VITU VIWILI HIVI NDIO CHANZO CHA WEWE KUTOKUFANIKIWA KATIKA MAMBO YAKO - SHEIKH OTHMAN MICHAEL

  Рет қаралды 85,394

QIBLATEIN ONLINE

QIBLATEIN ONLINE

7 ай бұрын

#QiblateinOnline
Follow Us On:
INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv
FACEBOOK; profile.php?...
KZfaq; / @qiblatainonline

Пікірлер: 168
@user-xl1wx3mw9k
@user-xl1wx3mw9k 3 ай бұрын
Ni kweli sheikh,Majini na Hasad ni vitu vibaya saana,kiukweli mimi naathiriwa sana na vitu hivyo..naomba msaada wako
@user-mx4wi8ic5e
@user-mx4wi8ic5e 5 ай бұрын
Shukran sheikh wetu Allah akuhifadhi na balaa zote fi dunia wal akheira...ulinitibu hasad na hivi niko sawa alhamdulilah
@leonardofaruk1077
@leonardofaruk1077 3 ай бұрын
Ameen.
@allykipingu
@allykipingu 2 ай бұрын
Ëe 3:10
@HashimHussein-ps5yr
@HashimHussein-ps5yr 2 ай бұрын
Shekh kweli kabisa watusaidiaje waumini wako
@zahramohammed3265
@zahramohammed3265 7 ай бұрын
jazakaAllah nimesoma mambo mengi alhamdhulillah
@user-nx1ti7bo3c
@user-nx1ti7bo3c 3 ай бұрын
Assalamualaikum
@candiesalm8995
@candiesalm8995 3 ай бұрын
Kwa wale ambao hamjaelewa kwenye fundo la nguo ni hivi unachukua nguo uliovaa unakunja kwa chini then unaloesha kwenye maji halaf unakuamua ni hivyo tu
@HakizimanaFiston
@HakizimanaFiston 3 ай бұрын
Shukran sana
@mwanakombomohamed6725
@mwanakombomohamed6725 3 ай бұрын
Mbn ametaja quran
@mansoursabri4398
@mansoursabri4398 3 ай бұрын
Mashaallah
@user-qy7kf5me7u
@user-qy7kf5me7u 3 ай бұрын
Samahan sijaelewa , unapiga kufundo au unakunja tu ?
@candiesalm8995
@candiesalm8995 3 ай бұрын
@@user-qy7kf5me7u kuja halaf tia kwenye maji badae kamua
@baaziabdul9439
@baaziabdul9439 6 ай бұрын
Am from Uganda and follow up your teachings but I understand swahili well
@gracemumbua9326
@gracemumbua9326 7 ай бұрын
Asalam aleikum, walia nilikua na dhalili mingi sana izi bt nlipoanza kufanya dhikri Allah ameniondolea yote, allhamdhulillah,...shehq mwenyezi mungu akubarki sna akuzdishie elim amen
@ShabanMusssa
@ShabanMusssa 6 ай бұрын
shekh wangu hapo kwenye kukunja kanzu kama qor an sijaelewa
@GeorgeMulandi
@GeorgeMulandi 4 ай бұрын
Hapo kwa msala ni tatizo ama ni mkeka ju hapo sijaelewa
@kassimanzuan9367
@kassimanzuan9367 3 ай бұрын
Amiin
@FaizaKabibi-tb2dj
@FaizaKabibi-tb2dj Ай бұрын
Shekh mm dalili zote za hasad nakuomba unifanyie kisomo ju hata sai nko nko Oman juzi nilitaka kuliwa na boss nikapata nafasi nikakimbia sijielewi
@buhitexmohamed4785
@buhitexmohamed4785 3 ай бұрын
Mashallah mimi iweke jwa dua yte hyo nimo inshallah
@hassanibinhassa7058
@hassanibinhassa7058 2 ай бұрын
Shukran jazeelan sheikh wetu, Allah akujaaliye kila kheri kwa mafundisho yako Ila kunasehemu vidéo ni kama imeruka pale ulipotaka elezea unapinda kanzu
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 Ай бұрын
Eeeh imeruka sjui tunafanyaje sasa
@SuleAhmadi
@SuleAhmadi Ай бұрын
Asante shekhe nimejifunza ishalla nitatekeleza ivo namim alla anifanyie wepesi 27:52
@allyvindili9099
@allyvindili9099 3 ай бұрын
Umenigusa shekh kilichonikuta mm mungu ndo anajua ila bahadhi nawajua kabisa
@omariuredi1552
@omariuredi1552 Ай бұрын
Alhamdulilah, Shekh allah aku ingize peponi
@user-lu5vg9kc7y
@user-lu5vg9kc7y 2 ай бұрын
Wajazakalah khaira shehk 🎉🎉 Shekh wetu ALLah akulipe badal dunianii na akhera ALLah akupe mwesho mwema
@saidinyomela8387
@saidinyomela8387 3 ай бұрын
JazakaAllahu khaira.
