Best and best ever utaendelea kuwa best kwangu na ipo siku nitaelezea jamiii ni jinsi gan umenisaidia kwa kunipa maarifa makubwa sana ,,,mungu aendelee kukuweka at the top
@charlesfaida15152 жыл бұрын
Asante Sana Bro Joel hapa watu wengi Sana tunafeli kuanza kuchukua hatua Kwa kuhofia kupoteza hata tulichonacho, "Kweli mbegu haiwezi Kuota na kuzaa bila kupanda" Tunatakiwa kuanza na tulichonacho. Thank you my life coach God bless 🙏🙏 you .
@joycemathew1052 жыл бұрын
Asante sana
@pilichuli44492 жыл бұрын
Kwakweli unatuoa kwenye giza nene
@schoolofsuccess6662 жыл бұрын
Nita.... Ooooh, italuakuaj, itatokea nin, kama nita..... Oooh tunaweza tafuta chochote but hatutaweza kuongeza mda, i mean tucpoteze mda coz time z limited resource let's start....my self im already started.
@yollamniko50902 жыл бұрын
Kwakweli vipindi vyako vinanijenga nakunibadilisha kila ninapokusikiliza hakika huwa huniachi tupu,,ntaamin ntafanya kitu jo' mungu anijaalie afya njema tu,,Asante saaaaana
@ajaxjunior4302 жыл бұрын
Asante sana kushukuru Mtumishi wa Bwana ubarikiwe sana "Tuamue kuanza kuzikabili changamoto, changamoto haziwezi kuisha" nimepata kitu leo.
@jivakasglobaltech50372 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel, procrastination imekuwa ugonjwa mkubwa kwa watu wengi ila kupitia vipindi vyako vinatuamsha usingizini tulio wengi. Mungu azidi kukupa vitu vya kushare nasi. Barikiwa
@vicknnko60762 жыл бұрын
Daah kaka maarifa yako yananisaidia sanaaa Mungu akubarki nilkuwa na laki na nusu nikawa naona ni ndg kuanza biashara ila kwa ushauri wako mzuriii naanza leo Ahsanteee sanaaa
@KazimiliTV2 жыл бұрын
Hahahaha, mimi laki 900,000 mpka zimeisha tu.
@hawamwambapa8482 жыл бұрын
Nmejifunza kitu kizuri sana kaka joel ubarikiwe kwa somo zuri, nafatilia sana masomo yako
@justinebaada90792 жыл бұрын
Asante sana bro hakika unanijengea ujasiri zaidi ktk hiki ninachokifanya
@marhaj-products2 жыл бұрын
Ahsante sana Mada imenigusa mno Ubarikiwe kaka
@reginaldipeter22722 жыл бұрын
My God nisaidie kutumia vizuri mawazo mapya unayonipa (Ayubu 8:7)
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Nakupenda pole kaka yangu yaani unatufungua akili mno. Ubarikiwe na mungu akulinde 🙏
@wisezamir51242 жыл бұрын
Mwanzo mgumu kweli,,, sasa nikiulizwa ndoa lini naweza kuwajibu ,,hakuna tena kujipanga umri unasonga kinoma,,
@shukranjulius95266 ай бұрын
Kiukweli Mungu akubariki sana kaka @Joel umekua baraka kwa wengi naamini mwaka huu nitaweka akiba kwa uaminifu
@onnex902 жыл бұрын
Namshukru Mungu kwa huduma yako kaka..nilitimiza kumiliki bodaboda kupitia mafundisho yako..Mungu akujalie afya njema ili kila siku nipate kitu kipya kutoka kwako..nawaomba ndungu zangu niafadhali kutumia muda mwingi kisikiliza mafundisho ya maendeleo kuliko kupoteza muda mwingi kuangalia vithu ambavyo havina msada kwa maendeleo..🙏🙏🙏🙏
@tanzaniatourismboard8395 Жыл бұрын
Mwalimu. Mtumishi. My MENTOR...Naanza Mwaka Huu. Naanza Kaka. Nimekusikia...AHSANTE SANA
@janicejohn622 жыл бұрын
Joel mdogo wangu Mungu akutunze. Uendelee kuachia hicho alichokuwekea ndani yako.
