ANGALIA WATU WA SIU WAMENILISHA KENGE ( YURU ) / Muhammad Bachu .

  Рет қаралды 9,700

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Ай бұрын

Пікірлер: 147
@ExcitedChefHat-ef5jt
@ExcitedChefHat-ef5jt Ай бұрын
Mashaallah Tabarakallah sheikh muhammad nassor. Vike wewe umekula basi na mimi naweza kujaribu kula.
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 Ай бұрын
Bachu anapenda sana Maulidi.Naona Leo ametuwekea kaswida Masha Allah!!
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 20 күн бұрын
@@ashachitemo7816 Nasheed wanatumia 😂😂😂
@LukmanMohd-kn3iq
@LukmanMohd-kn3iq Ай бұрын
Sheikh dumilla hafidhahullaahu. Sheikh muhammad bachu hafidhahullaahu. Ustaadh shee. Ustaadh luqmaan. Allah awahifadhi wote.
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b Ай бұрын
Manshallah inafurahisha kwelikweli
@user412
@user412 Ай бұрын
Nasheed zikiimbwa na wale wanaozipinga hususan ukiziwekea na ala kama hii inakuwa halali. Ila akiimba mwengine anaambiwa ni "khanith". Allah atujaalie wepesi na atupe ufahamu sahihi
@ameirfaki9277
@ameirfaki9277 Ай бұрын
Hapo awali nlikuwa nina mushkeli kula kenge....sante sheikh muahammad bachu....
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 Ай бұрын
Mashaallah,watu wamatusi mtaacha lini kutukana hovyo hovyo
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 Ай бұрын
Kenge mtamu sana ana nguvu kuliko pweza
@user-pd2fk6kt5i
@user-pd2fk6kt5i Ай бұрын
MashaAllaah sheikh wetu kanogewa na kenge hali kapewa safuriya yote ya nboga 😂😂😂
@ahmedabry293
@ahmedabry293 Ай бұрын
Alhamdulilah sisi Oman huku tunakula sana na maarufu kwa Jina la dhabb
@allyhamad9665
@allyhamad9665 Ай бұрын
Subuhanallah sheikh umeweka bidaa. Naona umeweka nashid
@HassanKofa
@HassanKofa Ай бұрын
Mbona umeunganisha channel yako na nasheed wakati umewahi kusema kuwa wanaosoma anaashidi wanalegeza sauti mwisho ukawaita makhanithi na mashoga
@haidarimfinanga9755
@haidarimfinanga9755 27 күн бұрын
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh KUMRADH SHEIKH MUHAMMAD, NIMEMUONA SHEIKH MMJOJA KATIKA VIDEO CLIP AKISEMA DARSA ALILOKUWA AKILIENDESHA ALMARUHUM SHEIKH NASORO BACHU LIMEPUNGUKIWA SANA NA WANAFUNZI. KAMA NI KWELI, HII SIO PICHA NZURI AIDHA SIO AFYA KWA MAENDELEO YA AKHLUL SUNNA WAL JAMAA. KAMA NI KWELI LABDA KUNA SABABU YA MSINGI, KAMA LA, BASI LIONE HILO. WABILAH TAWFIQ
@saadasaleh3177
@saadasaleh3177 Ай бұрын
Aaamin Yaarabbal A'lamin 😊
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot Ай бұрын
Maashaa Allaah
@user-gy5en6cy8o
@user-gy5en6cy8o Ай бұрын
Masha Allah
@abuujibriltv5233
@abuujibriltv5233 Ай бұрын
Yuru siyo kenge. Huyo anaitwa yuru nitofauti na kenge
@rajabhamis8272
@rajabhamis8272 Ай бұрын
@@abuujibriltv5233 Kwan YURU na KENGE sini species za jamii moja !??????????????? au tofaut ikoje hapo !??
