AMPLIFAYA: MAPITO YA ROSA REE ASIMUALIA KUMUACHA MPENZI WAKE AMNUSURU MWANAE “AFYA YA AKILI”

  Рет қаралды 38,221

Millard Ayo

Millard Ayo

2 ай бұрын

Пікірлер: 75
@ericmato9
@ericmato9 2 ай бұрын
One thing I love about Frida Amani is her natural look. Look at that sura usuyo na makorombwezo wala kucha bandia. Keep it gal.
@SakinaOmar-rz8zo
@SakinaOmar-rz8zo 2 ай бұрын
Pole sana Roselee mapenzi hayana formula ila umetumia akili sana kumove on❤
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 ай бұрын
Saggy boobs tell a story💯 Wooow this hits hard. People should really stop body shaming women. God bless all mothers🙏
@pendolymo9354
@pendolymo9354 2 ай бұрын
Nampenda sana rozaree ila nimsaidia kuumia situation alopitia 😢
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 2 ай бұрын
She's right,❤❤❤
@Asiamohammed1317
@Asiamohammed1317 2 ай бұрын
Kuhusu hii story ya wazazi ni issue sana wazazi tunavumilia kisa watoto lakini tunawapa watoto matatizo ya kimwili na kiroho sana sijui nieleze vipi yaani tunapoteza kabisa akili za watoto wooooyi wazazi tuweni makini sana
@annertz9969
@annertz9969 2 ай бұрын
Eeeeh Mwenyezi Mungu niepushe nahawa viumbe wasinipe msongo wa mawazo 😔
@GbpAud_King
@GbpAud_King 2 ай бұрын
Fridaa nakupendaa sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 ай бұрын
Nafkiri ifike mahali wanawake tuelewe wanaume hawatupendi,they don't dont care about us,they don't have any regard for us. Kwaiyo ukipata mwanaume anakujali shukuru Mungu,pia ukiona mwanaume hana maana,move on peacefully,usijimalize kiakili ju ya mwanaume,mwisho wa siku you're ur own person,tena especially kama una mtoto,infact unapoamua kuzaa tu kumbuka anything can happen,kwaiyo jiandae kisaikolojia,ni ngumu lakini tutambue uhalisia wa wanaume na tujiandae kisaikolojia kwa yote yanayoweza kutokea
@safiahassan6121
@safiahassan6121 2 ай бұрын
Mwanaume hajawahi kuwa na upendo kwa mwanamke anahitaji kitu kutoka kwa mwanamke kile ambacho hawezi kukipata kwingine so akishakipata anasepa tu sasa ukishaona mwanaume anakutaka weka mbele mahitaji yako kwanza akiyakamilisha ndo uwe nae ila kwa akili sana
@hawaramadhani6954
@hawaramadhani6954 2 ай бұрын
Kunywa soda Kwa mangi utalipa Kwa hela yako❤
@NageMsuya
@NageMsuya 2 ай бұрын
Nawapenda mnooooo
@AnatolliaDesderius
@AnatolliaDesderius 2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 2 ай бұрын
Frida❤❤ amani nakupenda popote ulpo una nafasi kwenye moyo wngu ❤🎉❤
@Borderonemedia
@Borderonemedia 2 ай бұрын
Mmmh 😂😂🤣🤣🤣
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 2 ай бұрын
eeeh
@janetdundul3858
@janetdundul3858 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@tirexp1
@tirexp1 2 ай бұрын
Jamaa anaongea point tupu, sema utekelezaji sasa
@bablayonly
@bablayonly 2 ай бұрын
#roseree Female king
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 ай бұрын
Pole sana nakuelewa snaa nimepitia snaa hiyo nyakat wakujifungua 😢
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 ай бұрын
Yupo sahihi sana
@guidovadala1965
@guidovadala1965 2 ай бұрын
She is concious
@Zuhura-od9yg
@Zuhura-od9yg 2 ай бұрын
Pole sana lamama 😢
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Singo maza huwa ni wanawake walio TOXIC usiombe uka date na hao viumbe 😂😂 wanakua na roho mbaya mnoo sabab wame tendwa
@sirajshelali6209
@sirajshelali6209 2 ай бұрын
Sio wote wametendwa,wengine ndio wanatenda watu
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 ай бұрын
Na wapo ambao wanaupendo wa kweli.
@Mgema001
@Mgema001 2 ай бұрын
Frida i love u❤
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 2 ай бұрын
