Majibu sahihi kuhusu nyama ya NGURUWE kwa WAKATOLIKI/Padre kutengwa na kanisa/kufukiza Ubani Nk.

  Рет қаралды 73,113

Breez Online Tv

Breez Online Tv

Жыл бұрын

Mhasham Askofu Method kilaini, Msimamizi wa kitume wa Jimbo katoliki la Bukoba na Mtaalamu wa historia ya kanisa Katoliki, akijibu maswali tata ya wasikilizaji wa kipindi cha Historia ya kanisa kupitia Radio Maria Tanzania na Radio Mbiu.
#MaswalinaMajibu #HistoriayaKanisa #kanisakatoliki

Пікірлер: 187
@Grace-rx5xy
@Grace-rx5xy 4 ай бұрын
Asante sana baba askofu kwa majibu sanifu
@aloysiusrugejuna2804
@aloysiusrugejuna2804 Жыл бұрын
Katika majibu yako nimependa jibu la Jumapili. Asante sana baab askofu
@shadymulu1568
@shadymulu1568 6 ай бұрын
Wapi maandiko yasema kwamba alibariki siku ya Sunday baada ya kufufuka kwake masihi.....???
@nyirefami19471947
@nyirefami19471947 Жыл бұрын
Asante sana Baba Askofu kwa majibu sanifu
@danielnyabungi693
@danielnyabungi693 8 ай бұрын
Hii ni sawa na kulisha watu upepo
@kilianmruma297
@kilianmruma297 5 ай бұрын
Waamini wa kristu hawafungwi na agano la kale.
@leonidaskwigize1853
@leonidaskwigize1853 Жыл бұрын
Hongera sana waumini mtafutao kujua mambo yale tuyaaminio
@KWAYAYAWATAKATIFUMASHAIDIWAUGA
@KWAYAYAWATAKATIFUMASHAIDIWAUGA 5 ай бұрын
Mambo mazuri kweli haya
@graceladislaus1176
@graceladislaus1176 Жыл бұрын
Mhhhh,huku tunakoelekea tunaangamia 😭😭😭😭zaidi tumuombe Mungu atusaidie kulewa maandiko.
@mazemlejr9832
@mazemlejr9832 Жыл бұрын
Iyo Mathayo 15:17-20..hamjui bado ya kuwa kila kiingiacho kinywani hupita tumboni na kutupwa chooni? 18. Bali vitokavyo kinywani vyatoka moyoni; navyo ndivyo vimtiavyo mtu unajisi. 19. Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wivi, ushuhuda wa uongo, na matukano. 20. Hayo ndio yamtiayo mtu unajisi; lakini kula kabla hajanawa mikono hakumtii mtu unajisi. Hapo waweza elewa kutokana na swali mtumishi,, unajisi unaosemewa apo na Yesu si unajisi wa CHAKULA,, ni unajisi wa moyoni,, na umefafanuliwa vizuri mafungu ya 18 to 20.
@deogratiasrugangila3100
@deogratiasrugangila3100 Жыл бұрын
Asante Baba Askofu endelea kutufundisha
@macdonaldotieno5010
@macdonaldotieno5010 Жыл бұрын
Ni baba ya nani
@johnpeter9051
@johnpeter9051 Жыл бұрын
Hapo hakuna lolote
@sosthenesmaemba
@sosthenesmaemba Жыл бұрын
Sanam kuiabudu hapana aisee , yawezekana ktk kueleza kakosea kidogo !!!
@graceladislaus1176
@graceladislaus1176 Жыл бұрын
🤣🤣🤣hajakosea ila na yeye haelewiii 😂🙌🙌
@josephosborne3072
@josephosborne3072 Жыл бұрын
Amekosea yaar
@kiookimolo
@kiookimolo 4 ай бұрын
Yesu alisema hakuna kilicho nje ya mwili kikiingia chaweza kuutia unajisi bali yamtokayo mtu moyoni mwake kama mawazo mabaya ,uzinzi ,na dhabi zote,,maana yake dhambi ndizo zinazo tutia unajis sio chakula
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Жыл бұрын
Mwana wa adam atarudi Sawa askofu nimekuelwa vzr
@charlesbulayi4095
@charlesbulayi4095 Жыл бұрын
Ni mafundisho mazuri sana
@hamzayusuf1894
@hamzayusuf1894 Жыл бұрын
Unawona yesu akirudi maandiko yanasema mwana. Wa adam siyo mwana wa mungu
@luciansanga5195
@luciansanga5195 Жыл бұрын
YESU MWENYEWE ALI ITUNZA SABATO YANI JUMAMOSI PIA TAURATI ALI HESHIMU
@Simonirafael-wt4lc
@Simonirafael-wt4lc 5 ай бұрын
Weweee ujuavyo sarihivyohivyo maana hata biblia mmechakachua so wewe abudu tu hiyounayojua
@mwesi527
@mwesi527 8 ай бұрын
Injili ya mathayo duh hii mpya
@kingmsanya3524
@kingmsanya3524 Жыл бұрын
Safi kbsa
@ulirkimsacky
@ulirkimsacky Жыл бұрын
Samahani Naomba kujua kuhusu uchawi je nithambi?
