Nimekumbuka mstari wa kwenye wimbo wako wa misuli ya imani “kama unazani lakwako gumu basi sasa jifunze kwa wenzako maana wewe kuguswa tu na jaribu unanung’unika mwaka mzima”
@leamlenga42273 жыл бұрын
Daaah,Mungu tusamehe tunalalamika kwa mambo madogo, kumbe kuna wenzetu wanapitia kwenye majaribu ambayo ukitafakari unashindwa kupata majibu kwamba ingekua mimi ingekuaje 😭😭😭Mungu alijua kwamba haya unayaweza, amini Mungu anajivunia wewe ubarikiwe.
@latefalatefa26642 жыл бұрын
Sana tujifunze kupitia haya wapendwa 😭yaani kumpoteza mke namtoto nadada nimtihani mkubwa sana
@angelkimario58622 жыл бұрын
Kaka angu nyimbo zako zimenitia moyo lakin kwa mwimbo huu mpya nimepata uponyaji kwa wakati mgumu nilio nao nimeona niliyo nayo so kitu niachilia na nimetoka kwenye uchungu kwa yaliyo nipata Zaid ya nyimbo zako tatu nimelutana nayo lakin la huyu YESUsisimama
@janemsamati67002 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu sana , kwa ushuhuda huu na yote uliyoyapitia leo tumepona hata mimi nimeimarika kiroeho
@marymasimba97222 жыл бұрын
Mungu kwahili alilo pitia mtumishi wako najifunza kushukuru na sio kulalamika
@Jiwakilishe20232 жыл бұрын
Mimi mfuasi wako wa kina hapa Machakos,Kenya. Habari ya huzuni hii lakini ya kutia moyo. Na bila nia mbaya katika maojiano upunguze sauti ya mziki tuyasikie maneno vizuri. Mungu awabariki
@gaudenciaredwin21542 жыл бұрын
😭😭😭 so sad,I don't know if I could bear this pain🙆 huu wimbo na misuli ya Imani my my God,may God heal your hurt,pain and wounds sir😢🙏🏽
@beatriceloveness37933 жыл бұрын
Jmn tunaomba serikali ifikirie kwenye swala hili mtu akifiwa tunaomba wamruhusu tukazike ndugu zetu dah hii simulizi inauma Sana
@pulkeriashauri45972 жыл бұрын
katiba mpya itasaidia usisahau likitokea kuja kwenye maoni ya wananchi
@elinardomakunga84032 жыл бұрын
Ee Mngu wangu unisamehee nilipo atwa na kajaribu kadogo nikanung'unika kiasi cha kukufuru nisamehee baba angu sikujua kama kuna watu wanapitia magumu zaidi yangu nijaze roho mtakatifu toka sasa amee🙏🙏🙏
@patrickwilondja7593 жыл бұрын
Pole sana na ushuhuda huo unao kuwa na kutuongezea imani
Bwana Mwema Atafungua milango utashangaa Atafanya njia Utashangaa Utamtukuza Kumb. 28.1.14 utazidi kumshangaa Yehova Mwema mladi Umempa moyo wako Atakutukuza Haleluuuya Pole Sana
@calvinstanley68262 жыл бұрын
Neema ya Mungu iwe juu yetu daima, Neema hii inatupa nguvu yakusonga mbele siku hadi siku.
@paulpius65662 жыл бұрын
Daaaah, Pole saaaana ndugu yangu kwakweli umepitia magumu saaaana. mungu akurehemu kwakweli , hakika tuna imani katika yeye atutiaye nguvu. mungu akusimamie katika utumishi wako
@cartasmaganga80992 жыл бұрын
🙌🏻😢😭Kuna mahali Mungu anakupitishs adi unajiuliza 😭😭🙌🏻🙌🏻Baba naomba unikumbuke 🙏🙏😭. Kumbuka familia yangu 🙌🏻😭😭
@upendokulwa12942 жыл бұрын
Mungu nikumbuke simulizi imeniliza Sana😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@tranchescoanthony25092 жыл бұрын
Naamini kusingiziwa ni kukubwa sana na ukiwa gereza unaweza kufikiri kulipiza kisasi kibaya sana ila kwa yote!!! Bado tunayo mengi sana ya kumshukuru MUNGU.
