No video

EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA CHARLES KITWANGA, KUFANYA KAZI BANK KUU NA MAISHA YAKE

  Рет қаралды 300,657

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

#millardayo#AyoTVEXCLUSIVE#CharlesKitwanga
Ayo TV, millardayo.com imekaribishwa nyumbani kwa Charles Kitwanga ambae amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na kwa sasa ni Mbunge wa MIsungwi Mwanza, Ametueleza maisha na historia yake kuanzia kufanya Kazi Bank Kuu ya Tanzania hadi kwenye Siasa.

Пікірлер: 322
@swaifasaid1742
@swaifasaid1742 4 жыл бұрын
Nan ameona tofauti za interview za wasomi na vilaza wa bongo movie.juane kwa like
@dioskorimtalo2348
@dioskorimtalo2348 4 жыл бұрын
Huyu hakuweza kuwa mwanasiasa ni mtendaji per say ! Yuko smart ,focus & oriented. Ukiwa hivi siasa itakutesa sana
@abbasirovya6118
@abbasirovya6118 4 жыл бұрын
Funny guy
@abbasirovya6118
@abbasirovya6118 4 жыл бұрын
I like the interview these are the kinds fake politicians who spoil the image of true politicians like Obama and the like!, I hate the interview for sure!
@tonibomani333
@tonibomani333 4 жыл бұрын
@@abbasirovya6118 You're spewing utter garbage mate...
@katunzijasson5410
@katunzijasson5410 4 жыл бұрын
Hongera sana Mzee Kitwanga,,,,,kumbe serikali huwa inakuwa na watu wabunifu kiasi hichi cha ajabu mambo husika hayatendwi...Napata picha kikao cha baraza la mawaziri huwa ni moto xana mamlaka huwa yanatumika.....Hero Are Not Born Yet Perhaps......hongera Ayo tv imekaa poaaa
@alhajkhatib5597
@alhajkhatib5597 4 жыл бұрын
Millard Ayo nakukubali tu kwakutafuta watangazaji wanao jua kumhoji mtu bila kumugunya maneno kwenye herufi wanazitumia vizuri Sana big up kaka
@katunzijasson5410
@katunzijasson5410 4 жыл бұрын
Ayo Tv plzzzzz mtafuteni Mh.Muhongo Itapendeza sana...Lipeni uzito hilo
@maddymreta2369
@maddymreta2369 4 жыл бұрын
Hapana muhongo atatudanganya
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 жыл бұрын
Huyu Mtu ni kichwa sana na sidhani kama anatumika inavyo stahili regardless his weaknesses
@babayakeanna8595
@babayakeanna8595 4 жыл бұрын
Nimekusikiliza kwa makini sana na nimegundua mzee una madini mengi sana kichwani kwako Una mtazamo chanya sana kwa maendeleo ya nchi Nakubaliana na wewe kwamba tuwekeze kwenye teknolojia ya tehama kwenye maeneo mengi ya kiudhibiti. Natamani mawazo haya yawafikie wenzio waliopo kwenye nafasi hizo na wayafanyie kazi Hongera sana Kitwanga 👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍 bravoooo
@iamthefarmerceo2316
@iamthefarmerceo2316 4 жыл бұрын
Asnte sana Millard Ayo... dogo amepevuka sasa na ametulia kwa mike. Congratulations sanaaa
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 жыл бұрын
Yupo vizuri Sanaa
@mayengelacharahani4477
@mayengelacharahani4477 4 жыл бұрын
Kwa nn michango mizur kama hii hawaitow bungen tena kwa msisitizo,au tatzo mfumo?