@lydiadeodatius68642 жыл бұрын
Shalom mtumishi nashukuru sana kwa mafundisho mazuli mimi nina kipawa cha kuimba ninaimba kanisani asa eneo la sifa na kuabudu nimekuwa nikitaman kufanya ibada ya kusifu na kuabudu ila nakosa sapopi nilijalibu kufanya tena kwa garama kidogo nikausisha watu wakati nawausisha walionekana kunitia moyo mwisho awakuonekan walio nisaidia ni wachache natamani niendelee lakini spt aipo mtumishi
@user-gh3zf4ow4cАй бұрын
Usiogope ndugu yangu Endelea kufanya mazoez ili ukiwapa ushaur waone nafasi Yako ni ya muhimu
@josephmichael95552 жыл бұрын
Najutia kuchelewa kukufuatilia kwakua maneno yako yananijenga sana na nawalisha wengine
@LucyPonera2 ай бұрын
Asante kaka kwa elimu nzuri hakuna haja ya kusubiri nikuanza tuu🙏🙏🙏🙏🙏
@jackychebet81002 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel Kwa ushari wako
@loyceakuku60192 жыл бұрын
Wow kaka Joel, hili funzo limeniguza akilini zaidi pakubwa sana, waa waa waa , what,??? Kweli nime zembea sana kwa ukweli., nashukuru kwa funzo hili. Loyce Akuku from Kenya. Asante sana Joel
@Ebenmgaya2 жыл бұрын
pole kak kwakuchelewa
@azizaabeid20552 жыл бұрын
Nimekuelewa mwalimu ni kweli kabisa inatakiwa tuanze na tulicho nacho hongera kwa SoMo najifinza mengi kupitia kwako mungu akubariki
@hashimuliloto80172 жыл бұрын
Good man, 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@deboramenard18552 жыл бұрын
Asant Sana ubarikiwe
@gaudensiasamwel53372 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kaka Joel, asante kwa ujumbe mzuri🤝👍
@abelntobi3822 жыл бұрын
Action oriented
@cetybenja3592 Жыл бұрын
Ume nigusa sana daaa mungu akubalikia ana lakusema japo nime chelewa sana kukujua Ila nime elewa
@jomsafirikajinaki88202 жыл бұрын
Asante kwa conselho yako Sr. Joel
@lugendelajimola61362 жыл бұрын
Thanks alot broo for ur creativity ,for sure we are learning alot from u .
@honestermwita3662 жыл бұрын
Mngu akupe kufikiria Zaid. Hongera kwa mafanikio Kwan umenisaidia
@mwanaidijuma3849 Жыл бұрын
Ni kama ulikua unanizungumzia mm Kaka Joel. Kila nikitaka kufanya jambo changamoto inaingia kati. Ila baada ya kukusikiliza nimepata nguvu ya kuanza ninachokifikiriaga kila siku katikati ya hizo hizo changamoto. Asante sana na Mungu akutunze sana Kaka.
@gloriakawago62232 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel yaan nimepata kitu kikubwa mno God bless you.
@afyayauzazinaurembomadamgr76592 жыл бұрын
Thanks for everything broo🤝🤝
@nkugwasimon76482 жыл бұрын
Shukran sana kwa kuendelea kutupatia maarifa mapya kwakwel nimelichukua hilo
@TradersEasyWay2 жыл бұрын
Nina ndugu yangu yuko china anisaidii...utafikiri wanaokaa nje wanaokota pesa..hahaaa! safi sana joel kwa kutua elimu na amsha amsha!
