One thing I love about Frida Amani is her natural look. Look at that sura usuyo na makorombwezo wala kucha bandia. Keep it gal.
@SakinaOmar-rz8zo2 ай бұрын
Pole sana Roselee mapenzi hayana formula ila umetumia akili sana kumove on❤
@kekiplus1andonly2 ай бұрын
Saggy boobs tell a story💯 Wooow this hits hard. People should really stop body shaming women. God bless all mothers🙏
@pendolymo93542 ай бұрын
Nampenda sana rozaree ila nimsaidia kuumia situation alopitia 😢
@patriciacarlo72362 ай бұрын
She's right,❤❤❤
@Asiamohammed13172 ай бұрын
Kuhusu hii story ya wazazi ni issue sana wazazi tunavumilia kisa watoto lakini tunawapa watoto matatizo ya kimwili na kiroho sana sijui nieleze vipi yaani tunapoteza kabisa akili za watoto wooooyi wazazi tuweni makini sana
@annertz99692 ай бұрын
Eeeeh Mwenyezi Mungu niepushe nahawa viumbe wasinipe msongo wa mawazo 😔
@GbpAud_King2 ай бұрын
Fridaa nakupendaa sana
@kekiplus1andonly2 ай бұрын
Nafkiri ifike mahali wanawake tuelewe wanaume hawatupendi,they don't dont care about us,they don't have any regard for us. Kwaiyo ukipata mwanaume anakujali shukuru Mungu,pia ukiona mwanaume hana maana,move on peacefully,usijimalize kiakili ju ya mwanaume,mwisho wa siku you're ur own person,tena especially kama una mtoto,infact unapoamua kuzaa tu kumbuka anything can happen,kwaiyo jiandae kisaikolojia,ni ngumu lakini tutambue uhalisia wa wanaume na tujiandae kisaikolojia kwa yote yanayoweza kutokea
@safiahassan61212 ай бұрын
Mwanaume hajawahi kuwa na upendo kwa mwanamke anahitaji kitu kutoka kwa mwanamke kile ambacho hawezi kukipata kwingine so akishakipata anasepa tu sasa ukishaona mwanaume anakutaka weka mbele mahitaji yako kwanza akiyakamilisha ndo uwe nae ila kwa akili sana
@hawaramadhani69542 ай бұрын
Kunywa soda Kwa mangi utalipa Kwa hela yako❤
@NageMsuya2 ай бұрын
Nawapenda mnooooo
@AnatolliaDesderius2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@sixmundleonard21352 ай бұрын
Frida❤❤ amani nakupenda popote ulpo una nafasi kwenye moyo wngu ❤🎉❤
@Borderonemedia2 ай бұрын
Mmmh 😂😂🤣🤣🤣
@sarahmcharo15482 ай бұрын
eeeh
@janetdundul38582 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@ngwacahnyagwaswa99792 ай бұрын
😂😂😂😂
@tirexp12 ай бұрын
Jamaa anaongea point tupu, sema utekelezaji sasa
@bablayonly2 ай бұрын
#roseree Female king
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
Pole sana nakuelewa snaa nimepitia snaa hiyo nyakat wakujifungua 😢
@dotnatajoseph26202 ай бұрын
Yupo sahihi sana
@guidovadala19652 ай бұрын
She is concious
@Zuhura-od9yg2 ай бұрын
Pole sana lamama 😢
@ilynpayne74912 ай бұрын
Singo maza huwa ni wanawake walio TOXIC usiombe uka date na hao viumbe 😂😂 wanakua na roho mbaya mnoo sabab wame tendwa
@sirajshelali62092 ай бұрын
Sio wote wametendwa,wengine ndio wanatenda watu
@barakakusa76062 ай бұрын
Na wapo ambao wanaupendo wa kweli.
@Mgema0012 ай бұрын
Frida i love u❤
@Jibambeshow254k2 ай бұрын
Sikuhizii hamna cha ndoa watu wapate mimba uzae n kilamtu ashugulike n maishayake kama utampenda sana mwao aya utachukua majukumu ykumlea period hio ndio dunia ya sasa 😂😂😂😂
@tumainichanya32682 ай бұрын
Yaaani huyo dada Frida nimempenda.
@joreen76032 ай бұрын
Nyie acheni mtoto akifanana na baba na baba asiwe na mchango wowote acheniii tuuu ila katik yotee mungu utusaidia
@davidwalalason76302 ай бұрын
Rosa needs someone to talk too
@MohamediKalanje2 ай бұрын
Mimi mpaka leo sijaieelewa hii single mother hii maana ake kwamba ni mama kujipa mimba mwenyew au imekaaj
@happybryce12692 ай бұрын
Si ndo apo sasa.. mtoto ana baba lkn unasema uko peke yko. how
@hijamaulidi73822 ай бұрын
Mtoto kulelewa mbali na baba
@nancyg86642 ай бұрын
@@happybryce1269kua peke yake inatokana na mapito aliyopitia na mzazi mwenzie
@rebbywealth98692 ай бұрын
Baba kutohusika na malezi ya mtoto alieshiriki kumleta duniani
@user-vt4vd5rh8u2 ай бұрын
kiukweli hawa
@sarahmcharo15482 ай бұрын
ahahha rosa kanichekeshaaa jmn eti nyinyi kama mimi
@rahmaoman4702 ай бұрын
😂😂😂😂Rose mapicha picha
@Sha-mgAbiudy2 ай бұрын
Nani kaona "KUSIMUALIA" kweny description 😂😂
@infortainment25572 ай бұрын
Who cares about what the man feels anyway? Born to suffer. God help us. No child, no airtime, no sympathy, only blames from possibly unjust cries. May it be easy for the kid to experience love from both parents in near future.
@angonzamujunangoma87752 ай бұрын
Roza una akili sana dada💪🏽
@vannie-gggg2 ай бұрын
Millard ayo my young sister anakupenda tuliiba diary yake tukakuta kakuandika na kamessage kazito😂
@adnanel-islam32912 ай бұрын
Njaa itawaua😀
@sebastianapolinary2212 ай бұрын
Frida amani 👊
@Zuhura-od9yg2 ай бұрын
😂
@EddahBure-te7ft2 ай бұрын
Yule kaka na kile kitambi nilijua tu hawata toboa 😂
@monicaalute31432 ай бұрын
Nani amemuona roseee anaongea kasauti kama ya wema sepetu
@zabryrose31202 ай бұрын
Hivi Millard kinyozi wako nani lakin?
@masalakulwa76012 ай бұрын
hata mimi sipendi anavyonyoa
@ashurajengela39262 ай бұрын
Yani sijui ananyoa wapi wallah anamnyonyoa mwenzie anakua kama kuku kishingo 😂😂😂🙌🏻
@hamimumankanga53022 ай бұрын
Ebanee, sema olo in olo, frida ni pisi moja hatari sana
@lucyjohn13422 ай бұрын
Kila mtu ana sababu yake so kila kitu usem kwa watu???
@omarybakunda25542 ай бұрын
Kwani masingo mama huwa wanajitomba? Na kujipa mimba? Nimechoshwa na neno singo matha.
@bettymirama40612 ай бұрын
Jitahidi kuwa mstaarabu tumia lugha nzuri
@user-eb4nq5du2q2 ай бұрын
Ungetumia lugha nzuri bas
@veronicahlusekelo52052 ай бұрын
Punguza ukali wa maneno ndugu🙆
@jackiefredrick5862 ай бұрын
Mchukue mtoto mlee mwenyewe ili tukuite single dad