Askofu Mwijage aeleza sababu kusitisha Kongamano Karismatiki Bukoba.

  Рет қаралды 5,601

Radio Mbiu

Radio Mbiu

Ай бұрын

Пікірлер: 25
@johaneslwiza6504
@johaneslwiza6504 28 күн бұрын
Mungu atusaidie Tufunguke Akili zetu. Wengi tumefungwa Fahamu tumekuwa watu wakuzusha Maneno na kupinga kazi ya Mungu isiendelee. Charismatic haitokaa ife hata siku moja. kitu cha kimungu kitadumu Milele
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 23 күн бұрын
Nilitegemea utauliza Kwa nn ni hivyo kama hujui msingi wake Bora usingekiment kabisa
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 19 күн бұрын
Cha kishetani ni kipi hapo sasa? 😊
@cyprianpetetmbonde6374
@cyprianpetetmbonde6374 20 күн бұрын
Hongera sana baba askofu, maana ni hiyo hiyo ya kuchomekwa chomekwa maudhui ya kinyume chetu(catholic) 💪🏿💪🏿🙏🙏
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Kuna uzushi mwingi kwenye karismatiki...hongera Baba Askofu. Huo ujumbe apate Askofu wangu
@Registon-ed8sy
@Registon-ed8sy Ай бұрын
Hongera baba askofu kwa kuwa na msimamo thabiti juu ya Imani yetu mwenyez Mungu azidi kukuongoza katika utume wako.
@johnmligo6966
@johnmligo6966 Ай бұрын
BABA HONGERA SANA.... MUNGU AKUBARIKI!!!
@user-ex1nd6so6d
@user-ex1nd6so6d Ай бұрын
Safi sana baba ikiwezekana kataza kabisa
@yohanaanton7437
@yohanaanton7437 28 күн бұрын
Utii ni bora kuliko Sadaka
@isaacthomas7888
@isaacthomas7888 Ай бұрын
Hongera sanaa Baba Askofu.
@charlesm7735
@charlesm7735 29 күн бұрын
Karismatiki inatupoteza.
@IsayaMahanze-yt8es
@IsayaMahanze-yt8es 24 күн бұрын
Hongera baba kwa msimamo wako
@geradijoseph4726
@geradijoseph4726 29 күн бұрын
Mungu ni wa wote, KARISMATIKI ni karama ukifunga ipo ROHONI. maana hata wewe ASKOFU unakufuru ROHO MTAKATIFU. je huna karama????😢😢
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 23 күн бұрын
😂😂😂😂 kanisa Lina mwongozo kusingekuwa na miongozo tusingekuwa hapa maana binadamu akili zetu nizakubustiana tu
@emmadora7848
@emmadora7848 20 күн бұрын
​@@anodearsulusi7536miongozo ya kanisa ni biblia hayo ya watu kujiongezea si kweli
@daniellembile9988
@daniellembile9988 13 күн бұрын
Karismatiki Katoliki haina shida na wala haipingani na imani yetu ya Katoliki hakuna kitu chochote cha Kikatoliki ambacho Karismatiki inapinga shida ni pale watu kama hawana uelewa juu ya Karismatiki
@jovinusferdinand2544
@jovinusferdinand2544 Ай бұрын
Maaskofu hawa ndo wenye akiri
@lamerkkitosi5115
@lamerkkitosi5115 28 күн бұрын
kweli wewe ni askofu wakuigwa ahsante kwa kulinda imani katoliki
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 26 күн бұрын
Tatizo mnatumia nguvu za kuwadharau badala ya kuwaelekeza na kutoa miongozo mizuri hapo Bukoba wanaokuzunguka wanakufanyia unafiki wa mapadare hao ni shida tupu
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 23 күн бұрын
Hawa watu Wana asili ya ubishi hawataki kuelekezwa yani
@deokrasisjosephat5857
@deokrasisjosephat5857 22 күн бұрын
Anavyo ongea utafikiri yeye ni MTAKATAFU
@user-fm3ew9tu9y
@user-fm3ew9tu9y 28 күн бұрын
Huyu ni anti Christ anawadumaza wakatoliki kiroho
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 27 күн бұрын
Kabisa inahuzunisha sana
@philippuguru9508
@philippuguru9508 21 күн бұрын
Shida sio karismatiki ila watu wanazidisha... Wanasahau km wao ni wakatoliki.. wanaenda zaid ya karismatiki ya kikatoliki..... Wengne kule bukoba walianza kuuza mafuta ya karismatik wew unaona sahih hiy
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 7 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 124 МЛН
MAKAMU WA RAIS TEC AFAFANUA KWA KINA MAANA YA PALLIUM ATAKAYOVALISHWA KARDINALI RUGAMBWA
14:14
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН