Azam TV - MAKALA YA SHAMBANI: Charles Kitwanga ajikita kwenye ufugaji wa aina yake Oysterbay, DSM

  Рет қаралды 69,102

Azam TV

Azam TV

6 жыл бұрын

Пікірлер: 20
@richardkobero6988
@richardkobero6988 6 жыл бұрын
Safi sana mama...Umenihamasisha sana
@danielsantael8799
@danielsantael8799 6 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yahuyu mfugaji nimependa ubunifu wake.nahitaji kujifunza zaidi kutoka kwake.
@mrishomzelela4627
@mrishomzelela4627 5 жыл бұрын
AZAM KILA SIKU NAAWAMBIA HAYO MAMBO NI INVESTMENT YANAHITAJI CAPITAL,VIJANA TUNAMAMBO MENGI YA KUFANYA LAKINI Hatuna capital
@bonifasimwakalibule5574
@bonifasimwakalibule5574 5 жыл бұрын
Problems is capital Hizo cage ni bei sanaaaa so kwa mfugaji mchanga ni ndoto za abunuasi
@ikhlasinvestmentltd73
@ikhlasinvestmentltd73 5 жыл бұрын
Sio kweli ukisemacho na kama unauhitaji kweli ntafute kwa 0718902022 nkushauri nn cha kufanya
@ziananzunda5988
@ziananzunda5988 5 жыл бұрын
Naomba mawasiliano , pleaasr
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 5 жыл бұрын
tunaomba namba yako mama.
@nurdinnswebe1905
@nurdinnswebe1905 5 жыл бұрын
0757038631
@ramadhanmohamed7668
@ramadhanmohamed7668 5 жыл бұрын
Apo kwa mafisad sawa lakin si kwa mtu wa Ali yachin ni ndoto
@ikhlasinvestmentltd73
@ikhlasinvestmentltd73 5 жыл бұрын
Sio kweli ukisemacho na kama unauhitaji kweli ntafute kwa 0718902022 nkushauri nn cha kufanya
@ngelularichard3396
@ngelularichard3396 5 жыл бұрын
aya bhana Ila punguza pombe sasa
@magdalenarusimbi1438
@magdalenarusimbi1438 3 жыл бұрын
Matusi hayo, hizo pombe unamnunulia wewe? Badala ya kujifunza umekalia punguza pombe.!
@dkalhajijbmatatala9392
@dkalhajijbmatatala9392 6 жыл бұрын
NIMEPENDA, TATIZO SIO KUFUGA KUFUGA NI RAISI,, ILA MTAJI WA MADHARI YA UFUGAJI KUANDAA MABANDA,, PESA YAKE NI TATIZO,, BENKI NYINGI HAWATUAMINI WAFUGAJI,, HATUPEWI MIKOPO YA WAFUGAJI:
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 6 жыл бұрын
Dk Alhaji Jb Matatala kweli kabisa,,Mtaji ni tatizo
@summanelson5523
@summanelson5523 6 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe kabisa. Watu wengi tunaujua huu ufugaji. Niliuona kigogo kwa mchaga mmoja tena yeye katumia mbao na ameweka tetea watano na jogoo mmoja kila kizimba. Na alikuwa tayari kunijengea. Ni miaka mitano imepita lakini sijapata hiyo hela. Imebaki ndoto tu.
@seifharoub8535
@seifharoub8535 6 жыл бұрын
Dk Alhaji Jb Matatala nakuunga mkono benk zetu hazituamini wafugaji wakat tukiwezeshwa tunaweza
@gwakisaezekiel2576
@gwakisaezekiel2576 5 жыл бұрын
Summa Nelson pole mwaya
@emmanuelngonela7909
@emmanuelngonela7909 4 жыл бұрын
Tatizo ni mwanzo kuwa mgumu ila watu tunapambana sana ktk ufugaji ,mtaji ndio changamoto na wadhamini hawapatikani
@afikianosaid807
@afikianosaid807 5 жыл бұрын
naomba ajira naitwa Afikiano said nipo mbeya je unaweza kuniajiri umri wangu miaka 22 kama itawezekana naomba wasiliana namimi kwa namba 0743948395
SHAMBANI: UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI
24:48
TBConline
Рет қаралды 181 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 7 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
UBORA WA CAGES/KEJI ZA KUKU NDIO FAIDA KATIKA MRADI WAKO, TUMIA ECONOMY CHICKEN CAGES
5:21
KILIMO:-MBINU NA FAIDA ZA UFUGAJI WA KUKU
20:10
Jamvi Online TV
Рет қаралды 37 М.
Baada ya Kustaafu Nikaingia Mazima Kwenye Ufugaji wa Kuku Chotara
9:27
Changamkia Fursa
Рет қаралды 73 М.
Jump Round kick 🥋 #taekwondo #wushu #karate
0:13
Farakicks
Рет қаралды 3,5 МЛН
Tournament of Celebrities. Who do you think won? 🥵🫣🏆
0:43
Max VS Football
Рет қаралды 3,8 МЛН
Jump Round kick 🥋 #taekwondo #wushu #karate
0:13
Farakicks
Рет қаралды 3,5 МЛН
Messi or Ronaldo ? 🤔🤯 #football #talent #wonderkid
0:18
Alex and Deme
Рет қаралды 15 МЛН