Habali yako Mtumishi, Mimi Binafsi Naweza kusema kuna Baadhi ya Maandiko yanamaana ya kinabii,(1)mfano inapolaani hadi watoto wasio na Hatia Mala Nyingi huwa inatokea kama watoto wakiendeleza Tabia za Wazazi wao,(2)i kuna wakati Maandiko yanapozungumzia kuangamizwa kwa Adui ina maanisha Adui Atasitisha Mapigano na wewe ,(3)Kuna wakati Adui analengwa Ibilisi moja kwa Moja :-TUNATAKIWA TUNAPOMUOMBA MUNGU DHIDI YA ADUI ZETU,TUSIMPANGIE AMFANYIE NINI,BALI TUOMBE TU,ATAANGAMIZWA,AMA ATAACHA MAPIGANO,AU TUTALINDWA NA MADHARA HAYO ANAYEJUA NI YEYE 🙏🙏🙏
@saimonmizingo74853 ай бұрын
Uko saw kabisa mtumishi was Mungu
@selemanisalum72833 ай бұрын
Asante Sana Baba Mimi kama Mimi nashukuru Sana kwamashauri hayo yakusema kwamba tusi waombee adui zetu Maombi mabaya au Maombi ya zaburi,109,nashukuru Sana lkn mm nimtu ambaye huwa nahonewa Sana maadui zangu yaani wao wananitamanigi waniangamize maramoja lkn namshukuru pia Mungu wangu alinipa moyo wakusamee lkn mm nawaombeaga Tu rehema ndo Maombi yng iyo kwamaadui zangu
@paulakamugisha63143 ай бұрын
Nashukuru MUNGU wa mbinguni kwa ajiri yako somo ni zuri sana sana MUNGU atupe moyo wa kumshukuru na kisamehee pale tunapouthiwa na watu Kilichonifurahisha ni kuona mtumishi ambwene anatumia bible ya kitabu si ya cm MUNGU akutunze sana
@miliuselihudi89377 ай бұрын
Kabisa Mtumishi Kuna kitu nimejifunza Ubarikiwe Mno Na Bwana Wetu Yesu Kristo
@tulibakobellon12357 ай бұрын
Amen. Asante kwa ku-share nasi somo hili zuri sana. Asante sana Mtumishi wa Mungu. Nimepata kitu kikubwa. Mungu akubariki...🙏
@user-sr9ko8oy6z7 ай бұрын
Asante kw uelewa huu Mtumish wa Mungu
@Leah-mbilizi7 ай бұрын
Amen! Asante
@BestFriend-yz5ui7 ай бұрын
Ameni, neno hili nilikusudiwa mimi nipone, ubatikiwe sana Ambwene mtumishi wa Bwana.
@ManirakizaEsperanceOfficial7 ай бұрын
ASANTE SAANA Mtumishi wa Mungu barikiwa na Mungu
@fabianhamza85466 ай бұрын
Nyie mchezeeeni Mungu ,UNAACHA KUPATANA NA mshitaki wako unajisafisha na zaburi izo pesa na sifa za umaarufu mnajisahau sana na kuwafanyia wenzenu mabayA , ILA UTAVUNA YOTE.😢.
@rubene16317 ай бұрын
Amina.
@elizabethanthony17937 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa somo hili takatifu.
@GODisable75737 ай бұрын
Asante sana na MUNGU akubariki🙏🏾
@Mabby_edwards247 ай бұрын
Ameen
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny7 ай бұрын
Asante sana mungu akubariki
@RJurumboRJurembo-df5uv7 ай бұрын
Ata mm nashangaa sana ,kutumia Zaburi,maandiko mengine sio yanaomba binadamu wengine wafe
@stevemayala27397 ай бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi
@Traponamichael7 ай бұрын
Asante kwa fundisho zuri❤
@emmanueltuppa54596 ай бұрын
Ufunuo wa Yohana 18:6 [6]Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni maradufu. 😂
@Lusekelo987 ай бұрын
Barikiwa mwalimu
@joyceallan27587 ай бұрын
Amen, japo it pain.
@edsonoisso42717 ай бұрын
Bwana kak upo.kimafunuo sana
@HoseaMartine-en7xy7 ай бұрын
Amen barikiwa
@addhacherby36407 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki 🙏😊
@emmanuellema55245 ай бұрын
Unasema kweli ila kumbuka adui zetu si binadamu kwa sasa ila shetani na ... waefeso 6:10-
@selemanisalum72833 ай бұрын
Mungu akubariki Sana asante
@richardamen73587 ай бұрын
Ubarikiwe sanah kaka mkubwah
@HoseaMartine-en7xy7 ай бұрын
Zaburi 119:169
@peteryohana8917 ай бұрын
Barikiwa ndugu
@user-fs7ff7qo1z7 ай бұрын
Nawaombea Rehema
@naamanswila27707 ай бұрын
Naomba namba zako WhatsApp Kuna SoMo nikutumie
@ipyanamwanyemba86054 ай бұрын
Amina
@RJurumboRJurembo-df5uv7 ай бұрын
Nikweri,
@isayamwengwa2267 ай бұрын
Stay Blecd bro🙏🏽🫡💯
@user-qo8qy8zv1f5 ай бұрын
Mfano wale wanaodhoofisha kazi ya MUNGU makanisani,wanaloga watu,wanaua je waombeweje?
@user-fs7ff7qo1z7 ай бұрын
Namwombea.ila mimi kuna kikundi cha waombaji wakiniombea nife nabado hawajaacha bado wanomba hivyo ila mimi nawapenda nawaombea
@adkajisi45367 ай бұрын
Hao sio waombaji ni washirikina.
@epifaniamilinga28487 ай бұрын
Kama Mungu akihesabu makosa yetu,nani atasimama
@elvismalonga74277 ай бұрын
Wimbo mupya tafazali
@josykogei76473 ай бұрын
Woiii ni uchungu mi siezi omba Ivo kweli
@josykogei76473 ай бұрын
Mandiko inasema tukilani maaduii zetu tunajilaani
@rogathesarwatt3 ай бұрын
Msamaha ni wito sio kila mtu ANAYO ni kwa rehema TU
@shedrackmikachikwankala17417 ай бұрын
Hiyo kofia mtumishi....Alama yake sio nzr . Asante kwa ujumbe mzuri
@dr.lisheofficial78947 ай бұрын
Asante sana mtumishi…LAKINI maandiko yanasema kila NENO LA MUNGU LAFAA KWA MAFUNDISHO…je, hilo neno lisiwe linasoma linalopatikana ZABURI 109, 35 n.k..?
@naamanswila27707 ай бұрын
Je Unafahamu neno ni Nani?
@naamanswila27707 ай бұрын
Je Unafahamu neno ni Nani?
@elibarikinsulau99327 ай бұрын
Imprecatory prayers (eg Psalms 109)to invoke curses upon somebody are irrelevant in today's era of our Jesus savior