Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Пікірлер: 137
@othmanhamad788710 ай бұрын
Maashaallaah,halua ya Wete naikubali sana hapo, nilipofika Wete nikaambiwa hapa mpk twende ukanunue halua ya Wete ndo utakw umefaidi kuja Wete,na hiyo halua kila ikizidi kukaa mda mrefu badala ya kuharibika ndo inazidi kuwa tamu,mm nikiichukua hiyo huwa siili cku ileile naiweka cku kadhaa ndo nakula ni tamu hatariiiiiii, Pembaaaaa Maashaallaah
@hawamohammed974011 ай бұрын
Hao ndio wapemba na raha zao Allah aibariki Pemba na watu wake najivunia kua mpemba❤
@Foodgrower1128 ай бұрын
Nami pia amiii
@hawamohammed974011 ай бұрын
Yaani machozi yamenitoka ninavyoipenda kwetu one day nitarudi nyumbani Pemba home is sweet❤
@user-gl6ep3xp9s11 ай бұрын
Allah aibariki pemba na watu wake. Mtu ni kwao jamani, dhiki za maisha tu humuweka mtu mbali na kwao
@abdillahali836 Жыл бұрын
Masha Allah naipenda sana nyumbani pemba Allah aijalie amani na neema telee
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
Amiin❤❤❤
@nassorali5143 Жыл бұрын
❤❤amiin
@moa412211 ай бұрын
Amiin
@b2kmohammed20210 ай бұрын
Ameen
@jitukorofi951710 ай бұрын
Wengi wanaipenda pemba ila hawataki kuishi pemba
@nasirhamadi80276 күн бұрын
Wapemba wenzangu gonga like apa
@Abuumuqbil499411 ай бұрын
Naam haluwa ya wete ni tamu kuliko asali hongereni sans🎉❤
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! In Shaa ALLAH ❤
@guyogalora27367 ай бұрын
❤Masha Allah shukran jazeelan somo zuri sana
@faridyshaame470511 ай бұрын
Nyumbani kwetu 😢 Allah atulindie kwetu amiin
@mfalmenajjash21284 ай бұрын
Home sweet home naipenda pemba najivuniya kuwa mpemba proudly pemba pemba ww ni mzazi wangu popote niendapo daima upo akilini mwangu love you mom love you pemba mwaaaaaaaah ❤❤❤
@zaitunimsangi144211 ай бұрын
Hongereni sana kwa utayarishaji wa hakua maashallah
@DaudiJuma-oo7kx11 ай бұрын
Nimekumiss nyumbani eti mpaka natamani kulia 🥺 yaa rabil tulindie pemba yetu 🤲 Inshallah nitarudi nyumbani 🇸🇦🇸🇦
@salma000011 ай бұрын
Ulifukuzwa kwani si uende tu 😅
@faridyshaame470511 ай бұрын
Amiin
@aliali-ng4de11 ай бұрын
Sio kila kitu uanze na utangulizi mrefu,badilika bro. shukran sana kwa kutujuvya mambo ya nyumbani
@user-fx9ii9ke1v11 ай бұрын
Mashallah ALLAh AWABARIK AMiN
@user-gk3wz8wb3t Жыл бұрын
Maashaallah..namuona kijana mwenzangu IBRAHIM mahalua big up sana
@ahmadjuma-xx5nd11 ай бұрын
Mashaa allah allah ibariki pemba yetu
@abdallaameir3153Ай бұрын
Ila jaman kupakuliwa sio matusi kwa watu wapemba musije mukamfikiria vibaya mzee wetu
@MohdKhamis-iq4um11 ай бұрын
Mashaallah allah ailinde pemb yet
@omarmohammed51573 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ sina cha kusema ispokuwa ni upendo tu kwamba nawpenda sana ❤❤❤❤❤
@hajjism Жыл бұрын
Naam hongereni kwa coverage yenu ya kila mada.
@mohdkhamis568711 ай бұрын
Najivunia Kuzaliwa Pemba Ilove You Pandani Tupo Pamoja Wakuu
MaShaaAllah .Mbona munatutamanisha? Allah awabariki na awazidishie neema watu wa Pemba Ameen!Hebu fanyeni mtuletee biashara hiyo huku Arabuni !
@salma000011 ай бұрын
Amin
@barwani89011 ай бұрын
Ni kweli wanatutamanisha watuletee oman
@salma000011 ай бұрын
@@barwani890 bora uifate Pemba
@zuberhamza785211 ай бұрын
Ilov you Hom mkoani
@hamedhemed7190 Жыл бұрын
Utaweza kweli kupika
@salwamohammed4787 Жыл бұрын
Jaman nimekumis kwetu
@IddySimba-fp2cc20 күн бұрын
Naona wezangu wamepakumbuka kwao me mpemba nipo dar na sijawah fika visiwani
@kairatiswahilli702410 ай бұрын
Home sweet home 🏡❤
@SelemaniDowile-mk1wm11 ай бұрын
Kwetu raha sana huko ndio kinapatikana halwa😋
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤
@biubwakhamis103211 ай бұрын
Home sweet home
@attunelson882811 ай бұрын
Naomba kujua uwanga ni nini au kwa lugha ingine.Huwa naipenda sana halua
@YahyaYahya-vp2pp11 ай бұрын
Uwanga ni mfano wa viazi mbatata kuna mimea inaotaga mabondeni huko unachimba chin nd unapata hich kiazi kisha unakiani baada ya kukauka unatwanga na kupata unga
@pesangwasalim525810 ай бұрын
Wete n kwetu kweli nyumbani n raha
@mohdalwaili528911 ай бұрын
Mie mwananchi wa Oman nineowa Pemba Sababu watu wa Pemba wengi watu wazuri
@lusakaone77829 ай бұрын
Karibu sana
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Kama hujaonja halua ya wete hujala halua bado
@sayeedbinazan10 ай бұрын
❤❤❤❤
@hassanmwahigo542710 ай бұрын
Pemba n tz au kenya
@user-bs6ri7cs4s Жыл бұрын
Halwa ya Wete poa
@MasruruAbuuYasr-gs8xd10 ай бұрын
Allha anijalie nimpate mke wa kipemba/ Zanzbr
@MbaroukKhalifa3 ай бұрын
Allahuma amiin 🤲🤲
@allyelbusaid988810 ай бұрын
Pemba n'kwetu.. Na Halua ni Yetu..
@MasudiSuleman-ui5wh9 ай бұрын
Eh mung tunakmba Kwa tahma zako utujalie kuitoa Zanzibar kwny Mikono ya utawala wa watu weus
@nassor88193 ай бұрын
Halwa tamu ile madhara yake ni makubwa
@anasmakame-ph2yu11 ай бұрын
❤I love you very much at home, by the power of Allah, there will be a day when I will return, Inshaallah
@salma000011 ай бұрын
What is stopping you😂
@user-fs5lm7kp3j11 ай бұрын
😢
@shaameshaame972111 ай бұрын
Kuna halua ya wete halafu kuna ugali sasa Kama hujui jichanganye !!!
@RahmaAbdulla-uw6jg11 ай бұрын
Vp unguja inapatkana iyo haluwa ya wete?
@user-nw7hr2qi8u4 ай бұрын
Yani. Wapemba tupewe. Mauwa. Yetu t
@Zanzibar-LandOfBlacks Жыл бұрын
nikapike halua yangu sasa
@salma000011 ай бұрын
Si rahisi kama unavyodhani
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Sio ya bakhresa ya unga wa ngano
@RahmaAbdulla-uw6jg11 ай бұрын
Mie nataka kujua Uo uwanga ndonini?
@husnamadai705211 ай бұрын
Ntambo wa shira
@salma000011 ай бұрын
Ulijengwa Unguja wakaufilisi
@alibaraka669911 ай бұрын
Huyo mpika halua wakati wa kupika hiyo halua, jee huwa anaitembeza wapi?
@Rumaysabint11 ай бұрын
😂😂😂 c anaitembeza hapo jikoni huoni
@sabihaibrahim14311 ай бұрын
kwenye sufuria
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Hongera, jasho linaingizwa wakati gani au siri ya jikoni.
@mhrmahir3756 Жыл бұрын
asante baba haahaa unatoa siri za watu
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Kaona 📷kaporoja yote pengine alikua ana hamu aonekane
@sabihaibrahim14311 ай бұрын
jasho liko wapi si umeona ni maneno tu moto wenyewe upo nje
@salehkhamis-ob8ln11 ай бұрын
😢😢😢
@hidayahidaya-vd3ze11 ай бұрын
Najivuniya kuwa mpemba
@salma000011 ай бұрын
👍🏼
@user-fj9qu5pj6b Жыл бұрын
Mashallah lakini huyu mbona anatoa code zetu hapo alitakiwa kusema kilakitu unaweza kiasi tuu kama walio mtangulia😅
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Naoan ilikua afungue mapishi pemba
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Hawezi kutoa password zote
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Kafanye wewe uone km hutapika uj😂
@sabihasalim94211 ай бұрын
@@user-sw6wu7rp6h😂😂😂
@omarmakame302711 ай бұрын
Pemba nkwetu
@nassorahmed795611 ай бұрын
Halua yawete haitokei kwengine kokote
@nassormessi-zk5cz11 ай бұрын
Hamna ishu nyinyi vurugu tu kila kitu nyinyi
@fatumasaleh804811 ай бұрын
Wacha wivu wwe😏😏
@sabihaibrahim14311 ай бұрын
kimekuwasha
@khalidkhamis800211 ай бұрын
Nimefurahi kuiona pemba
@mhrmahir3756 Жыл бұрын
ami panaulizwa habar ya jasho kilo ngap
@salma000011 ай бұрын
Jasho gani acha uzushi, boflo ndio lina jasho na unakula asubuhi na jioni😅
@mhrmahir375611 ай бұрын
@@salma0000 ha jamaayang wajitia upofu kias gan moto wote huo yuko chin ya chiko utanambia kaz yke nkuona barid tu twala tuu majasho nkila pahala
@salma000011 ай бұрын
@@mhrmahir3756 usile halua, kanunue soda ktk machupa yasiyokoshwa
@Muhammad-el9iz11 ай бұрын
Tatizo suali linaulizwa "jasho kilo ngapi" hv kimiminika kinapimwa kwa kilo????
@mhrmahir375611 ай бұрын
@@Muhammad-el9iz sas wataka dibet mana sis twazungumza mas hara tu apo