Nasadiki kwa kanisa Moja, Takatifu katoriki la Mitume✍️ Hapa ndipo Nyumbani kwangu🙏
@user-ub1xk6yz6lАй бұрын
Hongera sana bab askofu
@cyprianpetetmbonde6374Ай бұрын
Catholic ni shule kuu ya ukweli na itabaki kuwa hivyo.💪🏿🙏🙏
@jovitusrugahenda7139Ай бұрын
Asante baba Askofu kwa kuhimarisha imani.Baba Paroko huo msalaba ni wa kilutheri sio crucifix yetu wakatoliki😂
@freddykulwa819027 күн бұрын
Tumsifu yesu kristo
@traudkamugisha805129 күн бұрын
Tunashukuru Baba Askofu basi tubadilishe haya mazingira na mapadre waongeze nguvu ktk kusaidia hili na watu wakae karibu na waamini
@eliasnganira7661Ай бұрын
Kanisa lijitafakari, liwekeze kwenye katekesi Waamini walio wengi wana mahangaiko. Mapadre, maaskofu na wengine watoe katekesi Waache. alichoita Papa clericalism
@celestinshayo7295Ай бұрын
Unaweza kumlazimisha punda kunywa maji? Kanisa limeshajenga katekesi yake iliyokamilika na linaitoa kila siku sasa wewe huoni umeamua kutoelewa unatangatanga kiimani. Kosa la nani?
@JoshuaJulius-jk7ctАй бұрын
Asante sana baba.lakin paroko wa parokia ajitathimin kwa kanisa hili.
@KelvinConorardАй бұрын
Kun mazingira bado hali ni ngumu uko vigangoni
@fadhilishabani4368Ай бұрын
kweli lipo local sanaa
@emmadora7848Ай бұрын
Anza wewe kuchangia ujenzi wa kanisa zuri sio unaropoka tu, hivi umezunguka nchi nzima hii ukaona hali ya watu ilivyo au?
@user-ub1xk6yz6lАй бұрын
Paroko afanyeje sasa. anza mchango. Hongereni sana Kwa hatua hii. Kanisa ni watu.
@user-jc1do5gf3w28 күн бұрын
Asante Baba Askofu kutembelea vigangoni umejionea mwenyewe Hali ilivyo huko