@abdurazakiabdukadiri9949
@abdurazakiabdukadiri9949 3 ай бұрын
Asante sheikh wetu kwa khutba nzuri
@maryam-ol8nh
@maryam-ol8nh 4 ай бұрын
Shukran sana sheikh Allah akuhifadhi.
@asianramadhani8315
@asianramadhani8315 3 ай бұрын
Shukran shekhe Allah akuzidishie
@RajabuKapunju
@RajabuKapunju 2 ай бұрын
Asante Sana shekh
@hannymasu732
@hannymasu732 3 ай бұрын
Assalam Aleykum Wa Rahmatullahi Ta'ala Wa Barakatuh. Jazak ALLAH Khair kwa ilmu Sheikh.
@babanaso6743
@babanaso6743 2 ай бұрын
Ndugu yangu uko sawa kabisa sisi tumetokea famiria duni hivyo hapo ulipo ni miujiza ya mungu tu sikupingi ndugu
@user-lu5vg9kc7y
@user-lu5vg9kc7y 7 ай бұрын
،jazakalah khaira shehk 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🇹🇿
@user-ft4uy6vu1i
@user-ft4uy6vu1i 2 ай бұрын
Daah mtihan sana wallah allah atuondolee iyo mitihani
@iddykaundundwa5135
@iddykaundundwa5135 3 ай бұрын
Kwa hakika mimi ndio napamba nayo inshaallah kwa uwezo wa Allah nitafanikiwa
@mutabazihassan6291
@mutabazihassan6291 6 ай бұрын
Ya sheikh na mimi pia nina hizo dalili na hali ni ni ngumu najitahidi kuswali,tahajud,istighfar na ndoto za utajiri na mafanikio nazipata kila siku Ya Allahu turehemu sisi ummati Muhammad S a w
@user-so9id8rp3u
@user-so9id8rp3u 3 ай бұрын
Masha Allah, shukran sheikh, nimejifunza
@zainabfaraj7902
@zainabfaraj7902 Ай бұрын
Allah akujaze kheri
@hamzahussein896
@hamzahussein896 3 ай бұрын
Jazakallahu kheir sheikh
@ashahassan1877
@ashahassan1877 5 ай бұрын
Shukuran Sana shekhe wetuu
@anitaswai3053
@anitaswai3053 2 ай бұрын
Jazakalahu khairu shekh
@WazirJuma-gd5oo
@WazirJuma-gd5oo 4 ай бұрын
Shukurn sheikhe allaah akulpe baadala
@allyrabbany4538
@allyrabbany4538 2 ай бұрын
الله يعطيك العافية شيخنا.
@salvatakiseo3359
@salvatakiseo3359 2 ай бұрын
Mungu akanifanyie wepesi 🤲
@user-hu3sc4kg1f
@user-hu3sc4kg1f 3 ай бұрын
Shekh allah akupe umre mrefu Yani maneno Yako yanafaida
@user-hk4vl6ic2i
@user-hk4vl6ic2i 2 ай бұрын
Asante Sana Sheikh, sasa tufanye nini ilikuepukana na hizo roho chafu majin
@SumaAbduly
@SumaAbduly 6 ай бұрын
Shekhe,tunahitaji huduma zako Kwa uwezo wa Allah utakuja lini bukoba mkoa wa kagera
@DirectorFonga
@DirectorFonga 2 ай бұрын
Shekhe mungu akueke inshaalah
@USDisdoomed
@USDisdoomed 2 ай бұрын
Shukran Sheikh Baraka llahu,,,,,ila kuna mahali ulikua unaelezea video ikaruka hapo kwa upinde wakanzu
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 Ай бұрын
asa sjui tunafanyaje
@user-rd1ix1hd3y
@user-rd1ix1hd3y 4 ай бұрын
Shekh bindo la qur ani huja eleza vizur unakunja au nivipi tunataka kujiondosheya hasadi
@user-xc3ik1hu3q
@user-xc3ik1hu3q 2 ай бұрын
Asante sana sheik
@JumaSaid-rw3dq
@JumaSaid-rw3dq Ай бұрын
nimeskiza utba namimi aro tatizo ninaro nakupataje soma komenti uniombee mungu
@user-sp8hl2dy6i
@user-sp8hl2dy6i 4 ай бұрын
Masha allah
@mauamwalimu8142
@mauamwalimu8142 4 ай бұрын
Alhamdulillah
@HakizimanaFiston
@HakizimanaFiston 3 ай бұрын
Uislam ulimalizaga Shukran Sheih wetu
@user-nz9xy2lm3w
@user-nz9xy2lm3w 3 ай бұрын
Maashallah
@user-id6fk9hr9q
@user-id6fk9hr9q 5 ай бұрын
Hebu naomba usaidiziii nisaidikeee😢😢😢😢😢😢😢😢😢 walai nitabadili dini nikiona mambo yangu yanaenda vizuri naitwa Mariam
@user-hf1qk6fv9v
@user-hf1qk6fv9v 5 ай бұрын
Usibadili dini kwajili ya mali badili kwajili ya Allah
@machanohajji7209
@machanohajji7209 6 ай бұрын
Mashallah
@user-sn9ip6qr3l
@user-sn9ip6qr3l Ай бұрын
Jaman mbona dalili zote ninazo😢😢yarab niondoshee kwakwel,vip jinsi gan naweza kuepukana au kujitibu?
@rmdhnhmz512
@rmdhnhmz512 3 ай бұрын
Mashaallah
@MuhammadHassan-rg7ch
@MuhammadHassan-rg7ch Ай бұрын
Kwelii sheikh mm nimmoja wapo naomba dual naphtha tangamoto
@yasminmduda1616
@yasminmduda1616 3 ай бұрын
Asalaam alyekum shekhe umenigusa sana.
@user-sh3dw6bk8x
@user-sh3dw6bk8x 3 ай бұрын
As alkm, sheikh ahsante Kwa kutupa ziada katika kheir.naomba utuambie ni wanyama wapi ktk hao wenye hasadi au ni wote .km mijusi kafir?
@LisaYona-wx3kb
@LisaYona-wx3kb 3 ай бұрын
😢dalili ZTE ninazo ehh yarab
@user-xm2rm7wn6h
@user-xm2rm7wn6h 3 ай бұрын
Subuhannallah❤❤❤❤❤
@bahatib4486
@bahatib4486 3 ай бұрын
Asalam alekum shekh ,mm naumwa sana na mwili ,chini ya kitovu napia kuota ndoto ya kupeperuka kama ambae nàfukuzwa na kitu kibaya sijui utanisaidia vipi mm niko Saudia na fanya kazi
@user-vv7km5fc5x
@user-vv7km5fc5x Ай бұрын
MashaAllah
@fatmahussein12
@fatmahussein12 2 ай бұрын
Waooo nalibu
@user-qu9vw5xi5l
@user-qu9vw5xi5l 3 ай бұрын
Eeh Mungu nimekwisha mbona ninavyo vyote 😢😢😢😢😢
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 4 ай бұрын
Sheikh shukran sana ila hapo kwenye upindo wa nguo sijafahamu.
@mwanazuber3968
@mwanazuber3968 3 ай бұрын
Hata me hapa sijaelewa kwenye upindo
@nayeemn9275
@nayeemn9275 7 ай бұрын
Baraka Allahu fiiQ, ila kwenye nguo hukutuelekeza vizuri.
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 4 ай бұрын
Na Mimi sijafahamu hapo. AmBAe amefahamu atufahamishe
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 4 ай бұрын
Na Mimi sijafahamu hapo. AmBAe amefahamu atufahamishe
@selealli990
@selealli990 3 ай бұрын
shekhe niombee mimi ally athumani
@user-id6fk9hr9q
@user-id6fk9hr9q 5 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazurii mm ni mkrsto napenda mafundisho yakooo mimi sasa sijui kuomba nitasaidika vip
@hajimkopa1822
@hajimkopa1822 5 ай бұрын
Kwanz ingia ktk uislamu ndilo jambo la kwanza
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 4 ай бұрын
Weye omba tu. MMungu anainua Nia Yako. Na karibu katika Uislam ili ufaidi mengi mazuri.
