No video

ANAPOISHI WASTARA SAJUKI/ AONESHA UFUNDI WA MAPISHI AKIWA JIKONI/ MUME WANGU ALIOA WAKE 9

  Рет қаралды 71,304

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 339
@nurumasha
@nurumasha 3 ай бұрын
Sema nimempenda mtangazaji anajua kujishughulisha
@bintialiali670
@bintialiali670 3 ай бұрын
Mrembo huyu dada Mashallah alafu anaongea kwa uzuri.❤
@user-fb8yx3ml8s
@user-fb8yx3ml8s 3 ай бұрын
Wastara nakupendaga Sana,,,rakin umetupiga navkitu kizito form four umemariza mwaka gan na Mambo ya BIASHARA umeanza mwaka gan me mwenzenu cjakuelewa
@Tuu2019
@Tuu2019 3 ай бұрын
Nampenda Wastara since namjua huwa hafake life that's why hana sura ya stress bad Ana nawawirii Mashaalah
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 3 ай бұрын
Maa Shaa Allah interview Tamu,Hongereni.
@godfreymunishi370
@godfreymunishi370 Ай бұрын
Wastara ana Story nzuri sema yupo bize sana na shughuli ata hainogi Khaaaa
@BerthaModest
@BerthaModest 3 ай бұрын
Comment yangu iende kwa mr show buz ana heshima sana salleh mungu akuongez vyem kweny kaz zako❤❤❤
@farahali6041
@farahali6041 3 ай бұрын
Kweli anaeshima sanaa
@ummishakii8322
@ummishakii8322 3 ай бұрын
Kweli sarehe ana adabu sana afu mcheshi
@ReginaMinja-G22
@ReginaMinja-G22 3 ай бұрын
I love wastara❤she super woman
@angelrichard899
@angelrichard899 3 ай бұрын
Anaongea vizurii alafu uzuri wakee haubadiliki mrembo xana huyu dada....
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 3 ай бұрын
Sana mashallah mwenyezimungu amuhifadhi
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 3 ай бұрын
​@@user-fx7ig1uy6t Aamin
@naimanimo4925
@naimanimo4925 3 ай бұрын
Omg that girl & her 4on she can't put it away it's will enter the saucepan 😂😂 the boy loves the camera very innocent people 😅😅
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Usiseme waarabu hawapendi sana Kuhusu Elimu wewe...sema mie sikuwa na wazazi wenye Ufunguo wa kusomesha
@user-ct2qp6ur9t
@user-ct2qp6ur9t 3 ай бұрын
Yupo sahii warabu awasomi 😂😂😂 miaka 20 ndoq
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 ай бұрын
Hawa watu hawasomi 5 yrs tuko nao tunajua SEMA sai kiasi wamestaarabika😂
@mannahsalwa8433
@mannahsalwa8433 3 ай бұрын
Waarab bint akishavunja ungo tu ndoa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 ай бұрын
Yuko sahihi wanaamin hivyo waarabu wewe usiyejua uliza
@Siasia209
@Siasia209 3 ай бұрын
​@@user-ct2qp6ur9t nyie mmwsoma mpo na mavyeti ndani wenzenu wasio soma wamewazid pesa😂😂
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 3 ай бұрын
Huku kupika huku kuongea aaah hainogi bhana😊
@miriyamasanja6766
@miriyamasanja6766 3 ай бұрын
Saleh umejifanya kushtuka kusikia bikra imetolewa mara mbili😂😂😂😂😂
@fatmachikambo8780
@fatmachikambo8780 3 ай бұрын
Huyo dada anae rekodi angeolewa na yule kinyozi wapili wa interview ya Chid Benz mwenye mask wana ushamba unaofanana 😂😂😂😂😂
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-vm5yf8cs2r
@user-vm5yf8cs2r 3 ай бұрын
Wastara MashaAllah Allah akubariki Kwa Kazi zako
@khadjamhozya
@khadjamhozya 3 ай бұрын
Wstara aronyesha mapenzi ya dhati kwa sajuki kabisa sajuki nae arifanya hivo waripendana kweri mpenzi ya dhati