@balkissMuhammad-sk1ic
@balkissMuhammad-sk1ic Ай бұрын
Bismillah
@MuhammadSabuni
@MuhammadSabuni Ай бұрын
Maasha Allah
@ukweli19
@ukweli19 Ай бұрын
Mashallah
@user-kg6ex5mb3q
@user-kg6ex5mb3q Ай бұрын
Subhanallaah kwetu twamuita sakata ukilikaribia makofi ya mkia utayavagaa kumbe mawahabi mnakula nyienae mmh achen uchuu
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 27 күн бұрын
Afu nyie waisilamu mna tia Aibu mawahabi mawahabi kwani nyie mpoje jmn yani mwisilamu lkn una mfanya kama so mwisilamu acheni upuuzi hii Dini ya Mungu so yenu
@sakinasakku8340
@sakinasakku8340 Ай бұрын
MASHAA ALLAH tabarakalla mmmmmmm kumbe kenga analiwa sijawaikula
@NaadiriTV
@NaadiriTV Ай бұрын
Poleni sana mashekh
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu Ай бұрын
Bachu ameikalia sufuria ya yuru hataki kuiwata
@amirmape6474
@amirmape6474 Ай бұрын
Asalam alaykum shekhe vp tena maana ulisema nasheed ni ubalazuri sasa vipi nawewe umeshakuwa balazuri au vp?
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Ай бұрын
Ameteleza
@mahmudmugarura2175
@mahmudmugarura2175 Ай бұрын
@Amirmape6474 Kua na Adabu
@abdulkarimjuma78
@abdulkarimjuma78 Ай бұрын
@@mahmudmugarura2175 mimi?
@abrahmanhamad3253
@abrahmanhamad3253 Ай бұрын
Kwan yy kaimba anashed au TV ndio imeweka anashed
@abrahmanhamad3253
@abrahmanhamad3253 Ай бұрын
Kuwa na akili TV ndio imeweka anashed sio Mohd bachu kaimba
@user-dl1mg2qf4n
@user-dl1mg2qf4n Ай бұрын
Naona Kaswida kwa mbali leo😅 Mashallah
@AliIbrahim-lv5cq
@AliIbrahim-lv5cq Ай бұрын
😂😂😂😂 Sheikh mm siwezi yakh
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Ай бұрын
Masha Allah, editor wahii kazi ametuwekeya mziki editor wacheni khiyana shekh Muhammad mwenyew anapigavita nasheed za namna hii editor achananeni na mziki mziki siyo dini na hauna dalili yakukubalika ktk dini
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Ай бұрын
@@abuuabdirrahmaan4132 kama ukomakini chanel ya Muhammad bachu iliungana na Alhajar tv sasa editor wao ndo tunamtupiya lawama kwahili na siyo shekh
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp Ай бұрын
Haahaaa 😂😂 muhammad.
@ABUUBAAZNYUNGU
@ABUUBAAZNYUNGU Ай бұрын
BACHU WEWE SIO WA KUWEKA MZIKI KWENYE CHANNEL YAKO! ......Ushaanza kutupa wasiwasi juu ya msimamo wako asee!
@ABUUBAAZNYUNGU
@ABUUBAAZNYUNGU Ай бұрын
Hata kama ndo umecopy hyo video.....ila as long as ni haram haukutakiw kuicopy kweny channel yako
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj Ай бұрын
Hata ww ukiwa na ilimu utajua nashid haina neno
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Ай бұрын
Kila binadamu huteleza ndugu
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj Ай бұрын
@@mohagurey2214 sio kuteleza kila akipija hatua na ilimu atapata nashid atakubali insha Allah na maulid atasoma ngojea uwone
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Ай бұрын
@@saba-gv3mj Wewe muislamu kweli? Ama wewe ni shia mwenye niyah ya kupotosha ummah ya kiislamu? Hebu nipe ayah ama Hadith zinahalalisha anasheed? Don't mislead the ummah ya ahlul bid'a
@aziza9093
@aziza9093 Ай бұрын
Mm siwezi😂😂😂
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 Ай бұрын
Sheikh bachu watu wa bidaa wanavyo kuchukia watakuonyesha kwenye radd zao nahilo sufuriatu Allah awaongoze
@HemedSerious
@HemedSerious Ай бұрын
Unashobokea kidume mwenzio
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
​@@HemedSeriousvp na ww ni Mtu wa Bidaa maana na ww umeshoboka na comment ya Watu isiyo kuhusu
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud Ай бұрын
Assalaamu aleikum
@eastafricaqualitychickenfa9916
@eastafricaqualitychickenfa9916 Ай бұрын
Waalekum Sallam
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
Waalaykum salaam
@ibnuomar1770
@ibnuomar1770 29 күн бұрын
Mnapinga Nasheed.. lakin katka vipindi vyenu munaeka?? أتأمرون الناس بالبر وتنسون أنفسكم وأنتم تتلون الكتباب أفلا تعقلون؟؟؟
@mirajimsigiti7317
@mirajimsigiti7317 Ай бұрын
Sheikh bachu VIPI TENA HIZO NASHEED??
