Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza

  Рет қаралды 104,199

Joel Nanauka

Joel Nanauka

6 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 127
@nahorichenda7225
@nahorichenda7225 5 жыл бұрын
Nafuatilia sana mafundisho yako. Naomba uwe my life coach.
@LilianFelix-my1ew
@LilianFelix-my1ew 17 күн бұрын
Habar kaka Joel Nanauka. Nimejifunza kitu kikubwa Sanaa hasa kwenye eneo lakujiwekea akiba kaka. Nimeanza kujiwekea elfu kumi kila siku mpaka mwaka 2027 bila kuzitumia.nimetenga matumizi yangu na kuweka iyo akiba bila kuigusa kataka 2027 nipanue biashara yangu kwa izo akiba kaka.nitakua na million kumi naaa Mungu anisimamie kwailo .
@samsonkasaki4549
@samsonkasaki4549 3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mkuu! You've a blessed mind. Thanks to Lord!
@mtumesamsonyoutube5051
@mtumesamsonyoutube5051 6 жыл бұрын
Uko sahihi barikiwa sana
@michaelkakuja893
@michaelkakuja893 5 жыл бұрын
Excellent,,,,,!!! You are an invisible man who knows the secret of the secret world. Keep opening the eyes of God' s people.
@chieffofofoodinternational4102
@chieffofofoodinternational4102 5 ай бұрын
nashukuru Sana kiongozi umefanya Sasa nijue muelekeo wangu wa maisha ni upi almost for years nimefanya kazi lakn hakuna nilicho ambulia but Sasa ni wakati wa kubadilika kwangu
@salumselemani1059
@salumselemani1059 2 жыл бұрын
Wewe ni Mwamba xana Nanauka, kazi mzuri Mkuu.
@reginaldipeter2272
@reginaldipeter2272 2 жыл бұрын
Halleluyah Pastor Joel NANAUKA Naomba nikuone MTU WA MUNGU Nahitaji Ushauri wako nipo hapa DAR
@bitcoinandforex1001
@bitcoinandforex1001 2 ай бұрын
huyu sio pastor, ni coach 😊😊😊😊😊😊
@Eliasphilipoh
@Eliasphilipoh 13 күн бұрын
Daaaaah thanks brother nimeelew man me student issue iyo inanikuta sana tu, So now nishaipata "5rules" ❤
@user-ve8wj4pl1b
@user-ve8wj4pl1b 4 ай бұрын
Habar mkuu kweli nimeipenda na mm nataka kuanza kuweka malengo na muda japo sahiv nimeajiriwa
@filbertsulusi8963
@filbertsulusi8963 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu kwakweli unaelimisha jamii vizuri sana.sio siri wengi tunaishi bila malengo
@kennedykagashani1818
@kennedykagashani1818 Жыл бұрын
Amina Brother Nanauka. I will become the best International Author and Speaker one day..!
@abdornephotidas3848
@abdornephotidas3848 6 жыл бұрын
Dah!!! Joel unaweza sana, we ni kichwa. Hongera, Mungu akubariki.
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 жыл бұрын
Asante my mentor
@maryraphael7810
@maryraphael7810 6 жыл бұрын
asante,kaka ila studio si muache kupigapiga Ka mziki kwani lazima,kanaondoa kumuelewa MTU vizuri.
@leodavid5714
@leodavid5714 6 жыл бұрын
Great sound, lord bless you for everything, long life strong health
@stephanobusanda4668
@stephanobusanda4668 6 жыл бұрын
I real understood, may God bls you
@jamesricardo7557
@jamesricardo7557 Жыл бұрын
Nimeelewa Sana hii sasa Mimi kwaupande wangu Mungu amenijalia vipawa vingi nitajuaje nikipawa gani mafanikio yangu yalipo teacher J nanauke nisaidie.
@bestcakes7098
@bestcakes7098 6 жыл бұрын
Asante sana kaka, nafikiri nahitaji ushauri zaidi
@rizikifumao3685
@rizikifumao3685 6 жыл бұрын
Asante kaka kwa kunijaza maarifa
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Ahsante mkuu
@ashabakke4733
@ashabakke4733 5 жыл бұрын
Asante sana. Kwa kweli itasaidia Sana. Wengine tunahitaji kusukumwa.
@eliasbufula6290
@eliasbufula6290 5 жыл бұрын
Safi sana umenigusa vizuri muno.
