa mpk twende ukanunue halua ya Wete ndo utakw umefaidi kuja Wete,na hiyo halua kila ikizidi kukaa mda mrefu badala ya kuharibika ndo inazidi kuwa tamu,mm nikiichukua hiyo huwa siili cku ileile naiweka cku kadhaa ndo nakula ni tamu hatariiiiiii, Pembaaaaa Maashaallaah
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 11 ай бұрын
Hao ndio wapemba na raha zao Allah aibariki Pemba na watu wake najivunia kua mpemba❤
@Foodgrower112
@Foodgrower112 8 ай бұрын
Nami pia amiii
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 11 ай бұрын
Yaani machozi yamenitoka ninavyoipenda kwetu one day nitarudi nyumbani Pemba home is sweet❤
@user-gl6ep3xp9s
@user-gl6ep3xp9s 11 ай бұрын
Allah aibariki pemba na watu wake. Mtu ni kwao jamani, dhiki za maisha tu humuweka mtu mbali na kwao
@abdillahali836
@abdillahali836 Жыл бұрын
Masha Allah naipenda sana nyumbani pemba Allah aijalie amani na neema telee
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
Amiin❤❤❤
@nassorali5143
@nassorali5143 Жыл бұрын
❤❤amiin
@moa4122
@moa4122 11 ай бұрын
Amiin
@b2kmohammed202
@b2kmohammed202 10 ай бұрын
Ameen
@jitukorofi9517
@jitukorofi9517 10 ай бұрын
Wengi wanaipenda pemba ila hawataki kuishi pemba
@nasirhamadi8027
@nasirhamadi8027 6 күн бұрын
Wapemba wenzangu gonga like apa
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 11 ай бұрын
Naam haluwa ya wete ni tamu kuliko asali hongereni sans🎉❤
@eshasalim5496
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! In Shaa ALLAH ❤
@guyogalora2736
@guyogalora2736 7 ай бұрын
❤Masha Allah shukran jazeelan somo zuri sana
@faridyshaame4705
@faridyshaame4705 11 ай бұрын
Nyumbani kwetu 😢 Allah atulindie kwetu amiin
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 4 ай бұрын
Home sweet home naipenda pemba najivuniya kuwa mpemba proudly pemba pemba ww ni mzazi wangu popote niendapo daima upo akilini mwangu love you mom love you pemba mwaaaaaaaah ❤❤❤
@zaitunimsangi1442
@zaitunimsangi1442 11 ай бұрын
Hongereni sana kwa utayarishaji wa hakua maashallah
@DaudiJuma-oo7kx
@DaudiJuma-oo7kx 11 ай бұрын
Nimekumiss nyumbani eti mpaka natamani kulia 🥺 yaa rabil tulindie pemba yetu 🤲 Inshallah nitarudi nyumbani 🇸🇦🇸🇦
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Ulifukuzwa kwani si uende tu 😅
@faridyshaame4705
@faridyshaame4705 11 ай бұрын
Amiin
@aliali-ng4de
@aliali-ng4de 11 ай бұрын
Sio kila kitu uanze na utangulizi mrefu,badilika bro. shukran sana kwa kutujuvya mambo ya nyumbani
@user-fx9ii9ke1v
@user-fx9ii9ke1v 11 ай бұрын
Mashallah ALLAh AWABARIK AMiN
@user-gk3wz8wb3t
@user-gk3wz8wb3t Жыл бұрын
Maashaallah..namuona kijana mwenzangu IBRAHIM mahalua big up sana
@ahmadjuma-xx5nd
@ahmadjuma-xx5nd 11 ай бұрын
Mashaa allah allah ibariki pemba yetu
@abdallaameir3153
@abdallaameir3153 Ай бұрын
Ila jaman kupakuliwa sio matusi kwa watu wapemba musije mukamfikiria vibaya mzee wetu
@MohdKhamis-iq4um
@MohdKhamis-iq4um 11 ай бұрын
Mashaallah allah ailinde pemb yet
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ sina cha kusema ispokuwa ni upendo tu kwamba nawpenda sana ❤❤❤❤❤
@hajjism
@hajjism Жыл бұрын
Naam hongereni kwa coverage yenu ya kila mada.
