Huwenda ikawa vigumu kuamini kwamba yawezekana mboga za majani zikakuzwa bila kutumia hata chembe ya udongo. Mwandishi wa Azam TV Jamaly hashim, amefanya Makala maalumu kuhusu kilimo hichi adimu.
Пікірлер: 59
@japhetshirima86973 жыл бұрын
Mama kasema hawezi sema kila kitu cuz anataka return on investment 😂😂😂😂....Nimewaza saaana mama hataki competition ? 😂
@rehemamasoud36874 жыл бұрын
Ongera dd yaan uko vizur m.mungu akupe afya siku zote unaelekeza vizur sana,tatizo mtaji
@glorykessy69426 жыл бұрын
Dada mwamvua hongera sana ..naomb no
@richardkobero69886 жыл бұрын
Safi sana Mwamvua
@josephkatato30924 жыл бұрын
Kazi njema dada yani itawezekana kufundisha kupitiya You tube na kama ndiyo kwa gharama ngapi. Mr Joseph.
@zaifathussein81956 жыл бұрын
obvious haya mambo ya kisasa lazima yawe na madhara tu kiafya, mungu mwenyewe alitengeneza udongo kwa ajili ya matumizi ya kilimo nk wazungu wanafanya vice veser I wish kuwe kuna utofauti SOKONI wa kuweza kuztofautisha ili kumuwezesha mnunuzi kuchukua ile aipendayo.
@twahashengovi10276 жыл бұрын
Zaifat Hussein
@japhetmombia6 жыл бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa. hivi unajua kuna maeneo ambayo hawana udongo na maji kwaajili yakilimo?? je wafanyeje?? Mungu amekupa akili na utashi. na ndio maana hatuendelei, je ni wapi wameandka kufanya hivyo ni Dhambi???
@alivuai32865 жыл бұрын
zaifat hata magari tunayotumia pia ni mambo ya sisasa usipande kutakua na madhara
@atkinsoriko68625 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu kapeana akili pia.
@stevemsomi4136 жыл бұрын
My dream Tanzania mtanielewa!
@johnjm38583 жыл бұрын
Hongera sana ndugu, vipi mnatoa mafunzo??
@walkwithusafrica85154 жыл бұрын
Hello Jamal Hashim...nimependa icho kilimo cha hydroponics.....je unaweza nipatia contains za wahusika Waweze kutufundisha na sisi
@nyanzalakaporo25046 жыл бұрын
YANI NAJIFUNZA KILA SIKU KITU KIMYA , HONGERA SAMA DADA MWAMVUA VYA KUWEZA KUJIAJIRI MWENYEWE.
@rizikihamza84794 жыл бұрын
Hongera nasisini wakulima tunaomba namba mpendwa
@athanaelalexchuma77007 жыл бұрын
Dada hongera sana kwa u juzi wako
@ashaomary3474 жыл бұрын
Mwamvua nitakupataje ni jifunze hicho kilimo pls
@yongomacawangwe9114 жыл бұрын
Hongera sana, Dear mwamvua. Ni somo nzuri na inashawishi kabisa nimependa inavyofanywa na pia uko vizuri hii ni changamoto nyingine nchini. Ningeomba kupata detail zako moja kwa moja please na kujifunza idea mpya kutoka kwako please ningeomba kupata mawasiliano yako direct either kupitia email or telephon. @yongomacawangwe@gmail.cm Regard Owisse Yongo.
@josephkisembe66636 жыл бұрын
Hicho kilimo kinahitaji mtaji. watanzania weng wana maisha ya kawaida.hata huyo Dada mwenyew anakuambia amewekeza hela nyingi.
@athanaelalexchuma77007 жыл бұрын
Dada tunaomba number za simu
@jemakhalifa68076 жыл бұрын
nazipendaga
@chesiretsiret26386 жыл бұрын
nitampata wapi
@johkuzaga18045 жыл бұрын
hongera kwa hatua ulioifanya iwe
@bizozasaidi3074 жыл бұрын
What if i need to be trained in that farming system is it possible? Can i get e-mail adress
@dimaaddarabu52956 жыл бұрын
DA HONGERA DADA MWANVUA NAOMBA NO ZAKO
@shosemakule24434 жыл бұрын
Mpo wapi? Kelvin mnapokea wanafunzi?
