Sheghe mm nimeota Niko kwa nyumba ya ex wangu ati nasema huyu mwanaume nilimuacha naame pata kazi nzuri alafu nikatoa nguo mbili ambayo shati ilikua nguo ya police na suruale ni jinsi tu ya kawaida nikasema huyu sio police hii shati mpya ya police ameitoa wapi mm huyu ex wangu simfikirii na sijui nime mpeza lini nilimuacha kwasababu alikua mlevi nanikona mume wangu mashallah mbona niote hivyo sheghe
@FatmaAbdulkadir-in2zx2 ай бұрын
Asalam aleykum jee ukiota n watuwengine wamefaa nguo mpya jee hii vipi tafsiri take shukran
@jamillajackson21652 жыл бұрын
Asante shekh nimeelewa
@mariamumakala61462 жыл бұрын
Nimeota nimevaa nguo nyeusi tena weusi nzuri wa kukoza tena ni mpya na nimependeza
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
pole sana hilo ni jambio lenye kukusababishia huzuni kubwa Allaah akuepushie kama bado haiajatokea hii
@catherineelias51083 жыл бұрын
Shekhe mimi ninaota mala kwa mala nagombana na mwanamke ndoton nisaidie tafazali kunitafasilia 🙏
@tabithamkawughanga47832 жыл бұрын
Mahana yakuva mavazi vibya
@khadijamohamed28422 жыл бұрын
Ngoja niulize jamni maisha yangu yametawaliwa na nguvu za kijini ambazo sizitumii na kuusu mavazi ninaota sana tu ila sasa nimeota ninaambiwa malkia mchafu ngoja tukusafishe wakaniogesha na kunifesha vazi la kimalkia Na nikiwa katika hali ya umalkia ii ndoto inamaanisha nn
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Kipindi cha maisha chaweza badilika ukaelekea kwenye hali nzuri na kipato inshallah kama hii ndoto itasema kweli
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@MTAVASSYTvndoto ya kuota nguo za ndani zina maana gani
@zulfamnanga123 Жыл бұрын
Na ukiota umenunuliwa nguo mpya na ukaivaa na ikakuprndeza sana
@merhatyup94792 жыл бұрын
Habari, mimi nimeota nimeenda mnadani kununua nguo za mtumba
@user-fe1vp7bn3l7 ай бұрын
Unazunguka san
@greatiq78353 жыл бұрын
Asalaam alaykum! Je kuona ndotoni house girl/house maid wa wenyeji wangu amepewa nguo (yenye maua ya kuvutia) na marehemu bibi mzaa mama yangu maana yake nini?
Mm nmeota nmeharibu viurembo vya nguo ya mtu iyo nguo mpya na ninzuri sana vilianguka chini baadae mwenyewe akaviona lkn hakuonesha kukasilika alikuwa wa kawaida tu na hakuongea chochote
@alhasannusair72253 жыл бұрын
Mm boss wangu kaniambie qmeota nimetoka job nimerudi nyumbani nimefalia t-shirt na long ya white au nyeupe ina maana gani plz
@chikuhussein18103 жыл бұрын
asalam alykum shekh mm mara nying naota nimevaa gaun ya rangi ya bluu/blue alaf pia mda mwingine nakua xijavaa lakin ila inakua nguo ya rangi ya pink na maroon(damu ya mzee) tena hii fundi ndo alikua anaiyandaa ili niivae naomb unambie izo rangi katika ndoto zina maan gan?
@nagmenagme37395 ай бұрын
shekhe nimeota nakunja nguo ya mtoto wa dada angu mama angu akaniambia niigeuze yani nnje kuwe ndani iyo ndoto shekhe inamaana gani
@kichechemtundu40613 жыл бұрын
Wallaaahi huwa nakupenda sana kama ningekuwa na cha kukupa skh ningefilisika ila M/Mungu shahidi 👍🍎
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
maashaallaah, akupende zaidi aliyekufanya unanipenda kwaajili yake
@RahmaRazack-bw4um12 күн бұрын
@@MTAVASSYTv hii nimeipenda
@Marry-el6tx7 ай бұрын
Nimeota nimevaa nguo nyeupe kabisa Ila imekaa kama kanzu nindefu Na Pana kidogo hata kutembea nilikuwa natembea nimeishikilia naomba kujuwa maana yake.