@dioskorimtalo2348
@dioskorimtalo2348 4 жыл бұрын
Kweli..Dogo yuko vizuri ...He knows
@allymnyaruge8246
@allymnyaruge8246 4 жыл бұрын
Kitwanga namkubali sana hasa akiwa mjengoni
@allymnyaruge8246
@allymnyaruge8246 4 жыл бұрын
Kitwanga namkubali sana hasa akiwa mjengoni
@augustinenyerere8613
@augustinenyerere8613 4 жыл бұрын
Huyu mtangazaji n anajua sana hongera zake na sauti pia inavutia na amejitahid kuhimili ukubwa wa cheo cha mheshimiwa
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 4 жыл бұрын
Kitwanga uko vizuri sana huwa nakupenda.
@kimchi-91
@kimchi-91 4 жыл бұрын
This dude is incredibly genius :)
@adnansaid4209
@adnansaid4209 4 жыл бұрын
Mzee Kitwanga uko vizuri, bado wanasiasa wenzako wanamawazo yaliyobanwa na kutokujua. Wasaidie nao wasione haya kupata mawazo yako.
@nenadurra8477
@nenadurra8477 4 жыл бұрын
This lad 'ayo' is so professional, very skillful, calm and collected. Would he consider to dress professional as well? I think this is part of professional code of conduct.
@jaymadeleka4670
@jaymadeleka4670 Жыл бұрын
Akili nyingi sana kaka yangu Mzee Kitwanga. Kiukweli hukutakiwa kuwa mwanasiasa kabisa. ulitakiwa ubaki kwenye utendaji zaidi, na nchi ingefaidi sana matunda yako. Nakuombea kwa Mungu upate nafasi nyingine ya kutumikia nchi hii nafasi ya kiutendaji katika taasisi zetu za nchi. Kila la kheri.
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 4 жыл бұрын
Ayo Tv nimependa mtangazaji anavyotangaza, sauti inavutia na mengine yote yako 🔥🔥
@wilbethamosha6208
@wilbethamosha6208 4 жыл бұрын
Ayo anaajiri wasomi na anawalipa kisomi sio wale wanawahoji kina ambaruty
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 4 жыл бұрын
Uko vizuri sana mh kitwanga nimependa mahojiano hayo mazuri sana ,pia huwa napenda ucheshi wako Wangu,
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 4 жыл бұрын
Nilimkubali sana huyu jamaa alivyokua waziri wa mambo ya ndani. Very bright and creative. Natamani sana huyu jamaa angerudi tena kwenye cabinet next time
@gerrylufingo387
@gerrylufingo387 4 жыл бұрын
Mh CK kwa taaluma yako jitahidi ufike Japan, maana pale ndipo kilele cha Teknolojia. Umaarufu wa mawe Ma 3, ulimfanya JK akuteue kuwa Naibu Waziri. Hongera !
@dynafrank3997
@dynafrank3997 4 жыл бұрын
Asante mzee kwa mawazo mazuri na ayo tv Asante kwa habari nzur na kutujuza
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 4 жыл бұрын
Mtangazaji unastamina 👌👌👌!Unaweza mnooo mdogo wangu Barikiwa
@kidodosimichael349
@kidodosimichael349 4 жыл бұрын
mzee wa KONYAGI yuko vizuri sana , nyumba nzuri anajua kujieleza sema maji yakizidi inakuwa taabu.
@glorymselemuq3407
@glorymselemuq3407 4 жыл бұрын
Akigongea nyagi ndio shida inapoanzia... otherwise yupo poa kiutendaji anafaa zaidi
@1mviews769
@1mviews769 4 жыл бұрын
SAfi Sana kitwanga huyo ulioshindwa kumtaja ni 🔐
@shayopaterini8678
@shayopaterini8678 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 4 жыл бұрын
Tumekusoma baharia 😁
@maddymreta2369
@maddymreta2369 4 жыл бұрын
Watu bna hahaha sasa kufuli na funguo .......!?
