AZAM TV - TAZAMA KILIMO CHA MBOGA KISICHOTUMIA UDONGO

  Рет қаралды 52,532

Azam TV

Azam TV

7 жыл бұрын

Huwenda ikawa vigumu kuamini kwamba yawezekana mboga za majani zikakuzwa bila kutumia hata chembe ya udongo. Mwandishi wa Azam TV Jamaly hashim, amefanya Makala maalumu kuhusu kilimo hichi adimu.

Пікірлер: 59
@japhetshirima8697
@japhetshirima8697 3 жыл бұрын
Mama kasema hawezi sema kila kitu cuz anataka return on investment 😂😂😂😂....Nimewaza saaana mama hataki competition ? 😂
@rehemamasoud3687
@rehemamasoud3687 4 жыл бұрын
Ongera dd yaan uko vizur m.mungu akupe afya siku zote unaelekeza vizur sana,tatizo mtaji
@glorykessy6942
@glorykessy6942 6 жыл бұрын
Dada mwamvua hongera sana ..naomb no
@richardkobero6988
@richardkobero6988 6 жыл бұрын
Safi sana Mwamvua
@josephkatato3092
@josephkatato3092 4 жыл бұрын
Kazi njema dada yani itawezekana kufundisha kupitiya You tube na kama ndiyo kwa gharama ngapi. Mr Joseph.
@zaifathussein8195
@zaifathussein8195 6 жыл бұрын
obvious haya mambo ya kisasa lazima yawe na madhara tu kiafya, mungu mwenyewe alitengeneza udongo kwa ajili ya matumizi ya kilimo nk wazungu wanafanya vice veser I wish kuwe kuna utofauti SOKONI wa kuweza kuztofautisha ili kumuwezesha mnunuzi kuchukua ile aipendayo.
@twahashengovi1027
@twahashengovi1027 6 жыл бұрын
Zaifat Hussein
@japhetmombia
@japhetmombia 6 жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa. hivi unajua kuna maeneo ambayo hawana udongo na maji kwaajili yakilimo?? je wafanyeje?? Mungu amekupa akili na utashi. na ndio maana hatuendelei, je ni wapi wameandka kufanya hivyo ni Dhambi???
@alivuai3286
@alivuai3286 5 жыл бұрын
zaifat hata magari tunayotumia pia ni mambo ya sisasa usipande kutakua na madhara
@atkinsoriko6862
@atkinsoriko6862 5 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu kapeana akili pia.
@stevemsomi413
@stevemsomi413 6 жыл бұрын
My dream Tanzania mtanielewa!
@johnjm3858
@johnjm3858 3 жыл бұрын
Hongera sana ndugu, vipi mnatoa mafunzo??
@walkwithusafrica8515
@walkwithusafrica8515 4 жыл бұрын
Hello Jamal Hashim...nimependa icho kilimo cha hydroponics.....je unaweza nipatia contains za wahusika Waweze kutufundisha na sisi
@nyanzalakaporo2504
@nyanzalakaporo2504 6 жыл бұрын
YANI NAJIFUNZA KILA SIKU KITU KIMYA , HONGERA SAMA DADA MWAMVUA VYA KUWEZA KUJIAJIRI MWENYEWE.
@rizikihamza8479
@rizikihamza8479 4 жыл бұрын
Hongera nasisini wakulima tunaomba namba mpendwa
@athanaelalexchuma7700
@athanaelalexchuma7700 7 жыл бұрын
Dada hongera sana kwa u juzi wako
@ashaomary347
@ashaomary347 4 жыл бұрын
Mwamvua nitakupataje ni jifunze hicho kilimo pls
@yongomacawangwe911
@yongomacawangwe911 4 жыл бұрын
Hongera sana, Dear mwamvua. Ni somo nzuri na inashawishi kabisa nimependa inavyofanywa na pia uko vizuri hii ni changamoto nyingine nchini. Ningeomba kupata detail zako moja kwa moja please na kujifunza idea mpya kutoka kwako please ningeomba kupata mawasiliano yako direct either kupitia email or telephon. @yongomacawangwe@gmail.cm Regard Owisse Yongo.
@josephkisembe6663
@josephkisembe6663 6 жыл бұрын
Hicho kilimo kinahitaji mtaji. watanzania weng wana maisha ya kawaida.hata huyo Dada mwenyew anakuambia amewekeza hela nyingi.
@athanaelalexchuma7700
@athanaelalexchuma7700 7 жыл бұрын
Dada tunaomba number za simu
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 6 жыл бұрын
nazipendaga
@chesiretsiret2638
@chesiretsiret2638 6 жыл бұрын
nitampata wapi
@johkuzaga1804
@johkuzaga1804 5 жыл бұрын
hongera kwa hatua ulioifanya iwe
@bizozasaidi307
@bizozasaidi307 4 жыл бұрын
What if i need to be trained in that farming system is it possible? Can i get e-mail adress
@dimaaddarabu5295
@dimaaddarabu5295 6 жыл бұрын
DA HONGERA DADA MWANVUA NAOMBA NO ZAKO
@shosemakule2443
@shosemakule2443 4 жыл бұрын
Mpo wapi? Kelvin mnapokea wanafunzi?
@isaacvtv547
@isaacvtv547 6 жыл бұрын
Wote tungalikuwa kama yeye basi hakuna chakupiganiya ajira. Sasa kama maji hayo yana chumvi nyingi,si shida kwa binadamu anayetumiya maji hayo kwa mana ya pressure? Raisi umuunge mkono mama huyo maana anayo mengi yakutufunza.