@MTAVASSYTv6 ай бұрын
Mwenza mzuri mwenye tabia njema au sifa nzuri kwako
@aminaamina-el5ji2 жыл бұрын
Asalamu alykumu je ukiota umevaa nyekundu
@fatmamatuma40732 жыл бұрын
Assalam alaykum warhmatullah ,shekh nimeota naishona nguo mpya .
@hassanalhusein18194 ай бұрын
Mtu akiota amemsaidia mtu nguo ya njano na niyazaman
@happyngowi72407 ай бұрын
Shehe nimeota mume wangu amevaa nguo zimechaka
@makenalongor19062 жыл бұрын
Ndoto za kuota manguo za watoto wako na siko kwa ngunia na mume mliwachana na yy na izo nguo ziko kwa mavi
@JosephBensonMGELWA Жыл бұрын
Miaka 2 nyuma nimeota babu yangu marehemu anatuhuliza maswali mimi,dada na baba yangu mkubwa chaajabu awakuweza kumjibu maswali hila mimi ndiye niliyekuwa namjibu na kila nikimjubu ananipa zawadi aliuliza maswali matatu na kila swali alitowa zawadi na mm ndiye niliyepata izo zawadi tatu ambayo ni KANZU nyeupe,BATAKASKHE(KOFIYA) nyeupe NA TASIBIKHI nyeupe na wote tulikuwa tumevaa nguo nyeupe pamoja na marehemu babu NISAIDIYE MAANA INANISUMBUWA SAANA
@MTAVASSYTv8 ай бұрын
Je wewe ni wadini gani? Je aliuliza nini na wewe ulijibu nini?
@MwajySebe-qh8ik Жыл бұрын
Ukiota umenunuliwa vazi la harusi na ume lijaribu na unatajiwa Siku ya harusi
@sofiahamisimwamimi36832 жыл бұрын
Shelkh naomba unjibu ndoto yangu nimeota nguo ,za kike ziko kwa kabati zimekunjwa vizuri na nisafi
@soniadeliciaussonia9597 Жыл бұрын
O
@silvanushaule1302 жыл бұрын
Nimeota nimevaa gauni jeupe sana naanisha nikama mtu ambae amevaa shela nakapendeza watu wako bize wanapika na wanakula wanafulahi sana kwaajili ya tukio hilo lakini bwana halusi hatokei nikuwa na msubili nikamkimbilia kaka mmoja nukahisi ndo yeye kufika pale sio yeye imeishia hivyo nikiwa nafikilia mume wangu ninani nakwanini sijamuona pale nanikamtambua shekhe msaada
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
hakika unaambiwa kuna mipango haitokamilika, au iseme hii kwamba ww unaonywa uache mambo ya dhambi
@azizahasan28512 жыл бұрын
Shekhe mm nimeota nimevaa nguo za boss wangu arafu zinajirudia
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Utapata mafanikio inshallah rizki,. Lakini yaweza kubashiri kifo chake hii ndoto au ukawa na sifa zinazo fanana na yeye
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@MTAVASSYTvshekh ukiota nguo za ndani Ina maana gani?