@allybobsaith
@allybobsaith Ай бұрын
hio ni nasheed isiokua na ala za mziki😊
@suleimanmkanga
@suleimanmkanga Ай бұрын
Nilipo ifungua hii video nilisikia mashairi bin bachu waimba mashairi ni nani vile
@kombomakame9541
@kombomakame9541 Ай бұрын
Ukuweza kula kenge na Mjusi unaweza kula
@ALiBAba-zz2td
@ALiBAba-zz2td Ай бұрын
naona sheikh wa Sunna unakula uku umesimama
@sultaniiyytv3718
@sultaniiyytv3718 Ай бұрын
Sio shambi ila haipendezi wallah aalam
@alisaadmohammed
@alisaadmohammed Ай бұрын
Mtume asemausinywe maji kama umesimama sio chakula
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
Kuna katzo kwani kula huku umesimama?
@CubeedCali
@CubeedCali 28 күн бұрын
Nyinyi mawahabi hatafisi mulihalalisha
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 Ай бұрын
Fisi pia halali yeye husimamatu
@ayoubrashid8392
@ayoubrashid8392 Ай бұрын
Wee bachu acha njaa
@ayoubrashid8392
@ayoubrashid8392 Ай бұрын
Popote pale kama wamfuata mtume watakiwa uwe mstaarab hivo ndo Mtume alivokula........waporoja tu.......half wasmama kifua mbele kupinga maulid
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
Punguza chuki
@aziza9093
@aziza9093 Ай бұрын
Mm inabiti nilenisikuwa
@CubeedCali
@CubeedCali 28 күн бұрын
Wewe bachu hunahaya
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
Ww unazo hizo haya?
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
Mbona kama Bismillah hakuna! Alafu ni nyoka!😅
@fatmasalim7132
@fatmasalim7132 Ай бұрын
Amesema Bismillah rahmaan rahiim,rudia tena umsikie
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 Ай бұрын
@@fatmasalim7132 ndio ila waangalie hao wengine
@HusseinSalimu-cm3vs
@HusseinSalimu-cm3vs Ай бұрын
Kaeni Bc Ndio Muwe Mnakula
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 Ай бұрын
SHEHE UMEOMBA KIPANDE CHA NYAMA ,UMEPEWA TU UMEKIWEKA KINYWANI BILA YA HATA BISMILLAHI ILA MARA YA PILI ALHAMDULILLAH UMESEMA 😂😂😂
@hamidaawadh9024
@hamidaawadh9024 Ай бұрын
Kwani lazima aseme bismiLlaah kwa sauti?
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 Ай бұрын
@@hamidaawadh9024 Sio lazima ila irudie tena kuiangalia hiyo video yaani kupewa,kupokea na kuingiza kinywani sidhani kama amewahi kusoma hata hiyo moyoni, labda amesoma akiwa bado hajapokea Allah anajua zaidi
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
Kusahau ipo kwa mwanaadamu
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 19 күн бұрын
@@hamidaawadh9024 Sio lazima ila hata kwa moyoni hajasema maana ni muda mchache baada ya kupokea na kuweka kinywani
@rajabmsinzia1715
@rajabmsinzia1715 19 күн бұрын
@@user-rb8ir9co9k Yes inawezekana pia
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed Ай бұрын
Ujehuku znz tukulishe guruguru mana kitu kimoja hao
@rashidikibuna8575
@rashidikibuna8575 Ай бұрын
Kenge aliyetajwa navitabu siyo huyo
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui 27 күн бұрын
MAWAHABI MWASHINDANA KULA KENGE😂 WAKATI MTUME ALIKATAA KULA KENGE
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
Hadithi ipo?
@IMRANITV1
@IMRANITV1 Ай бұрын
Mtume hakula kenge bali alikula mburu ni kiumbe anaezaa hatagi mayai,lakini kenge anataga someni musifuate tuu jazba
@iddmohammed1086
@iddmohammed1086 Ай бұрын
Anaekula akiwa amesimama huyo ni..........
@MusafirBaba-wy8kh
@MusafirBaba-wy8kh Ай бұрын
Achen kuweka vinanda
@momsaa08plumbingandelectri7
@momsaa08plumbingandelectri7 Ай бұрын
Kwaiyo kenge halali kula???