@munahhaji474
@munahhaji474 6 жыл бұрын
Barikiwa joel unanifanya kila siku kujifunza kupitia ww
@josephstar240
@josephstar240 4 жыл бұрын
Napea madini mengi kutoka kwako, Asante una badirisha sehemu kubwa ya life style yangu
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Nauza mosquite killer lamp 🚿 njoo watssap 0788562260 Andika LAMP
@kivaulakivaula8354
@kivaulakivaula8354 3 жыл бұрын
Madini adimu haya bro, asante sana
@anteliusygregory7715
@anteliusygregory7715 3 жыл бұрын
Respect sir
@mdtv2625
@mdtv2625 6 жыл бұрын
you are so brilliant God will bless you, everyday you are coming with a new things and its a food for brain.
@user-pg8rb1bq6y
@user-pg8rb1bq6y 5 ай бұрын
god bless you brother by carlos
@mabulakenedy704
@mabulakenedy704 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana bro upo vzr
@edwinmtawa563
@edwinmtawa563 3 жыл бұрын
Ahsante mwalimu wang
@mericktamba7981
@mericktamba7981 2 жыл бұрын
Thanxsss...brzaa.....💥💥💥💥💥💥💫💫💫
@lucyemmanuel4236
@lucyemmanuel4236 6 жыл бұрын
Asante kaka j
@emakiwalwakwanzatz8204
@emakiwalwakwanzatz8204 5 жыл бұрын
Shukran sana kaka nimejifunza mengi sana toka kwako
@feedomcharles4722
@feedomcharles4722 4 жыл бұрын
ubarikiwe
@sipembapaul8262
@sipembapaul8262 5 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@upendofrank4917
@upendofrank4917 4 жыл бұрын
thanks so much brother
@pamafdebossgal9108
@pamafdebossgal9108 6 жыл бұрын
shukran bro
@kelvinkisigiro1556
@kelvinkisigiro1556 5 жыл бұрын
Nimejifunza vitu tofauti kwenye maisha sasa ninafikiri nje ya box,, Mungu akubariki sana,ili tuweze kubadilisha Tanzania 🇹🇿 yetu na kuwa miongoni mwa nchi bora duniani… →
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Hapa nimejifuza mambomeghi sana yani kweli waeleweka kakanghu mughuakuzidishiye neema kwamafunzoyako
@nehemiabalibutsa3319
@nehemiabalibutsa3319 5 жыл бұрын
Asante kaka.
@esternyella6939
@esternyella6939 5 жыл бұрын
ni kweli kaka Joel
@happymbare2770
@happymbare2770 6 жыл бұрын
asnte kaka angu n kweli kbxa bora uishi kwa uwez wako
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Nauza mosquite killer lamp 🚿 watssap 07 88 5622 60
@charlesmarwa5914
@charlesmarwa5914 6 жыл бұрын
kaka joel una madini ya thamani kila siku unakuja na madini kuntu!ubarikiwe sana uzidi kutuelemisha ntakutafuta kaka!
@florahnguma1458
@florahnguma1458 2 жыл бұрын
Your the best
@jlxninejninekapinga4614
@jlxninejninekapinga4614 Жыл бұрын
Endelea unavutia katika nafasi ya uwalim
@christianjuniortiger38
@christianjuniortiger38 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@getrudenyamvula3511
@getrudenyamvula3511 6 жыл бұрын
sure ishi kwa uwezo wako
@abdillahabasi8174
@abdillahabasi8174 Жыл бұрын
Kabsa
@masterkeymwakalanje536
@masterkeymwakalanje536 Жыл бұрын
Sawaaaaaa
@kelvinkisigiro1556
@kelvinkisigiro1556 5 жыл бұрын
Kaka Joel umenisaidia kujifunza vitu tofauti kwenye sasa ninafikiri nje ya box, Mungu akubariki kaka
@user-sq6kn2nm2z
@user-sq6kn2nm2z 6 ай бұрын
Mimi ni mwanafunzi nilikuwa nafaula physics kuliko wote hadi maks 90 lakini saivi na feli physics sijui sababu
@laanyukoone9480
@laanyukoone9480 Жыл бұрын
Natamani sana siku moja ningekutana na wewe lives nafikiri nitaweza kubadilika na kuishi kusudi langu kwa Mungu. Kama una class la kuwamentor nisaidie.
@simonfredy2324
@simonfredy2324 6 жыл бұрын
Shukran Sana kaka.....!!