@mwanaidiomari7941
@mwanaidiomari7941 3 ай бұрын
verry polite women
@rerisamba
@rerisamba 3 ай бұрын
Kuna miaka ya nyuma huyu dada akifanya interview alikua analia kweli hope nowdays maisha yake yamegeuka
@MahmudOmar-gx2ok
@MahmudOmar-gx2ok 3 ай бұрын
kweli hata mimi nakumbuka
@RamlahNassoro
@RamlahNassoro 3 ай бұрын
Maa shaa Allaah walipendana sana na mumewe
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 3 ай бұрын
Salehe mate yanakutoka unavyopenda kula 😅😅
@salmakakozi963
@salmakakozi963 3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 nanjo kasha honja kidogo nyama bila hivo mate yangemjaa mpaka yaka dodoka 😅😅
@janetdundul3858
@janetdundul3858 3 ай бұрын
NAMPENDA SANA UYU DADA ❤❤❤❤❤❤😊😊
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n 3 ай бұрын
Nampenda san wastara yan hanaga maskendo pamoja na kwamb ni msanii wa bongo movie anajielewa
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 3 ай бұрын
Mmmh nimjuavyo Saleh 😂😂😂hapo kichwa kipo kwa jiko na pua zishafikisha ujumbe wakti muafaka wa nyamnyam 😂😂😂😂😂
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 3 ай бұрын
Mie nampenda sana kwa ajili ya Allah natamani kumpa kaka angu from uk 🇬🇧
@zayumar2955
@zayumar2955 3 ай бұрын
Nipe mie huyo kakayako 🙈🙈🙈
@samanthalyimo4598
@samanthalyimo4598 3 ай бұрын
😂😂😂
@zayumar2955
@zayumar2955 3 ай бұрын
@@samanthalyimo4598 umefurah mwenyewe 😅😅😅
@magrethkapinga1811
@magrethkapinga1811 3 ай бұрын
Ivo uyo kaka anae tumwa kwa wastara mzima kweli
@khadjamhozya
@khadjamhozya 3 ай бұрын
Kwanini?
@esterMahenge
@esterMahenge 3 ай бұрын
😅😅😅
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 3 ай бұрын
😂😂😂😂 wacha umbea ww heeeee
@kidoesther
@kidoesther 3 ай бұрын
Kumbe na wewe umeona🤣🤣🤣
@maligeltabatholomeo8128
@maligeltabatholomeo8128 3 ай бұрын
Dah miaka 14 ulikuwa umemaliza secondary?😮
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 3 ай бұрын
Nimejiuliza hvyohvyo
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 3 ай бұрын
Anatupangaaaa
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Hakumaliza
@user-sz7fj6ll5y
@user-sz7fj6ll5y 3 ай бұрын
Inawezekana labda alianzishwa shule na miaka 3
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Hakufika
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 ай бұрын
SAMAHANI JAMANI HUYO DADA ULIYE NAE NI MSAIDIZI AU NI NDUGU YUPO BUSY NA SIMU KAMA NI MSAIDIZI DAH SISTER DUU SIMU NA KAZI WAPI NA WAPI
@Channelque890
@Channelque890 3 ай бұрын
Ana record huyo
@user-hk3yy8zv9t
@user-hk3yy8zv9t 3 ай бұрын
Amezidiwa had na huyo kaka yeye kakaa anasubiri kuagizwa kusaidia
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 ай бұрын
Acha ajiachie kwani mfanyakazi siyo mtu
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 Ай бұрын
Acha ujuwaji na maisha ya watu
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 3 ай бұрын
Kuanzia leo sitaki kujinenea mabaya zaidi ya mazuri tu kweli mdomo unaumba jaman pole sana Wastara😢
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 3 ай бұрын
Mdomo uuumba mahi jinene mazur jiseme mm naweza
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 3 ай бұрын
@@rosemaryrwabibi5908 kwakweli nimejifunza dear sitaki kabisa