@mohammedlipindula5415
@mohammedlipindula5415 Ай бұрын
Ilikua nauliza suala moja je huyo kenge huwa achinjwa baada yakumshika ama hata asipochinjwa yaruhusiws kuliwa
@Naw89
@Naw89 Ай бұрын
Aisee mie siwezi kula hiyo hata kwa dawa
@abduljecha7779
@abduljecha7779 Ай бұрын
Chakula cha mila. Lakini reptile kumla mushkeli.
@abduljecha7779
@abduljecha7779 Ай бұрын
Mtume alimkataa ki desturi lakini chinguzeni vitu anavyokula ndio utajua hafai
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj Ай бұрын
Yuwaliwa hakuna mushkil
@allythabiti8150
@allythabiti8150 Ай бұрын
Siwez kula kenge hata iweje, yan naachaje kuku
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu Ай бұрын
Eu não consigo comer esse tipo de animal 😮😮😮😮
@saidjuma4547
@saidjuma4547 Ай бұрын
shekh Muhammad hahahahahah
@abdulbandari1551
@abdulbandari1551 Ай бұрын
Je ,mamba pia halal?
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 Ай бұрын
Yuri ndio kitu gani jmani bachu unakulaa usichokijuwas
@alisaadmohammed
@alisaadmohammed Ай бұрын
Ni burukenge unamjua?
@universitylink
@universitylink Ай бұрын
Ukila yuru utaota unashika ma euro ya pesa
@aslamswalah7852
@aslamswalah7852 Ай бұрын
😂😅asantaa.ustadhi eeeh,nauliza fisi jee halali kumla?manake nliskia mawaidha ya manhaj salafi kuwa muislam anafaa kumlaa.
@hajijuma1761
@hajijuma1761 Ай бұрын
Vipi kuhusu popo ni halal pia
@rajabhamis8272
@rajabhamis8272 Ай бұрын
Duuuh,,, hivi kwel Kenge analiwa !????
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu Ай бұрын
Tena vizuri sana....ila kwa wanawake sio nzuri
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 Ай бұрын
Sasa kama kenge analiwa na punda karibuni tutaambiwa analiwa. Tutaona mengi kwa vile dini ishakuwa ni ushindani sasa.
@dawud6065
@dawud6065 Ай бұрын
​@@awadhsalim2680 وَعَنْ اِبْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: {أَكُلَّ اَلضَّبِّ عَلَى مَائِدَةِ رَسُولُ اَللَّهِ صلى الله عليه وسلم} مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas (رَضِيَ اللهُ عَنْهُمَا) amesema: “Kenge aliliwa katika meza ya Rasuli wa Allaah (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ). [Al-Bukhaariy, Muslim]
@Albanabdullah1232
@Albanabdullah1232 Ай бұрын
Yuri ndio analiwa kenge haliwi acheni ujinga,halaf nyie ndio mwajitia watu wasunna mbona mnakula haliyakuwa mmesimamah
@FatmaAbdulhalim
@FatmaAbdulhalim Ай бұрын
Asiekasoro hakuna
@abubakarismail6365
@abubakarismail6365 Ай бұрын
Kweli lakini wao watu wa suna bwana wangefanya wenziwao ingekuwa KZfaq kama zote
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 Ай бұрын
​@@abubakarismail6365Hawana sunna wala nn ni vibaraka wa esrail na marekani.
@rajabhamis8272
@rajabhamis8272 Ай бұрын
Sorry, @Albanabdullah1232, YURI ndo viumbe wa jamii gani !?????? Nataka kujua
@user-rs7nd1ob5u
@user-rs7nd1ob5u Ай бұрын
فالنهي عن ذالك للكراهة فافهم يا جاهل مركب "فمن أكل واقفا فلا حرج يا غبي
@jabirothman7133
@jabirothman7133 Ай бұрын
😂😂
@user-ow2jv4vn8b
@user-ow2jv4vn8b Ай бұрын
Warohotu nyie
@FatmaAbdulhalim
@FatmaAbdulhalim Ай бұрын
Mimi simli
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
Unaogopa nini?
