MEDICOUNTER EPS 10: MAUMIVU YA KICHWA

  Рет қаралды 50,327

Azam TV

Azam TV

7 жыл бұрын

Пікірлер: 137
@issasamson8909
@issasamson8909 Жыл бұрын
Daktari mm Nina kizunguzungu kikali Sana kichwa kinaishiwa nguvu kabisa na kinayumba chenyewe mishipa inakaza,macho yanauma sioni vzr
@happyadam8301
@happyadam8301 8 ай бұрын
Ww ni mim kinakua kizito mpk macho yanauma
@philemonrichard8082
@philemonrichard8082 Жыл бұрын
Doctor mm kichwaa kinauma hii niwiki ya pili na mwili huchoka sana nakuwa najoto jingi hasa wakati was usiku
@EmpireMoviesNseries
@EmpireMoviesNseries 2 ай бұрын
Bro hujapima
@shebe2573
@shebe2573 7 күн бұрын
Kama mimi
@abdikarimmohammed205
@abdikarimmohammed205 3 жыл бұрын
Daktari tafathali mm naumwa sana na kichwa almost 7 years mpka sai nimezoe dawa na kama sijakula inaniuma sana utaweza nisaidia aje tafathal niko nairobi
@jeniferemmanuel4251
@jeniferemmanuel4251 2 жыл бұрын
Pole sana ata kuva best Friend angu Ana ttzo hili nahittaj kumsaidia
@lilianjoshua477
@lilianjoshua477 3 жыл бұрын
Me kichwa kinaniuma kama vichomi vinavyochoma kwenye meno na masikio Sana kila mara lkn hasa nikipata stress
@shomaryzonga4902
@shomaryzonga4902 2 жыл бұрын
Nashida docta naomba namba nikueleze
@mchambuzi9089
@mchambuzi9089 3 жыл бұрын
Towen huo wimbo unatuketea keroooooooooo. Kma tuko Club
@neemaeppah2992
@neemaeppah2992 3 жыл бұрын
Jamani aliyepona na tatizo la kichwa aje atusaidie na sisi
@samweldiamond502
@samweldiamond502 4 жыл бұрын
Docta namba zako nimuhim kwetu cc wagonjwa
@saphiagimmy2050
@saphiagimmy2050 Жыл бұрын
Mimi naitaji msaada wako doctor kichwa kinaniuma kwenye utosi hadi kwenye USO kama nikifanya mazoezi kinaniuma kama mawenge
@abubakarihamisikawambwa2465
@abubakarihamisikawambwa2465 Жыл бұрын
Na mimi pia hivo ulipata tiba
@HappyElias-js8mx
@HappyElias-js8mx 7 ай бұрын
Namimi hivyo mmepata tiba wenzangu
@ummusalim5088
@ummusalim5088 2 жыл бұрын
Toenii miziki inakeraa
@bamburisundayschoolchurchb4861
@bamburisundayschoolchurchb4861 4 жыл бұрын
Doctor Mimi yangu imefura kwa komo gafla, baada ya kupaka dai kwa nywele
@lovederyare6756
@lovederyare6756 4 жыл бұрын
Dct me nna swali niliandikiwa dozi ya power safe cndano 7 ila baada ya kuanza kuchoma hizo cndano mpk na amaliza kichwa kinauma tu sas hv nna siku ya 3 toka nimalize cndano lakin bado kinauma tu
@Swafia-Abdallah8
@Swafia-Abdallah8 3 жыл бұрын
Doctor mimi Niko na Shida ya kuumwa na kichwa upande wa kushoto,at the centre
@dainesdaudi5683
@dainesdaudi5683 2 жыл бұрын
Jaman msaada wenu kichwa kinaniuma sana nimesha angaika sana
@provianmandago5443
@provianmandago5443 Жыл бұрын
Naomba kujua maumivu ya kichwa yanayoambatana na homa
@khadijasalum132
@khadijasalum132 3 жыл бұрын
Dokta nimekuelewa Sana shukran
@cgko3929
@cgko3929 4 жыл бұрын
dakitari naunwa sana na kichwa pande moja shida ninini
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
We kam mm kuzunguk jicho la kulia kwa ndan mmmh ad ninywe vasograin sa sijui shid ni jicho
@user-rk2ci1zb7w
@user-rk2ci1zb7w 3 ай бұрын
@@faidhamyovela179kama mm umetumia nn ukapona yaani sina raha ikifika asubuhi
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 3 ай бұрын
@@user-rk2ci1zb7w kipanda uso iko ila ukimywa vasograin kinaachia mm kinarudig baad ya miez au mwezi hiv
@atarasilahyera1929
@atarasilahyera1929 Ай бұрын
Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho
@ndeshfosekaaya
@ndeshfosekaaya 9 ай бұрын
Docta mimi niko arusha naumwa sana mishipa ya kichwa piresha hilipanda kichwani
@songorajackson6757
@songorajackson6757 5 жыл бұрын