@mazemlejr9832
@mazemlejr9832 Жыл бұрын
Mmmmmhh mtumishi iyo injili ya mathayo soma... mafungu yote uelewe mkitadha wa fundisho hilo na usikomee fungu moja tafadhali mtumishi..
@godfreymbuya5632
@godfreymbuya5632 Жыл бұрын
Mwamba ngozi huvutia kwake.Imeisha iyo
@user-ww3hb5md3v
@user-ww3hb5md3v Жыл бұрын
Mungu tusaidiee baba mtakatifu n mungu tu akna mtu duniani wakuitwa baba mtakatifu
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 7 ай бұрын
Mengi Yesu alikataza ikiwemo ulaji wa Nguruwe na kibudu bila kuchinjwa ila Paulo alikuja kubadili mengi tu. Kinyume na mafundisho ya Yesu
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Жыл бұрын
Katika kitabu Cha isaya maandiko yanasema watu wanaokula nguruwe na panya wote watakomeshwa katika hukum ya milele
@user-qn9ip4bx2y
@user-qn9ip4bx2y 4 ай бұрын
Amina
@petermagoye5482
@petermagoye5482 Жыл бұрын
Kwahiyo Mungu hatahukumu kwenye agano la kale??? Na kuhukumu kwa kutumia agano la Jipya????
@mohamedhashim3235
@mohamedhashim3235 Жыл бұрын
Kwanza ngoja ncheke
@happymboya7697
@happymboya7697 Жыл бұрын
Jamani Jana nimesoma bibilia imekatazwa msidangaye watu ni halam
@hemmysaleh3521
@hemmysaleh3521 Жыл бұрын
Hajui kabisa Biblia inasemaje ,Yesu kasema hakuja kuvunja Sheria ya Musa Bali kiutimiza ,hakuna agano la kale Wala jipya ,Kwa hio kula chochote ni halali basi hata kumla yeye askofu nyama yake halali ,,asipotoshe UKWELI MUNGU AMEPIGA VITA NGURUWE
@breezonlinetv
@breezonlinetv Жыл бұрын
Mbona umekasirika?
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 7 ай бұрын
Hata Mimi kuna kitabu nimesoma kimeandikwa Yesu alikataza baadhi ya vitu lakini Paulo akaja kubadilisha na kutoa mafunzo kinyume na mafunzo ya Yesu na wanafunzi wake kumi na,wawili
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Kwani umelazimishwa kula? Chakula ni ibada...mimi nakula,baki na imani yako
@ibrahimcharlesswaleh
@ibrahimcharlesswaleh Жыл бұрын
Watakuwa na macho lakini hawaoni. Wana masikio lakini hawasikii
@danielnyabungi693
@danielnyabungi693 8 ай бұрын
Kumbe mliheaabu nyie sio mungu
@mansuetusmwoleka8732
@mansuetusmwoleka8732 Жыл бұрын
Ahsante sana Baba Askofu kwa kutulisha na tunazidi kuimarika zaidi kiimani binafsi na kupenda sana hasa kila nikikusikiliza huwa nabarikiwa,napenda sanaa Baba Kilaini kukusikiliza,endelea kuimalisha kondoo wako!
@philipozephaniamaige7180
@philipozephaniamaige7180 Жыл бұрын
Hapa hamna kazi
@danielnyabungi693
@danielnyabungi693 8 ай бұрын
hapo kondoo unakula upepo
@johnmgalatia5375
@johnmgalatia5375 Ай бұрын
TUMSIFU YESU KRISTO BABA ASKOFU, NAOMBA HIKI KIPINDI KIWE KINASIKIKA REDIO TUMAINI
@breezonlinetv
@breezonlinetv Ай бұрын
Kinasikika radio maria tayari
@mwesi527
@mwesi527 8 ай бұрын
Jpili siku ya bwana constantino mungu wacatholic
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Hili jibu la nguruwe ni ovyo kabisa iwe je kusiwe na HARAMU. Ina maana anaeweza kula nyama ya mtu ale tu kwa kuwa atasihia chooni.
@nzogelamussa2585
@nzogelamussa2585 Жыл бұрын
hiyo biblia ya agano la kale kulikua la dini gagi au biblia hiyo ulikua ya waislmu ?