@magashimagashidoto78143 жыл бұрын
Nimeota nimevaa nguo nyeupe ya harusi harafu mpnz wangu akanivalisha pete kidole kinachofatana na dole gumba
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
utapata neema Inshaallaah
@justerbyera5433 Жыл бұрын
@@MTAVASSYTv Shehe mimi nimeota nimevaa Suit nyeusi nzuri na shati nyeupe ndani ya suit
@user-hb5cp3uq3r9 ай бұрын
Usthidhi mimi nimota nimvaa nguo alafu nimegeuza namba kujua maana yake
@MTAVASSYTv9 ай бұрын
Je upo katika ndoa
@bebenip3ty8482 жыл бұрын
Asalamu Aleykum .me nimeota mama angu namjomb angu wanachana nguo yangu na mkasi inarangi ya blue na nyeupe nn maan yake shekhe
@agnesmasanja3663 Жыл бұрын
Aslam aleykum.sherhe nimeota nimevaa pande la kitenge na ninatembea barbarani maeneo ya sokoni alafu imejirudia Mara tatu
@footballworld1985 Жыл бұрын
Salam alekum mimi Léo Nîme ôta ni mevaa shela la harusi alafi nikawa na jiana kupiga picha ili ni mtumie dadangu ili ni fanyie surprise nika sikia sauti ya dada iko na ongea na dogo yangu wakiume wana semezana kuhusu mchango na watu wakiwa wana jiandaa shereh uku wakisema mtuchangie ni Muslim sasa ina mana gani na mimi sina mme
@mwinyimwassera56542 жыл бұрын
Kuota ndoto umemuona mke mtarajiwa unazungumza naye amevaa nguo nyeupe juu na umebeba nguo chafu unamwambia akusaidie namfuko uziifadhi
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Maashaallaah Omba dua Allaah atimize azma yenu hiyo ya ndoa
@abdulrahimbakar78652 жыл бұрын
Kuona mtu ambae una udugu na kifamily amevaa nguo zako mpya
@mwasitinaftal8372 жыл бұрын
Sheikh mm nmeota mchana huu kuwa nmeletewa nguo mpya nataka kujaribu nkastuka Ila ilikuwa nguo nzur sana
@kibeginiblue71883 жыл бұрын
Asalam aleykum Mm nimeota nilikuwa msikitini nilikuwa nimevaa suruali Aina ya jinsi mpya haja ikanibana nikainuka kwenda msalani nilivyoingia msalani nikaanza kuivuta suruali juu ili isingie uchafu cha ajabu nikajikuta nimevyaa suali tatu katika izo tatu moja ya zamani lakini zote safi Nikachutama kujisaidia haja ndogo Cha ajabu haja ikawa inauma Kama naumwa kichocho Inakuwaje Ostaz?
@fadhilaburuhani17742 жыл бұрын
Maana ya kuota umezungukwa watu wamevaa kanzu nyeupe sana na mie nimesimama kati yao nimevaa kanzu nyeupe wao wamekaa mie nimesimama.
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Maashaallaah ni znuri hiyo ishia hapo hapo kuelewa
wewe uliona kuwa unakaribia kuingia kwenye wakati mgumu kimahusiano au kiuchumi
@jumahagai9013 Жыл бұрын
Naomba kuuliza nimeota nimevaa ijabu ya bluu kisha nikaona alinivutii nikalifumua kisha nikalishona lakini si refu maana yake shekh
@ashurarajabu3575 Жыл бұрын
Asalamu alaykumu mimi nimeota dada yangu anauza nguo kwa wale masista wa katorik nini maana yake
@ashurasaid50172 жыл бұрын
Shekhe nguo za biashara mwanamke kazichukua kazipeleka chooni zimekunjwa lakini kazipeleka chooni nni maan yake shekhe
@bentakavinya22542 жыл бұрын
Habali mimi niliota nkona bwanangu na tumewachana kwa sasa akiwa amekuja na mtu wa kuuza manguo akanita tuchanģue ije ya plot tukiendelea kushangua nikapata saa mxuri sana nikamwabia ona saa xuri ikona radio ii ikona maana gni
@AzizaGogo-gi7mt7 ай бұрын
Shekh asalamu alykum.nimeota nimevyaa nguo ya rangi ya kijivu ni mpya naomba tafsiri ya hii ndoto
@mwajeybakary85243 жыл бұрын
Shekhe mm nimeota rafik yng ananiomba mtandio Wang wa blue nikamnyima
@callennyangosi87873 жыл бұрын
Niliota kukaa katikati ya wanaume wawili alafu nimevaa nguo nzuri yangu lakini nimeligeuza
@alawiyaalwy93012 жыл бұрын
Sheikh mm nimeota nimevaa gauni jekundu jipya alafu Lina gharia dhahabu sijawai vaa gauni hilo jee ni nini
@jenithandyetabula3805 Жыл бұрын
Mi nimeota nilivaa shela la wifi yangu, pale nyumbani wakawa wananiambia nimependeza sana. Wifi yangu alipokuja nikavua na kumpatia, tukaendelea na maandalizi ya sherehe.