@mcmwanyonga4623
@mcmwanyonga4623 5 жыл бұрын
Nakubali sana
@korirkiprop5188
@korirkiprop5188 5 жыл бұрын
best motivational advice my brother
@godsonsanga1688
@godsonsanga1688 3 жыл бұрын
Tunashukur sn kwa mafundixho yko
@dulaismail6463
@dulaismail6463 5 жыл бұрын
Napenda saaana kujifunza naamin ntafanukiwa
@Usawa_phonetech
@Usawa_phonetech 5 жыл бұрын
Hongera
@anethnico4537
@anethnico4537 5 жыл бұрын
da imeisha bado hajamaliza yaani ubalikiwe tunaomba hivi kama utatengeneza dvd utatusaidia sana
@user-gv4pc9if2u
@user-gv4pc9if2u 2 ай бұрын
Yap
@Mr_Sangwa
@Mr_Sangwa Жыл бұрын
Joel mimi najenga biashara yangu mtandaoni je nifanyaje ili nijenge core genius yangu mtandaoni
@marigemsando1678
@marigemsando1678 3 жыл бұрын
God bless you broo.
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 жыл бұрын
Nadhani nipo kwenye kundi no 1 ambalo nimefanya kaz nnayoipenda kwenye shirika Fulani ,lakini nilikuwa sipati malipo kama inavyotakiwa,mim binafs niliacha kutokana na msukumo niliokuwa nao ndani,mana niliona ndoto yangu itakufa nisiposimama mim binafs,hivyo pamoja na changamoto,nilisimama imara zaid na nna mpango wa kufungua kitu changu binafs
@sarahmhina4359
@sarahmhina4359 5 жыл бұрын
Barikiwa sana
@niyonzimafafa2501
@niyonzimafafa2501 3 жыл бұрын
Asante sana
@yaseenbaltazar4320
@yaseenbaltazar4320 3 жыл бұрын
I got u brother
@rehemagunda3968
@rehemagunda3968 3 жыл бұрын
Kweli kaka
@mamawa3388
@mamawa3388 5 жыл бұрын
ni kweli ila watu hawana uaminifu unapompa mtu akufanyie jambo wanakuharibia ndio mana mtu anaamua kufanya mwenyewe kila jambo.tupe njia ya kufanya usiweze kuharibiwa mambo yako
@hekimamgeni5831
@hekimamgeni5831 4 жыл бұрын
Asante kaka
@emmanuelslvestery9340
@emmanuelslvestery9340 5 жыл бұрын
yes
@vicentwilbert9567
@vicentwilbert9567 5 жыл бұрын
Kaka mungu akubariki sana na nakutakia viatu vyako
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 5 жыл бұрын
Nikilala, nikiamka, nikitembea, nikikaa sauti yako inanizunguka akilini. Umekuwa breakfast kaka Nanauka. Naendelea kukufatilia, sijaongea bado, nitakuja kuongea, Kwasasa bado najifunza.
@hamadisalum2759
@hamadisalum2759 5 жыл бұрын
sumi odilo m
@josephkesoy6225
@josephkesoy6225 3 жыл бұрын
Safi
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 2 жыл бұрын
Hapo mwishoni umeniacha, kama hao watu sahihi wa kuwapa hilo jukumu hawapo kabisa... yaani una watu mizigo, kila kazi kwake hajui....inakuwaje?
@eliaichiobrey2204
@eliaichiobrey2204 6 ай бұрын
Niko Kilimanjaro natamani kuja kwenye seminar yako
@Usawa_phonetech
@Usawa_phonetech 4 жыл бұрын
Nataka kuuliza swali
@micahfurniture
@micahfurniture 5 жыл бұрын
vitabu vyako vinapatkan wap
@njalaboy9113
@njalaboy9113 6 жыл бұрын
Ni kwel kaka
@peterfujokalogi7821
@peterfujokalogi7821 6 жыл бұрын
Nimeipenda
@ibrahmscauma2145
@ibrahmscauma2145 5 жыл бұрын
Brother nahitaj kukutan na wew
@eliazalyemmanuel9478
@eliazalyemmanuel9478 5 жыл бұрын
Peter Edward god
@filbertsulusi8963
@filbertsulusi8963 3 жыл бұрын
nimekujua kupitia rafika yangu nimekukubali
@tembomelody5407
@tembomelody5407 2 жыл бұрын
I've unajua we mtu ni jiniaz
@cresensiandimbo4195
@cresensiandimbo4195 6 жыл бұрын
Kweli wewe kaka kuwa TO ilikuwa halali yako kabisa ,nakukubali sana bri
@meinhardallois894
@meinhardallois894 6 жыл бұрын
Joel nakukubari sana kwauwezo wako
@rithamtui8865
@rithamtui8865 5 жыл бұрын
dahh!! ukoo vzury kaka naomba namba zako
@mohammedmshiraz75
@mohammedmshiraz75 3 жыл бұрын
100%
@Usawa_phonetech
@Usawa_phonetech 4 жыл бұрын
Kwa mfano
@bunayahussein3060
@bunayahussein3060 2 жыл бұрын
Mister joel, nipo tofaut na ww kidogo!!?ni bora ufanye kilakitu ili ukifel usije kujuta ni kwanin hukufanya baadhi ya vitu fulan....!!!