@isaacvtv5476 жыл бұрын
Wote tungalikuwa kama yeye basi hakuna chakupiganiya ajira. Sasa kama maji hayo yana chumvi nyingi,si shida kwa binadamu anayetumiya maji hayo kwa mana ya pressure? Raisi umuunge mkono mama huyo maana anayo mengi yakutufunza.
@amarathkaboyo89205 жыл бұрын
Mtangazaji mtu akiwa anaonyesha mbegu za siku 3 na zasiku 15 tuzione basi usimfiche
@kazikazini10425 жыл бұрын
Cameraman unaoneshwa hapa hata huelekezi kamera umemng'ang'ania mwongeaji usoni
@hafidhamgunya84176 жыл бұрын
moja bei gani unauza
@edlumala94286 жыл бұрын
Hongera, ila dada israel wanafanya kilimo hiki kwa kuwa hawana ardhi! Sisi mapori tele vipi? Lakini chengine nna mashaka kuna chemical involvement ktk uzalishaji wa mboga hizi.
@twariatiomary4864 жыл бұрын
Kilimo cha kwenye mitandao wengi wai awasemi ukweli bali wanapotosha tuu nishawafatilia sana
@rosemarysulle92882 жыл бұрын
Mboga ya mwendo kasi kama wale wale.kuku wa kizungu tuuu
@beatricefelicianrutahigwao29186 жыл бұрын
no yako ya WhatsApp nipate mawilivmatatu kwako 0783404754 iyo yang
Udongo unatumika kupata seedling(ule mmea mdogo baada ya mbegu kuota) siku 15 tu AF ndo unahamishwa ili ukue pasipo maji
@catherinemarcel6956 жыл бұрын
naomba namba zako Dada jamaan
@adambasenya68625 жыл бұрын
@@prosperdeogratius4888 Elimu hii inapatikana wapi Jamani mi napenda Kilimo
@jamuhuraly12384 жыл бұрын
DD nimependa Sana nitajifunzaje kwako Apo Nipo Mozambique watsap yangu ni ii +258842282948
@bajunirama98505 жыл бұрын
Huyu dada ana mamazo mazuri lakini tatizo ni kwamba analima kilimo ambacho sio kizuri kwa afya yetu, zao lolote ambalo siyo natural ni acid na mwili wako unahitaji alkaline based plant...70% ya makonjwa yana sababishwa na vyakula
@johnsimon7713 жыл бұрын
Sasa hapo acid gani imetumika kwani wakati ni maji yenye virutubisho (hydroponic farming ) maji yana changanywa na mbolea skiliza vizuri
@paulmlumbilwaaluba35565 жыл бұрын
Onngerasana mma naomba nitafute kwa namba +262639075969
@florentinesenya6496 жыл бұрын
Hongera sana Kwa kujiajiri ninaomba no yako yangu ni 0744169894 Na 0712733961 asante
@NANCYWARD4885 жыл бұрын
Akikupa namba una bahati. Mi nilipata namba yake nikaongea nae, nimemuliza aliye m setia nataka nifanye, akasema hawezi niambia mpaka arudishe pesa yake akani ni block,. Sio wote wenye mioyo safi
@aidankazoba66995 жыл бұрын
@@NANCYWARD488 sasa kwa nini ana roho hiyo?
@dianaiipinge1195 жыл бұрын
Florentine Senya is this from Kenya?
@maryammaram26125 жыл бұрын
@@NANCYWARD488 wapo wengi wenye tabia hizo za roho ya kutokuwasaidia wenzao hapo akihojiwa anaonekana mwema lkn private ni tofaut mi nilimtafuta jaamaa mmoja analima strawberry nikaomba anifundishe naye akanijibu hivyo hivyo na mawasiliano yakakata kuanzia hapo