Mwanamke hawajibiki kulisha familia, kulipa ada na zingine vingi, Ni jukumu la kila Mwanaume, na ndoa ili iwe TAMU , Mke awe mjakazi Kwa Mumewe na Mume awe mtumwa Kwa Mkewe
@user-wh7gj9ug9s2 ай бұрын
Nimewapenda hamna presha na maongezi
@NANCYWARD4882 ай бұрын
Mke bora. Anapenda Mume na watoto pia. Lakini Hapiki kwa wakati. Watoto nguo za shule hazina usafi wa kutosha. Nyumba hata pazia hazina mpangilio. Vyombo usiku vinalala vichafu. Huyo sio Mama bora. Anampenda Mumewe Ana msikiliz Mumewe Hana hekaheka za Mtaani. Ham cheat Mumewe
@user-sv2uj8ty9p2 ай бұрын
True
@bina25572 ай бұрын
Mimi natoa taarifa pia😂😂😂
@aleyidukury83332 ай бұрын
Frida ww unaendaga kutafuta kwajil ya familia unaweza
Mimi naomba niongee kitu hapo kwenye swala ya kutafuta, mimi naishi marekani ambako wanaaminisha wanawake kua mwanamk na mwanaum ni sawa yaani 50/50 lakini likija swala la majukumu kisheria bado wanakuambia mali za baba niza wote lakini za mama ni zake hapo ndo utajua ni jukumu letu kutafuta so ukweli usiopingika ni kwamba ni jukumu la mwanaum kutafuta na sio la mwanamk, so kwa mwanaum yoyte anayejitambua ni lazima atimize jukumu lake la kutafuta na mama ni sehemu tu ya kuchangia kwa kile anacholeta baba.
@aishajuma78132 ай бұрын
Ila nyieeh😀😀😀😀😀
@joesimba2 ай бұрын
7:27 "mhhh na ni very ok" 😅
@user-tf5mm2fn3p2 ай бұрын
Mpenzi ,wazazi. Kote huombi ruhusa. Adabu 0
@hellenmroso67862 ай бұрын
Eti mke bora awapende mawifi😂😂😂
@gloryprotas10432 ай бұрын
Mm nilienda zanzbar hata nyumban sikusema nilisema baada ya miez miwili tena nikasema mm sahv sipo tena tanga nimepata connection kwamwalim wangu wa chuo tna nilituma mesej fullstop😅😅😅😅
@MosessMaganga2 ай бұрын
Yani vido mumebora ni mtu Ambae anakupenda ww saana kila ukitakacho unapata ila tuu ukisha Kua na ujauzito uliofikisha miezi Saba anakua mvivu kwakoTena ukijifungua tuu ndio anakuja nyumban kwa mwez maramoja ukweli apo anasua sua kwa majukum uzazi ndipo seem ya matumizi mengi ya pesa,
@joshemman5202 ай бұрын
kuna tofauti ya matunzo na malezi....mfano kumpa mtoto shule bora, chalula na hata mavazi hamaanishi ndio malezi bora hapo ndio utapata mume bora ambaye sio baba bora
@khamisshee8032 ай бұрын
Frida mjinga Sana 😂😂😂 Ati mume anazaalisha njee ale mtt apate kuambia c mke Bura nimeipenda Sana AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@pascalmgassa84412 ай бұрын
Huyu dada Jeuri hafai kuwa mke Ana kiburi
@dianamlagwa93832 ай бұрын
Frida 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@user-sg6ez3cf1f2 ай бұрын
Millard unaonaje kuanzisha Moja segment inayohusiana na kuonyesha fursa mbalimbali za Ajira kwa vijana kupitia taasisi au makampuni au sehemu mbalimbali kuzitembelea kwa kuzionyesha kupitia kamera zenu
@user-sg6ez3cf1f2 ай бұрын
Asante!
@bina25572 ай бұрын
Mnatafuta ajira hapahapa TZ ama wapi😂😂
@user-sg6ez3cf1f2 ай бұрын
Hata ingewezekana nje ya hapa MR MIllard
@bina25572 ай бұрын
@@user-sg6ez3cf1f saivi uhaba wa ajira ni mkubwa sana kazi ndio zipo ila ajira amna
@EvaJuakaliTV2 ай бұрын
Wazo zuri @millardayo njoo uone
@spency23712 ай бұрын
Na mm ni fridah kabisaa niko zangu kitaa napambana
@ngwacahnyagwaswa99792 ай бұрын
Yaani Frida unanichekesha😂😂 yu r such a genius kudadavua staffs
@aggreyyonna59252 ай бұрын
Unavyo cheka kama ngumu😂😂😂😂
@user-nc4ko3qz7t2 ай бұрын
Rrida kanicheksh mwisha wa hii video yani kajitetea hawez leo watot wa shigaak❤😂😂😂😂😂😂hawez iy
@pikanaauntzuu14662 ай бұрын
Mi nilikuwa nimekaa muda mrefu single kwa miaka 4 nilipamua kuwa kwenye mahusiao jamaa akawa anataka nimuage hata km natoka nje ya nyumban yani hata km naenda beach 😂😂😂😂sasa bac mi hizo sijazoea kbs nimezoe nakurupuka km chafya huyoooo sasa akawaakinipigia namwambia sipo nyumban nipo kwa bro wangu nimelala huku😂😂😂😂anasema sinilikuwa uwe unaniambia km unatoka nilichomwambia we zoea tu na mie nitajitahidi nizoee kuupa taarifa km natoka