Naomba mawasiliano yahuyu mfugaji nimependa ubunifu wake.nahitaji kujifunza zaidi kutoka kwake.
@mrishomzelela46275 жыл бұрын
AZAM KILA SIKU NAAWAMBIA HAYO MAMBO NI INVESTMENT YANAHITAJI CAPITAL,VIJANA TUNAMAMBO MENGI YA KUFANYA LAKINI Hatuna capital
@bonifasimwakalibule55745 жыл бұрын
Problems is capital Hizo cage ni bei sanaaaa so kwa mfugaji mchanga ni ndoto za abunuasi
@ikhlasinvestmentltd735 жыл бұрын
Sio kweli ukisemacho na kama unauhitaji kweli ntafute kwa 0718902022 nkushauri nn cha kufanya
@ziananzunda59885 жыл бұрын
Naomba mawasiliano , pleaasr
@zahorrashid54595 жыл бұрын
tunaomba namba yako mama.
@nurdinnswebe19055 жыл бұрын
0757038631
@ramadhanmohamed76685 жыл бұрын
Apo kwa mafisad sawa lakin si kwa mtu wa Ali yachin ni ndoto
@ikhlasinvestmentltd735 жыл бұрын
Sio kweli ukisemacho na kama unauhitaji kweli ntafute kwa 0718902022 nkushauri nn cha kufanya
@ngelularichard33965 жыл бұрын
aya bhana Ila punguza pombe sasa
@magdalenarusimbi14383 жыл бұрын
Matusi hayo, hizo pombe unamnunulia wewe? Badala ya kujifunza umekalia punguza pombe.!
@dkalhajijbmatatala93926 жыл бұрын
NIMEPENDA, TATIZO SIO KUFUGA KUFUGA NI RAISI,, ILA MTAJI WA MADHARI YA UFUGAJI KUANDAA MABANDA,, PESA YAKE NI TATIZO,, BENKI NYINGI HAWATUAMINI WAFUGAJI,, HATUPEWI MIKOPO YA WAFUGAJI:
@jonaskabonda7416 жыл бұрын
Dk Alhaji Jb Matatala kweli kabisa,,Mtaji ni tatizo
@summanelson55236 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe kabisa. Watu wengi tunaujua huu ufugaji. Niliuona kigogo kwa mchaga mmoja tena yeye katumia mbao na ameweka tetea watano na jogoo mmoja kila kizimba. Na alikuwa tayari kunijengea. Ni miaka mitano imepita lakini sijapata hiyo hela. Imebaki ndoto tu.