@esperancentakwinja31863 жыл бұрын
Mimi nimeona nimeuza guo kubwa alakini nimerudisha ile guo alafu nimesema utanirudishiya guo yakunieneya
@raissamugisha16532 жыл бұрын
Napenda kuota niko naanika nguo ama niko nafuwa kwenye machine ya nguo nini maana yake
@mwanaishahamisi83313 жыл бұрын
Asalam alykum sheikh mm naomba namba zako za wassup nikona ndoto yangu naomba tafsiri yanisumbua kweli naomba namba tafadhali niko Kenya mm
@user-fy6dz2ji6h Жыл бұрын
Asalaam alaykum mi nimeota najalibia guo mpya nimeambiwa nijalibie nachumba wangu aninunulie lakini zikawa mbaya zote nikaenda kwenye siketi nika chagua nikapata siketi ya kwanza ya pili ikawa haini enei inapwaya kiunoni nikaivua azalani belee ya wanaumee
@RayhanMbongolo3 ай бұрын
Mimi nimeota mtu anachana nguo yangu kwa mkasi
@avalonking16556 ай бұрын
Unafeli ktk uchukuaji wa video zako baba haijulikani kama ume zoom au vp😢
@MTAVASSYTv6 ай бұрын
Hii video haikuwa hivyo, bali kuna shida ilikuwa na camera hivyo ilitumika simu na ikawa landscape
@alisemikombe545 Жыл бұрын
Mimi na ota na kuta mavazi yangu tshini mahana nini
@shariffayusuff51373 жыл бұрын
Mimi sheikh nimeota nimevaa nguo kama shela rangi ya maruni nimpya kabisa nni maanayake
@rosekawina46033 жыл бұрын
Shekhee Mimi nimeota nanunua nguo
@hamimomary35082 жыл бұрын
Basi utapenda sana ukivaa hzo nguo
@sityjuma3049 Жыл бұрын
Asalmuallkm shekh menimeota nimepewa mabaibui yangu yazamn mabaibui hayo yote niliwah kufavaaa kitambo
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
hii ndoto, wa salaamu warahmatullaah kama hautopita katika mfanano wa hali ya maisha na ule wa kipindi cha nyuma basi zingatia mahusiano yako (ndoa)
@amishahela6967 Жыл бұрын
Asalam aleykum sheik nimeota Nina chaguo nguo mpya nyingi lakini Kuna baibui nyeusi nilivaa lakini ilikuwa inapwaya nikaiwacha Ina maana gani
@user-fe1vp7bn3l7 ай бұрын
Mzr lkn unarejearejea sn,unaudhi sn
@mwanamkasimdigo24542 жыл бұрын
Ustadh mi nimeota nimetumiwa nguo n viatu n mpenzi wngu nichague je Inaashiria nini
@kanisiamkoko70513 жыл бұрын
Sheikh mimi nimeota tumbo langu linacheza sana.
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
hii inamaana kdhaa kwaaliyeolewa na asiyeolewa na mjamzito pia ufahamu Kuwa hii ni us a lama kwa mjamzito ila waliobakia wote kwao mambo yatakuwa Hivi...
