Nafuatilia sana mafundisho yako. Naomba uwe my life coach.
@LilianFelix-my1ew17 күн бұрын
Habar kaka Joel Nanauka. Nimejifunza kitu kikubwa Sanaa hasa kwenye eneo lakujiwekea akiba kaka. Nimeanza kujiwekea elfu kumi kila siku mpaka mwaka 2027 bila kuzitumia.nimetenga matumizi yangu na kuweka iyo akiba bila kuigusa kataka 2027 nipanue biashara yangu kwa izo akiba kaka.nitakua na million kumi naaa Mungu anisimamie kwailo .
@samsonkasaki45493 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mkuu! You've a blessed mind. Thanks to Lord!
@mtumesamsonyoutube50516 жыл бұрын
Uko sahihi barikiwa sana
@michaelkakuja8935 жыл бұрын
Excellent,,,,,!!! You are an invisible man who knows the secret of the secret world. Keep opening the eyes of God' s people.
@chieffofofoodinternational41025 ай бұрын
nashukuru Sana kiongozi umefanya Sasa nijue muelekeo wangu wa maisha ni upi almost for years nimefanya kazi lakn hakuna nilicho ambulia but Sasa ni wakati wa kubadilika kwangu
@salumselemani10592 жыл бұрын
Wewe ni Mwamba xana Nanauka, kazi mzuri Mkuu.
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
Halleluyah Pastor Joel NANAUKA Naomba nikuone MTU WA MUNGU Nahitaji Ushauri wako nipo hapa DAR
@bitcoinandforex10012 ай бұрын
huyu sio pastor, ni coach 😊😊😊😊😊😊
@Eliasphilipoh13 күн бұрын
Daaaaah thanks brother nimeelew man me student issue iyo inanikuta sana tu, So now nishaipata "5rules" ❤
@user-ve8wj4pl1b4 ай бұрын
Habar mkuu kweli nimeipenda na mm nataka kuanza kuweka malengo na muda japo sahiv nimeajiriwa
@filbertsulusi89633 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu kwakweli unaelimisha jamii vizuri sana.sio siri wengi tunaishi bila malengo
@kennedykagashani1818 Жыл бұрын
Amina Brother Nanauka. I will become the best International Author and Speaker one day..!
@abdornephotidas38486 жыл бұрын
Dah!!! Joel unaweza sana, we ni kichwa. Hongera, Mungu akubariki.
@enockkagomba12614 жыл бұрын
Asante my mentor
@maryraphael78106 жыл бұрын
asante,kaka ila studio si muache kupigapiga Ka mziki kwani lazima,kanaondoa kumuelewa MTU vizuri.
@leodavid57146 жыл бұрын
Great sound, lord bless you for everything, long life strong health
@stephanobusanda46686 жыл бұрын
I real understood, may God bls you
@jamesricardo7557 Жыл бұрын
Nimeelewa Sana hii sasa Mimi kwaupande wangu Mungu amenijalia vipawa vingi nitajuaje nikipawa gani mafanikio yangu yalipo teacher J nanauke nisaidie.
@bestcakes70986 жыл бұрын
Asante sana kaka, nafikiri nahitaji ushauri zaidi
@rizikifumao36856 жыл бұрын
Asante kaka kwa kunijaza maarifa
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Ahsante mkuu
@ashabakke47335 жыл бұрын
Asante sana. Kwa kweli itasaidia Sana. Wengine tunahitaji kusukumwa.
@eliasbufula62905 жыл бұрын
Safi sana umenigusa vizuri muno.
@munahhaji4746 жыл бұрын
Barikiwa joel unanifanya kila siku kujifunza kupitia ww
@josephstar2404 жыл бұрын
Napea madini mengi kutoka kwako, Asante una badirisha sehemu kubwa ya life style yangu
you are so brilliant God will bless you, everyday you are coming with a new things and its a food for brain.