@snetiengineering_hub
@snetiengineering_hub 4 жыл бұрын
We pimbi kweli nlitumia dak nyingi kutokueelewa
@sadockalfred1710
@sadockalfred1710 3 жыл бұрын
Dah😂😂😂😂😂😂
@brightonshakila6406
@brightonshakila6406 4 жыл бұрын
Mtangazaji uko poaa...babu anaakili mnoo...BIG UP MILLARD
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 жыл бұрын
Niko hapa 05/05/2020 nzur Sana kitwanga sikuwah kukujua kabla ya kutumbuliwa Mzee. Watu mna madin Ila shida ni kivur Cha Ccm kumbe.
@sadikidaudi1223
@sadikidaudi1223 4 жыл бұрын
Nakukubali saana Mzee Kitwanga haunaga mambo mengi.
@saleheissa4810
@saleheissa4810 4 жыл бұрын
Safi sana mzee kitwanga namekukubari sanaaa
@jacklinamani7519
@jacklinamani7519 4 жыл бұрын
Duu hongera Sana mzee nchi zote hizo.wangp tupo humu hata Kenya hatujafika tujuane jaman
@abusaeed9037
@abusaeed9037 4 жыл бұрын
Jacklin amani karibu Mombasa kenya
@jacklinamani7519
@jacklinamani7519 4 жыл бұрын
@@abusaeed9037 Asante
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 4 жыл бұрын
Jackyline , kumbe ujafkka Kenya,😀😀pole mm nimebahatika kwenda na kusoma uko
@jacklinamani7519
@jacklinamani7519 4 жыл бұрын
@@filbertnashon7160 Hongera
@zumbaabiyah3184
@zumbaabiyah3184 4 жыл бұрын
......mimi pia, mmmmh! 😤😱
@marykibwana9413
@marykibwana9413 4 жыл бұрын
Mzee, Kitwanga,kama hicho kichwa umerithisha watoto wako watakuwa vichwa sana. Napenda unavyojieleza.
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 4 жыл бұрын
Ohoo nice place,,,you make it better 🙏💗
@asueddy1465
@asueddy1465 4 жыл бұрын
One day I wish to meet you sir Charles Kitwanga because I believe I can get a lot of ideas concerning life as whole..I don't know how I can meet you, but I believe God can make a way
@emanuelsamkinda1379
@emanuelsamkinda1379 4 жыл бұрын
cdhan km mzee kakuelewa
@nurustephan7873
@nurustephan7873 4 жыл бұрын
What a beautiful!!! Smile and speaking... Niceee Mr kitwanga
@gideonkalumbu5220
@gideonkalumbu5220 4 жыл бұрын
Asante Sana kwa kutumikia nchi.
@mubamdetele6055
@mubamdetele6055 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@sizakitego4374
@sizakitego4374 4 жыл бұрын
Jamaa anaakili nyingi sana
@allymapinda8804
@allymapinda8804 4 жыл бұрын
Kuna kitu kinaitwa exposure na hiki ni kwa bahati mbaya viongozi wengi hawana! Alipoanza kuzungumzia mambo ya cctv cameras, ni kweli zingasaidia sana, haina haja ya kuweka trafiki mabarabarani kwani rushwa ndiopo inapozaliwa hapo na serekali inakosa mapato. weka cameras mchezo umeisha. huku ulaya hakuna neno trafiki barabarani, ni full kamera kila kona.
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Na hiyo exposure inatokana na kutembea na kujifunza lkn wengi wa Viongozi wetu wakishakuwa madarakani tu hujisahau na kujiona wao ndio wao wao ni miungu watu. Na hata wengine husahau wametoka kwenye familia maskini lakini hujisahaulisha kwa vyeo
@suratfrank6282
@suratfrank6282 4 жыл бұрын
Charles kitwanga bonge la boss smile 😁 kumbe mzee JPM siku moja akiamua kukurudisha utakuwa waziri wa fedha,,, af kingine JPM baba Yetu mdogo wa Taifa ndie aliekushawishi kuingia kunako siasa si ndio dingi!