@mohdkhamis5687
@mohdkhamis5687 11 ай бұрын
Najivunia Kuzaliwa Pemba Ilove You Pandani Tupo Pamoja Wakuu
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah nimefarajika nipo.saudiya
@alijuma7476
@alijuma7476 11 ай бұрын
Mashallah
@suleimansaid769
@suleimansaid769 Жыл бұрын
Ma sha Allh
@arafamke
@arafamke Жыл бұрын
Masha Allah
@binmawanja1252
@binmawanja1252 Жыл бұрын
Mungu aibariki pemba yetu nakutaman san 🇰🇪
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Unaitamani kivipi yaani, kwani uko jela nje ya Pemba😂
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@issakassimsaid9097
@issakassimsaid9097 10 ай бұрын
​@@salma0000jmn tuko mbali twataka sana kurudi ila ishtighali
@salma0000
@salma0000 10 ай бұрын
@@issakassimsaid9097 😂
@ummohammed8380
@ummohammed8380 Жыл бұрын
Masha allah Na kumis pemba nyumbani Wete
@mohdmaha7438
@mohdmaha7438 Жыл бұрын
Masha allah
@zuhuramuarabu9711
@zuhuramuarabu9711 10 ай бұрын
Mashallah najivunia kuwa mpemba❤
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 Жыл бұрын
Mashallah ❤
@sameersabran5351
@sameersabran5351 11 ай бұрын
Mashaallah ❤
@firdaus7428
@firdaus7428 Жыл бұрын
‏ما شاء الله
@MsaudiaShabani
@MsaudiaShabani 11 ай бұрын
Maasha Allah
@hydarkim4990
@hydarkim4990 10 ай бұрын
MASHAA ALLAHU
@user-xv4tl8iv4l
@user-xv4tl8iv4l 4 ай бұрын
TUWE WAKWELI SISI WAPEMBA TUNAPENDA SUKARI KULIKO WATU WOWOTE DUNIANI. HIYO HALUA NI KISINGIZIO TU SISI NI WATU WA SHIRA KWENDA MBELE
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah
@hhajimohamad8212
@hhajimohamad8212 11 ай бұрын
Mashaala takuja Pemba.
@JumamjakaMjaka-yx5vw
@JumamjakaMjaka-yx5vw Жыл бұрын
Ahsante kwa kutuonyesha nyumbani pemba nkwetuu🤣
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 10 ай бұрын
Popote nitaenda au nitaishi ila pemba is my real home,i like there
@sleyumomar3637
@sleyumomar3637 11 ай бұрын
Mashallaah nampenda pemba,, home pandani ❤❤❤
@mohdkhalfan1380
@mohdkhalfan1380 11 ай бұрын
Mm wa piki lkn nipo dar
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 11 ай бұрын
Kwel kbs nitam sana
@sophiaissay6307
@sophiaissay6307 5 ай бұрын
Pemba mashaallah pazuli me napenda munavo ongea 😂😂😂😂 pemba oyeee ila wazee mupunguze🤐🤐🤐🤐🤐🤐
@user-kk6hs7ds8n
@user-kk6hs7ds8n 11 ай бұрын
Mashallah
@salasturky4844
@salasturky4844 Жыл бұрын
Inapswa kuwekwa katk tunu za Zanzibar sbbu ni ya kipekee
@TunauzaSimu-fn2ff
@TunauzaSimu-fn2ff Ай бұрын
Najivunia kuzaliwa Pemba lakini sikupendi kama Unguja
@saidmohamed1938
@saidmohamed1938 11 ай бұрын
Nasema mashaallah haluwayawete nimzurisana lakinimahasidi uchawi.nachoyo kinaiuwa pemba.wengi wanakimbiakwa ubaya wawajinga
@thuriyabarwani5111
@thuriyabarwani5111 11 ай бұрын
MaShaaAllah .Mbona munatutamanisha? Allah awabariki na awazidishie neema watu wa Pemba Ameen!Hebu fanyeni mtuletee biashara hiyo huku Arabuni !