@MwanatumuJumaa-rj4fg
@MwanatumuJumaa-rj4fg 3 ай бұрын
Ila huyu dada kampenda sana sajuki ku.move on ni ngumu sana kila mwanaume atakae mpata atamlinganisha na sajuki tuu.ama kweli upendo wa kweli upo
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 3 ай бұрын
Yaana kungekuw na sehemu yakutuMa voice ningeongea sana..maana hapo sjui ni jiko dogo mtu kasimamiwa😢😢
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 3 ай бұрын
Mtangazaji ulienda muda sahihi ulikuta wanapika😂
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Dada anayerekodi uazania yeye ndiye aliandaa mahojiano😂😂
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 ай бұрын
Jamani mkiwa mna Ajili ma Housegril Mume makini wengine ni SHIHATA HAPO UTASEMA UNA MFANYAKAZI AU NI MUANDISHI WA HABARI WA KUJITEGEMEA
@princesmaile5561
@princesmaile5561 3 ай бұрын
Shida ya mdada w
@aurorahmo3702
@aurorahmo3702 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 Ай бұрын
We umejuwaje ni mfanyakz
@hollymore4904
@hollymore4904 Ай бұрын
Huwenda kaambiwa na boss
@user-ed4nr1lx6f
@user-ed4nr1lx6f 3 ай бұрын
Mmh jikon mpangilio hmn eti kila kitu kinatafutwa jmn
@abdulschannel7937
@abdulschannel7937 3 ай бұрын
Wastara ❤❤❤unanipaga raha
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz 3 ай бұрын
Mbona mnamsema sana dada wakazi jamani khaaa
@YoungLovedii
@YoungLovedii 3 ай бұрын
Alie ona box iliochanika anipe likes zangu
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Dada na cm utazania aliambiwa arekodi tu😅😅
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 3 ай бұрын
Yani amekazana balaaa 😅
@virginiahaule5880
@virginiahaule5880 3 ай бұрын
Yani
@Fatma-re2hw
@Fatma-re2hw 3 ай бұрын
Mbona muandishi umekwenda wakati wakupika tunachoka au tunafundishwa kupika pilau as well?😊
@chany9950
@chany9950 3 ай бұрын
Love you mama 😘❤️🙏🏾🙏🏾
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 3 ай бұрын
Mashaallah❤❤❤
@user-ug2vb6yw7w
@user-ug2vb6yw7w 3 ай бұрын
Masikini pole dada yangu nakupenda
@user-nr3bf4om8z
@user-nr3bf4om8z 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa aliolewa na kaka mmoja hanaitwa juma.. Na niliishi kwao na kaka alikua anaitwa dalueshi..alikua mdogo sana
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 3 ай бұрын
Huyu aliishia la4b ndo maana hachanganyi kizungu kwenye sentes zake anaongea kiswahili na anaeleweka vizuri
@MtuSafi
@MtuSafi 3 ай бұрын
Kwahyo ukichanganya na kizungu unakuwa umesoma?...Kuna watu wanajifunza kiingereza tu lakin hawajafika hata la7 je, ikoje hii...Kiingereza sio kipimo cha Elimu elewa hilo.
@racheljohn2216
@racheljohn2216 3 ай бұрын
Kijana anajua kurenga 😂😂😂🙌
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 3 ай бұрын
Mara secondary mara la saba mara 96 mara kuolewa miaka 14
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 3 ай бұрын
Maskin...ndo mna unaambiwa hata kwa utani usijinenee mabaya .. anyway pamoja na yote pia mungu alishaandika hakuna wakupinga qadar
@maureenmgeni
@maureenmgeni 3 ай бұрын
Ulimi hulaani na kubariki, tujiepushe kujinenea maneno ya kujilaani..
@tunsumealfredym7896
@tunsumealfredym7896 3 ай бұрын
Amejinenea vp nimepitwa hcho kipande?