@saudakashelente73552 жыл бұрын
Samahani shekhe Mimi nimeota Niko kwenye halusi alafu uyo bibi halusi anamashuka kma yangu lakwanza shuka jeupe lakini sio jeupe San nashuk la njano alafu nilikuwa nikibadilisha kila nguo nilikuwa nataka nionekane mimi ndio nimependeza sana lakin nimesahau zalangi gani yani nilikuwa kila nikibadilisha naona sio nzur lakin nilipata ilio nipendezesha
@user-dy6ln1is7b8 ай бұрын
Ukiota umepokea nguo kutoka kwa mwenzio inamaanisha nini
@MTAVASSYTv7 ай бұрын
mwenzio gani sasa? kama ni mwenza kwa maana ya ndugu au jamaa basi utapata connection ya kwenda kwenye mahusiano uchumba au ndoa, na ikiwa uhawara tu Allah taala akuepushie na amma ikiwa ni mwenza kwa maana ya mume/mke au mchumba basi fahamu inaweza ikajulisha kwamba utapata ndoa kutoka kwake inshaallaah au pesa itakayokufanya usitirike na hali ngumu uliyonayo.
utaelewa mashallaah kama hujaolewa na kama umeolewa basi nio riziki hiyo nyingi mno kwa mume wako au wewe mwenyewe inshallah, lakini endapo tu ndoto yako itasema kweli
@MTAVASSYTv2 ай бұрын
na hii hujulishaga kuwa wewe ni jasiri sana mara nyingine
@yasobush89873 жыл бұрын
Shekh nimeota nguo zimeanikwa kwa kamba,mara nikaona pesa chini,nikaaza kuziokota,ilikuwa barazani,mara kukawa kwaja watu nikaingia ndani ya nyumba lakini ckufunga mlango,nikaenda kujiziba na ukuta,nikasikia haja ni kavaa Sandro's nyeusi.
@shishishishi38923 жыл бұрын
.
@jenifakamese6856 Жыл бұрын
Mm nimeota na changua nguo pia mala wamenitengenezea geti kubwa mara nmepew kuku nn maan yke
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
kwenye tafsir ya nguo ni kwamba huyo ni mwenza na geti lazima useme namna ulivyoona hiyo ndoto kuhusu kuku pia ueleze ulivyoona
@aloycefime64403 жыл бұрын
Shekh weka no zako Tafadhali ....tunamambo mengi ya kukuomba
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
0656606014
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
Kwenye video humo zipo
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@MTAVASSYTvndoto za nguo za ndani zina maana gani
@Diana-tw1vj Жыл бұрын
Nimeota niko kwa soko na nunua nguo na viatu maana yake ni nini
@bisharamohammed5792 жыл бұрын
A.alaykum samahn je ukiota mtu wa familia yako anaomba umuuzie nguo yako ya harusi ndoto hii inamaana gani .na ukiota umezaa mtoto wakike lakini hukuwa na tumbo na unampa jina ww na mwenza wako anaytarajia kukuowa je inaamana gan
@muhsininatv20922 жыл бұрын
Nimeota kiongoz mkubwa aliefariki Tunaongea yeye Yupo ktk gari Ila jinsi yake nimemuota ikiwa ni mwanamke na kavaa mavazi ya kike na ni mwanaume huyu
@tatuhassani3769 Жыл бұрын
Asalam alaikum naitwa Tatu Hassani nimeota nimevaa kanzu Yale ya wanaume wanavyo vaa msikitini Nikawa nashangilia
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
Haufanyi mambo kwa mpangilio, au ndoto inakueleza kwamba wewe unatabia sio nzuri badiri huo muenendo wako haraka
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@MTAVASSYTvndoto za nguo za ndani zina maana gani
@fareeshaky72553 жыл бұрын
Sheikh, nimeota nimeva nguo za shule alafu nawona warafiki zangu wazaman, alafu nataka kununuwa nguo mpya za shule
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
kama wewe sio mwanafunzi fahamu hii ndoto ni mbaya na badilisha plan zako za maisha na kua mnyenyekevu kwa Watu kwan hii hujulisha migogoro