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Amin
@barwani890
@barwani890 11 ай бұрын
Ni kweli wanatutamanisha watuletee oman
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
@@barwani890 bora uifate Pemba
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 11 ай бұрын
Ilov you Hom mkoani
@hamedhemed7190
@hamedhemed7190 Жыл бұрын
Utaweza kweli kupika
@salwamohammed4787
@salwamohammed4787 Жыл бұрын
Jaman nimekumis kwetu
@IddySimba-fp2cc
@IddySimba-fp2cc 20 күн бұрын
Naona wezangu wamepakumbuka kwao me mpemba nipo dar na sijawah fika visiwani
@kairatiswahilli7024
@kairatiswahilli7024 10 ай бұрын
Home sweet home 🏡❤
@SelemaniDowile-mk1wm
@SelemaniDowile-mk1wm 11 ай бұрын
Kwetu raha sana huko ndio kinapatikana halwa😋
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@biubwakhamis1032
@biubwakhamis1032 11 ай бұрын
Home sweet home
@attunelson8828
@attunelson8828 11 ай бұрын
Naomba kujua uwanga ni nini au kwa lugha ingine.Huwa naipenda sana halua
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 11 ай бұрын
Uwanga ni mfano wa viazi mbatata kuna mimea inaotaga mabondeni huko unachimba chin nd unapata hich kiazi kisha unakiani baada ya kukauka unatwanga na kupata unga
@pesangwasalim5258
@pesangwasalim5258 10 ай бұрын
Wete n kwetu kweli nyumbani n raha
@mohdalwaili5289
@mohdalwaili5289 11 ай бұрын
Mie mwananchi wa Oman nineowa Pemba Sababu watu wa Pemba wengi watu wazuri
@lusakaone7782
@lusakaone7782 9 ай бұрын
Karibu sana
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Kama hujaonja halua ya wete hujala halua bado
@sayeedbinazan
@sayeedbinazan 10 ай бұрын
❤❤❤❤
@hassanmwahigo5427
@hassanmwahigo5427 10 ай бұрын
Pemba n tz au kenya
@user-bs6ri7cs4s
@user-bs6ri7cs4s Жыл бұрын
Halwa ya Wete poa
@MasruruAbuuYasr-gs8xd
@MasruruAbuuYasr-gs8xd 10 ай бұрын
Allha anijalie nimpate mke wa kipemba/ Zanzbr
@MbaroukKhalifa
@MbaroukKhalifa 3 ай бұрын
Allahuma amiin 🤲🤲
@allyelbusaid9888
@allyelbusaid9888 10 ай бұрын
Pemba n'kwetu.. Na Halua ni Yetu..
@MasudiSuleman-ui5wh
@MasudiSuleman-ui5wh 9 ай бұрын
Eh mung tunakmba Kwa tahma zako utujalie kuitoa Zanzibar kwny Mikono ya utawala wa watu weus
@nassor8819
@nassor8819 3 ай бұрын
Halwa tamu ile madhara yake ni makubwa
@anasmakame-ph2yu
@anasmakame-ph2yu 11 ай бұрын
❤I love you very much at home, by the power of Allah, there will be a day when I will return, Inshaallah
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
What is stopping you😂
@user-fs5lm7kp3j
@user-fs5lm7kp3j 11 ай бұрын
😢
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 11 ай бұрын
Kuna halua ya wete halafu kuna ugali sasa Kama hujui jichanganye !!!
@RahmaAbdulla-uw6jg
@RahmaAbdulla-uw6jg 11 ай бұрын
Vp unguja inapatkana iyo haluwa ya wete?
@user-nw7hr2qi8u
@user-nw7hr2qi8u 4 ай бұрын
Yani. Wapemba tupewe. Mauwa. Yetu t
@Zanzibar-LandOfBlacks
@Zanzibar-LandOfBlacks Жыл бұрын
nikapike halua yangu sasa
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Si rahisi kama unavyodhani
@user-sw6wu7rp6h
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Sio ya bakhresa ya unga wa ngano
@RahmaAbdulla-uw6jg
@RahmaAbdulla-uw6jg 11 ай бұрын
Mie nataka kujua Uo uwanga ndonini?
@husnamadai7052
@husnamadai7052 11 ай бұрын
Ntambo wa shira
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Ulijengwa Unguja wakaufilisi
@alibaraka6699
@alibaraka6699 11 ай бұрын
Huyo mpika halua wakati wa kupika hiyo halua, jee huwa anaitembeza wapi?