@miriamelly8782
@miriamelly8782 5 жыл бұрын
umenigusaaa..
@pendohumphrey9533
@pendohumphrey9533 6 жыл бұрын
Serengeti hotel
@lilykessy6284
@lilykessy6284 6 жыл бұрын
Kuna mtu ukimualika semina/warsha ya ujasiriamali au kitu cha muhimu anapuuza lkn vishughuli visivyo na tuja hakosi hata kimoja,,,nmejifunza kitu
@andreofficiel24
@andreofficiel24 3 жыл бұрын
Nafanya kazi kubwa ila mshaala wng mndogo so! Sijuw nifanye nn bro
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
KAZI gn UNAFANYA boy wassap 0788 5622 60
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
😪🙏
@oranwateroranwater6356
@oranwateroranwater6356 5 жыл бұрын
Nanauka
@danielkyambokisambati1753
@danielkyambokisambati1753 5 жыл бұрын
kaka mm ufanyagii kazi Wang katka kuajiriwa kwangu kaka nikwamba nikiingia kwenye kazi nakuta nafanya vitu ambavyo vinafnya watu kkubali na kuelewa na wingine wananiambia kwamba Nina kitu Cha utofauti nisicho kijua mfano nimeajiriwa ofisin Wateja wanaongezeka na faida zinaongezeka labda unakuta kazi iliyum a
@abelmwilapwa1111
@abelmwilapwa1111 4 жыл бұрын
Kitabu napataje nipo kigoma kasulu mjini ...msaada tafadhar
@williameliakim8595
@williameliakim8595 Жыл бұрын
Vitabuu tunapataa wapiii?
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Yani kama meme ninavyo penda kufanya sanaa Ya maigizo 😪🤦‍♀️ila sijapata nafasi???
@tatu3tatu549
@tatu3tatu549 2 жыл бұрын
Hongera Nanauka
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq 11 күн бұрын
Safi
@dulaismail6463
@dulaismail6463 5 жыл бұрын
Nina namba ako mkuu lkn whatsapp aipatikan nnaomba unitumie inayo patikana
@olivermfinanga1268
@olivermfinanga1268 3 жыл бұрын
Kak kila unachokifundsha hcho ni kwa ajl yng
@nelsonsamwel6065
@nelsonsamwel6065 6 жыл бұрын
Kweli kaka mwenyewe huwa ni mwepesi kuelewa jambo lakin huwa ni muoga kulielezea jambo lenyewe nmekuelewa kaka ahsante am your friend on instagram @officialnelly_jux
@vincentmuli4283
@vincentmuli4283 6 жыл бұрын
Nelson Samwel Asante sana kwa kuendelea kutulisha maarifa ya kimaisha,ubarikiwe sana.
@christinaekonia8976
@christinaekonia8976 5 жыл бұрын
Nataman kujua zaid
@boniphacemgolozi9417
@boniphacemgolozi9417 5 жыл бұрын
natatizo la kutotimiza malengo
@robertmagige6800
@robertmagige6800 4 жыл бұрын
Nahitaji Kitabu cha timiza malengo yako
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
ROBERT MAGIGE karibu sana tuwasiliane 0745-252670 au +255 68 305 2686
Kanuni Za Kuwa Na  Furaha Siku Zote: 40/10/50
26:54
Joel Nanauka
Рет қаралды 80 М.
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 8 МЛН
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 178 МЛН
СНЕЖКИ ЛЕТОМ?? #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Stupid Barry Find Mellstroy in Escape From Prison Challenge
00:29
Garri Creative
Рет қаралды 21 МЛН
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 10 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO   JOEL NANAUKA EPISODE 03
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 7 М.
Dr. Chris Mauki : Hakikisheni Mmeyazungumza Haya Kabla Ya Kuoana
11:10
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 16 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 153 М.
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
Joel Nanauka
Рет қаралды 118 М.
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 8 МЛН