@user-pg8rb1bq6y5 ай бұрын
god bless you brother by carlos
@mabulakenedy7045 жыл бұрын
Ubarikiwe sana bro upo vzr
@edwinmtawa5633 жыл бұрын
Ahsante mwalimu wang
@mericktamba79812 жыл бұрын
Thanxsss...brzaa.....💥💥💥💥💥💥💫💫💫
@lucyemmanuel42366 жыл бұрын
Asante kaka j
@emakiwalwakwanzatz82045 жыл бұрын
Shukran sana kaka nimejifunza mengi sana toka kwako
@feedomcharles47224 жыл бұрын
ubarikiwe
@sipembapaul82625 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@upendofrank49174 жыл бұрын
thanks so much brother
@pamafdebossgal91086 жыл бұрын
shukran bro
@kelvinkisigiro15565 жыл бұрын
Nimejifunza vitu tofauti kwenye maisha sasa ninafikiri nje ya box,, Mungu akubariki sana,ili tuweze kubadilisha Tanzania 🇹🇿 yetu na kuwa miongoni mwa nchi bora duniani… →
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Hapa nimejifuza mambomeghi sana yani kweli waeleweka kakanghu mughuakuzidishiye neema kwamafunzoyako
@nehemiabalibutsa33195 жыл бұрын
Asante kaka.
@esternyella69395 жыл бұрын
ni kweli kaka Joel
@happymbare27706 жыл бұрын
asnte kaka angu n kweli kbxa bora uishi kwa uwez wako
kaka joel una madini ya thamani kila siku unakuja na madini kuntu!ubarikiwe sana uzidi kutuelemisha ntakutafuta kaka!
@florahnguma14582 жыл бұрын
Your the best
@jlxninejninekapinga4614 Жыл бұрын
Endelea unavutia katika nafasi ya uwalim
@christianjuniortiger385 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@getrudenyamvula35116 жыл бұрын
sure ishi kwa uwezo wako
@abdillahabasi8174 Жыл бұрын
Kabsa
@masterkeymwakalanje536 Жыл бұрын
Sawaaaaaa
@kelvinkisigiro15565 жыл бұрын
Kaka Joel umenisaidia kujifunza vitu tofauti kwenye sasa ninafikiri nje ya box, Mungu akubariki kaka
@user-sq6kn2nm2z6 ай бұрын
Mimi ni mwanafunzi nilikuwa nafaula physics kuliko wote hadi maks 90 lakini saivi na feli physics sijui sababu
@laanyukoone9480 Жыл бұрын
Natamani sana siku moja ningekutana na wewe lives nafikiri nitaweza kubadilika na kuishi kusudi langu kwa Mungu. Kama una class la kuwamentor nisaidie.
@simonfredy23246 жыл бұрын
Shukran Sana kaka.....!!
@mcmwanyonga46235 жыл бұрын
Nakubali sana
@korirkiprop51885 жыл бұрын
best motivational advice my brother
@godsonsanga16883 жыл бұрын
Tunashukur sn kwa mafundixho yko
@dulaismail64635 жыл бұрын
Napenda saaana kujifunza naamin ntafanukiwa
@Usawa_phonetech5 жыл бұрын
Hongera
@anethnico45375 жыл бұрын
da imeisha bado hajamaliza yaani ubalikiwe tunaomba hivi kama utatengeneza dvd utatusaidia sana
@user-gv4pc9if2u2 ай бұрын
Yap
@Mr_Sangwa Жыл бұрын
Joel mimi najenga biashara yangu mtandaoni je nifanyaje ili nijenge core genius yangu mtandaoni
@marigemsando16783 жыл бұрын
God bless you broo.
@claraprosper86425 жыл бұрын
Nadhani nipo kwenye kundi no 1 ambalo nimefanya kaz nnayoipenda kwenye shirika Fulani ,lakini nilikuwa sipati malipo kama inavyotakiwa,mim binafs niliacha kutokana na msukumo niliokuwa nao ndani,mana niliona ndoto yangu itakufa nisiposimama mim binafs,hivyo pamoja na changamoto,nilisimama imara zaid na nna mpango wa kufungua kitu changu binafs
@sarahmhina43595 жыл бұрын
Barikiwa sana
@niyonzimafafa25013 жыл бұрын
Asante sana
@yaseenbaltazar43203 жыл бұрын
I got u brother
@rehemagunda39683 жыл бұрын
Kweli kaka
@mamawa33885 жыл бұрын
ni kweli ila watu hawana uaminifu unapompa mtu akufanyie jambo wanakuharibia ndio mana mtu anaamua kufanya mwenyewe kila jambo.tupe njia ya kufanya usiweze kuharibiwa mambo yako
@hekimamgeni58314 жыл бұрын
Asante kaka
@emmanuelslvestery93405 жыл бұрын
yes
@vicentwilbert95675 жыл бұрын
Kaka mungu akubariki sana na nakutakia viatu vyako
Hapo mwishoni umeniacha, kama hao watu sahihi wa kuwapa hilo jukumu hawapo kabisa... yaani una watu mizigo, kila kazi kwake hajui....inakuwaje?