@hamidajabu3324
@hamidajabu3324 3 ай бұрын
Uyo kaka ana shida gan 😢manake anajichekesha mara anyali mara amuangalie saleh dooh😅
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 3 ай бұрын
😂😂 kwanza anasubiria nin hapo jikoni
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 ай бұрын
😢😢😢😢
@siahsiah4192
@siahsiah4192 3 ай бұрын
😂😂😂
@RebeccaMuhimba-be1pj
@RebeccaMuhimba-be1pj 3 ай бұрын
sialiitwa jamani
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 daaah nyie
@SamiaSamia-qc6tz
@SamiaSamia-qc6tz 3 ай бұрын
Jaman sanene nimepamiss 😊😊
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr 3 ай бұрын
Sio kweli waarabu kuozesha watoto wao wadogo.. Twaishi nao uku.. Kutongozwa yenyewe mtihani,, mchezo uwo sisi waafrika,, wee msichana simu na gas iyooo,, kuwa makini cku ingine yaja kurepukia
@SamiraRamadhani-sc6db
@SamiraRamadhani-sc6db 3 ай бұрын
Kutongoza mtihani
@IslamPeto-fd6wr
@IslamPeto-fd6wr 3 ай бұрын
@@SamiraRamadhani-sc6db.. eeh waume wafanya kutafutiwa waja kuonana nyumbani
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 3 ай бұрын
2007 nmezaa mwanangu wa kwanza nikiwa na miaka 15 kasoro na hakuna serkal iliingiilia kati ikiwa hd clinic niwambia nina miaka 16 wakabisha sjafka na pemben niko na alienitia mimba mbn hawakuchukua hatua
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 ай бұрын
😢😢
@faridapandu7579
@faridapandu7579 3 ай бұрын
Nampenda wastara hanamavuno yupo pece🎉🎉🎉❤❤❤
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 3 ай бұрын
Nakumbuka kaolewa na kigogo ndoa ikadumu wiki kaachika na taraka juu😂😂😂😂😂😂
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 ай бұрын
Sasa ndio unashabikia
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 3 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ili! 🤣🤣
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 2 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 ndiyo 🤣🤣
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 3 ай бұрын
Huyo mkaka anajitumilisha huyo ili hari tu aonekane kwa kamer😅😅
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 3 ай бұрын
Na ww nenda
@marrymaganga7210
@marrymaganga7210 3 ай бұрын
Nyoo😏😏​@@chunaabdullah1333
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 ай бұрын
Hujui kma n mgonjwa wa mguu ako n mguu mmoja
@user-zy8th6ou4f
@user-zy8th6ou4f 3 ай бұрын
Bwagala Turiani kuja madam mtusalimie
@neemamhelela7771
@neemamhelela7771 3 ай бұрын
❤❤❤
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x 3 ай бұрын
Show bizz leyo cyo nzuri ni jikoni tu
@IreneGrayson
@IreneGrayson 3 ай бұрын
😂😂angalia comment yako alafu I translate kwa kiswahili utachekaa😂😂😂
@Grtudajunior-cw5zp
@Grtudajunior-cw5zp 3 ай бұрын
​@@IreneGraysonweeeee imenibidi
@nuruhassan-qu1ff
@nuruhassan-qu1ff 3 ай бұрын
😅😅
@safiasaleh669
@safiasaleh669 3 ай бұрын
Anajua kupika huyu🎉🎉🎉
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 3 ай бұрын
Salehe jamaa limekupenda ilo mana si kwa jicho ilo😂😂
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 ай бұрын
Mnatafuta kupigwa na majambazi kwenda kuhoji watu usiku sehemu hata gari haifiki si ungeenda asubuhi au mchana
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 3 ай бұрын
Mbona nje ya nyumba ya wastara kuna magari itakuwa swaleh ametumia njia haipiti gari
@queenmilan2024
@queenmilan2024 3 ай бұрын
she is very educated and intelligent
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 3 ай бұрын
Very educated? Really? Where did you get that idea?
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 3 ай бұрын
​@@Brunn-mh2bqhahahaaaaaah. Mwasutana sio hofwi😂
@christinenere4696
@christinenere4696 3 ай бұрын
Sio kweli uliolewa ukiwa na miaka 18 kuwa mkweli bhana hivi kwanini mnapenda kurudisha umri nyuma au huku soma mpaka form four 4️⃣ uliishia la 6 au 7
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 3 ай бұрын
Huyu nikama aliishia la saba
@chimamilion
@chimamilion 3 ай бұрын
Ushawai skia au kuona akiongea au kuandika english😅
@batulialmass8914
@batulialmass8914 3 ай бұрын
Kasema ameishia lasaba
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 3 ай бұрын
Inawezekana mumewe alimsomesha jaman au alisoma q t.
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 3 ай бұрын
NGUVU ya MATAMSHI""tujifunze ni nini tunatamka kwenye vinywa vyetu maana MANENO YANAUMBA.hata wamama wengi tunapenda kuwambia watoto wetu mbwa,mjinga wewee kesho yake akiwa na tabia za hovyo tunashangaa kumbe zile tabia tuliziumba wenyewe.
@HamimuBadyanaJR
@HamimuBadyanaJR 3 ай бұрын
Huyu mshukaji ni mboga au😂
@dayanahancygao
@dayanahancygao 27 күн бұрын
Hivi kwanini mnaendaga kwa wasanii usiku
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 3 ай бұрын
Sema wtoto wakiarabu hawazehekiharakaharaka
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Ай бұрын
Njaa huna wastara wapendaa kujiliza tu
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 3 ай бұрын
Jmn miaka kumi na nne at umemaliza form four ni kwl hiyo
@zayumar2955
@zayumar2955 3 ай бұрын
Mmmh uwongo na kweli 😂😂😂
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k 3 ай бұрын
Uyo ndo mtoto was sajukii uyo wakiume
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 3 ай бұрын
1994 unamaliza 7 ,1996 unaanrza biashara na wakati huohuo ulifika form four , hapohapo uliolewa na miaka 13.duuu.kizunguzungu.
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 3 ай бұрын
Hajui kujieleeza kabisaa yaan mtihani sana
@batulialmass8914
@batulialmass8914 3 ай бұрын
Zamani watu walikuwa hawjali secondary
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 3 ай бұрын
Yani balaa 😂😂😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 3 ай бұрын
​@@batulialmass8914 kivipi sasa wakati amesema amemaliza form 4 ?
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kuwa mpole hao ndo wasanii wetu
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 3 ай бұрын
Sa kwann ukoroge huo mchanganyiko wako kwa kidole 🤮🤮🤮🤮
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 ай бұрын
Unakula wewe au yeye
@nancyfantasia1945
@nancyfantasia1945 3 ай бұрын
@@aishaarusha894 umeulizwa ww yy au shobo tu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 ай бұрын
@@nancyfantasia1945 KOMA
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 ай бұрын
@@nancyfantasia1945 shobo ni wewe unayochunguza ya wezio mxiew
@namsamson3443
@namsamson3443 3 ай бұрын
Huyo msichana wake yuko kwenye simu mda wote mpaka anaudhi. Msaidie mama jikoni
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 ай бұрын
Wasichana wa kitanga na kirangi ndo zao kwenye kazi hawafai na hawadumu saa 24 simu mkononi wanachokiongea hakijulikani mpaka chungu kinaungua vyomvo vichafu vimejaa
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 3 ай бұрын
😅😅anatak aonekane
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 3 ай бұрын
Kwani umejuaje kuwa ni msichana wa kazi na sio ndugu yake?
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 ай бұрын
@@Brunn-mh2bq kwani km ni ndugu yake hafai kumsaidia?!
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 ай бұрын
Hadi kichefuchefu
@user-kt1cf9yp3e
@user-kt1cf9yp3e 3 ай бұрын
Hapo amedanganya form 4 amesoma lini kwa umri huo?