@harrisseries1021
@harrisseries1021 4 жыл бұрын
Ndio maana yake we ujamuelewa alivyokataa kumtaja
@aladinho1352
@aladinho1352 4 жыл бұрын
Surat Frank mawazo yako ndio yanayotumika saiz kwenye fendha na ukusanyaji
@erickkinubi1394
@erickkinubi1394 4 жыл бұрын
this is the kind of content i want to see here
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 жыл бұрын
Erick Kinubi exactly, siyo tu habari za nani katoka na nani au Diamond anamchukia Harmonize
@salimdiabyonlinetv4873
@salimdiabyonlinetv4873 4 жыл бұрын
*MUCH RESPECT MZEE WANGU*
@josephgervas5191
@josephgervas5191 4 жыл бұрын
Hongera sana kitwanga
@boniphacejonas4109
@boniphacejonas4109 4 жыл бұрын
Umezeeka kitwanga unatembeaje hivo
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 4 жыл бұрын
Boniphace Jonas ulabu noma
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 4 жыл бұрын
Kitwanga nakukumbuka siku ulioutwanga mtind pombe ukajibu maswali magumu kwako yakawa rahis
@mvungigaming
@mvungigaming 4 жыл бұрын
Hata mm nakumbuka....
@angelaignas5863
@angelaignas5863 4 жыл бұрын
hahahaaaaa,, hatari saaaanaa,,
@johnmessi6831
@johnmessi6831 4 жыл бұрын
😂 hahaa
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Me ningeshauri Tz tuwe na chombo kinachowaza jinsi gan nnchi iende. "ThinkTank ya nnchi" Watu Kama Hawa nimuhimu sana
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын
Walevi wengi huwa na vitu potential sana...hasa akiwa amesoma.
@safikapufi422
@safikapufi422 4 жыл бұрын
Yani milad Yuko vzr nawatangazaji wake wote hawachoshi kusikiliza
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 4 жыл бұрын
Nakupenda sana mhe kitwanga
@tomjohn9587
@tomjohn9587 4 жыл бұрын
Mbona km nakufananisha
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 4 жыл бұрын
@@tomjohn9587 na nni au na nini
@emmanuelnjera4707
@emmanuelnjera4707 4 жыл бұрын
Millad Ayo ipo on top
@kassimliwola6907
@kassimliwola6907 4 жыл бұрын
same secondary moja👊
@prince255jrjenje2
@prince255jrjenje2 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni genius
@samniza1763
@samniza1763 4 жыл бұрын
The guy is genius, I wish he get a second chance.
@samniza1763
@samniza1763 4 жыл бұрын
@Inthenameoflove the way he sees things differently we all have our issues but we can't deny his intelligence and I never knew the guy but you can tell when someone is intelligent and when they are fluffing.
@gerydavies7579
@gerydavies7579 4 жыл бұрын
Unajua jimboni kwakwe, mahali aliposomea, hakuna water supply mpaka sasa? Genius to solve bottlenecks
@mamahustru
@mamahustru 4 жыл бұрын
Daa kumbe ile Magu alikuwa anasema watu walikuwa wanageuzia ndege airport au kubadilishia nguo airport ilikuwa ni kweli 😂😂😂
@dionizthomas2085
@dionizthomas2085 4 жыл бұрын
Uko vizuli ndo maana uka gonga konyagi zakutodha sikuile
@emanuelsamkinda1379
@emanuelsamkinda1379 4 жыл бұрын
😂😂
@nasri.27jr25
@nasri.27jr25 4 жыл бұрын
Daaa huyu jamaa ni kichwa sana,kama taifa tunamuhitaji sana,ana Idea nyingi na nzuri sana
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 4 жыл бұрын
Mawe matatu hongera sna tatizo Pombe! Hasa muda wa kazi
@jacksonsawe2301
@jacksonsawe2301 4 жыл бұрын
Nimefurahi kuona vijukuu vikikayisha na michezo yao viko bize
@masoudzanzibarali9994
@masoudzanzibarali9994 4 жыл бұрын
Tatizo bado lipo Pale pale waandishi wa Tanzania kwanini hampo Professional unasema tumemtembelea Nyumbani kwake sawa Lkn wapi Hakuna Jina inaweza ikawa Mwanza, Bukoba, Zanzibar, Uganda, sijui kwanini mnakurupuka
@jamesassanga9220
@jamesassanga9220 4 жыл бұрын
Yuko sahihi mtangazaji kwa kutosema mahari anapoishi,kiusalama zaidi
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 4 жыл бұрын
Good history
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 4 жыл бұрын
Hiki ni kichwa aisee,ila wakipe nafas ya utendaji sio siasa
@piusbenedictorndaluhekeye9459
@piusbenedictorndaluhekeye9459 4 жыл бұрын
Hongera sana bro millard nabarikiwa sana na blog yako.