@complex7582
@complex7582 Жыл бұрын
"Kula chochote ilimradi kinalika" mkipewa nyama ya paka mnalalamika
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
ni noma sana ujue 😅😅😅
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
😁😁
@jamesnziku7638
@jamesnziku7638 Жыл бұрын
Iko poa
@alexraymond1623
@alexraymond1623 Жыл бұрын
Askofu anajua Kila kitu maana biblia Iko wazi ila mambo ya walawi 11 sura nzima inatoa maagizo yote ya Nini kiliwe na Nini kisiliwe na uzuri askofu amesema agano jipya linakamilisha agano la kale Kwa hiyo hakuna kilichobadilika labda kafara tu ya wanyama ndo iliyoondolewa na yesu mwenyewe baada ya kufa msalabani akizibeba dhambi za ulimwengu
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
hawa wanajua kila kitu ila ulafi tu. 😅
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 Жыл бұрын
Uko vizuri muno padiri
@nzogelamussa2585
@nzogelamussa2585 Жыл бұрын
hana majibu ya kweli inaoneka a hajui anacho kijibu muislamu siku ya 7 no ijumamosi sio ijumaa ijumaa no sikuku
@dorrymaduhu331
@dorrymaduhu331 Жыл бұрын
Mnakosea sana bible inasema usiabudu miungu mingne ila mm
@breezonlinetv
@breezonlinetv Жыл бұрын
Acha hasiraa
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 Жыл бұрын
MUNGU BABA, MUNGU MWANA NA MUNGU ROHO =MUNGU MMOJA
@erasmusaloyce4398
@erasmusaloyce4398 11 күн бұрын
Sasa sisi mbona tunamuabudu Mungu? Na hata siku Moja kanisa halifundishi kuabudu sanamu.
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 Жыл бұрын
Uko vizuri mh,padiri acha ture kitimoto waisiramu wataisoma namba
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Жыл бұрын
Mmmmmh sasa sanam unafanya MUNGU nafany ya MUNGU haifananishwa na kitu chochote hap dunia
@rubenprince8990
@rubenprince8990 Жыл бұрын
@@marthadaniel4904 mapadri wa katoliki huku ulaya wanapelekwa sana mahakamani kwa makosa ya kuwafira watoto makanisani
@msafiriduwiya953
@msafiriduwiya953 Жыл бұрын
Kwa akili Yako unafikiri ngurue kakatazwa na muislam pole jiulize yesu wapi kala?
@shafiismaily9223
@shafiismaily9223 Жыл бұрын
Unamkomoa nani? wakati aliyekuumba kakupeni Agano ambayo ndiyo sheria, nyinyi mwaipinga na kuibadilisha!!!!
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 Жыл бұрын
@@shafiismaily9223 Paulo kawaambia wasiishi kwa Sheria Bali kwa imani
@shaameshaame9721
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
Ndio muendelee kula ipo siku kitaeleweka
@alexsuleiman3795
@alexsuleiman3795 Жыл бұрын
Mbona na nyie mnakula hatusem?
@PastorZakariaTzTV
@PastorZakariaTzTV Жыл бұрын
Yesu hakufufuka siku ya Saba padri Ni siku ya kwanza ya juma
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
yani anaongea vitu moaka unashika kichwa 😅
@samsonpopat1474
@samsonpopat1474 Жыл бұрын
Huyu askofu wa ajabu Sana hata hajui biblia kiasi hiki hata siku ya kwanza kibiblia haijui ?
@graceladislaus1176
@graceladislaus1176 Жыл бұрын
Kama hamfuati agano la kale huo uvumba mnafukiza wa nini?bas endeleeni kuua, kuiba, kuzini,kuvunja SABATO, n.k maana vyote hivyo ni agano la lake 😆😆😆,kwa hali hii siku ya mwisho naona kuna watu damu zetu zitakuwa juu yenu 😥😢😢😥
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Жыл бұрын
Ukisoma kitabu Cha Isaya 66:16-17 inataja watu watakaoangamizwa kwa moto siku ya mwisho ikiwa ni pamoja na wale wanaokula nyama ya nguruwe Sasa ngoja mdanganywe hapo
@macdonaldotieno5010
@macdonaldotieno5010 Жыл бұрын
Wacha kumis understand the scriptures... Na nyinyi wakatoliki ni kuni tu ya shetani
@exseviangaeje1158
@exseviangaeje1158 Жыл бұрын
MATAYO 28;1 IYO NDIO SIKU YA SABATO USIDANYE WATU
@Neemakilimba
@Neemakilimba 11 ай бұрын
Mimi mwenyewe Ni mkristo Ila kula nyama ya nvuruwe Ni Haramu Acha kupotosha watu
@johnmligo6966
@johnmligo6966 Жыл бұрын
This man is really Bright....