@happyelias94652 жыл бұрын
Mungu atakulipa kaka, Ila mpunguze Mziki ni mkubwa
@hyacintagugu7 Жыл бұрын
Pole Sana kaka YANGU...wakurudishe kazini jamani.. Ninakuombea Mungu najua ipo siku utarudishwa kazini
@gabriellafaith61283 жыл бұрын
Jesus😭🥺😭🥺😰Tukumbuke Baba, Turehemu Bwana🙏🙌🙏
@aminajuma23872 жыл бұрын
Hiyo soundtrack inameza maneno ya wenu.....ipunguzwe ukubwa wa sauti.story inaumiza na kufundisha Sana jins ya kushikilia Imani moyoni pasina na kujal unapita kwny jaribu gan
@lovenesssanga31622 жыл бұрын
It is more pains but God is greater a father of fatherless,He gives hope to hopeless🙏🙏🙏
@nyotamayemba58872 жыл бұрын
Hakika Mungu ana watu wake ... imani hii .. hakika nimejifunza kitu na kupata hatua zaidi za kiroho...Watumishi wa Mungu awabariki sana
@moreenkasekwa97373 жыл бұрын
Mungu anakuoenda sana anataka umtumikie sana umepitia meng
@mutrijamwarabu46722 жыл бұрын
😰😰 Mungu anaporuhusu jambo litokee huwa anafahamu nini anafanya, Mungu akusimamie brother
@latefalatefa26642 жыл бұрын
Pole sana baba kwamapito magumu uliyopitia 😭😭😭😭 kikubwa usimwache Mungu
@moreenkasekwa97373 жыл бұрын
Du imenitoa machoz nimejalibu kukivaa kiatu du kinabana nashukuru mungu kakukumbuka
@joyceshindayi45762 жыл бұрын
Haaaaaaaaa jaman inaumaaa Sana 😭😭😭😭 eeeeh Mungu unatujua watu wako wote. Nakosa vya kuandika.
@jacquelinembanda2 жыл бұрын
Acha Mungu aitwe Mungu jina la Mungu lisifiwe 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@swahiliandculture65992 жыл бұрын
Ooh usbuhuda huu umenipa hatua zaidi... ubarikiwe mtumishi sana
@annaanthony92902 жыл бұрын
Mungu wangu unihurumie pale nilipopitia jambo dogo na kunung’unia
@elizabethmsuya45042 жыл бұрын
Mungu ni mwema wakat wote Akupe amani ipitayo yote ya dunia,akuinue mahali pa juu
@elinardomakunga84032 жыл бұрын
Ukweli ushuuda huu umegusa sana maisha yangu nami nasema toka sasa nakili imani yangu Mngu nisamehee pia nashukuru kwa kuendelea kunipa pumuzi ya huai
@pimgee72372 жыл бұрын
Love you from Zambia
@damarismoraa12692 жыл бұрын
ee Mungu nisamehe kwa kuwahi lalamika.... ushuhuda wako umenibariki sana ndugu
@doricekadushi39243 жыл бұрын
Dah hapana jamn inauma sana 😭😭😭 i can't take it😭😭😭😭
@CeciliaLazaro-dn9tx4 ай бұрын
😢😢😢 imenitoa machozi sana MUNGU WEW NI HAKIMU
@benaiahchaulah10372 жыл бұрын
Kweli dhahabu safi husafishwa kwa moto,😢 all in all Groly to God Mungu awe nawe
@menovicmushy10322 жыл бұрын
🔥Nimebarikiwa sana na hii biti kaka Ambwene,safi sana kwa maombi
@estermasine21102 жыл бұрын
Pole sana kaka kila kina knachtokea katika maisha kina sasbau mung azid kkfanyia wepes🙏🙏
@josephinebiringanine71132 жыл бұрын
Sijapenda iyo music. Inasumbuwa na kuweka kelele.
@laitmwinuka38362 жыл бұрын
Stay blessed Mungu azid kuk tumia🙏🙏
@sophianasri61072 жыл бұрын
Pole kaka Yesu akutunze
@subiraadam23222 жыл бұрын
Duuuuhh so sad😭😭😭
@jedimunga99662 жыл бұрын
Pole sana,usa matatizo aya,la asante tena kwa kutusaidiya kwa uongezaji wa imani.