@selemanimsahani3919
@selemanimsahani3919 4 жыл бұрын
Kama unakubari majibu ya kitwanga ni yamiaka 59 gonga like hapa twende swa
@katengololosteven8196
@katengololosteven8196 3 жыл бұрын
Nimeenjoy kukusikiliza boss!!
@shau78
@shau78 4 жыл бұрын
nimemuelewa Kitwanga tofauti leo.
@richardbuhatwa1940
@richardbuhatwa1940 4 жыл бұрын
Aliemshauri kuingia kwenye siasa ni mh magufuli
@didimhutila8985
@didimhutila8985 4 жыл бұрын
Ngosha anahakili sana, we usingeweza kuendana na kasi yake.
@samwelching5051
@samwelching5051 4 жыл бұрын
duuu mh. Kitwanga anavotembea bwana
@hendrylema5640
@hendrylema5640 2 жыл бұрын
Acha tuu nimewaza tembea yake
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 жыл бұрын
Mzee Kitwanga, hilo jambo la instant report linazoroteshwa makusudi, ili watu wapige dili, kwa sababu mawazo unayotoa yote yanafanyika ulaya na yanasaidia utendaji, sasa kwa Tanzania ukiweka muundo huo wa teknolojia, itasumbua wakubwa fulani wenye faida katika madhaifu hayo😏
@luluamri370
@luluamri370 4 жыл бұрын
Uko smart lakini kutembelea nchi nyingi aimainishi kujua mengi unaweza uka unatembelea nchi kwa wiki moja au siku tatu utakijua nini kuhusu utendaji wa hiyo inchi🤣
@t-netcafestationeryinterne3805
@t-netcafestationeryinterne3805 4 жыл бұрын
mmmmmh marvelous
@cbmlambo
@cbmlambo 4 жыл бұрын
Dr.Charles Kitwanga! The great man I ever known to me when I was at Mwanza. (2007/2010)
@rutheric1030
@rutheric1030 4 жыл бұрын
replacement of people for drones?...not a good idea, perhaps the use of both for improvement in safety..
@stephanomchenya6344
@stephanomchenya6344 4 жыл бұрын
Nakukumbuka kipdi chakampen zako uliniahid utansomesha lakin niliambulia viatu shulenikwetu nilipitia mangumu sana walim kuniita yatima wawazazi wote wawili kiukweli sikpenda kuitwa hvyo nilifanya kitihada yakukpata sikfanikia hvyo nilizuiwa kfanya mtihani wa mock mkoa msadziwako hakuwa na muda namimi natembea kwa miguu had I wilayani bila kula lakin sikfanikiwa nilistop kwenda shule zaid ya miezi miwili baada ya headmaster kutamka hadharan stofanya mtihani Wang wa mwisho nilitafta shamba heka moja kwaajiri ya bustani ya nyanya nikapata fedha nikarud shuleni nashukuru hya mapito yamenijenga
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Ulikuwa wapi kulima mapema?? Wanasiasa tz si wakutegemea wanafiki tu!! Wanajijua!!
