Kwa kweli wewe ni mwalim ktk maisha yangu. Nimejifunza mengi from your topic always. Mungu akupe hekima zaidi na zaidi
@assamwakasanga35702 жыл бұрын
Asante sana kaka Ni kweli na hili ni janga kubwa ,,, maana yule aliekusaidia anataka mda wote umuangalie yeye kwasababu tu alikusaidia...pia anataka kukumiliki.. Huwa nawapa jibu langu ukuweza kunisaidia bila juudi yangu pia kunisaidia mimi ulikuwa sio wewe ni mungu alikutumia tusaidiane! Ongera sana kaka Joel nanauka mungu ukubariki sana
@lightouma4772 жыл бұрын
Hakuna speaker anaenibariki kama wewe,your my role model,natamani siku nikuone kwa macho,MUNGU akutunzee babaa
@hassanomary10672 жыл бұрын
Natamani cku moja kka joel nikuone unagombea URAIS,,hakika mungu akusimamie na afanye wepesi ktk harakat zako 🙏
@maujanjatzonline47242 жыл бұрын
hakka machoz yamenitoka kk unacho ongea kipo katka maisha yetu mung akubarik kwa kaz nzur 🙏
@godsonbukuku40992 жыл бұрын
Ni uhalisia kabisa haya yamenitukia ila sikuwa naelewa has a kwanin iko hivyo vigumu kuachana na watu wa mpito na kwamba nlipaswa kufanya nin baad ya Muda wa watu hao kupita Lkn Leo nimejua na kuelewa🙏🙏
@neemagift49212 жыл бұрын
Habari Mr Joel .nitapataje kitabu ya money formula nipo Arusha
@piusyotamu56152 жыл бұрын
Na barikiwa sana . Mungu azidi kukutunza sana
@neckikikoti62562 жыл бұрын
Hakika kaka Joel unanifundisha sana Tambua yakuwa Mungu atakuweka sehemu malumu zaidi katika kila sehemu utakayopitia. Unagusa maisha yangu moja KWA moja. Ahsante sana, Yesu akuongezee kila ulichonacho kiwe maradufu Zaidi
@magrary24552 жыл бұрын
Mjomba wangu, shangazi yangu, babu, bibi na baba mdogo wangu wamekuwa msaada kwangu kwa kiasi kikubwa kimalezi kuishi nyumbani kama mtoto wao mpaka leo hii nimefika kiwango cha elimu ya juu
@meryfrank52722 жыл бұрын
Ni kwel kbs ata mm nilipitia uko na awo watu wameenda zao ata mawasiliano nao sina tena. Bali mungu awabariki popote walipo
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother
@wailesmsongole19142 жыл бұрын
My teacher umefanya nifike mbali
@lesportetlanutritionpourla99562 жыл бұрын
Waow sio Siri nimejifunza kitu kikubwa sana kabisaaaa ahsante sana kaka maana kuna watu ambao kwenye kipindi fulani walikua karibu na mimi kabisa lakini baadae nikiwauliza na kutaka eti nibaki nao karibu kutokana na umuhimu walionionesha kile kipindi cha nyuma walikua wakidai wapo busy mpaka nikaamua kuwaacha lakini kishingoupande. Ahsante sana Joel ubarikiwe sana
@leonardsimoni804 Жыл бұрын
❤❤❤ daah mafundixho yako sizani kama nitaendelea kufeli
@labanchayonga81032 жыл бұрын
uwezo wako wa kufikiria ni mkubwa sana ..na hutuombi hela bar unatusaidia bule wala hauhitaji kutupa maji au mafuta ili tuamin bali unatufunza kiiman napenda sana uendelee kuwepo ili kupitia wew nije niw kiongoz bora kwenye maisha yangu pia
@erickmakeja413 Жыл бұрын
Aisee!!! This is the strong reason,,,natamani Kila mtu asikilize.
@twahaally19692 жыл бұрын
wewe ni baraka sana... keewtu kaka
@dorcasmunisi86782 жыл бұрын
Hongera sana kakangu,najifunza meengi mazuri kutoka video zangu nashare na wengne nao wanabarikiwa..nimebadilika kiufahamu/kimtazamo/kimaamuzi kwa kupitia wewe kakangu..MUNGU AKUINUE KWA VIWANGO VYA JUU ZAIDI.LET'S MEET AT THE TOP BRO!