@puttenyanthony92843 жыл бұрын
Ambwene Mungu anakutumia Vema sana kutubariki wengi
@pimgee72372 жыл бұрын
God bless my brother , sorry sorry sorry
@kwekaangel44612 жыл бұрын
Daaaaah 😭 emotional story
@Baba-JJ2 жыл бұрын
Kwakweli sijui kwanini mambo ya Magereza yamekuwa ya kinyama hivi? Kuna mambo unaweza kusema labda yamepangwa ili mfungwa atoroshwe kwahiyo huwezi kuruhusu, lakini msiba hasa wa mke, mume au mtoto kwanini watu wasipewe ulinzi wa hali ya juu ili asitoroke? Ikiwezekana wawe wanahudhuria wakiwa kwenye gari lenye wavu mradi ashiriki. Mbaya sana.😭😭
@festochristopher72932 жыл бұрын
Daaaah it touching story, tunaomba mwendelezo wa hii story plz
@farajamaduhu19812 жыл бұрын
So saaad! Moyo Wangu umeyeyuka kabisa! Ni kwa nini shida vilio adha masumbufu hivi? Until when thou shall keep away from us ooh LORD? Pole sana kaka kwa changamoto za maisha
@michaelbwoma27602 жыл бұрын
Mungu yu mkuu Sana, kwa kuyasikia haya kwakweli sistahili kulaumu Kazi za Mungu aliyeruhusu yatupate anajua vyema zaidi... Unisamehe bwana Yesu kama nimewahi kulaumu kwa magumu nayopitia... Ninatubu
@carolinegondwe37062 жыл бұрын
Pole sana 😭😭😭
@elishaanyosisye40782 жыл бұрын
Kwa kweli njia za Mungu zipo tofauti kabisa na mwanadamu Mungu anavyowaza juu yako ni tofauti kabisa na wanadamu wawazavyo juu yako🙏
@mvanessa58522 жыл бұрын
Mmmh acha mungu aitwe mungu
@ervinlihawa2 жыл бұрын
Daaa pole Sana Ila mungu ni mwema kila wakati
@sirizabiblia52762 жыл бұрын
Imenisikitisha sana..Mungu aendelee kumtia nguvu
@elinardomakunga84032 жыл бұрын
Sasa ndipo natambua kuwa kwann watumishi wengi wa Mngu wana nguvu kiroho Mngu hawapungukii hata kidogo
@magdalenajoel4409 Жыл бұрын
Hii biti imenifanya sijasikia chochote,umemeza maneno yote na ushuhuda ni mzuri lkn biti sauti Iko juu
@hushaurikuhusujamiifollow17522 жыл бұрын
Poleni sana baba mungu nimwema sana nawewe njo mutetezi wetu babangu 😭😭😭😭😭
@catherinelugoma33923 жыл бұрын
Emotional 😭 story
@hidayamalik13522 жыл бұрын
Daaah Acha mungu aitwe mungu utukufu ni wake
@rhodadaimon88552 жыл бұрын
Misuli ya imani🙌
@momylaviel4 ай бұрын
Kuna watu wanapitia mambo makubwa sana aseee
@sameerjuma53283 жыл бұрын
Pole sana kiukweli Mungu amekukumbuka sana hata hvyo amekutetea sana .Barikiwa sana Mtumishi
@ev.nazarethonline82602 жыл бұрын
Amen mtu wa Mungu
@mirrymwenzegule91092 жыл бұрын
Ooh jaman hii ni zaidi ya misuli ya imani. Lkn mtumishi sauti ya mziki ipo juu sana
@emmanueldick64932 жыл бұрын
Mungu ni mkuu kwakweli kaka ambwene kuna mambo mazito nimepitia nlitaman nkueleze walau uimbe wimbo maana mungu ni mkuu
@jumajumanne49972 жыл бұрын
Vya uchungu sana serikali i m tazame uyu mtu kapitia magumu siyo kawaida
@veronicagaudence59402 жыл бұрын
Emotional story😥😭
@Neema1822 жыл бұрын
Nimeshindwa kuendelea kusikia sababu ya mziki, very annoying
@meryfrank52722 жыл бұрын
Pole sana kaka
@florenceluyanje72152 жыл бұрын
Pole ndugu yangu mungu anajuwa yote
@williammwajeka33472 жыл бұрын
Story hii imeniliz 😭😭😭
@christophermsekena6163 жыл бұрын
Duu Mungu ni mwema
@elinardomakunga84032 жыл бұрын
Ee Mngu jina lako libarikiwe sana njia za mwanadam ni tofauti na njia za Mngu
@josephinajosephu68592 жыл бұрын
Dunia jmn😭😭kuna watu wanapita kwenye moto jmn😭😭😭ila mungu atabaki kuwa mungu tu🙏🙏🙏
@youngmaster41272 жыл бұрын
Kaka ambwene MUNGU akubariki sana hii nyimbo inayo muhusu Nazareth ingekua vyema sana tukapata video kabisa !!!