@peterhelpeterluena9191
@peterhelpeterluena9191 4 жыл бұрын
Hongera sana
@hildamjema284
@hildamjema284 4 жыл бұрын
Pole Mungu ni mwema Hata sasa ametenda
@happykimaya2762
@happykimaya2762 4 жыл бұрын
Pole Sana
@stephanomchenya6344
@stephanomchenya6344 4 жыл бұрын
@@happykimaya2762 nashukuru mungu nimeweza kusimama ila maneno ya walimu yalinikatisha tamaa unaitwa mbele ya wanafuzi 800 yatima wawazazi wote wawili cwez kuyasahau
@stewartmtondwa353
@stewartmtondwa353 4 жыл бұрын
Kumbe huyu Mzee yuko vzr kichwani! Kitwanga anaitaji nafasi tena ila ka kinywaji ndo kaliko vuruga tu.
@aldoba2826
@aldoba2826 4 жыл бұрын
Uko vizuri mzee baba
@fredmappunda7538
@fredmappunda7538 4 жыл бұрын
Mbona humuulizi kuhusu lugumi?
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 4 жыл бұрын
Kitwanga upo vizuri acha pombe tu ndio tatizo lako
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 4 жыл бұрын
Kweli pombe siyo nzuri
@greatmangii
@greatmangii 4 жыл бұрын
nani kakwambia iyo pombe inamsumbua
@onikajulius9335
@onikajulius9335 4 жыл бұрын
@@greatmangii 😀
@kevipaulo6979
@kevipaulo6979 4 жыл бұрын
Dr shika
@happykimaya2762
@happykimaya2762 4 жыл бұрын
Mtangazaji amkia,eshima yako mzee ndo nn?
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 4 жыл бұрын
Yaani hii salamu ya "heshima yako" siyo sawa hata kidogo. Naomba watangazaji msalimie Shikamoo baba/mama n.k
@hazelbrown4712
@hazelbrown4712 4 жыл бұрын
@@adelinelyaruu3036 hata hio SHIKAMOO ni Utumwa
@aboudmsonde886
@aboudmsonde886 4 жыл бұрын
@@adelinelyaruu3036 nini maana ya shikamooo?
@blackjbeauty547
@blackjbeauty547 4 жыл бұрын
Aboud Msonde maana yake nipo chini ya miguu yako
@aboudmsonde886
@aboudmsonde886 4 жыл бұрын
@@blackjbeauty547 shukrani tena ili kuwa unamshika kichwa kwa hiyo mtu kimwambia Mkubwa heshima yako yuko sahihi tu
@mtembezikipara8623
@mtembezikipara8623 4 жыл бұрын
ayo tv nitafuteni na mm nitoe historia ya maisha yangu
@robbyissack8575
@robbyissack8575 4 жыл бұрын
Hapo kwa kamera nimependa,mzee anapenda technology
@fionachilunda8114
@fionachilunda8114 4 жыл бұрын
Ni Jasusi wa technoljia aliesoma Israel-
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 4 жыл бұрын
Baba akiwa kiongozi bora hata watoto hufuata nyao za baba blées @Millard Ayo
@onesmomwegoha5681
@onesmomwegoha5681 4 жыл бұрын
Alichozungumza Mheshimiwa kuhusu namna gani waziri na Mbunge wanadai maendeleo ya majimbo yao bungeni ni elimu kubwa sana na ni muhimu sana kwa raia. Sijui kwanini hadi leo elimu hiyo ilikuwa haijatolewa. Anyway, Mheshimiwa yuko vizuri.
@greatmangii
@greatmangii 4 жыл бұрын
mzee anapenda sana technology kweli kulingana na ulimwengu wa sasa muhimu sana
@daudimpulumba6742
@daudimpulumba6742 4 жыл бұрын
Salut kitwanga we ni baharia
@davidmbunda2017
@davidmbunda2017 4 жыл бұрын
Tunakupenda tunakukubali na tunakusubiri misungwi
@kimeabaraka3795
@kimeabaraka3795 4 жыл бұрын
Drones🙌🙌🙌🙌 salute
@evaristamos4537
@evaristamos4537 Жыл бұрын
Niliwahi kufika kwake .....
