ANGALIA HII KABLA YA KUANZA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MITI

  Рет қаралды 13,700

Edmund Munyagi

Edmund Munyagi

3 жыл бұрын

Kilimo cha miti ni fursa nzuri sana ya kuwekeza hapa nchini kwetu. Kuna bidhaa nyingi ambazo zinategemea kilimo cha miti hivyo upatikanaji wa soko sio changamto kubwa. Ni vyema kwa kila mtu ambaye angependa kujikita kwenye biashara hii kupata elimu ya kutosha juu yake ili kujiandaa na changamoto mbali mbali ambazo zinaweza kutokea.
Video hii inakupa tu maelezo ya awali na experience yangu katika biashara hii. Ni vyema ukaendelea kupata elimu zaidi kupitia taasisi kama Tanzania Forestry Society, Wizara ya Maliasili na Utalii nk.

Пікірлер: 42
@antonysimba
@antonysimba Жыл бұрын
Aki umesema vitu mob poa. Amongst them, "lazima mistakes; usipo make mistakes you'll never learn" ! Asante kwa advice zote.
@francismlelwa5766
@francismlelwa5766 2 жыл бұрын
Ahsante kwa Maarifa unayotoa.Be blessed.
@peteralexis7351
@peteralexis7351 2 жыл бұрын
Hongera kaka uxhindile napafam sana pamoja na kitete,ugala na mgororo kwenye mashamba ya miti
@billyrique
@billyrique 3 жыл бұрын
Hongera kwa somo zuri sanaa. HApa hujapanda kama mitiki yenye bei kubwa sana. Ni hatari sana.
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 3 жыл бұрын
Kabisa. Wewe umepanda Mitiki?
@emanuermbata8745
@emanuermbata8745 3 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri ila naomba nisaidie namba ambayo ninaweza kupata miche midogo ili niweze kupanda
@emanuermbata8745
@emanuermbata8745 3 жыл бұрын
0686 361 757
@wilsonmpollo1613
@wilsonmpollo1613 2 жыл бұрын
Mitiki Ina pesa Sana naomba nijibu
@enocknaftar2202
@enocknaftar2202 2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi kazi nzuri naomba namba yako
@eliakanyika8440
@eliakanyika8440 3 жыл бұрын
Semin ipo vizuri Kaka Edmund
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 3 жыл бұрын
Nashukuru kusikia hivyo...
@joniajohn4716
@joniajohn4716 3 жыл бұрын
Ahsante brother
@petronillajosephat91
@petronillajosephat91 Жыл бұрын
Asante Kwa somo zuri.kwa upande wa mtwara miti gan inafaa kupandwa Kwa ukanda huu
@salummasoud2567
@salummasoud2567 6 ай бұрын
Unaweza kupanda miti ya mitiki
@ramadhanikiiza4820
@ramadhanikiiza4820 2 жыл бұрын
Safi sana kk umetupa madini
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 3 жыл бұрын
Congratulations Edmund
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 3 жыл бұрын
Thank you Paloku.... 🙏🏿
@mohamedameir9016
@mohamedameir9016 3 жыл бұрын
Super
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 3 жыл бұрын
Super
@salumkhamis7818
@salumkhamis7818 2 жыл бұрын
Naomba namba ya simu nahitaji kupanda MITI kwenye shamba langu
@lynalyna3968
@lynalyna3968 3 жыл бұрын
Mimi Nina shamba la miti kaka Ed,Sehemu moja inaitwa igeleke
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
Ohhh okay. Basi tuwasiliane zaidi. 0755518289
@lynalyna3968
@lynalyna3968 2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi poa kaka nachukua no yko nakuchk whatsp
@asmanisaid8271
@asmanisaid8271 3 жыл бұрын
👌🤝🤝
@juliusjohn9453
@juliusjohn9453 2 жыл бұрын
Edmund, kwenye bond unapataje pato zaidi ya mwisho inapoiva
@lovenessmushendwa1230
@lovenessmushendwa1230 2 жыл бұрын
Nilazma huko?? Mm nina shamba bagamoyo
@bigchancesmallchance1958
@bigchancesmallchance1958 2 жыл бұрын
Habari yako mkuu? naomba namba yako nina maongezi private?
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
0755518289
@maveaimee3111
@maveaimee3111 3 жыл бұрын
💪💪💪💪💪
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 3 жыл бұрын
Happy to see you here..😊
@georginahokororo847
@georginahokororo847 2 жыл бұрын
Samahani naomba kupata mawasiliano ya hao uliosema kuwa wana vitalu vyenye miche mizuri
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 2 жыл бұрын
0753 544 044 mpigie huyu anaitwa Gregory.
@georginahokororo847
@georginahokororo847 2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi Asante sana kaka
@georginahokororo847
@georginahokororo847 2 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi Gregory ana pines pekee,naweza pata mwenye mitiki?
@mahijamikael3652
@mahijamikael3652 Жыл бұрын
Nashamba la mtiki natafuta mununuz
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 Жыл бұрын
Kaka naomba phone number yako nina mpango wa kufanya hiyo business nahitaji ushauri tu.. Thanks
@josephmoses2469
@josephmoses2469 Жыл бұрын
BROO MM NIPO KWENYE KUPANDA MITI NIMEPENDA HIYO PROJECT NATAKA NIJUE UMBALI WA KUPANDA NI MITA NGAP NZULI KWA UPANDAJI PAINI NA KALATUSI
@JamalASaid
@JamalASaid 3 жыл бұрын
Mie ningependa kujua kama una group lolote la social media....
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi 3 жыл бұрын
Kwa sasa group lililopo limejaa but tutaendelea kujuzana.
@alihassansorikushey1414
@alihassansorikushey1414 2 жыл бұрын
Mm ningependa hio investment ila nipo kenya ingewezeka hata kuvuka border nipo tayari nimependa somo lako Shukran sanaaaa kaka kuna namba yoyote ya mawasiliano please?
@GraceTinda
@GraceTinda Жыл бұрын
Kaka naomba mawasiliano...
@EdmundMunyagi
@EdmundMunyagi Жыл бұрын
0755518289
TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
57:11
Edmund Munyagi
Рет қаралды 50 М.
JINSI YA KUWEKEZA KWENYE HATI FUNGANI
1:01:02
Joel Nanauka
Рет қаралды 2,7 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 199 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 62 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 13 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 35 М.
JINSI YA KUCHAMBUA KAMPUNI KABLA YA KUNUNUA HISA Na Emilian Busara
1:39:30
Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
14:27
USIMAMIZI WA MALI (WEALTH MANAGEMENT) na Lawrence Mlaki
27:12
Edmund Munyagi
Рет қаралды 6 М.
KUWEKA MALENGO YA KIFEDHA na Neema Chamy
19:35
Edmund Munyagi
Рет қаралды 4,6 М.
KILIMO CHA MIPAINA, (MISINDANO) MITI YA MBAO
28:24
Kilimo Biashara
Рет қаралды 24 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 21 М.
Episode 2 | Mfuko wa Umoja | Mfuko wa Maisha | UTT Amis | Ezekiel Kuhoga
25:52
And who would you choose?👇
0:20
Kitty Power
Рет қаралды 13 МЛН
😬 Мам Дай Хлеб 🍞 #shorts
0:38
AOneCool
Рет қаралды 1,3 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
0:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 3,6 МЛН
Пранк над Махачевым🥶
0:19
FERMACHI
Рет қаралды 10 МЛН
Поймали акулу
0:51
Pavlov_family_
Рет қаралды 2,4 МЛН