@TRIPLE_M_13k2 жыл бұрын
More appropriate Najikuta Watu nawaeleza like nilichojifunza kwako na watu wananikubali Sana wakijua Ni utashi wangu
@shukranjulius95262 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, kiukweli hii nimekutana nayo Kuna mtu nilimsaidia lakini anataka muda wote nipoteze kwake yani kila wakati anataka niwasiliane nae
@frankbenandi87642 жыл бұрын
nashukuru kaka joer nakwamini sanaa we nibaraka kwangu unanikutanisha namungu 🙏
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Amen
@aminambonea13722 жыл бұрын
Ubaarikiwe unaniinua kila siku ninapo jifunza
@timothykengere25352 жыл бұрын
Shukran Ndugu Nanauka Joel 📚📚📚 Mazuri hayo 🎙️
@emanuelmasawe26732 жыл бұрын
Nimekumbuka rafik yangu alikua ni m2 wamaono mungu amrehemu huko aliko
@daniellepari45252 жыл бұрын
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka ubarikiwe
@charlesfaida15152 жыл бұрын
Asantee Sana Bro Joel 🙏 upo Kwa wakati mhimu Sana .. ujumbe wa Leo umekuja kwenye wakati sahihi kabsa kwangu . Mungu aendelee kukulinda Sana Bro Joel.
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
God bless you 🙏 Brother
@upendofande68132 жыл бұрын
Hakika Mtumishi unaivusha nchi.
@brianamichale55282 жыл бұрын
Nimekuelewa mdogo wangu mungu akujalie
@jacklinebazale54152 жыл бұрын
Nikweli kabisa nimekutana nao nimejifunza leo kutokuwangangania
@pulikisia79632 жыл бұрын
Mi nimeshakutana na mtu wa kunisaidia,alinisaidia msaada wa hela nyingi Ila ndio alitaka kunimiliki mpaka umaana wa msaada ukapotea na nikaachana nao,alikua ni ndugu yangu wa damu.
@user-nm1je5pt4u2 жыл бұрын
Yani nagupenda unatuerimisha ubarikiwe
@mrfocusvipaji85912 жыл бұрын
Dah bro uyazungumzayo kwaxaxa nayapitia ila xaiz napata nafuu after your speech bro thank and god bless you
@mussakubari3920 Жыл бұрын
Nikweli kaka nomba 1 nemekutanae
@mwananyumbwemapembe63452 жыл бұрын
Namshukuru Sana umenifundisha nimelewa sana
@rhinakiza2 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri sana 🙏🏼
@user-tx9mq2tr6j2 ай бұрын
Asantee mtumishi wa mungu
@bonifacemapunda8829 Жыл бұрын
Asante San,nimkutna na watu hao Mara nyingi sana
@yohanasimtenda7482 жыл бұрын
Nimekuelewa sana brother,Asante sana.
@vicentjohn6479 Жыл бұрын
Amen mimewahi kukutana
@Africa.Athuman2 жыл бұрын
Mwanafunzi wako kutoka burundi ndio wapo ila kaka sometimes takutext ila hunijibu sijui kwa nini
@sarahmtenga1342 жыл бұрын
Nimejifunza mengi kupitia Joel,Mungu azidi kukuinua.
@beatricemabula47832 жыл бұрын
Ahsante sana somo limekaa kichwani na ni muhimu kwangu..barikiwa
@nancysamwel34682 жыл бұрын
Hakika barikiwa sana kaka
@andersonnkenzidyo8572 жыл бұрын
Nakukubali sana brother hao watu nilishakutana nao sana .
@thobiasmajaliwa92822 жыл бұрын
Kwel kabisa nilisha kwama shule nikakuta a na rafk wa ck nying akanipa suruhisho na c pesa
@aidanmsungu24332 жыл бұрын
Nimekupata vizur kaka
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Ahsante sana Sauti yako Ipo Katika Masikio yangu
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Safi kabisa
@saliingao20722 жыл бұрын
Allah akulipe kheri Jemedar wetu .