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 3 ай бұрын
Watu wanamacho jmn mpk boksa wameona😂😂
@zuhurakhasimu969
@zuhurakhasimu969 3 ай бұрын
Imetoboka nyuma au sijaona vzur 😂
@junioremmanuel1695
@junioremmanuel1695 3 ай бұрын
Hahahaha kama imetatuka
@Mzuri_002
@Mzuri_002 3 ай бұрын
Nimecheka😂😂😂
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 3 ай бұрын
Zamani aliwai kusema aliachishwa shule daresay la 6 akaolewa ila leo kasshabalisha😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 3 ай бұрын
amesema waarabu shule haikuwa mbele kwa wasichana ukikua mkubwa kama umeisha la saba au formfour unaolewa tu
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 3 ай бұрын
Ni kweli ehe​@@sabihaibrahim143
@shazmapinky9012
@shazmapinky9012 3 ай бұрын
Nampenda Sana huyu Dada😍😍😍
@mjsaidkeya
@mjsaidkeya 3 ай бұрын
Siwezi kosa hii
@ogdosho93
@ogdosho93 3 ай бұрын
Mzee boxa imetoboka io😀
@arafaomari1832
@arafaomari1832 3 ай бұрын
Ya nani
@yasminemohamed4377
@yasminemohamed4377 3 ай бұрын
Kama ameolewa na miaka 14 hiyo form four kamaliza na miaka mingap? Au me ndo sijaelewa
@KautharRamadhan-xv3gf
@KautharRamadhan-xv3gf 3 ай бұрын
Ila kweli na mm nimejiuliza hvhv
@yasminemohamed4377
@yasminemohamed4377 3 ай бұрын
Tumepigwa na kitu kizito hhhhhhh​@@KautharRamadhan-xv3gf
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 3 ай бұрын
Na mimi nilitaka kuuliza hilo mmmh wasanii waongo
@evelynsalila
@evelynsalila 3 ай бұрын
​@@joslinchuwa1298hata yeye ni mwanadamu jamani labda ulimi umeteleza
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 3 ай бұрын
Huyu kaishia la7 eti fom4 halafu kazaa ana miaka14🤣🤣🤣🤣🤣
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 3 ай бұрын
owwh i know the bwagala hosp turiani
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Dada anarekodi tu😅😅
@ashazuber6548
@ashazuber6548 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅boss kapata
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 ай бұрын
😂😂😂SHANGAHLA wa wastara😂😂😂jmn
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 ай бұрын
Unavituko eti shagala😃😃
@NusraHozza-qp8yy
@NusraHozza-qp8yy 3 ай бұрын
Mtoto chiriku uyo Hadi Kero
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 3 ай бұрын
Dah huyo dada anabowa mda wote na sim kama hataki kufanya kazi kwanini yupo jikoni mda wa kaz ni wa kaz sim tupa huko😮
@naah884
@naah884 3 ай бұрын
Yaan kaonyesha ushamba wa hali ya juu sasa chakureko hapo ni nn 😂
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 3 ай бұрын
Hii ndio tabia ya wafanyakazi walivo sio wote Lkn asilimia kubwa tabia hii wanayo mpk anaunguza
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 3 ай бұрын
​@@naah884😅atapost status 😊😅
@SikudhaniKulonda-jy1bq
@SikudhaniKulonda-jy1bq 3 ай бұрын
Waiz wa waume tu mm nadeal na houseboy bn​@@user-dx6dm6lh1i
@chimamilion
@chimamilion 3 ай бұрын
Sema uyu mtangazaji mbona kilakipind yeye nimda wakula shida ipo wap🙄nauyo dda wakaz kz yke nn et mfyuui
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 ай бұрын
😅😅😅😅
@AalyahNassor
@AalyahNassor 3 ай бұрын
Huyo Dada wa kazi yupo bussy na simu hadi kichefuchefu
@lightnesstippe9006
@lightnesstippe9006 3 ай бұрын
Nimepata mshtuko nilichokiona daka ya 7:58 🙈🙈🙈🙈
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 3 ай бұрын
Wastaraa❤❤❤❤❤
@shufaa8921
