Mimi nimeota Niko kwenye harusi ya mudogo wangu halafu mimi ngo nimekuwa navaa nguo ya harusi lakini mudogo wangu alikuwa havai manguo ya harusi lakini mimi nilijiona navaa ile nguo ya harusi nikiweka ju mpia mweusi kwa ju
@achouraachoura57637 ай бұрын
Unajua unajua na unajua tena☑️☑️📌📌🙏🙏
@niyonkurualice-mf3ib3 ай бұрын
Mimi nimeota mama angu muzazi anamimba pia anavaa nguo yaharusi
@user-ov1zy6vq5d11 ай бұрын
Nimeota nimevaa shela leupe na nimeshika uwa nini maana yake
@user-uo1jo6vq4c9 ай бұрын
Mm niliota nimevaa shela afu natembea barabarani bwana harusi hakuepo nilikuwa mm tu natembea afu kuna watu wananitizama
@dariokisitu9134 Жыл бұрын
Nimeota ndoto mchumva angu anaorewa ninj mana akee
@paulmafuru7283 Жыл бұрын
M nimeota nmebeba gauni la harus jeupe na blue nmempelekea mtu akavae,nn maana yake