@isihakaomary49982 жыл бұрын
Daaa jaman so sad😭😭😭😭😭😭😭
@robbinagerman17853 жыл бұрын
Kaka Ambwene kazi yako ni Kubwa mno kila unachofanya kinagusa maisha ya wengi nimesikiliza story nzima nimejaribu kujiringanisha na Mtumishi wa Mungu huyo sijapata Jibu maana kiatu chake ni kikubwa mnoo akiwezi kunitosha Mimi Nimejikuta natokwa na machozi nikmkumbuka Bamkubwa yangu mwaka wa 9 sasa yupo gerezani Bira kuwa na hatia ila kakubari kutumikia kifungo Aiseee Nakuomba Uwakumbuke
@abialusekelo-nr8kf Жыл бұрын
Mungu amkumbuke Jaman huyu alie mtendea Nadharet amtendee na ndug yako pia 😭
@silahiddenpain18692 жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakati
@lovenessdiva33702 жыл бұрын
So sad kwakweli 😭😭😭
@mekmek2332 жыл бұрын
Toa hiyo sauti inaimba hapo ndio msikike vizuri
@joelmajalalamtumishi32532 жыл бұрын
Kisa kinasisimua sana kaka Ambwene
@godfreymathew78702 жыл бұрын
Ambwene huyo kaka anaesimlia mpe pole sana na hongera kwa kumjua mungu nipo mimi kuna mambo yamejitokeza kwenye familia yananiumiza sana siku
@lucycutelady97612 жыл бұрын
Pole Sana
@elicanageorge13192 жыл бұрын
HAAAH MBONA SIJAPITIA GUMU EE MUNGU ASANTE KWA NEEMA YAKO. KUNA WATU WANA MAPITO ASE
@dyanatanz65742 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭so sad
@estheribrahim40952 жыл бұрын
Duh😭😭😭😭
@winnieemmanuel82552 жыл бұрын
Mm nalia jaman ni uchungu 😭😭😭😭😭
@neemaglorykisoli26052 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@omanqqwe4061 Жыл бұрын
😭😭😭
@amoskutogwa48452 жыл бұрын
😭😭😭😭
@doreenkushoka48702 жыл бұрын
😭😢
@jescaaloyce545 Жыл бұрын
Silalamiki tena vitu vidogo, hii story imeniimarisha
@lilianludovick89092 жыл бұрын
Inauma jaman
@pendofesto32572 жыл бұрын
Nyimbo zako ziko vizur kaza mwendo
@elinardomakunga84032 жыл бұрын
Akili yangu inapo ishia ndipo akili yako uwanzia
@irenjoseph84532 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@trophywilson72112 жыл бұрын
Uchungu kweli
@noelinemichael91622 жыл бұрын
Tatizo punguzeni mziki yaani sauti ya mziki mkubwa kuliko mtoa ushuhuda hatuna shida na wimbo
@ameniameni6173 жыл бұрын
Pole Kaka Mungu akutie nguvu
@ev.nazarethonline82602 жыл бұрын
Asante ndugu yangu
@mcchilo132 жыл бұрын
Ushuhuda wa kugusa moyo. Lakini biti ipojuu kuliko mahojiano.