@mwanamutemi
@mwanamutemi 4 жыл бұрын
Huyu bwana ni asset kubwa kwa serikali ya Tanzania lakini mawazo yangu ni kwamba Serikali ya Magufuli haitomtaka kabisa sababu yote anayo yaona ataonekana kama atampiku Magufuli.
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 жыл бұрын
Sio kweli, unajua ni Nini kinaendelea kuhusu mchango wake kwa Taifa?
@bundukitv1322
@bundukitv1322 4 жыл бұрын
Huyu DULA TZA, vido vidox na Godfrey yule wa Arusha. Hapa ayo umepata watangazaji aisee wakiongozwa na wewe mwenye MILLARD AYO
@tgeofrey
@tgeofrey 4 жыл бұрын
Amesoma Same Secondary
@Watema23
@Watema23 4 жыл бұрын
Mzee wangu hiyo unayosema inaendelea samba na maswala ya public policies, ila sijuwi ikiwa vio kama university of Dar es Salama kuna major ya public policy ?
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Mtangazaji kijinoa kweli kwel back ground sound yenyew inasound good 😊
@godfreymhumba6163
@godfreymhumba6163 4 жыл бұрын
Munira Ahmed yes he’s growing
@ababuumwanazanzibar4908
@ababuumwanazanzibar4908 4 жыл бұрын
Safiiii Kitwanga
@saladaniel9274
@saladaniel9274 4 жыл бұрын
Yaani huyu mh ni mcheshi Nilibahatika kukaa nae cku moja nyumbani kwa Mr and Mrs ndaki /mwanagti kiukweli nilifurahi sana
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Dah hapo ni kwake? Hongera sn utafikiri hoteli
@mkundemsuya2504
@mkundemsuya2504 4 жыл бұрын
💪🏻💪🏻
@hundamaniamania872
@hundamaniamania872 4 жыл бұрын
Big up kitwanga aka 3stones
@fastmedia6881
@fastmedia6881 4 жыл бұрын
asante
@rogersmwaik3023
@rogersmwaik3023 4 жыл бұрын
Brains
@adammaro7836
@adammaro7836 4 жыл бұрын
Wewe Bwana mdogo huyo ana umri wa Baba yako.Sema shikamoo mzee au shilamoo mheshimiwa.Sasa sunaposema ''HESHIMA YAKO'' hiyo ni ya wapi?..
@mayalajames5541
@mayalajames5541 4 жыл бұрын
Hakika
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 4 жыл бұрын
Kwani nini maana ya "shkamoo"
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 жыл бұрын
@@salymkitumbika8644 Niko chini ya miguu yako
@vivianrichard9096
@vivianrichard9096 4 жыл бұрын
Sound effects ziko vzr
@dastunluswaga5182
@dastunluswaga5182 4 жыл бұрын
Kwan mzee wa chupa anaumwa mbona anatembea ki-TBL
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 4 жыл бұрын
Ndiyo shida ya pombe
@maxmaxmo5545
@maxmaxmo5545 4 жыл бұрын
Kwani pombe dhambi?
@mashimbazephania3511
@mashimbazephania3511 4 жыл бұрын
Et anatembea kama nni?
@sekelawilliam3057
@sekelawilliam3057 4 жыл бұрын
😄
@markogpson9208
@markogpson9208 4 жыл бұрын
Ushubwada tu mnaongea hap amjielewi kwel
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 4 жыл бұрын
Nyumbani kwake wapi?
@mukayamukama3123
@mukayamukama3123 4 жыл бұрын
Njoo uchukue habari kwangu
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 66 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН
MBUNGE EASTER MATIKO AONYESHA NYUMBA YAKE YA DAR
7:25
Millard Ayo
Рет қаралды 693 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН