Daktari mm Nina kizunguzungu kikali Sana kichwa kinaishiwa nguvu kabisa na kinayumba chenyewe mishipa inakaza,macho yanauma sioni vzr
@happyadam83018 ай бұрын
Ww ni mim kinakua kizito mpk macho yanauma
@philemonrichard8082 Жыл бұрын
Doctor mm kichwaa kinauma hii niwiki ya pili na mwili huchoka sana nakuwa najoto jingi hasa wakati was usiku
@EmpireMoviesNseries2 ай бұрын
Bro hujapima
@shebe25737 күн бұрын
Kama mimi
@abdikarimmohammed2053 жыл бұрын
Daktari tafathali mm naumwa sana na kichwa almost 7 years mpka sai nimezoe dawa na kama sijakula inaniuma sana utaweza nisaidia aje tafathal niko nairobi
@jeniferemmanuel42512 жыл бұрын
Pole sana ata kuva best Friend angu Ana ttzo hili nahittaj kumsaidia
@lilianjoshua4773 жыл бұрын
Me kichwa kinaniuma kama vichomi vinavyochoma kwenye meno na masikio Sana kila mara lkn hasa nikipata stress
@shomaryzonga49022 жыл бұрын
Nashida docta naomba namba nikueleze
@mchambuzi90893 жыл бұрын
Towen huo wimbo unatuketea keroooooooooo. Kma tuko Club
@neemaeppah29923 жыл бұрын
Jamani aliyepona na tatizo la kichwa aje atusaidie na sisi
@samweldiamond5024 жыл бұрын
Docta namba zako nimuhim kwetu cc wagonjwa
@saphiagimmy2050 Жыл бұрын
Mimi naitaji msaada wako doctor kichwa kinaniuma kwenye utosi hadi kwenye USO kama nikifanya mazoezi kinaniuma kama mawenge
@abubakarihamisikawambwa2465 Жыл бұрын
Na mimi pia hivo ulipata tiba
@HappyElias-js8mx7 ай бұрын
Namimi hivyo mmepata tiba wenzangu
@ummusalim50882 жыл бұрын
Toenii miziki inakeraa
@bamburisundayschoolchurchb48614 жыл бұрын
Doctor Mimi yangu imefura kwa komo gafla, baada ya kupaka dai kwa nywele
@lovederyare67564 жыл бұрын
Dct me nna swali niliandikiwa dozi ya power safe cndano 7 ila baada ya kuanza kuchoma hizo cndano mpk na amaliza kichwa kinauma tu sas hv nna siku ya 3 toka nimalize cndano lakin bado kinauma tu
@Swafia-Abdallah83 жыл бұрын
Doctor mimi Niko na Shida ya kuumwa na kichwa upande wa kushoto,at the centre
@dainesdaudi56832 жыл бұрын
Jaman msaada wenu kichwa kinaniuma sana nimesha angaika sana
@provianmandago5443 Жыл бұрын
Naomba kujua maumivu ya kichwa yanayoambatana na homa
@khadijasalum1323 жыл бұрын
Dokta nimekuelewa Sana shukran
@cgko39294 жыл бұрын
dakitari naunwa sana na kichwa pande moja shida ninini
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
We kam mm kuzunguk jicho la kulia kwa ndan mmmh ad ninywe vasograin sa sijui shid ni jicho
@user-rk2ci1zb7w3 ай бұрын
@@faidhamyovela179kama mm umetumia nn ukapona yaani sina raha ikifika asubuhi
@faidhamyovela1793 ай бұрын
@@user-rk2ci1zb7w kipanda uso iko ila ukimywa vasograin kinaachia mm kinarudig baad ya miez au mwezi hiv
@atarasilahyera1929Ай бұрын
Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho
@ndeshfosekaaya9 ай бұрын
Docta mimi niko arusha naumwa sana mishipa ya kichwa piresha hilipanda kichwani
@songorajackson67575 жыл бұрын
Dr mi kichwa mi nina shida ya kichwa no zangu
@godfreymwamaso24242 жыл бұрын
Dr please naomba namba yako mimi kichwa kinanisumbua sana Ni mwaka wa nne naomba unisaidie please
@zuhuramike13993 жыл бұрын
Naomba no yenyu
@lovederyare67564 жыл бұрын
Kichwa kinauma sana sana upande wa kulia mbele na nyuma
@officialmseleengineering2 жыл бұрын
Mambo
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
tupo wengi
@abubakarihamisikawambwa2465 Жыл бұрын
Ulipata tiba mm pia bado nasumbuliwa ??
@annawilliam3473 ай бұрын
Duuh mi mpaka naogopa
@fadhilahzuberi4116 Жыл бұрын
Tatizo mnaogea tu hamtoi namba hiyo ndio shida yenu
@dorahmushi-we6ts Жыл бұрын
Na ukiuliza maswali Dr hajibu! Dr tunaomba itusaidie Kwa kutujibu maswali yetu...jamani kichwa kinauma vibayaaaa
@NasibuFikiri-de5bu9 ай бұрын
Nammm kichwa kinauma pand zot
@michaelmshani36654 жыл бұрын
Doctor kweli unayo ongea kwamba madaktari wengi awafati historia ya mgonjwa
@user-bo4be2yq8x3 ай бұрын
Doctor habari mm Nina shida na mttz y kichwa MN kinanikaza sana mbele ya uso mpka nyuma lkn juu kinauma lkn maumvu yk kwa mbli ss ttz nn
@mtatatvshow10443 жыл бұрын
Dokta mimi naumwa nakichwa kwenye kisogo sijui tatizo nini
@MamaRujahna-qc6em9 ай бұрын
Doctor naumwa Sana kichwa na miaka 20 tu nikienda hospital wananipima uti na wingi wa damu lakini tatizo bado haliishi
@akhtarrashid77934 жыл бұрын
Doctor mie naumwa na kichwa hii week nshachumwa sindano mbili za maumivu lakin bado kinauma
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
JAMAN NAOMBEN NAMBA YA HUYU DOCTOR PLZ😭😭😭😭😭
@priva74212 жыл бұрын
Samahan doctor Mimi mishipa ya kichwa unaniuma shida itakua ni Nini?
@NadiaJuma-en8sr7 ай бұрын
Mimi nimichale yamjicho laupande umoja
@Nfffff2 жыл бұрын
Doctor naomba number yako mmangu ana tatizo la kichwa tafadhali xana ajiwezi kwa ssa wallahi nisaidie
@gladnessterry24652 жыл бұрын
Doctor huo wimbo jamn toeni hatusikii
@aminashabani4586 Жыл бұрын
Doc,mbona nahisi ndani ya kichwa changu kuna tembea wadudu upande wa kulia ,baada ya hapo kichwa changu kinauma cana ,shida ni Nini doctor nisaidie
@SamiraNifashasssc-vn9bx7 ай бұрын
Ilotatizo linasumbuwa kabisa atamimi niivio naisi kama wa dudu wanatembea
@latifakalunde35653 жыл бұрын
Kichwa kinanisumbua sana kama.kinawaka moto jaman sijui shida nini ,hakipoi na kuna muda Kama nawaka moto
@SofiaSofia-fq8qy6 ай бұрын
Tatizo lako kama langu vp ulipona
@susanayiean49545 жыл бұрын
Dr t afadhali naomba number Yako niko na Shida ya kichwa
@hemedsabuni38695 жыл бұрын
Dr.naomba namba yako kichwa change kinasumbua
@theclamassewe36293 жыл бұрын
Daktari namba yako tafadhali tuandikie tupate hata maelekezo kidogo tafadhali
@fatumahamis42573 жыл бұрын
Hujambo daktari,Mie nimeumwa na kichwa SASA week2 tafadhali nielekeze doctor.
@mercyhealthcare56953 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@salminmabrouk5433 Жыл бұрын
@@mercyhealthcare5695 Hello
@salminmabrouk5433 Жыл бұрын
@@mercyhealthcare5695 Nataka kuonana na doct wa kichwa nifanyeje
@mariammuya51777 ай бұрын
Naomba no ya doctor 11:07
@aishaaboubakar71476 жыл бұрын
me dokt kinaniuma kichwa sana nahic km mishipa inanibana sana kichwa kizima hd shingo yote ht kuongea najickia shida sana. sa sijui utanishaur vp.
@sweetheartschannel71206 жыл бұрын
Nazani aisha tatzo lako ni kama langu vipi hadi saiv umefanikiwa kama umefanikiwa nielekeze namm mana nimemaliza tiba zote sijafanikiwa bado
@sweetheartschannel71206 жыл бұрын
Aisha Aboubakar
@sweetheartschannel71206 жыл бұрын
Aisha Aboubakar namba yangu hii hapo kama unatumia WhatsApp nitafte +255779804000
@emmanuelkigola79556 жыл бұрын
Aisha Aboubakar mambo vipi hata mm nasumbuliwa na kichwa sjui.tatzo nn
@emmanuelkigola79556 жыл бұрын
sweethearts channel ww kina mda gani toka kianze kuuma
@husnamushi11635 жыл бұрын
Mimi kichwa kinanitesa mno doctor mpka nakosa amani yaani mnoooo mpk nais kuchangnyikiwa
@mercyhealthcare56953 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@raidenmaverick81913 жыл бұрын
I realize I am quite off topic but does anybody know of a good place to stream new series online?
@cadetate30233 жыл бұрын
@Raiden Maverick try flixzone. Just search on google for it :)
@jaxxonleighton41053 жыл бұрын
@Cade Tate Yea, I've been watching on Flixzone for years myself :D
@raidenmaverick81913 жыл бұрын
@Cade Tate Thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there :D Appreciate it!
@khadijayussufsaid1343 жыл бұрын
Mi nakaa naumw n kichw upand mmj c maumiv makal bali upand huu huu nahc km kun kitu kinanikandamiza nahc km kit
@suhmkondela98633 жыл бұрын
Umepona na nn
@HappnassMasatu3 ай бұрын
Namba zako doctar plz
@emanuelmacha98274 жыл бұрын
Doctor ninatatizo lakuumwa kichwa upande mmoja wakushoto je kunatatizo gani au nitumie dawa gani
@najmagoa47274 жыл бұрын
Mambo broo alikupa no zake dokta
@najmagoa47274 жыл бұрын
Mambo broo alikupa no zake dokta
@najmagoa47274 жыл бұрын
Mm dokta niko na meno yauma wiki mbili sasa na kichwa nacho pia nakisikia kizito nimemeza dawa lakini wapi
@mercyhealthcare56953 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@malkhamwinyi42462 жыл бұрын
Doctor mi mjamzito miez mitatu ila naumwa sana kichwa vp apo
@user-im4xo5eo3x4 ай бұрын
Samahan doctor naomba namba yako nnashida sana naomba unisaidie
@zuenasaimon22243 жыл бұрын
Docter mi kichwa kinaniuma upande wa nyuma, macho mpaka kifua kinaniuma naomba unisaidie
@mercyhealthcare56953 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@ludoviclimo41533 жыл бұрын
Mimi nasikia nachomwa namisumari kichwani ninini?
@najmagoa47274 жыл бұрын
Dokta tupe namba yako
@magrethmichael2426 Жыл бұрын
Mnapatikana wapi
@rosyotieno72713 жыл бұрын
Dr naomba namba
@innocentmugunda33693 жыл бұрын
Jana nimeamka kichwa kinauma sana upande wa kulia na iliambatana na maumivu upande huo huo tatizo n nn
@veronicadiwani60223 жыл бұрын
Na mm hvyo hvyo hapa hata kazi imenishinda nimelala tu
@neypeter49083 жыл бұрын
Hats mim
@rosenjau35766 жыл бұрын
dokta me kichwa kinawaka noto utosini na saa nyingine nasikia ganzi kichwa kizima shida ni ni dokta naitaj msaada
Mi naumwa Kama wewe vip umepata matibabu na mm unisaidie
@loveneselia30703 жыл бұрын
Ata mm jaman tena adi mishipa
@theclamassewe36293 жыл бұрын
Dokta baba angu alipata stroke miaka minne nyuma, alitibiwa akawa anaendelea vizuri kabisa hadi akawa anaweza kutembea mwenyewe lkn saivi anasumbuliwa sana na kichwa mfululizo yaani akipoi kila akipimwa tatizo alionekani anapewa dawa za maumivu tuu lkn hazisaidii, tunashindwa kufika muhimbili sababu ya hali uchumi, kapimwa hadi site scanner lkn hamna kitu....
@mercyhealthcare56953 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@yusrat11412 жыл бұрын
Yani me Sina lakuongea nateseka sana nakichwa DOCTAR tusaidie
@safiam52853 жыл бұрын
Mziki haina haja inakera
@tabudominick92196 жыл бұрын
dokta mie sikio linauma saana
@anchortechnicx50145 жыл бұрын
Wewe unatatzo kama langu
@mercyhealthcare56953 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@kidotjames9227 жыл бұрын
Doctor mimi kichwa kina niuma sana Hali hii imetokea wakati napika chakula nikaanza kujiskia kizungu zangu mpaka sasa najiskia hivyo chini ya kitovu Pana kuwa kama panawaka moto
@emmanuelmtaita24606 жыл бұрын
Kidot James pole sana
@RahmaRahma-ie6ey2 жыл бұрын
Sahani Dokta pole na kazii samahani naomba unitumie namba yako kwanjia ya Wasap Mimi sipo Tanzania ilinikueleze vizuri
@ndeshfosekaaya9 ай бұрын
Nifanyeje?nipone
@MariamOmari-mj3te5 ай бұрын
Tunaomba namba yako naumwa nakichwa sana
@thomasshija11352 жыл бұрын
gharama yenu ya vipimo
@z.nalnabhani71943 жыл бұрын
Doctor husomi comment
@rabinzsinoya81604 жыл бұрын
Doctor mimi ninamatatizo ya kichwa naomba tuwasiliane kwa number hii araka iwezekanavyo, 0788 03 79 79
@saidbonge30335 жыл бұрын
doctor naomba namba yako
@godfreyedgar41125 жыл бұрын
Dr . Nakuomba nipigie kwenye namba0785-440-125 Nina shida
@daatydagharo77005 жыл бұрын
Jamn ninapata maumivu ya ndani ya kichwa tena kuna wakati kama nasikia maumivu haya yana move yaani kama vile mafuta yakimwagika yanavyotambaa kwenye sementi. Dr naomba nisaidie hii ni mini na tuba take ni nn?
@samweldiamond5024 жыл бұрын
Daaty Dagharo tatizo lako linafanana na langu tuungane tujue tunasaidiane vip