@justinebaada90792 жыл бұрын
Asante sana bro kwa somo hili hakika limenifanya nijifunze kitu kikubwa san hapa. Ubarikiwe sana bro maana kila nitazamapo video zako na makala zako huwa zinaniongezea ujasiri na kujiona mshindi ktk kila hatua ya kulitimiza kusudi nililoitia
@housemanagmentfinishing1151 Жыл бұрын
Hakika nimezidi kujifunza zaidi na somo lako sijawahi kujutia mb zangu kusikiza masomo yako kaka
@khadijakisingo7920 Жыл бұрын
Amen barikiwa sana
@fabiantz14312 жыл бұрын
Barikiwa San kaka Joel najifunza mengi san kupitia ww
@janethmunisi71992 жыл бұрын
Amen. I consider it a God's voice...
@anoldkimario82852 жыл бұрын
Nikweli unayozungumza brother, ahsante Sana
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
Am soo challenged with today's video thanks bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mimi Kwako Niko upanda WA support Tu Kwako that's all I can offer
@jumaqmussa30012 жыл бұрын
daah!!!fact sana hiii
@benjaminsaimon32802 жыл бұрын
Thank you so much brother Joel..you keep paving our minds day after day may heavenly father keep holding you🙏🏻
@isackpius2502 жыл бұрын
Asante sana Kaka Joel. Hakika ubarikiwe milele
@budakassim21912 жыл бұрын
Hii kubwa SANA
@drkatole80072 жыл бұрын
Asante sana kiongozi Somo hili limenibariki sana Ubarikiwe.
@amankinyamagoha28612 жыл бұрын
Thanks Mr be blessed 🙌
@twahaally19692 жыл бұрын
Shukran kaka fam from Zanzibar
@furahayabwana61272 жыл бұрын
Waaaaaah somo jema sana.
@amanimakury96862 жыл бұрын
You are have wonderful speech my bro
@hillaryindimuli13862 жыл бұрын
thanks sir always on point . You always deliver your point clearly and more simplified.
@angelkanoga21752 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Kaka
@bensontemu93562 жыл бұрын
Ahsantee
@paullazaro31272 жыл бұрын
Nashukuru kwa mafundisho mazuri.
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Ameen
@edeniaalex9029 Жыл бұрын
Mm nimekutan nae lakin ni ndug yang
@mwanamkasihabibu99152 жыл бұрын
Amin
@jkifutu79362 жыл бұрын
Absolutely 💯 kk
@twahaally19692 жыл бұрын
Shukran Mr.
@rahimsalumu49282 жыл бұрын
Asante kk
@neemasafari32972 жыл бұрын
Kaka l appreciate
@greatestdaniel2912 жыл бұрын
Asante
@abuuminya87462 жыл бұрын
nice,duka la vitabu linapatikana wapi
@emwainvestment3842 жыл бұрын
Thanks alot
@arnoldsangala68692 жыл бұрын
Mimi pia ni shuhuda niliyekutana na watu hao,lakini vilevile ni wengi nlio wasaidi kwa ushauri na wengine nimesaidia kuwawezesha katika changamoto zao,mwisho wa siku wameenda jumla hata wasinikumbuke,walipofanikiwa hawana haja nami tena na Mungu amewasaidia na kuwainua,hiyo nayo ikoje?
@fj83172 жыл бұрын
tenda wema na uwe ndazo hawana haja wewe usifikirie hilo fanya yako bro
@AthumanChambo-np4gn6 ай бұрын
Nime😢
@jitathminitv34292 жыл бұрын
true
@kulwamnyeleshi24532 жыл бұрын
👍
@ivanamkapa23692 жыл бұрын
Joel una akili sana
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Ndiyo nikishawahi katana nao
@oscarj....59792 жыл бұрын
Sasa me ntajuaje kama ni wampito au laah 🤔
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
📌🔨🖤
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Bomba sana
@farajarogath1962 жыл бұрын
💜💜💜🙏🇹🇿⭐⭐⭐⭐⭐❤
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Nice
@meryfrank52722 жыл бұрын
Ni kwel kbs ata mm nilipitia uko na awo watu wameenda zao ata mawasiliano nao sina tena. Bali mungu awabariki popote walipo
@mrfocusvipaji85912 жыл бұрын
Dah bro uyazungumzayo kwaxaxa nayapitia ila xaiz napata nafuu after your speech bro thank and god bless you
@meryfrank52722 жыл бұрын
Ni kwel kbs ata mm nilipitia uko na awo watu wameenda zao ata mawasiliano nao sina tena. Bali mungu awabariki popote walipo