Mungu atusaidie Tufunguke Akili zetu. Wengi tumefungwa Fahamu tumekuwa watu wakuzusha Maneno na kupinga kazi ya Mungu isiendelee. Charismatic haitokaa ife hata siku moja. kitu cha kimungu kitadumu Milele
@anodearsulusi753623 күн бұрын
Nilitegemea utauliza Kwa nn ni hivyo kama hujui msingi wake Bora usingekiment kabisa
@TM.Sullusi19 күн бұрын
Cha kishetani ni kipi hapo sasa? 😊
@cyprianpetetmbonde637420 күн бұрын
Hongera sana baba askofu, maana ni hiyo hiyo ya kuchomekwa chomekwa maudhui ya kinyume chetu(catholic) 💪🏿💪🏿🙏🙏
@josephlorri431Ай бұрын
Kuna uzushi mwingi kwenye karismatiki...hongera Baba Askofu. Huo ujumbe apate Askofu wangu
@Registon-ed8syАй бұрын
Hongera baba askofu kwa kuwa na msimamo thabiti juu ya Imani yetu mwenyez Mungu azidi kukuongoza katika utume wako.
@johnmligo6966Ай бұрын
BABA HONGERA SANA.... MUNGU AKUBARIKI!!!
@user-ex1nd6so6dАй бұрын
Safi sana baba ikiwezekana kataza kabisa
@yohanaanton743728 күн бұрын
Utii ni bora kuliko Sadaka
@isaacthomas7888Ай бұрын
Hongera sanaa Baba Askofu.
@charlesm773529 күн бұрын
Karismatiki inatupoteza.
@IsayaMahanze-yt8es24 күн бұрын
Hongera baba kwa msimamo wako
@geradijoseph472629 күн бұрын
Mungu ni wa wote, KARISMATIKI ni karama ukifunga ipo ROHONI. maana hata wewe ASKOFU unakufuru ROHO MTAKATIFU. je huna karama????😢😢
@anodearsulusi753623 күн бұрын
😂😂😂😂 kanisa Lina mwongozo kusingekuwa na miongozo tusingekuwa hapa maana binadamu akili zetu nizakubustiana tu
@emmadora784820 күн бұрын
@@anodearsulusi7536miongozo ya kanisa ni biblia hayo ya watu kujiongezea si kweli
@daniellembile998813 күн бұрын
Karismatiki Katoliki haina shida na wala haipingani na imani yetu ya Katoliki hakuna kitu chochote cha Kikatoliki ambacho Karismatiki inapinga shida ni pale watu kama hawana uelewa juu ya Karismatiki
@jovinusferdinand2544Ай бұрын
Maaskofu hawa ndo wenye akiri
@lamerkkitosi511528 күн бұрын
kweli wewe ni askofu wakuigwa ahsante kwa kulinda imani katoliki
@audaxbizimana808426 күн бұрын
Tatizo mnatumia nguvu za kuwadharau badala ya kuwaelekeza na kutoa miongozo mizuri hapo Bukoba wanaokuzunguka wanakufanyia unafiki wa mapadare hao ni shida tupu
@anodearsulusi753623 күн бұрын
Hawa watu Wana asili ya ubishi hawataki kuelekezwa yani
@deokrasisjosephat585722 күн бұрын
Anavyo ongea utafikiri yeye ni MTAKATAFU
@user-fm3ew9tu9y28 күн бұрын
Huyu ni anti Christ anawadumaza wakatoliki kiroho
@paschalsafari974727 күн бұрын
Kabisa inahuzunisha sana
@philippuguru950821 күн бұрын
Shida sio karismatiki ila watu wanazidisha... Wanasahau km wao ni wakatoliki.. wanaenda zaid ya karismatiki ya kikatoliki..... Wengne kule bukoba walianza kuuza mafuta ya karismatik wew unaona sahih hiy