@mohamedzambo1511
@mohamedzambo1511 Жыл бұрын
Kasome mambo ya walawi 11 msitari wa 7 utaona viumbe vinavyoruhusiwa kuliwa.
@johnmligo6966
@johnmligo6966 Жыл бұрын
@@mohamedzambo1511 we muhamed komaa na kuruani yako mambo ya biblia unayajulia wapi....
@machanomachano626
@machanomachano626 Жыл бұрын
Askofu anatetea ugali
@lungusii
@lungusii Жыл бұрын
Bible zote zime chakachuliwa mzee Baba
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 Жыл бұрын
Leta yakwako
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Жыл бұрын
Kwahio Kila mtu ameamua kujichagulia tu siku yake ya Saba 🤔🤔🤔🤔
@PastorZakariaTzTV
@PastorZakariaTzTV Жыл бұрын
Kama mnashika agano la kale kwa kufukiza uvumba KWANINI mle nguruwe wakati agano hilohilo linakataza nguruwe.
@PastorZakariaTzTV
@PastorZakariaTzTV Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe kwenye agano jipya inaonekana wakati wa zakaria baba na yohana na wakati huo ilikuwa KABLA YA KRISTO HATA YOHANA MTANGULIZI WA YESU HAJAZALIWA KWAHIYO SIMULIZI YA ZAKARIA NI WAKATI BADO WANASHIKA TORATI.
@PastorZakariaTzTV
@PastorZakariaTzTV Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe vema sana itakuwa vema Sasa tuanzie hapo hapo WAEBRANIA 10:1 TORAT ILIKUWA KIVULI CHA MEMA YATAKAYOKUWA WALA HAIKUWA SULA YENYEWE YA MAMBO HAYO kwakuwa njia ya kupaingia patakatifu ilikuwa haijaonekana, SASA SWALI NI KWAKO UNASHIKA KIVULI AU SURA HALISI? KAMA UNASHIKA KIVULI KWANINI ULE NGURUWE? AU KAMA UNASHIKA KIVULI MBONA HUWATUPII MAWE WAZINZI? AU JE MBONA HUISHIKI SABATO KAMA KWELI UNAISHIKA TORAT.
@PastorZakariaTzTV
@PastorZakariaTzTV Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe MAANDIKO uliyo taja sikusoma yote ila nimeyaangalia mawili UFUNUO NA MATENDO MMOJA LINAHUSU KUTAKASWA KWA VYAKULA LINGINE NI UVUMBA JUU YA UTAKASO WA VYAKULA HAKUNA WASISI WASI KWANGU ILA KWAKO LITAKUWEKA NJIA PANDA SABABU WEWE UNATAFUTA KITIMIZA MAAGANO YOTE MAWILI KWA PAMOJA NA AGANO LINGINE LINAKWAMBIA USILE NGURUWE LINGINE LINASEMA KULA ITA KUPA SHIDA ILA KWA MIMI NINAEJUWA KUWA AGANO JIPYA LA BWANA NA MWOKOZI NDILO NINALO PASWA KULIISHI SINA SHAKA JUU YA HILO HATA BABA WAMBINGUNI ALIWAAMBIA WALIOKUWA WAMEKUSANYIKA HUYU NDIYE MWANANGU MPENDWA NINAYE PENDEZWA NAYE "MSIKIENI YEYE" KUHUSU UFUNUO WA YOHANA YALE NI MAONO YA MAMBO YANAYO TENDEKA MBINGUNI NA MARAIKA HAKUNA AGIZO PALE LINALO TUAGIZA SISI KUFUKIZA UVUMBA HUO WANAFUKIZIA MAPEPO WAISLAM NDIO MAANA BINAFSI SIJAWAHI KUONA PUBLIC PADRI ANAKEMEA PEPO SIJUI HUKO SILINI.