@user-wy7wq7pm8s
@user-wy7wq7pm8s 4 ай бұрын
Hapo Kwa qurani imeruka sikusikia vizuri alie elewa tafadhali naomba kuelekezwa Sasa Niko na ndogo inaweza pia
@FatumaBegamu-cy6ue
@FatumaBegamu-cy6ue 6 ай бұрын
Shukran Sheikh.
@salmaalkyumi6030
@salmaalkyumi6030 7 ай бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@zulekhasaeed6046
@zulekhasaeed6046 3 ай бұрын
Umenigusa kwenye hasadi mimi ninayo
@hildedacute5108
@hildedacute5108 3 ай бұрын
Salaam alykum shekh izo dalili zote ninazo naomba msaada wako 😭😭😭😭😭
@JohnMasatu-wb3ct
@JohnMasatu-wb3ct 3 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@khadijawarda5867
@khadijawarda5867 6 ай бұрын
Mill😊
@abouassifmabrouk
@abouassifmabrouk 5 ай бұрын
Kisha cha mwisho unachukua nguo unakucha fundo, Quraan! Hapo sikuelewa pamefahamishwa nini aliefahamu anisaidie kunielewesha alichosema
@hamzahussein896
@hamzahussein896 3 ай бұрын
Naam pia sijaelewa hapo insh Allah tujuzane atae kua ameelewa bi idhnillah
@fahmedharoub2139
@fahmedharoub2139 3 ай бұрын
Unakunja nguo kw chni unalowanisha kwny hayo maji ikisha unaikamua ,unaenda kuyaoga
@Ibraah
@Ibraah 3 ай бұрын
Tuko pamoja ktk hili
@billylovebillybillylovebil580
@billylovebillybillylovebil580 3 ай бұрын
Nami sija elewa 😢 hapo kukunja fundo nguwo Quaraan shekh please tuele weshe hapo
@aishabory9649
@aishabory9649 2 ай бұрын
ALLAH akulipe kheri lkn hapo kwenye pindo ndio sijaelewa utuelekeze tena
@djramzadullaz6762
@djramzadullaz6762 6 ай бұрын
Hapo kwenye nguo sijaekewa ata mimi
@ReynaRayyan-vd9cb
@ReynaRayyan-vd9cb 2 ай бұрын
Asalam aleykum hapo kwa pindo mimi sijaelewa
@mamyto_aziza5157
@mamyto_aziza5157 2 ай бұрын
Jamani sheikh kasema mtu kujejuje kazu Mara gapi
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 Ай бұрын
Naona video imeruka pale
@MuhammadHassan-rg7ch
@MuhammadHassan-rg7ch Ай бұрын
Nimm sheikh
@user-dg8dt5bg7q
@user-dg8dt5bg7q 2 ай бұрын
Assalam alaikum sheikh athman; naomba nielewe hapo kwenye ukisha OSHA Hilo fundo ukilipiga wasoma Nini maana sijfahamu hapo pliz, shukran
@user-he2yw2il7d
@user-he2yw2il7d 3 ай бұрын
Asalam Alaykum samahan je hayo maji hukogei mwili mzma
@anithasimbeye3256
@anithasimbeye3256 4 ай бұрын
Vyote hivyo nilikua navyo
@hemedjr9968
@hemedjr9968 3 ай бұрын
Asalaam aleikum sheikh...mm mwili wangu wacheza hata mwezi huu wa Ramadan waliofungwa mashetani
@hijamaulidi7382
@hijamaulidi7382 3 ай бұрын
Shekhe mm kitu kikitaka kutokea kuna maono napata na kinatokea serious ni jini au 😮
@user-bp4wv4jo2i
@user-bp4wv4jo2i 3 ай бұрын
nikweli zinaa ina adhari baya kwa mafanikio la kila mtu dhambi baya sana nilikuwa hivo lakini nilipoasha zinaaa sheikh ziliniondokea kabisa
@bakarimwaguluwe-yh2dn
@bakarimwaguluwe-yh2dn 3 ай бұрын
MashaAllah ya ustadhi
@FatmaMohamed-re5tb
@FatmaMohamed-re5tb 2 ай бұрын
Naamini sheikh ndo yangu niliyo nayo sasa
@RehemaWere
@RehemaWere Ай бұрын
Aki sijaelewa Imenipita
@aymanabdallah9225
@aymanabdallah9225 3 ай бұрын
Asalam alyqum shekhe.samahani hapo kwenye fundo kukunya quraan sijaelewa
@hawazainshah63
@hawazainshah63 Ай бұрын
Wallah shekh dalili zote ulizotaja mimi ninaz kam vile nimekusimulia shida zang,nilikuwa mfanyabiasha mzur san mtaji wang ulikuwa milion 15+lakin mpk ss aina hata mia nasubir kupewa kila nomachoshika au kifikir nifany mwili na moy hautak haswaaa inshallah Allah akulip kwa hilnaon umenipa ufunguo wa maisha yang shekh
@ismailkidege
@ismailkidege 3 ай бұрын
Hapo kwenye hatua ya mwisho ya pindo ndo sijaelewa
@fahmedharoub2139
@fahmedharoub2139 3 ай бұрын
Unakunja pindo la nguo yako kw chini unalowanisha kwny yale maji ikisha unakamua nguo.