@nabirabakary42093 жыл бұрын
Sheikh mm niliota mwanamke ananipa nguo yaan panjami gaun na suruali lake rangi yake ilikua kama hiyo nguo yako ya juu hiyo mistari ya pemben ndo zilikua zinafanana nikavaa suruali ila lilikua kubwa linabuluza hadi chin
@mariamsombo5766 Жыл бұрын
asalam.aleikum ustadhi mm niko kenya plz nitafsrie hii ndoto nimeota naondoa nguo kweny kamba na huku boss wang anipa leso ambz nizakitambo lkn n safi n ziko haina tofauti zengne ndfu zengne fupi
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
kupata amani na furaha na pia inshaallaah utahisi raha katika maisha
@yunisalfarsi61682 жыл бұрын
Nini maana ya ndoto ya kuona ufagio ule wakufagilia nje wa kusimama na ufagio huo upo hewani yaani chini haupo juu Hauseni umesimama hewani naa BAADA ya yapo wapo watu 2 wamechuchumaa nami nika usukuma kwa hewa ya mkono wangu ukawaangukia hapo kuta anza kuludishiana mwisho wa kaondoka nami nikiwa nyumbani nawasimulia nikashituka kumbe nilikuwa naota
@samsonikomba57582 жыл бұрын
Shekh nimeota nagawa guo zangu mwenyewe naowagawia watu ninao wajua
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Kuna jambo utafauru hapa duniani lakini hii ndoto ina maana nyingi
@samsonikomba57582 жыл бұрын
duh aiyah shkh nashukuru
@shifamakame46223 жыл бұрын
Shek nimeota mazingara magumu watu wanavuka kwnye bahari ino mawimbi na katika mji kuna watu wanauwa watu mmoja akaja niwekea haswa silaha ya kichwa kutaka kunifyatulia nikaona namtaja AllaH sn pale akaniacha nikarudi kwenye nyumba kuna dada yngu akaja akanipa kanga zile na mama akanipa kaka ela zile kanga zinoitwa za mtelezo nikaona naiziba ile nyumba madirishani ili wale waiwaji wasije pita ndani. Ni maana gni hy ndoto shek
@OmanOma-xi3hm Жыл бұрын
Nimeo nimeva nguo mpya
@heznerkemunto3196 Жыл бұрын
Mimi niliota nikipewa uvunguo tatu yakuvungulia nyumba penye nilkuwa na kaixhi samani
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
Utapata kheri na mambo yataenda sawa inshaallaah baada ya muda kama bado basi subiri M/Mungu atakufungulia, kiufupi ni rizki hiyo
@heznerkemunto3196 Жыл бұрын
@@MTAVASSYTv ameen
@petermanege8539 Жыл бұрын
Hostadh hbr yk samahani mm nimepewa nimevaa jinsi pensi iliyoshonywa na nyuzi nyeusi pia hizo nyuzi zinaanza kuachia Alf hapo hapo nimeshika tishet ya zamani ya mwanaume wng et nataka kumpelekea nn maana yKe tafadhal
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
unatafuta mtu sahihi ?kama jibu ni ndio basi unashauriwa kurudi kwa mtu wa zamani na ufunge ndoa ikiwa sio basi hiyo ni kazi inshaallaah
@berryberry69413 жыл бұрын
Sheikh mimi nimeona mavazi mengi kwa ndoto na pia naenda kununua mavazi lakini sikufika nikazinunua
@berylvall7239 ай бұрын
Na ukiota mtu mwenye ywakuchumbia yani mme wako mtarajia sasa kakununulia nguo mpya na watoto pia yamanisha nn
@MTAVASSYTv9 ай бұрын
Sijaelewa
@berylvall7239 ай бұрын
@@MTAVASSYTv azin qwa ndoto umeota umelululiwa nguo mpya na mwanaume na uyo mwanaume ywataka kukuowa azin simjui na yy pia aniju na alinunua nguo za Duka yangu na ya Mtoto na nikaabithiwa na mwanamke yy akiwa amekata Tu hapo 🤔🤔🤔
@mwnaidibushuti99583 жыл бұрын
Mm nimetoa nimevaa baibu ya kuazima nzuri mno viatu ni yangu ila vya zamani na malengo ilikua nika nunue ya kwangu Ile nguo LAkini sikufanikisha nimejikuta Ile pesa yenye nimepanga ninunulie imepotea nibaki na lile lakuomba na ndoto imeisha hapo