@eliaichiobrey22046 ай бұрын
Niko Kilimanjaro natamani kuja kwenye seminar yako
@Usawa_phonetech4 жыл бұрын
Nataka kuuliza swali
@micahfurniture5 жыл бұрын
vitabu vyako vinapatkan wap
@njalaboy91136 жыл бұрын
Ni kwel kaka
@peterfujokalogi78216 жыл бұрын
Nimeipenda
@ibrahmscauma21455 жыл бұрын
Brother nahitaj kukutan na wew
@eliazalyemmanuel94785 жыл бұрын
Peter Edward god
@filbertsulusi89633 жыл бұрын
nimekujua kupitia rafika yangu nimekukubali
@tembomelody54072 жыл бұрын
I've unajua we mtu ni jiniaz
@cresensiandimbo41956 жыл бұрын
Kweli wewe kaka kuwa TO ilikuwa halali yako kabisa ,nakukubali sana bri
@meinhardallois8946 жыл бұрын
Joel nakukubari sana kwauwezo wako
@rithamtui88655 жыл бұрын
dahh!! ukoo vzury kaka naomba namba zako
@mohammedmshiraz753 жыл бұрын
100%
@Usawa_phonetech4 жыл бұрын
Kwa mfano
@bunayahussein30602 жыл бұрын
Mister joel, nipo tofaut na ww kidogo!!?ni bora ufanye kilakitu ili ukifel usije kujuta ni kwanin hukufanya baadhi ya vitu fulan....!!!
@miriamelly87825 жыл бұрын
umenigusaaa..
@pendohumphrey95336 жыл бұрын
Serengeti hotel
@lilykessy62846 жыл бұрын
Kuna mtu ukimualika semina/warsha ya ujasiriamali au kitu cha muhimu anapuuza lkn vishughuli visivyo na tuja hakosi hata kimoja,,,nmejifunza kitu
@andreofficiel243 жыл бұрын
Nafanya kazi kubwa ila mshaala wng mndogo so! Sijuw nifanye nn bro
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
KAZI gn UNAFANYA boy wassap 0788 5622 60
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
😪🙏
@oranwateroranwater63565 жыл бұрын
Nanauka
@danielkyambokisambati17535 жыл бұрын
kaka mm ufanyagii kazi Wang katka kuajiriwa kwangu kaka nikwamba nikiingia kwenye kazi nakuta nafanya vitu ambavyo vinafnya watu kkubali na kuelewa na wingine wananiambia kwamba Nina kitu Cha utofauti nisicho kijua mfano nimeajiriwa ofisin Wateja wanaongezeka na faida zinaongezeka labda unakuta kazi iliyum a
@abelmwilapwa11114 жыл бұрын
Kitabu napataje nipo kigoma kasulu mjini ...msaada tafadhar
@williameliakim8595 Жыл бұрын
Vitabuu tunapataa wapiii?
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Yani kama meme ninavyo penda kufanya sanaa Ya maigizo 😪🤦♀️ila sijapata nafasi???
@tatu3tatu5492 жыл бұрын
Hongera Nanauka
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq11 күн бұрын
Safi
@dulaismail64635 жыл бұрын
Nina namba ako mkuu lkn whatsapp aipatikan nnaomba unitumie inayo patikana
@olivermfinanga12683 жыл бұрын
Kak kila unachokifundsha hcho ni kwa ajl yng
@nelsonsamwel60656 жыл бұрын
Kweli kaka mwenyewe huwa ni mwepesi kuelewa jambo lakin huwa ni muoga kulielezea jambo lenyewe nmekuelewa kaka ahsante am your friend on instagram @officialnelly_jux
@vincentmuli42836 жыл бұрын
Nelson Samwel Asante sana kwa kuendelea kutulisha maarifa ya kimaisha,ubarikiwe sana.
@christinaekonia89765 жыл бұрын
Nataman kujua zaid
@boniphacemgolozi94175 жыл бұрын
natatizo la kutotimiza malengo
@robertmagige68004 жыл бұрын
Nahitaji Kitabu cha timiza malengo yako
@joelnanauka4 жыл бұрын
ROBERT MAGIGE karibu sana tuwasiliane 0745-252670 au +255 68 305 2686