Рет қаралды 73,113
Mhasham Askofu Method kilaini, Msimamizi wa kitume wa Jimbo katoliki la Bukoba na Mtaalamu wa historia ya kanisa Katoliki, akijibu maswali tata ya wasikilizaji wa kipindi cha Historia ya kanisa kupitia Radio Maria Tanzania na Radio Mbiu.
#MaswalinaMajibu #HistoriayaKanisa #kanisakatoliki