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
Sijaelewa tafadhali
@umuhemd49082 жыл бұрын
Asalam alaikum
@VickKulekana-si1ib11 ай бұрын
Nimeota nimeona vitambaa vipya vya kushona
@MTAVASSYTv10 ай бұрын
Punguza michepuko, na kama hauna michepuko basi jitahidi sana kukwepa hali hiyo utaona neema upande wako
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@MTAVASSYTvukiota vazi la kimalkia la blue nini maana yake
@mwanamkasimdigo24542 жыл бұрын
Assalam aleikum sheikh nimeota socks zikiwa kwenye maji je inaashiria nini
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Hali ya uchumi wako sio nzuri sana
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Na zingatia sana unaweza ukawa kila pesa uipatapo inapotea hapo nikushauri tu fanya maombi tumia hizbu bahri au jallajaluut al kubraa
@bahatihaule50462 жыл бұрын
Mi huwa naota nimevaa combat za jeshi ndoto hii hujirudia Mara kwa mara
@purumukamango50133 жыл бұрын
Niimeota ndoto nimejifunika nguo moja na mwanamke ninamfahamu huyo mwana mke nasina mausino nae
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
Pole hii ni mbaya kuona
@alawiyaalwy93012 жыл бұрын
Sheikh mm nimeota nimevaa mavazi gauni la harusi jekundu jipya alafu la gharia dhahabu sijawai vaa gauni hilo
@mariamumakala61462 жыл бұрын
Ushaolewa kwenye ulimwengu wa majini
@aminamukantabana82413 жыл бұрын
Aslaam alaikum w w! Sheikh kuota uko kama unafua unakamua shuka uki kaa juu ya kitanda alf maji akayingia mu godoro! Inamana gani Shekh? Nakuomba🙏
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
kama hautopata ujauzito basi utapata mgogoro na mapenzi wako au utakosa raha za mapenzi
@perusephares12392 жыл бұрын
Asallam aleyk mm nimeona naanika nguo kwenyekaba halafu baadae nikachukua mkaa wamoto nikawa ninaziwekea zilenguo ulemkaa iliziwake ila sikuona zinawaka nn maana yake nanguo nizangu
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
mwenza uliyenae anakuvumilia sana wewe unakero
@Annalisejg2ur3 күн бұрын
@@MTAVASSYTv😂😂😂
@ahmedally59302 жыл бұрын
Naomba namba ya WhatsApp sheikh
@vincentoseko8784 Жыл бұрын
Ukionta msijana amefaa mavazi nyeupe maana yake ni nn.
@kanisiamkoko70513 жыл бұрын
Sheikhe mimi nimeota nimevaa gauni natembea watu wanishangaa.
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
Nimekujibu whatsap
@khadijaally72713 жыл бұрын
Sheikh mimi niliota nimeliona tu gauni jekundu lina urembo
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
Huyo ni mume kama hujaolewa mara zote hujulishaga kupatikana neema rangi hiyo kama haujaolewa basi ni hivyo na kama tayari fahamu kuwa kuna rizki yaja, japo baadhi ya wanafalsafa wa zamani walisema ni mume mwema
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@MTAVASSYTvkuota vazi la kimalkia la blue Ina maana gani
@awaahassan93611 ай бұрын
kuvaa nikabu kunamaanishi nimi
@MTAVASSYTv11 ай бұрын
Kufuata sunna, lakini inayegemea maisha ya muonaji hii ndoto
@awaahassan93611 ай бұрын
@@MTAVASSYTv Inamaana ibada zangu ziko swa shekh ..ama maisha yangu nnayoushi naenda sawa na matakwa ya Allah
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
@@MTAVASSYTvkuota nguo za ndani maana yake nini
@raissamugisha16532 жыл бұрын
Kuota umevaa nguo inakubana ao fupi nini maana yake