#QiblateinOnline Follow Us On: INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv FACEBOOK; profile.php?... KZfaq; / @qiblatainonline
Пікірлер: 168
@user-xl1wx3mw9k3 ай бұрын
Ni kweli sheikh,Majini na Hasad ni vitu vibaya saana,kiukweli mimi naathiriwa sana na vitu hivyo..naomba msaada wako
@user-mx4wi8ic5e5 ай бұрын
Shukran sheikh wetu Allah akuhifadhi na balaa zote fi dunia wal akheira...ulinitibu hasad na hivi niko sawa alhamdulilah
@leonardofaruk10773 ай бұрын
Ameen.
@allykipingu2 ай бұрын
Ëe 3:10
@HashimHussein-ps5yr2 ай бұрын
Shekh kweli kabisa watusaidiaje waumini wako
@zahramohammed32657 ай бұрын
jazakaAllah nimesoma mambo mengi alhamdhulillah
@user-nx1ti7bo3c3 ай бұрын
Assalamualaikum
@candiesalm89953 ай бұрын
Kwa wale ambao hamjaelewa kwenye fundo la nguo ni hivi unachukua nguo uliovaa unakunja kwa chini then unaloesha kwenye maji halaf unakuamua ni hivyo tu
@HakizimanaFiston3 ай бұрын
Shukran sana
@mwanakombomohamed67253 ай бұрын
Mbn ametaja quran
@mansoursabri43983 ай бұрын
Mashaallah
@user-qy7kf5me7u3 ай бұрын
Samahan sijaelewa , unapiga kufundo au unakunja tu ?
@candiesalm89953 ай бұрын
@@user-qy7kf5me7u kuja halaf tia kwenye maji badae kamua
@baaziabdul94396 ай бұрын
Am from Uganda and follow up your teachings but I understand swahili well
@gracemumbua93267 ай бұрын
Asalam aleikum, walia nilikua na dhalili mingi sana izi bt nlipoanza kufanya dhikri Allah ameniondolea yote, allhamdhulillah,...shehq mwenyezi mungu akubarki sna akuzdishie elim amen
@ShabanMusssa6 ай бұрын
shekh wangu hapo kwenye kukunja kanzu kama qor an sijaelewa
@GeorgeMulandi4 ай бұрын
Hapo kwa msala ni tatizo ama ni mkeka ju hapo sijaelewa
@kassimanzuan93673 ай бұрын
Amiin
@FaizaKabibi-tb2djАй бұрын
Shekh mm dalili zote za hasad nakuomba unifanyie kisomo ju hata sai nko nko Oman juzi nilitaka kuliwa na boss nikapata nafasi nikakimbia sijielewi
@buhitexmohamed47853 ай бұрын
Mashallah mimi iweke jwa dua yte hyo nimo inshallah
@hassanibinhassa70582 ай бұрын
Shukran jazeelan sheikh wetu, Allah akujaaliye kila kheri kwa mafundisho yako Ila kunasehemu vidéo ni kama imeruka pale ulipotaka elezea unapinda kanzu
@zuberhamza7852Ай бұрын
Eeeh imeruka sjui tunafanyaje sasa
@SuleAhmadiАй бұрын
Asante shekhe nimejifunza ishalla nitatekeleza ivo namim alla anifanyie wepesi 27:52
@allyvindili90993 ай бұрын
Umenigusa shekh kilichonikuta mm mungu ndo anajua ila bahadhi nawajua kabisa
@omariuredi1552Ай бұрын
Alhamdulilah, Shekh allah aku ingize peponi
@user-lu5vg9kc7y2 ай бұрын
Wajazakalah khaira shehk 🎉🎉 Shekh wetu ALLah akulipe badal dunianii na akhera ALLah akupe mwesho mwema
@saidinyomela83873 ай бұрын
JazakaAllahu khaira.
@abdurazakiabdukadiri99493 ай бұрын
Asante sheikh wetu kwa khutba nzuri
@maryam-ol8nh4 ай бұрын
Shukran sana sheikh Allah akuhifadhi.