@EddyRajab
@EddyRajab 2 ай бұрын
Hii sehemu clip inakata wakata wallah nimesikitika sana😢
@EddyRajab
@EddyRajab 2 ай бұрын
Unakamua ndani ya maji ama chini?
@user-si3nn4xq1n
@user-si3nn4xq1n Ай бұрын
Asante sana.nataka.namba.yako.baba
@binamun4944
@binamun4944 Ай бұрын
Hayo yote niyangu hakuna hata moja alilosema ambalo halinitokei nikisoma dua usiku kulalaa nasinzia hapohapo😂
@umutoniwaboshakilla9714
@umutoniwaboshakilla9714 6 ай бұрын
Assàlam alayikum Walah màtululah wavalakatuh kama hauna mwEnye munaidhi pamonja unapashwa tengeneza ile Manji WE mwenyewe?
@user-xl1wx3mw9k
@user-xl1wx3mw9k 3 ай бұрын
Assallam ALLAYQUM WARRAHMATULLAH, je kunguni wakiingia nyumbani inaweza kua hasadi???
@saumbliz8983
@saumbliz8983 3 ай бұрын
Uchafu huo fua nguo kama una mtoto akojoa asubui toa godoro inje
@mngwalijuma597
@mngwalijuma597 2 ай бұрын
Alhamdulilag​@@saumbliz8983
@user-lp5zw6bb5d
@user-lp5zw6bb5d 3 ай бұрын
Mimi nina dalili ya kuumwa na mwili joint na mm ni daktari wa kienyeji watu wanapona mm mwenyewe mgonjwa kila mara
@zakiahamid3042
@zakiahamid3042 3 ай бұрын
Asalam alaykumu shekh mm nimeelewa lkn kufanya siwezi nifanye ill unisaidie
@husseinkadawa2846
@husseinkadawa2846 7 ай бұрын
Shekh nilifanya dawa hii nlipiga miayo siku nzima na kuteuka yaan kutoa ges tumbon
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 4 ай бұрын
Tifahamishe kuhusu nguo
@PirfaImanipirfa-vj3oz
@PirfaImanipirfa-vj3oz 5 ай бұрын
Aya mambo yanatisha, asa sheikh wng kama mtu amekusifu kwamba ah bwana umekuwa na unapendeza iyo nayo ni asidi??
@saidanoor7653
@saidanoor7653 Ай бұрын
Assalam aleikum...hapo aliposema kunja nguo yako kipande kimeruka una ikunja nguo alafu una fanya nn ndo ukaogee maji hayo?
@YasryKasanga
@YasryKasanga 7 ай бұрын
Je ninapo jimwagia chooni naluusiwa kusema bismillah
@user-zk9cc9se6u
@user-zk9cc9se6u 3 ай бұрын
Wweza tumia kanga kama mswala
@Nailaty564
@Nailaty564 Ай бұрын
Hapo kwenye kukunja pindo la nguo mbona mmekata
@norahkalunde3845
@norahkalunde3845 2 ай бұрын
Shekh sijaerewa apo kufunga pindo kwa kurhani nierekeze unafanyaje
UKIYAFANYA MAMBO HAYA UNAKUWA TAJIRI | SHEIKH OTHMAN MICHAEL
53:41
QIBLATEIN ONLINE
Рет қаралды 85 М.
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
FUNGUA RIZIKI ZAKO HAPA
46:27
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 56 М.
SIRI HII HAKUNA ATAKAE KWAMBIA, NA KAMA UTAIFANYIA KAZI UTASHANGAA NA MATOKEO YAKE
10:48
MAKUNDI MAWILI SIKU YA KIAMA. - Sheikh Othman Maalim
1:14:45
Arahman Tv Online
Рет қаралды 83 М.
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
Kalamutz
Рет қаралды 85 М.
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН