Рет қаралды 2,530
Bondia Juma Choki ndani ya kipindi cha Vitasa Njye Ulingo siku tatu baada ya kushinda pambano lake dhidi ya Nasibu Ramadhan kwenye #DarBoxingDerby
Choki akiwa na Aidan Mlimila amefunguka jinsi alivyoshinda pambano hilo na mbinu alizotumia
#VitasaNjeYaUlingo ni kila Jumanne saa 1:30 usiku #AzamSports3HD