Sikuhizii hamna cha ndoa watu wapate mimba uzae n kilamtu ashugulike n maishayake kama utampenda sana mwao aya utachukua majukumu ykumlea period hio ndio dunia ya sasa 😂😂😂😂
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 2 ай бұрын
Yaaani huyo dada Frida nimempenda.
@joreen7603
@joreen7603 2 ай бұрын
Nyie acheni mtoto akifanana na baba na baba asiwe na mchango wowote acheniii tuuu ila katik yotee mungu utusaidia
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 2 ай бұрын
Rosa needs someone to talk too
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 2 ай бұрын
Mimi mpaka leo sijaieelewa hii single mother hii maana ake kwamba ni mama kujipa mimba mwenyew au imekaaj
@happybryce1269
@happybryce1269 2 ай бұрын
Si ndo apo sasa.. mtoto ana baba lkn unasema uko peke yko. how
@hijamaulidi7382
@hijamaulidi7382 2 ай бұрын
Mtoto kulelewa mbali na baba
@nancyg8664
@nancyg8664 2 ай бұрын
​@@happybryce1269kua peke yake inatokana na mapito aliyopitia na mzazi mwenzie
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 2 ай бұрын
Baba kutohusika na malezi ya mtoto alieshiriki kumleta duniani
@user-vt4vd5rh8u
@user-vt4vd5rh8u 2 ай бұрын
kiukweli hawa
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 2 ай бұрын
ahahha rosa kanichekeshaaa jmn eti nyinyi kama mimi
@rahmaoman470
@rahmaoman470 2 ай бұрын
😂😂😂😂Rose mapicha picha
@Sha-mgAbiudy
@Sha-mgAbiudy 2 ай бұрын
Nani kaona "KUSIMUALIA" kweny description 😂😂
@infortainment2557
@infortainment2557 2 ай бұрын
Who cares about what the man feels anyway? Born to suffer. God help us. No child, no airtime, no sympathy, only blames from possibly unjust cries. May it be easy for the kid to experience love from both parents in near future.
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 2 ай бұрын
Roza una akili sana dada💪🏽
@vannie-gggg
@vannie-gggg 2 ай бұрын
Millard ayo my young sister anakupenda tuliiba diary yake tukakuta kakuandika na kamessage kazito😂
@adnanel-islam3291
@adnanel-islam3291 2 ай бұрын
Njaa itawaua😀
@sebastianapolinary221
@sebastianapolinary221 2 ай бұрын
Frida amani 👊
@Zuhura-od9yg
@Zuhura-od9yg 2 ай бұрын
😂
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 2 ай бұрын
Yule kaka na kile kitambi nilijua tu hawata toboa 😂
@monicaalute3143
@monicaalute3143 2 ай бұрын
Nani amemuona roseee anaongea kasauti kama ya wema sepetu
@zabryrose3120
@zabryrose3120 2 ай бұрын
Hivi Millard kinyozi wako nani lakin?
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 2 ай бұрын
hata mimi sipendi anavyonyoa
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 ай бұрын
Yani sijui ananyoa wapi wallah anamnyonyoa mwenzie anakua kama kuku kishingo 😂😂😂🙌🏻
@hamimumankanga5302
@hamimumankanga5302 2 ай бұрын
Ebanee, sema olo in olo, frida ni pisi moja hatari sana
@lucyjohn1342
@lucyjohn1342 2 ай бұрын
Kila mtu ana sababu yake so kila kitu usem kwa watu???
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 2 ай бұрын
Kwani masingo mama huwa wanajitomba? Na kujipa mimba? Nimechoshwa na neno singo matha.
@bettymirama4061
@bettymirama4061 2 ай бұрын
Jitahidi kuwa mstaarabu tumia lugha nzuri
@user-eb4nq5du2q
@user-eb4nq5du2q 2 ай бұрын
Ungetumia lugha nzuri bas
@veronicahlusekelo5205
@veronicahlusekelo5205 2 ай бұрын
Punguza ukali wa maneno ndugu🙆
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 2 ай бұрын
Mchukue mtoto mlee mwenyewe ili tukuite single dad
@joreen7603
@joreen7603 2 ай бұрын
We nae unaitaj elim
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 14 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 62 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 3,7 МЛН
SUZI BALE: SIMJUI ZAI KIJIWE NONGWA| KIGODORO NAVAA NA KISHEPU CHA UCHOKOZI
14:21
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 14 МЛН