@sadikisaidi6996 Жыл бұрын
Kaka joeli unanigusa sana nami nina hiyo changamoto ahsante sana
@isakaalberto76372 жыл бұрын
Nakupenda san me naona sina changamoto ila changamoto mm mwnyw maan ndo najua maisha na kipaji changu au wengine hawanijui
@daudihemedi33622 жыл бұрын
Mashaallah.. Asante sana kaka Joel.. Uko vizuri sana unatufunza mengi san vijana kwa hakika.. Mungu akubariki sana
@johaneskaihura33542 жыл бұрын
Ahsante kwa darasa zuri,Mungu azidi kukutumia ili tuzidi kukuza maarifa kupitia wew. Well done.
@ElilaTV2 жыл бұрын
Powa sn kaka
@yumbujackson8692 жыл бұрын
Bro ubarikiwe sana kwa madin haya
@ramakatonyongo13892 жыл бұрын
Nakukubali sasa kaka j
@magrary24552 жыл бұрын
Me naogopa kuanzisha mahusuano na mchana ninaempenda sababu naogopa sina msingi wa pesa na kazi bado mwanafunzi wa chuo. Lakini nitajitahidi kwasababu akili haiwezi kukomaa nisipopata misukosuko na changamoto. Ahsantee kaka Joel Nanauka.
@juliusmashauri43422 жыл бұрын
Bro hua sijutii bando langu God bless you
@joowzeyboyjoowzee44742 жыл бұрын
Ahsant brother teacher
@DjohnSkills2 жыл бұрын
Duuh Kweli
@jonasebuela89752 жыл бұрын
Naishi USA, Mungu akubariki kwa ujuzi unaho tupatiya.
@namsifuwadeya4972 жыл бұрын
Asante sana umenipa nguvu sana
@user-ns1sd7fe3m9 ай бұрын
Naombe like 5 joel
@bestcakes70982 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel ingawa ujumbe mgumu
@lovehawa47582 жыл бұрын
Dah nikirud ntaanz kw kwel
@majaliwamerikiorikichaname9013 Жыл бұрын
Lakini kwa hii madini yako ubarikiwe sana🙏🙏
@loyceakuku60192 жыл бұрын
Waa kweli. Ni ukweli
@aptv13212 жыл бұрын
kaka nafurahia sna vipindi vyako vina npa kifra mpya...Hongera
@roselynerwiza93832 жыл бұрын
Asante kaka sianzi sababu nategemea kupata mtaji Ndio nianze nimeelewa nitarekebisha hapo Ili nianze kwa nilichonacho Kwanza
@elishaignacy20132 жыл бұрын
yaan kaka joel kila siku nikiangalia video zako ni kama huwa unanisema mm Lakin asante sana nimeanza na nimeona mabadiliko🙏
@winfridajohn6435 Жыл бұрын
Asante kwa somo hili Joel
@rollahngimbwa69789 ай бұрын
Shkran sn kk Joel 🙏🙏 Be blessed
@jomsafirikajinaki88202 жыл бұрын
Bons conselhos! Obrigado gostei de conselho
@noahgeorge01742 жыл бұрын
Am so proud with you
@eliapatrick Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@xmaramoja3622 жыл бұрын
wiki ijayo naanza mkuu
@stejasatv73492 жыл бұрын
Makini sana mkuuu
@godfreydickson42042 жыл бұрын
My Mentor, God bless you 🙏
@festoamos_tz2 жыл бұрын
Nashukuru sana na mimi nimeanzisha account yangu ya you tube mdogo mdogo natembea kwenye maono yangu,,, asante Coach Zidi kuinuliwa uwainue wengi zaidi
@jrsureodds9820 Жыл бұрын
Asante Sana teacher hapa nimejifunza kitu
@marykavishe35532 жыл бұрын
Asante kaka leo nimekusikia naenda kuanza umenitia moyo Sana pia kupitia ebook yako money formula nitajifunza mahitaji yasipande yabaki yalivo
@MrHillary.2 жыл бұрын
Ahsante Kaka kwa somo zuri🙏
@hoseahmbembela87202 жыл бұрын
Nimekuelewa sana asante kaka
@drjamesjames9337 Жыл бұрын
Always you will be my role model 😉
@bensontemu93562 жыл бұрын
Ahsanteeeeee
@shemsahemed35772 жыл бұрын
Yaani ww kaka maneno yako yananipush sanaa mungu akulinde na kila kitu
@newschannel15582 жыл бұрын
Bro Mungu akubariki sana
@fathiasaed97182 жыл бұрын
God bless you nanauka
@mathiaswilliammadimba64832 жыл бұрын
Kaka joeli nakufuatilia sana na ninaona manufaa yako shida niliokuwa nayo nilikuwa na mtaji mkubwa kiasi kama milion 20 ujenzi na changamoto za kibiashara zimenifilisi nimestrago sana miaka kama 3 sasa ninamtaji kama milion 4 nashindwa kuanza biashara unanisaidiaje nipo mtwara masasi
@janethkomba44852 жыл бұрын
Asante kwaushauri,nitajifunza kuaza🙏
@daprince75452 жыл бұрын
Shukran sana bro ur points taken mungu akubariki
@happynessmwaipaja53722 жыл бұрын
Yes,me at the top
@danielbetweli35192 жыл бұрын
Asante kaka kwa somo lako Vijana una2fungua sanaa sanaa Mungu akubariki.