@asianramadhani83153 ай бұрын
Shukran shekhe Allah akuzidishie
@RajabuKapunju2 ай бұрын
Asante Sana shekh
@hannymasu7323 ай бұрын
Assalam Aleykum Wa Rahmatullahi Ta'ala Wa Barakatuh. Jazak ALLAH Khair kwa ilmu Sheikh.
@babanaso67432 ай бұрын
Ndugu yangu uko sawa kabisa sisi tumetokea famiria duni hivyo hapo ulipo ni miujiza ya mungu tu sikupingi ndugu
@user-lu5vg9kc7y7 ай бұрын
،jazakalah khaira shehk 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🇹🇿
@user-ft4uy6vu1i2 ай бұрын
Daah mtihan sana wallah allah atuondolee iyo mitihani
@iddykaundundwa51353 ай бұрын
Kwa hakika mimi ndio napamba nayo inshaallah kwa uwezo wa Allah nitafanikiwa
@mutabazihassan62916 ай бұрын
Ya sheikh na mimi pia nina hizo dalili na hali ni ni ngumu najitahidi kuswali,tahajud,istighfar na ndoto za utajiri na mafanikio nazipata kila siku Ya Allahu turehemu sisi ummati Muhammad S a w
@user-so9id8rp3u3 ай бұрын
Masha Allah, shukran sheikh, nimejifunza
@zainabfaraj7902Ай бұрын
Allah akujaze kheri
@hamzahussein8963 ай бұрын
Jazakallahu kheir sheikh
@ashahassan18775 ай бұрын
Shukuran Sana shekhe wetuu
@anitaswai30532 ай бұрын
Jazakalahu khairu shekh
@WazirJuma-gd5oo4 ай бұрын
Shukurn sheikhe allaah akulpe baadala
@allyrabbany45382 ай бұрын
الله يعطيك العافية شيخنا.
@salvatakiseo33592 ай бұрын
Mungu akanifanyie wepesi 🤲
@user-hu3sc4kg1f3 ай бұрын
Shekh allah akupe umre mrefu Yani maneno Yako yanafaida
@user-hk4vl6ic2i2 ай бұрын
Asante Sana Sheikh, sasa tufanye nini ilikuepukana na hizo roho chafu majin
@SumaAbduly6 ай бұрын
Shekhe,tunahitaji huduma zako Kwa uwezo wa Allah utakuja lini bukoba mkoa wa kagera
@DirectorFonga2 ай бұрын
Shekhe mungu akueke inshaalah
@USDisdoomed2 ай бұрын
Shukran Sheikh Baraka llahu,,,,,ila kuna mahali ulikua unaelezea video ikaruka hapo kwa upinde wakanzu
@zuberhamza7852Ай бұрын
asa sjui tunafanyaje
@user-rd1ix1hd3y4 ай бұрын
Shekh bindo la qur ani huja eleza vizur unakunja au nivipi tunataka kujiondosheya hasadi
@user-xc3ik1hu3q2 ай бұрын
Asante sana sheik
@JumaSaid-rw3dqАй бұрын
nimeskiza utba namimi aro tatizo ninaro nakupataje soma komenti uniombee mungu
@user-sp8hl2dy6i4 ай бұрын
Masha allah
@mauamwalimu81424 ай бұрын
Alhamdulillah
@HakizimanaFiston3 ай бұрын
Uislam ulimalizaga Shukran Sheih wetu
@user-nz9xy2lm3w3 ай бұрын
Maashallah
@user-id6fk9hr9q5 ай бұрын
Hebu naomba usaidiziii nisaidikeee😢😢😢😢😢😢😢😢😢 walai nitabadili dini nikiona mambo yangu yanaenda vizuri naitwa Mariam
@user-hf1qk6fv9v5 ай бұрын
Usibadili dini kwajili ya mali badili kwajili ya Allah
@machanohajji72096 ай бұрын
Mashallah
@user-sn9ip6qr3lАй бұрын
Jaman mbona dalili zote ninazo😢😢yarab niondoshee kwakwel,vip jinsi gan naweza kuepukana au kujitibu?
@rmdhnhmz5123 ай бұрын
Mashaallah
@MuhammadHassan-rg7chАй бұрын
Kwelii sheikh mm nimmoja wapo naomba dual naphtha tangamoto
@yasminmduda16163 ай бұрын
Asalaam alyekum shekhe umenigusa sana.
@user-sh3dw6bk8x3 ай бұрын
As alkm, sheikh ahsante Kwa kutupa ziada katika kheir.naomba utuambie ni wanyama wapi ktk hao wenye hasadi au ni wote .km mijusi kafir?
@LisaYona-wx3kb3 ай бұрын
😢dalili ZTE ninazo ehh yarab
@user-xm2rm7wn6h3 ай бұрын
Subuhannallah❤❤❤❤❤
@bahatib44863 ай бұрын
Asalam alekum shekh ,mm naumwa sana na mwili ,chini ya kitovu napia kuota ndoto ya kupeperuka kama ambae nàfukuzwa na kitu kibaya sijui utanisaidia vipi mm niko Saudia na fanya kazi
@user-vv7km5fc5xАй бұрын
MashaAllah
@fatmahussein122 ай бұрын
Waooo nalibu
@user-qu9vw5xi5l3 ай бұрын
Eeh Mungu nimekwisha mbona ninavyo vyote 😢😢😢😢😢
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Sheikh shukran sana ila hapo kwenye upindo wa nguo sijafahamu.
@mwanazuber39683 ай бұрын
Hata me hapa sijaelewa kwenye upindo
@nayeemn92757 ай бұрын
Baraka Allahu fiiQ, ila kwenye nguo hukutuelekeza vizuri.
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Na Mimi sijafahamu hapo. AmBAe amefahamu atufahamishe
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Na Mimi sijafahamu hapo. AmBAe amefahamu atufahamishe
@selealli9903 ай бұрын
shekhe niombee mimi ally athumani
@user-id6fk9hr9q5 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazurii mm ni mkrsto napenda mafundisho yakooo mimi sasa sijui kuomba nitasaidika vip
@hajimkopa18225 ай бұрын
Kwanz ingia ktk uislamu ndilo jambo la kwanza
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Weye omba tu. MMungu anainua Nia Yako. Na karibu katika Uislam ili ufaidi mengi mazuri.
@user-wy7wq7pm8s4 ай бұрын
Hapo Kwa qurani imeruka sikusikia vizuri alie elewa tafadhali naomba kuelekezwa Sasa Niko na ndogo inaweza pia
Kisha cha mwisho unachukua nguo unakucha fundo, Quraan! Hapo sikuelewa pamefahamishwa nini aliefahamu anisaidie kunielewesha alichosema
@hamzahussein8963 ай бұрын
Naam pia sijaelewa hapo insh Allah tujuzane atae kua ameelewa bi idhnillah
@fahmedharoub21393 ай бұрын
Unakunja nguo kw chni unalowanisha kwny hayo maji ikisha unaikamua ,unaenda kuyaoga
@Ibraah3 ай бұрын
Tuko pamoja ktk hili
@billylovebillybillylovebil5803 ай бұрын
Nami sija elewa 😢 hapo kukunja fundo nguwo Quaraan shekh please tuele weshe hapo
@aishabory96492 ай бұрын
ALLAH akulipe kheri lkn hapo kwenye pindo ndio sijaelewa utuelekeze tena
@djramzadullaz67626 ай бұрын
Hapo kwenye nguo sijaekewa ata mimi
@ReynaRayyan-vd9cb2 ай бұрын
Asalam aleykum hapo kwa pindo mimi sijaelewa
@mamyto_aziza51572 ай бұрын
Jamani sheikh kasema mtu kujejuje kazu Mara gapi
@zuberhamza7852Ай бұрын
Naona video imeruka pale
@MuhammadHassan-rg7chАй бұрын
Nimm sheikh
@user-dg8dt5bg7q2 ай бұрын
Assalam alaikum sheikh athman; naomba nielewe hapo kwenye ukisha OSHA Hilo fundo ukilipiga wasoma Nini maana sijfahamu hapo pliz, shukran
@user-he2yw2il7d3 ай бұрын
Asalam Alaykum samahan je hayo maji hukogei mwili mzma
@anithasimbeye32564 ай бұрын
Vyote hivyo nilikua navyo
@hemedjr99683 ай бұрын
Asalaam aleikum sheikh...mm mwili wangu wacheza hata mwezi huu wa Ramadan waliofungwa mashetani
@hijamaulidi73823 ай бұрын
Shekhe mm kitu kikitaka kutokea kuna maono napata na kinatokea serious ni jini au 😮
@user-bp4wv4jo2i3 ай бұрын
nikweli zinaa ina adhari baya kwa mafanikio la kila mtu dhambi baya sana nilikuwa hivo lakini nilipoasha zinaaa sheikh ziliniondokea kabisa
@bakarimwaguluwe-yh2dn3 ай бұрын
MashaAllah ya ustadhi
@FatmaMohamed-re5tb2 ай бұрын
Naamini sheikh ndo yangu niliyo nayo sasa
@RehemaWereАй бұрын
Aki sijaelewa Imenipita
@aymanabdallah92253 ай бұрын
Asalam alyqum shekhe.samahani hapo kwenye fundo kukunya quraan sijaelewa
@hawazainshah63Ай бұрын
Wallah shekh dalili zote ulizotaja mimi ninaz kam vile nimekusimulia shida zang,nilikuwa mfanyabiasha mzur san mtaji wang ulikuwa milion 15+lakin mpk ss aina hata mia nasubir kupewa kila nomachoshika au kifikir nifany mwili na moy hautak haswaaa inshallah Allah akulip kwa hilnaon umenipa ufunguo wa maisha yang shekh
@ismailkidege3 ай бұрын
Hapo kwenye hatua ya mwisho ya pindo ndo sijaelewa
@fahmedharoub21393 ай бұрын
Unakunja pindo la nguo yako kw chini unalowanisha kwny yale maji ikisha unakamua nguo.
@EddyRajab2 ай бұрын
Hii sehemu clip inakata wakata wallah nimesikitika sana😢
@EddyRajab2 ай бұрын
Unakamua ndani ya maji ama chini?
@user-si3nn4xq1nАй бұрын
Asante sana.nataka.namba.yako.baba
@binamun4944Ай бұрын
Hayo yote niyangu hakuna hata moja alilosema ambalo halinitokei nikisoma dua usiku kulalaa nasinzia hapohapo😂
@umutoniwaboshakilla97146 ай бұрын
Assàlam alayikum Walah màtululah wavalakatuh kama hauna mwEnye munaidhi pamonja unapashwa tengeneza ile Manji WE mwenyewe?
@user-xl1wx3mw9k3 ай бұрын
Assallam ALLAYQUM WARRAHMATULLAH, je kunguni wakiingia nyumbani inaweza kua hasadi???
@saumbliz89833 ай бұрын
Uchafu huo fua nguo kama una mtoto akojoa asubui toa godoro inje
@mngwalijuma5972 ай бұрын
Alhamdulilag@@saumbliz8983
@user-lp5zw6bb5d3 ай бұрын
Mimi nina dalili ya kuumwa na mwili joint na mm ni daktari wa kienyeji watu wanapona mm mwenyewe mgonjwa kila mara
@zakiahamid30423 ай бұрын
Asalam alaykumu shekh mm nimeelewa lkn kufanya siwezi nifanye ill unisaidie
@husseinkadawa28467 ай бұрын
Shekh nilifanya dawa hii nlipiga miayo siku nzima na kuteuka yaan kutoa ges tumbon
@watototunawezatuwezeshwe61264 ай бұрын
Tifahamishe kuhusu nguo
@PirfaImanipirfa-vj3oz5 ай бұрын
Aya mambo yanatisha, asa sheikh wng kama mtu amekusifu kwamba ah bwana umekuwa na unapendeza iyo nayo ni asidi??
@saidanoor7653Ай бұрын
Assalam aleikum...hapo aliposema kunja nguo yako kipande kimeruka una ikunja nguo alafu una fanya nn ndo ukaogee maji hayo?
@YasryKasanga7 ай бұрын
Je ninapo jimwagia chooni naluusiwa kusema bismillah
@user-zk9cc9se6u3 ай бұрын
Wweza tumia kanga kama mswala
@Nailaty564Ай бұрын
Hapo kwenye kukunja pindo la nguo mbona mmekata
@norahkalunde38452 ай бұрын
Shekh sijaerewa apo kufunga pindo kwa kurhani nierekeze unafanyaje