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me Ай бұрын
Angalia usijelishwa nguruwe akhy
@ibrahimkhatib2899
@ibrahimkhatib2899 Ай бұрын
Unakula GURUGURU weweee😂😂😂😂
@shahabdallah9407
@shahabdallah9407 Ай бұрын
cha homu asaa😂😂
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj Ай бұрын
😢sijasikia km kenge analiwa haya km si haram kuleni
@user-rb8ir9co9k
@user-rb8ir9co9k 20 күн бұрын
Fanya na ww umuonje siku Moja
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 20 күн бұрын
@@user-rb8ir9co9k mhh kitu km hicho mara unadhurika mm siwez Kula kenge
@mudvan2410
@mudvan2410 Ай бұрын
chochote kinacho zuria au kushambulia kupitia kucha ni haramu Kula hebu twambie ushahidi wa Kula kenge bwana radi ili na sie tupate faida
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp Ай бұрын
Vip kuku wenye kushambulia kwa kucha na wao ni haramu na kuna ndege wengi tu wanashambulia kutumia kucha.. Hi faqh yako umesoma wapi?
@mudvan2410
@mudvan2410 Ай бұрын
@@YahyaYahya-vp2pp kaka usiwe mjinga kuku hashambulii Kwa kucha wala hakamatii kucha nimesoma na wala sikusomeahwa na malaika wa radi na wanasiasa wa chama cha salafi nitafute nikusomeshe na lazima ujuwe kwamba kuna tofaut baina ya kuzuria kucha na kukamatia kucha kwaiyo kunguru na kipanga halaal kuliwa mana kuku yeye hupekura kupitia kucha illa kuzuria huzuria mdomo
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp Ай бұрын
@@mudvan2410 kama hukusomeshwa umejisomea mwenye ndio ujinga wako ilipoanzia.. Saw umesoma kitabu gani hayo uliyo yasema eliimu haina mwish niambie kitabu huenda nikafaidika nacho
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 Ай бұрын
Hyo kitu n tam san aloo nimeimis mno since 2000
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 Ай бұрын
Shekh Muhammad uko Kenya utakula mpaka panya 😂😂
@aliathman7609
@aliathman7609 Ай бұрын
mimi hata kwa bomu simli😂😂😂
@CubeedCali
@CubeedCali 28 күн бұрын
Mchafu wewe hoyuru aliliwa khaybara kwa sababu ya dhiki
@maalimahmad5726
@maalimahmad5726 Ай бұрын
we jahili mtoto wa bachu daah leo umeumbuka kwanza ulianza kusema nashid ni sawa na ukhanithi mbili hao mawahabi wenzio mnakula kibudu kenge kwa sababu enzi za mtume alikula mburu kenge na sio kenge yuru tatu waislam mnakula mmesimama kiujumla tunawaita makafiri hakuna sehem mtume alikula kasimama kenge nyie kama nyama hiyo
@khamisswalehe
@khamisswalehe Ай бұрын
kaka acha kuita waislamu makafiri
@saidabdallah5448
@saidabdallah5448 Ай бұрын
Genge ni halali. Kula kwa kusimama haina shida imeruhusiwa Masufi hamtaki kusoma
@maalimahmad5726
@maalimahmad5726 Ай бұрын
hao ni makafiri mtume hakufundisha hivyo kama wewe unaona wako sahihi wafuate yeye ni bingwa kwa kukosoa wenzake jahil huyo​@@khamisswalehe
@maalimahmad5726
@maalimahmad5726 Ай бұрын
​@@saidabdallah5448wewe ni kibaraka wake nakujua vyema hunipi tabu genge la kikatoliki mnakula vibudu
@sumaisabu9816
@sumaisabu9816 Ай бұрын
​@@maalimahmad5726wanaosoma maulid wao ndo waislam ee
Muhammad Bachu PAMBANENI NA ALBANI KWANZA KISHA NDIO MUJE KWETU.
12:39
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 19 М.
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 65 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 21 МЛН
UTATAMANI KULIA: MSICHANA WA MIAKA 27 ALIVYOPELEKA UISLAMU KIJIJINI KWAO
7:05
USHIRIKINA-SHEIKH SAID BAFANA
42:03
Peacefm Matukio
Рет қаралды 433
MAJIBU YA DHARAU NA KEJELI YA MUHAMMAD BACHU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
16:10
Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Рет қаралды 6 М.
skibidi toilet 76 (full episode)
8:11
DaFuq!?Boom!
Рет қаралды 19 МЛН
Майнкрафт, но я выживаю в ПВП ЦИВИЛИЗАЦИИ
30:33
Андрей Альварес
Рет қаралды 1,2 МЛН