@shufaa8921 3 ай бұрын
Mboa huyo kaka kainama nikaona box kama ime toboka😂
@anawiliam-eb4kb
@anawiliam-eb4kb 3 ай бұрын
Ata mimi kama nimeona😮😮😮😮😅😅
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 3 ай бұрын
😂😂😂 Yaan salekh mbea,,,et hakuungui
@oscanyakunga
@oscanyakunga 3 ай бұрын
Mtangazaji uwezi muonji mtu akiwa ashughuriki nakazi mbaka mmebanana
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 3 ай бұрын
Boxa imetoboka mr shobizz😂😂😂
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 3 ай бұрын
Sijui hajaiyona ila wajifunze kuvaa milegezo mm sipendi hii tabia imemzalilishaa
@dayanandama8873
@dayanandama8873 3 ай бұрын
Camera man kasogeza camera haraka tucone vizur
@chany9950
@chany9950 3 ай бұрын
🤣🤣🤣 mbavu zangu jmn🤣
@ttss7716
@ttss7716 3 ай бұрын
Mbona kawaida bora ni safi 😂😂
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂nyie imebidi nirudishe nyuma nitizame😅😅😅umbea cwez kuuliza mie
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Dada amekazana kurekodi eti asije vitu vinaungua😂😂
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 3 ай бұрын
Mzembe tu hana lolote 😅
@ashaashaa1959
@ashaashaa1959 3 ай бұрын
Sas ndugu yangu pembeni yuko anachukuwa zake video 😊😅😅😅😅
@user-do4md7jo6x
@user-do4md7jo6x 3 ай бұрын
Kisiri siri😂😂😂
@ShadyLumango-zl5kd
@ShadyLumango-zl5kd 3 ай бұрын
Kipindi kizuri
@Bquality
@Bquality 3 ай бұрын
kina kimtu kinaboa kina pitapita mpaka nmeacha kuangalia mana sikaelew au kaleft nn kwenye group la masela
@cleopatrajustine
@cleopatrajustine 3 ай бұрын
Anatumia nguvu sana kuonekana kwenye video.... nimechoka ule muda amerudi na chenji eti anachukua wallet aweke chenji kwenye wallet halafu anachukua kigoda anakaa😂😂😂😂😂😂... na huyo dada hiyo video anarekodi ya nini??? 🤣🤣🤣. big up Saleh and I missed this.
@DeborahSamwel-on6kw
@DeborahSamwel-on6kw 3 ай бұрын
Boxer imetoboka salehe
@mwanamisiali5712
@mwanamisiali5712 3 ай бұрын
Mipia nimeona maskini
@esnathmdeda
@esnathmdeda 3 ай бұрын
😅😂yani salehe hatujapenda
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 3 ай бұрын
Yaani tusipende kuongea tusivo na kumbukumbu nazo,umeolewa ukiwa 13 yrs old na umesoma hadi form 4,hesabu ya haraka ina maana darasa la kwanza ulianza ukiwa 3yrs(C KWELI KABISA KWA BONGO HII),tusidanganye kihivo.
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 3 ай бұрын
Kasoma qt
@Byokecandyrange
@Byokecandyrange 3 ай бұрын
Ila kihusu kula uko vzur
@hadija_makange
@hadija_makange 3 ай бұрын
Sasahao wanao zunguka hapo kwann hawapishi kipindi bhna wanaboa
@batulialmass8914
@batulialmass8914 3 ай бұрын
Jamani miaka ya 1994 shule alikuwa anafauru mmoja au wawili
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 3 ай бұрын
Kabisa 😮
@rayahamisi118
@rayahamisi118 3 ай бұрын
Were wawapi tunakuuluza weyee atumuulizi babu yako unaulizwa weyee weyee
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,8 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 12 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 43 МЛН
Jua Kali Leo Jumatano Usiku 21- 8 -2024 High Quality
23:38
Kasai Boy Tv
Рет қаралды 25 М.
MCHUZI WA SAMAKI MTAMU, UNAVUTIA NA RAHISI KUANDAA
3:02
Rasheedah’s Meal
Рет қаралды 7 М.
SUZI BALE: SIMJUI ZAI KIJIWE NONGWA| KIGODORO NAVAA NA KISHEPU CHA UCHOKOZI
14:21
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,8 МЛН