@Rumaysabint
@Rumaysabint 11 ай бұрын
😂😂😂 c anaitembeza hapo jikoni huoni
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
kwenye sufuria
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Hongera, jasho linaingizwa wakati gani au siri ya jikoni.
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 Жыл бұрын
asante baba haahaa unatoa siri za watu
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Kaona 📷kaporoja yote pengine alikua ana hamu aonekane
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
jasho liko wapi si umeona ni maneno tu moto wenyewe upo nje
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 11 ай бұрын
😢😢😢
@hidayahidaya-vd3ze
@hidayahidaya-vd3ze 11 ай бұрын
Najivuniya kuwa mpemba
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
👍🏼
@user-fj9qu5pj6b
@user-fj9qu5pj6b Жыл бұрын
Mashallah lakini huyu mbona anatoa code zetu hapo alitakiwa kusema kilakitu unaweza kiasi tuu kama walio mtangulia😅
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Naoan ilikua afungue mapishi pemba
@user-sw6wu7rp6h
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Hawezi kutoa password zote
@user-sw6wu7rp6h
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Kafanye wewe uone km hutapika uj😂
@sabihasalim942
@sabihasalim942 11 ай бұрын
​@@user-sw6wu7rp6h😂😂😂
@omarmakame3027
@omarmakame3027 11 ай бұрын
Pemba nkwetu
@nassorahmed7956
@nassorahmed7956 11 ай бұрын
Halua yawete haitokei kwengine kokote
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 11 ай бұрын
Hamna ishu nyinyi vurugu tu kila kitu nyinyi
@fatumasaleh8048
@fatumasaleh8048 11 ай бұрын
Wacha wivu wwe😏😏
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
kimekuwasha
@khalidkhamis8002
@khalidkhamis8002 11 ай бұрын
Nimefurahi kuiona pemba
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 Жыл бұрын
ami panaulizwa habar ya jasho kilo ngap
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Jasho gani acha uzushi, boflo ndio lina jasho na unakula asubuhi na jioni😅
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 11 ай бұрын
@@salma0000 ha jamaayang wajitia upofu kias gan moto wote huo yuko chin ya chiko utanambia kaz yke nkuona barid tu twala tuu majasho nkila pahala
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
@@mhrmahir3756 usile halua, kanunue soda ktk machupa yasiyokoshwa
@Muhammad-el9iz
@Muhammad-el9iz 11 ай бұрын
Tatizo suali linaulizwa "jasho kilo ngapi" hv kimiminika kinapimwa kwa kilo????
@mhrmahir3756
@mhrmahir3756 11 ай бұрын
@@Muhammad-el9iz sas wataka dibet mana sis twazungumza mas hara tu apo
@seifhabib5987
@seifhabib5987 11 ай бұрын
Haluwa Tam Malindi peke yake Al-Kudaimy
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 11 ай бұрын
subutuu ugali wa masika
@user-ic7iw2dh7o
@user-ic7iw2dh7o 11 ай бұрын
Eee Wete iyo baba
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah nimefarajika nipo.saudiya
@saidhamadkhamis8445
@saidhamadkhamis8445 10 ай бұрын
Mashaallah
@shuuabdallah6921
@shuuabdallah6921 10 ай бұрын
❤❤❤❤
HILI NDIO LILILOWAFELISHA WENGI KATIKA NDOA ZAO
35:26
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 8 М.
KIJANA WA PEMBA MWAMBE AVUMBUA UMEME WA JANGWA
11:31
Bin Nyange Media
Рет қаралды 7 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 195 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 37 МЛН
HAYA NDIO MAAJABU YA RAS MKUMBUU PEMBA.
10:06
Jicho Letu
Рет қаралды 1 М.
Jaman Wapemba waongo hemu tazama hii
2:54
Chuchu Man
Рет қаралды 13 М.
SHK.MSABBAH MUSITUKANE WATU HAMUNA USOMI MULONAO TAFUTENI MASHEIKH MUSOME TENA
15:14
UONE MSAAFU WA MAAJABU ULIOPO KISIWANI PEMBA
34:31
Jicho Letu
Рет қаралды 39 М.
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 40 М.
HII NDIO HATARI YA KUWASHIRIKISHA WATU WA NJE KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
21:24
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 195 МЛН