@nadyahamis90262 жыл бұрын
Shukrani ka Joel
@ecbtvtanzania64892 жыл бұрын
Thanks alot my lecturer ,, now iam ready to start
@veronicalazaro95312 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka kama ulikwepo kwenye akili yangu Kila nikitaka kufungua biashara nasita
@kizabakari52762 жыл бұрын
dah!!! unakipaj kikubwa sn joel nataman kuwa mwongeaj mzuri kama wewe. na pia nimependa point yako “huwezi fanikiwa katik jambo amboyo ujahanza kufanya kumbuk mbegu aiwezi kutoa na kuzaa matunda mengi kama hujapanda” na hii inanifanya nianze na kidogo bila kujali kuonekana wachini 🙏🙏.
@nicksonjoph Жыл бұрын
NI kweli bro apo umetugusa wengu
@happinesedward6252 жыл бұрын
Asantee sana kaka joel
@tumainanthonychanya602 жыл бұрын
Kaka Joel ipo siku nitakuomba uje uishuhudie mbegu unayoiotesha kwangu Mungu akutunze sana
@lightnesskashi32262 жыл бұрын
Sijamaliza kuangalia but im already blessed
@hamisichenji98922 жыл бұрын
Umekuwa mwalimu mzuri kwangu. Asante sana kaka na mungu akutunze zaidi.
@saimonmagembe11012 жыл бұрын
Asante sana kaka umenifungua akili
@juliusjozeiy78782 жыл бұрын
Asante brother Joel angalau nme jua kitu... ila samahan nlkua naomba ushaul,mimi nasoma na mzaz wangu kanipa mtaji nianze biashara na vitu chuon n vigumu atari... Je una ni shaul nianze io biashara na je nta fanikiwa!!?
@richardmugwe90092 жыл бұрын
Thanks alot brother joel...uhv made my new chapter of life..
@johnmangi90072 жыл бұрын
Kiukweli ndo ukweli huo,,mtegemea ndguyo hufa maskini. Na wangojao nafasi nzuri ili waanze wamebakia siku zote kungoja tu
@medsonstarlon17812 жыл бұрын
Shukrani kaka Kwa Elimu hii,,,barikiwa sanaaaa
@georgeswaiswai4581 Жыл бұрын
Kweli hata mm naogopa kuanza kwa kuhofia kuwa hta hiki kidogo naweza kupoteza
@dr.bonye12 жыл бұрын
Ahsante kaka Joel
@gabrielchristopher19792 жыл бұрын
Naanza leo
@YusuphNgungu-mz1tw11 ай бұрын
Kwasababu sijue kingereza
@getrudejohn46352 жыл бұрын
Asante kaka Joel
@mlandagodfrey1212 жыл бұрын
Shule Bado imenibana nashukru nimeshajifunza mengi kwwko Bado nimalze masomo tu nianze