@amarathkaboyo8920
@amarathkaboyo8920 5 жыл бұрын
Mtangazaji mtu akiwa anaonyesha mbegu za siku 3 na zasiku 15 tuzione basi usimfiche
@kazikazini1042
@kazikazini1042 5 жыл бұрын
Cameraman unaoneshwa hapa hata huelekezi kamera umemng'ang'ania mwongeaji usoni
@hafidhamgunya8417
@hafidhamgunya8417 6 жыл бұрын
moja bei gani unauza
@edlumala9428
@edlumala9428 6 жыл бұрын
Hongera, ila dada israel wanafanya kilimo hiki kwa kuwa hawana ardhi! Sisi mapori tele vipi? Lakini chengine nna mashaka kuna chemical involvement ktk uzalishaji wa mboga hizi.
@twariatiomary486
@twariatiomary486 4 жыл бұрын
Kilimo cha kwenye mitandao wengi wai awasemi ukweli bali wanapotosha tuu nishawafatilia sana
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 2 жыл бұрын
Mboga ya mwendo kasi kama wale wale.kuku wa kizungu tuuu
@beatricefelicianrutahigwao2918
@beatricefelicianrutahigwao2918 6 жыл бұрын
no yako ya WhatsApp nipate mawilivmatatu kwako 0783404754 iyo yang
@mcluciana4554
@mcluciana4554 4 жыл бұрын
Hongera mnoooo nahitaji nijifunze Namba Yangu 0655408252
@fahadfahmy
@fahadfahmy 7 жыл бұрын
Udongo lazima utumike,huo ni udongo wakiulaya
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 6 жыл бұрын
makumbi ya nazi ni udongo wa ulaya ?
@jamesassanga9220
@jamesassanga9220 6 жыл бұрын
Nipo arusha nahitaji kujifunza,weka tution fee
@prosperdeogratius4888
@prosperdeogratius4888 6 жыл бұрын
Udongo unatumika kupata seedling(ule mmea mdogo baada ya mbegu kuota) siku 15 tu AF ndo unahamishwa ili ukue pasipo maji
@catherinemarcel695
@catherinemarcel695 6 жыл бұрын
naomba namba zako Dada jamaan
@adambasenya6862
@adambasenya6862 5 жыл бұрын
@@prosperdeogratius4888 Elimu hii inapatikana wapi Jamani mi napenda Kilimo
@jamuhuraly1238
@jamuhuraly1238 4 жыл бұрын
DD nimependa Sana nitajifunzaje kwako Apo Nipo Mozambique watsap yangu ni ii +258842282948
@bajunirama9850
@bajunirama9850 5 жыл бұрын
Huyu dada ana mamazo mazuri lakini tatizo ni kwamba analima kilimo ambacho sio kizuri kwa afya yetu, zao lolote ambalo siyo natural ni acid na mwili wako unahitaji alkaline based plant...70% ya makonjwa yana sababishwa na vyakula
@johnsimon771
@johnsimon771 3 жыл бұрын
Sasa hapo acid gani imetumika kwani wakati ni maji yenye virutubisho (hydroponic farming ) maji yana changanywa na mbolea skiliza vizuri
@paulmlumbilwaaluba3556
@paulmlumbilwaaluba3556 5 жыл бұрын
Onngerasana mma naomba nitafute kwa namba +262639075969
@florentinesenya649
@florentinesenya649 6 жыл бұрын
Hongera sana Kwa kujiajiri ninaomba no yako yangu ni 0744169894 Na 0712733961 asante
@NANCYWARD488
@NANCYWARD488 5 жыл бұрын
Akikupa namba una bahati. Mi nilipata namba yake nikaongea nae, nimemuliza aliye m setia nataka nifanye, akasema hawezi niambia mpaka arudishe pesa yake akani ni block,. Sio wote wenye mioyo safi
@aidankazoba6699
@aidankazoba6699 5 жыл бұрын
@@NANCYWARD488 sasa kwa nini ana roho hiyo?
@dianaiipinge119
@dianaiipinge119 5 жыл бұрын
Florentine Senya is this from Kenya?
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
@@NANCYWARD488 wapo wengi wenye tabia hizo za roho ya kutokuwasaidia wenzao hapo akihojiwa anaonekana mwema lkn private ni tofaut mi nilimtafuta jaamaa mmoja analima strawberry nikaomba anifundishe naye akanijibu hivyo hivyo na mawasiliano yakakata kuanzia hapo
@NANCYWARD488
@NANCYWARD488 5 жыл бұрын
@@maryammaram2612 unalima wapi ??
How to Grow Corn Sprouts at Home to Make Healthy Drinking Water
6:05
TEO Garden
Рет қаралды 1,4 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 51 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 13 МЛН
Wafahamu kuhusu kilimo bila kutumia udongo?
3:12
DW Kiswahili
Рет қаралды 12 М.
Msichana Mjasiriamali Tanzania kupitia kilimo
2:30
DW Kiswahili
Рет қаралды 151 М.
Growing Corn on the Terrace, How to Grow Corn at Home for Beginners
10:02
MAKALA YETU - E10 | KILIMO CHA VIAZI VITAMU
7:39
VOAGTV
Рет қаралды 764
Aliwezaje Kusafirisha Maharage Mabichi Kwenda Ulaya? (Hadija Jabiri)
17:43