@kiookimolo
@kiookimolo 4 ай бұрын
Mnapinga kitimoto isiliwe mkiingia kanisani mnavua viatu?je mwanamke akizini mnampiga mawe mpaka kufa, siilikua sheria,mwanamke aliruhusiwa kuoa wanawake wengi kulingana na uwezo wake mbona hamuoi siilikua sheria,,,mmekazana kitimoto kitimoto,hicho ni chakula kula ngurue na kuua kipi bora ,×watu wanafanya uzinzi wanaogopa kula ngurue aisee l see ,,hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya juu ya mwili,
@user-oq7jw6kp6w
@user-oq7jw6kp6w 4 ай бұрын
Amini 🤲🤲 umejitahidi ubarikiwe sana mpendwa 🙏🏻🤲
@exseviangaeje1158
@exseviangaeje1158 Жыл бұрын
MARKO 16;1-2 SOMA NDIO UTAJUA SIKU YA SABATO KIUKWELI NI J MOSI
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 5 ай бұрын
Mwazo walawi kumbu kumbu la torati ngurue aliwi nasio nguruetu
@mwesi527
@mwesi527 8 ай бұрын
Yaani kuhusu jpili ndo nimetambua akili hamna humo dah acha nitengwe tu ala mzee hapo umezingua,lakin utambue bwana atakata kichwa namkia soma katika kitabu cha isaya 9 anzia 4 na kuendelea usipotubu hapo bas
@jacksonkisabala8687
@jacksonkisabala8687 Жыл бұрын
Mnasoma sana uchumi mzee majibu yako rahisi sana alafu Roman Catholic walifanya biashara ya utumwa kuna dini .Vatican ina serikali pia dini gani inakuwa na serikali na mabalozi kila nchi hakuna dini mzee usitudanganye
@esterinajonas
@esterinajonas 9 ай бұрын
Tyk naitwa esterina mfilinge kutoka parokia mariade Matias mivumon je not mtakatitu yupambaye Sala yake huaza na maneno bwana nifanye chombo Cha amani
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 Жыл бұрын
Mh,sabato je nisiku ipi sahii
@jumannemtawa4535
@jumannemtawa4535 Жыл бұрын
Soma Kumbukumbu 14:8 na Mathayo 5:17 Nguruwe sio halali.Na kuhusu Mathayo 15 Yesu hakuzungumzia kuhusu vyakula bali alizungumzia kula bila kunawa na sio vyakula anza kusoma kuanzia Mathayo 15:1-19
@saidiissa4673
@saidiissa4673 Жыл бұрын
Good
@saidiissa4673
@saidiissa4673 Жыл бұрын
Good, yesu alizungumzia kula bila kunawa
@gaudencechanga3170
@gaudencechanga3170 Жыл бұрын
Unaikumbuka ndoto ya Petro ambayo aliletewa vyakula vyote kwenye sinia na akaambiwa ale na yeye akasema ni najisi, Je unakumbuka alijibiwa nini?.. 'Usikiite kilichoumbwa na Mungu ni najisi'.
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 7 ай бұрын
@@gaudencechanga3170 Yesu kuna mambo aliyakataza. Na Paulo alikuja kuyahalalisha Yesu alitahiriwa nacalipenda wengine watahiriwe na mengine ikiwemo ulaji wa nguruwe na kibudu
@deusdedithhenry1524
@deusdedithhenry1524 Жыл бұрын
Mbona maswali muhimu yanajibiwa kirahisirahisi, tumia nukuu za biblia wapi biblia imeita jumapili siku ya BWANA na kuifanya siku ya ibada.? Kwani Yesu na mitume walisali jimapili.?
@hillarybwagidi9994
@hillarybwagidi9994 Жыл бұрын
Ndugu raia mwenzangu, masuala ya kiimani ni magumu pale inapotokea muamini asiyeamini imani fulani kujitwisha mzigo wa kutolea 'majibu' au maelezo imani asiyoamini! Kila imani ina vitabu na mafundisho yake ya msingi. Pole sana ndugu, si kosa lako bali hujui msingi wa imani ya Kanisa Katoliki. Zingatia imani yako. Hii achana nayo [m.y. nyamaza]
@dorrymaduhu331
@dorrymaduhu331 Жыл бұрын
Huyu anapotosha watu kabisa siwez mwelewa ata kidogo
@yasintadaima25
@yasintadaima25 Жыл бұрын
Usipofungua roho yako hutamuelewa hata Yesu akirudi mara ya pili hutamuelewa
@godfreybruno3443
@godfreybruno3443 Жыл бұрын
kwa wasabato mbona unatoa povu
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Жыл бұрын
Sabato ni jumamos hawasom biblia acha nisimam sehem sahih
@emanuellukwaro1032
@emanuellukwaro1032 Жыл бұрын
Ina maana askofu hujui vyakula najisi na safi soma Law 11:1- Kumb 14:1-
@fjafrica62
@fjafrica62 Жыл бұрын
Agano la kale na watu wakipindi kile, agano jipya ni kula tu ilimladi kisikudhuru.
@mamachris6811
@mamachris6811 Жыл бұрын
Hilo ni agano la kale
@danyjoram9130
@danyjoram9130 Жыл бұрын
Soma wakolosai 2:16
@shafiismaily9223
@shafiismaily9223 Жыл бұрын
Ole wao wenye kubadilisha maneno ya mungu
@mamachris6811
@mamachris6811 Жыл бұрын
@@shafiismaily9223 Ni Mungu sio mungu MUNGU ana NENO hana maneno
@exseviangaeje1158
@exseviangaeje1158 Жыл бұрын
ZABURI 115;4-9 SANAMU ZINA MACHO LAKINI AZIONI ZINA MASIKIO AZISIKII ZINAPUA AZISIKII ARUFU TUSIZITUMIKIE NI KAZI YA FUNDI
@macdonaldotieno5010
@macdonaldotieno5010 Жыл бұрын
Wacha kupoteza wachinja
@methodpeter1323
@methodpeter1323 Ай бұрын
Yule anayetundikwa kanisani Ni yesu?
@petermagoye5482
@petermagoye5482 Жыл бұрын
Shida ni majibu hayajitoshelezi hata kidogo
@jacksonkisabala8687
@jacksonkisabala8687 Жыл бұрын
Mbona mnasema sana uchumi kuliko dini .Theology ukiitafsiri kiswahili unapata nadharia yaani unachoongea ni nadharia hakuna uhalisia kwa hiyo dini ya kweli ni mila na desturi ambayo ndo Sabato.Vua joho una tofauti na mganga wa kienyeji.
@breezonlinetv
@breezonlinetv Жыл бұрын
Mbona umekasirika sanaa😆😆
@danielnyabungi693
@danielnyabungi693 8 ай бұрын
Padre hatugombani mungu anakupenda sana lakini unapotosha ukweli wa neno la mungu
@erasmusaloyce4398
@erasmusaloyce4398 11 күн бұрын
Hawezi kupotosha mana yupo chini ya kanisa lenye watu billion 2 duniani, nawe huwezi kuwazidi ukweli hao watu, wewe ndio umepotoka na sio yeye.
@user-ww3hb5md3v
@user-ww3hb5md3v Жыл бұрын
Tusomeni jamaan mafiko tusisubili kufundishwa tu
@leonardalphonce8924
@leonardalphonce8924 Жыл бұрын
HUYU NI NAE NI PADRI WAKUIGIZA MPYA
@phillipmbuligwe7946
@phillipmbuligwe7946 Жыл бұрын
Lugha yako tu inaonyesha wew ni mkristo wa kuigiza
@vumilialeonardi109
@vumilialeonardi109 Жыл бұрын
Kwanini wariwazuia kuowa
@kudraabdallah2561
@kudraabdallah2561 Жыл бұрын
Nguruwe kuleni na muoane nyinyi kwa nyinyi
@vayaulashedrack5994
@vayaulashedrack5994 Жыл бұрын
Kwa hiyo unapingana na biblia
@zuberimussa5508
@zuberimussa5508 Жыл бұрын
Mafunzo ya kanisani bwana hayaelewki kabisa Mara mungu mara tunamngoja mwana wa Adam wakiristo hakuna kuhoji?
@phillipmbuligwe7946
@phillipmbuligwe7946 Жыл бұрын
Yanaeleweka. Wewe tu ndiyo huelewi. Unasoma mstari moja ndiyo untegemea utaielewa biblia.
@godfreybruno3443
@godfreybruno3443 Жыл бұрын
kwenye biblia ni wapi jumapili ni siku ya Bwana? Halafu unababaisha sana mim nilkuwa roman, hayo masanamu yanaabudiwa kanisan, mpaka kuna nyumba za sanam zinaitwa magorotha
@renaswai13
@renaswai13 Жыл бұрын
Uliathirika nini na hayo masanamu?
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 Жыл бұрын
Wahuni sana hawa ma freemason. Ole wao waabudio sanamu. Unaona mwenyew anasema UNAABUDU LISANAMU. LIJITU . Mhhhh. Dini hii ipo ki mchongo mno. Wapinga krito wakubwa hawa
@kardongailo88
@kardongailo88 Жыл бұрын
Tatizo ni kwamba,Kila dhehebu linapigia mstari katika biblia hiyohiyo na kukiishi kile alichokielewa.huwezi kumlazimisha mtu akiishi ulichokielewa wewe Kwa Imani yake.kila mtu anashika mistari hiyohiyo ya biblia.je biblia inapingana,yafaa nini?
@petermgonja8547
@petermgonja8547 Жыл бұрын
Huyu padri.ana majibu rahisi kwa watu rahisi .biblia na Quran zinaonesha sabato ni jumamos.yeye anafundisha watu upumbavu tu hapo.labda afundishe wajinga.
@dorrymaduhu331
@dorrymaduhu331 Жыл бұрын
Yan huyu mtu bana mambo ya walaw yameeleza vyakula namaanisha wanyam,ndege,samaki,jaman somen malaw 11 yote
@breezonlinetv
@breezonlinetv Жыл бұрын
Huyo siyo mtu ni Askofu msomi na mtaalamu wa historia ya kanisa mama duniani na siyo Tanzania pekee
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 Жыл бұрын
WALAWI NI AGANO LA KALE. WALIANDIKIWA WALAWI
@macdonaldotieno5010
@macdonaldotieno5010 Жыл бұрын
Wewe ni baba wa nani? Nyinyi wakatoliki ni kuni tu...mnapinga bible
@frankiemissingo1925
@frankiemissingo1925 Жыл бұрын
Nadhani ninyi wengi mnaokementi hukumu juu ya Askofu kupotosha na kuhukumu Wakatoliki nadhani hata mpango wa Mungu hamjui kabisa mtahangaika na kuharamisha vitu na kuhukumu watu na hamtajua nini Mungu anataka kwenu na zaidi Biblia zenu ninyi nyingi hazina vitabu vyote-LAKINI ZAIDI MJUE MUNGU ANA DEAL ZAIDI NA NAFSI ZENU . ZILIZOJAA(zinaa,/ulafu/tamaa/majivuno/uesharati/ulevi/wivu/usengenyana/chuki/ubinafsi /ufisadi na mengi ya haya utoka rohoni haya ya kula kunywa mnapoteza muda nayo ,hao Wanyama kawaumba MUNGU msikalili rarueni mioyo yenu wala si mavazi yenu wapendwa-hapa haswa Wakristo mnaambiwa ASKOFU YUPO SAWA TATIZO NI UMAMUMA WENU.
@frankiemissingo1925
@frankiemissingo1925 Жыл бұрын
MNAJIPA UKAMILIFU,NA KUJIKWEZA SOMENI YOHANE SURA YA 3 YOTE MTAJUA huyo Nikodemu alikuwa nani ,mtajua ninyi mnao hukumu watu kwa vyakula na siku za kuabudu LUK7:31-35
@jamilahamis2462
@jamilahamis2462 Жыл бұрын
Yesu aliipo toa mapepo Aliya Tia mapepo kwenye nguiuwe leo mnakila
@bahatiagape731
@bahatiagape731 Жыл бұрын
Wakatolik mbiona tunaabudu sanamu?
@bahatiagape731
@bahatiagape731 Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe niinao.
@mariavianeypeter2991
@mariavianeypeter2991 Жыл бұрын
Hawaabudu sanamu ila tunaiheshimu sanamu
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe Yale masanamu kule kanisani yanafanya Nini?
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 Жыл бұрын
@@mariavianeypeter2991 unaheshimu sanamu kitu ulichokitengeneza mwenyewe hakikudhuru Wala hakikunufaishi
@phillipmbuligwe7946
@phillipmbuligwe7946 Жыл бұрын
@@nassorsharifu9837 Kama kweli wewe una nia njema na siyo mtu wa kuleta fuja, nakusahauri usome maandiko ya biblia. Kwanza soma maana ya kuabudu sanamu (Rum. 1:23); kwanza nini Mungu alikataza kuabudu sanamu baada ya tukio linalotajwa kaatika Kut. 32:1-4, Wakati Waisraeli wakisafiri kutoka Misri kwenda Kaanani, Mungu aliagiza kutengenezwa kwa sanduku la Agano (ambalo juu yake lilikuwa na sanamu ya makerubi ka kiti cha rehema) ili yeye akutane nao kupitia hilo sanduku (Kut. 25:10, soma pia 1Nyak. 28:18-19)). Tujiulize, Je sanduku la Agano lilikuwa ni Mungu? Lakini pia tunaona hekalu ambalo mfalme Sulemani alijenga kuta zake zilipambwa kwa sanamu (picha) za makerubi ukuta mzima (Ezek. 41:17-18, 25), 1Waf. 6:27-35). Na baada ya ujenzi kukamilika utukufu wa Mungu ulilijaza Hekalu (1Waf. 8:10-11). Kama Mungu hakupendezwa na sanamu ilikuwa utukufu wake ulijaza hekalu.
@mrmhenipm
@mrmhenipm Жыл бұрын
Ukweli ni kwamba Biblia inapaswa kufuatwa kila kitu bila kusaza chochote kile
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe maisha ya watu we unaita kivuli, nyie kwenu kinaanza kuota kivuli ndo unafata mti?
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
Waebrania ni mawazo ya Paulo, kwaiyo mawazo ya Paulo ni bora kuliko maagizo ya Mungu aliyompa Musa?
@mrmhenipm
@mrmhenipm Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe Ufunuo 22:17-hadi mwisho,,,Usiongeze wala kupunguza neno......Ukiongeza unaongezewa mapigo na ukipunguza unapunguziwa uzima wa milele
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe kwani Musa alitumwa na shetani? kwamba Musa na manabii wote walioshika torati walilishana watu matango pori? 😅 Sawa, Paulo alitumwa na Yesu kama ulivosema ila wapi Yesu alimwamuru Paulo atengue torati au aliruhusu nguruwe kuliwa ilhali ye mwenyewe alisema hakuja kutengua torati?
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe kumbe tunashindana? mkikosaga majibu mnakimbilia huko. Kua na amani ndugu.
@Simonirafael-wt4lc
@Simonirafael-wt4lc 5 ай бұрын
Akirizinatofautiana sasa wewe unachojua fanyahicho ilimladi unyenyekee mbere zamungu maana kila zehebu lina hesabu zake ijumaa j.mos .j.pili
@protasetehingisa3077
@protasetehingisa3077 21 күн бұрын
Nakubaliana nawe kabisa; nyenyekea kwa Mungu (katika dhehebu lolote lile), endeleza sala na ujitahidi kutotenda maovu.
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
Padre wa mchongo au ana uwezo wa kufafanua mambo. 👉🏽Majibu ya kitoto sana ametoa kuhusu nguruwe 👉🏽Huwezi kusema mambo ya samaki wenye magamba hujui yametokea wapi kama umeisoma biblia vizuri.
@polycarplazaro8482
@polycarplazaro8482 Жыл бұрын
NDUGU USIPANIKI, NI HIVI YESU NI MUNGU NA KASEMA HIVI...KIMWINGIACHO MTU KINYWANI SI HARAMU BALI KILE KINACHO MTOKA NDIO HARAMU..MF..MAVI, MKOJO..N.K. 1. KATI YA YESU NA MUSA NA ANAKUPELEKA MBINGUNI!? 2. SHIKA ALIVYOANDIKA MUSA UONE KAMA UTAIONA MBINGU,...YESU ALISHASEMA KUWA KUNA MAHALI MUSA ALITUMIA HEKIMA YANA NA HAKUELEKEZWA NA MUNGU ...MAANA YAKE NI KWAMBA ALIMPINGA KUWA TALAKA HAKUNA .... NB; OMBA KWA MUNGU KWA JINA LA MUSA UONE KAMA UTASIKIKA
@deidrim86
@deidrim86 Жыл бұрын
@@polycarplazaro8482 swala la Yesu ni mungu hiyo ni topic ingine acha kuruka ruka, na mambo ya kwenda mbinguni pia ni swala lingine. Em jibu kwanza, Musa alijitungia zile sheria ama alipokea maagizo kwa Mungu?
@oswaldpancras5314
@oswaldpancras5314 Жыл бұрын
Hebu mtu anifafanulie hapa, Yesu aliposema "Mimi ndimi Bwana wa sabato alimaanisha Nini?
@phillipmbuligwe7946
@phillipmbuligwe7946 Жыл бұрын
@@deidrim86 Unasema majibu yake ni ya kitoto kwa sababu uelwa wako wa maandiko ni dhaifu. Nakushauri urejee maandiko ambayo ame refer. Itakusaidia!
@lucasmabuli4786
@lucasmabuli4786 Жыл бұрын
Askofu soma biblia hakika unadangaya watu majibu yako ni simple sana hayana mshiko Wala imeandikwa
@andrewsam364
@andrewsam364 Жыл бұрын
waafrika tumtafute Mungu alieumba mbingu na nchi hiz din zakikolon hazitatusaidia sana.biblia 1 mathehebu zaid ya elfu na uiskam hivyo hivyo.inamaana kabla yawazungu na waarabu waafrika tulikua hatumjui Mungu?tujifunze kupenda vyakwetu maana tumetawaliwa kifikra kimwili had kiroho.
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 Ай бұрын
Yani wewe nishetani kama mashetani
@breezonlinetv
@breezonlinetv Ай бұрын
Huwezi kuvumilia....inaumaeeh
@PeterMagoye
@PeterMagoye 2 ай бұрын
Ww endelea kuvaa hayo marozali yako utadhan yatakusaodia
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
MAANDIKO KTK BIBLIA YANAONYESHA KITI MOTO NI HARAM SEMA MATAMANIO YA NAFSI YAMEKUWA NDIYO MWONGOZO WA WAKATOLIKI NA BIBLIA IMEKUWA NI YA MAONYESHO TU!!
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 72 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 10 МЛН
Wanaokula Nguruwe wote ni Najisi. asema bwana! Ust. Mazinge
28:10
OBA Online tv
Рет қаралды 31 М.
DARASA KUBWA ASKOFU KILAINI AELEZA HISTORIA YA KANISA LA KWANZA |
54:19
Radio Maria Tanzania
Рет қаралды 8 М.
HATARI KUBWA KWA WAKRISTO NA Baraka Tossy
12:50
TOSSY MEDIA CHANNEL
Рет қаралды 43 М.