Dr mi kichwa mi nina shida ya kichwa no zangu
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 2 жыл бұрын
Dr please naomba namba yako mimi kichwa kinanisumbua sana Ni mwaka wa nne naomba unisaidie please
@zuhuramike1399
@zuhuramike1399 3 жыл бұрын
Naomba no yenyu
@lovederyare6756
@lovederyare6756 4 жыл бұрын
Kichwa kinauma sana sana upande wa kulia mbele na nyuma
@officialmseleengineering
@officialmseleengineering 2 жыл бұрын
Mambo
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
tupo wengi
@abubakarihamisikawambwa2465
@abubakarihamisikawambwa2465 Жыл бұрын
Ulipata tiba mm pia bado nasumbuliwa ??
@annawilliam347
@annawilliam347 3 ай бұрын
Duuh mi mpaka naogopa
@fadhilahzuberi4116
@fadhilahzuberi4116 Жыл бұрын
Tatizo mnaogea tu hamtoi namba hiyo ndio shida yenu
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Жыл бұрын
Na ukiuliza maswali Dr hajibu! Dr tunaomba itusaidie Kwa kutujibu maswali yetu...jamani kichwa kinauma vibayaaaa
@NasibuFikiri-de5bu
@NasibuFikiri-de5bu 9 ай бұрын
Nammm kichwa kinauma pand zot
@michaelmshani3665
@michaelmshani3665 4 жыл бұрын
Doctor kweli unayo ongea kwamba madaktari wengi awafati historia ya mgonjwa
@user-bo4be2yq8x
@user-bo4be2yq8x 3 ай бұрын
Doctor habari mm Nina shida na mttz y kichwa MN kinanikaza sana mbele ya uso mpka nyuma lkn juu kinauma lkn maumvu yk kwa mbli ss ttz nn
@mtatatvshow1044
@mtatatvshow1044 3 жыл бұрын
Dokta mimi naumwa nakichwa kwenye kisogo sijui tatizo nini
@MamaRujahna-qc6em
@MamaRujahna-qc6em 9 ай бұрын
Doctor naumwa Sana kichwa na miaka 20 tu nikienda hospital wananipima uti na wingi wa damu lakini tatizo bado haliishi
@akhtarrashid7793
@akhtarrashid7793 4 жыл бұрын
Doctor mie naumwa na kichwa hii week nshachumwa sindano mbili za maumivu lakin bado kinauma
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
JAMAN NAOMBEN NAMBA YA HUYU DOCTOR PLZ😭😭😭😭😭
@priva7421
@priva7421 2 жыл бұрын
Samahan doctor Mimi mishipa ya kichwa unaniuma shida itakua ni Nini?
@NadiaJuma-en8sr
@NadiaJuma-en8sr 7 ай бұрын
Mimi nimichale yamjicho laupande umoja
@Nfffff
@Nfffff 2 жыл бұрын
Doctor naomba number yako mmangu ana tatizo la kichwa tafadhali xana ajiwezi kwa ssa wallahi nisaidie
@gladnessterry2465
@gladnessterry2465 2 жыл бұрын
Doctor huo wimbo jamn toeni hatusikii
@aminashabani4586
@aminashabani4586 Жыл бұрын
Doc,mbona nahisi ndani ya kichwa changu kuna tembea wadudu upande wa kulia ,baada ya hapo kichwa changu kinauma cana ,shida ni Nini doctor nisaidie
@SamiraNifashasssc-vn9bx
@SamiraNifashasssc-vn9bx 7 ай бұрын
Ilotatizo linasumbuwa kabisa atamimi niivio naisi kama wa dudu wanatembea
@latifakalunde3565
@latifakalunde3565 3 жыл бұрын
Kichwa kinanisumbua sana kama.kinawaka moto jaman sijui shida nini ,hakipoi na kuna muda Kama nawaka moto
@SofiaSofia-fq8qy
@SofiaSofia-fq8qy 6 ай бұрын
Tatizo lako kama langu vp ulipona
@susanayiean4954
@susanayiean4954 5 жыл бұрын
Dr t afadhali naomba number Yako niko na Shida ya kichwa
@hemedsabuni3869
@hemedsabuni3869 5 жыл бұрын
Dr.naomba namba yako kichwa change kinasumbua
@theclamassewe3629
@theclamassewe3629 3 жыл бұрын
Daktari namba yako tafadhali tuandikie tupate hata maelekezo kidogo tafadhali
@fatumahamis4257
@fatumahamis4257 3 жыл бұрын
Hujambo daktari,Mie nimeumwa na kichwa SASA week2 tafadhali nielekeze doctor.
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 Жыл бұрын
@@mercyhealthcare5695 Hello
@salminmabrouk5433
@salminmabrouk5433 Жыл бұрын
@@mercyhealthcare5695 Nataka kuonana na doct wa kichwa nifanyeje
@mariammuya5177
@mariammuya5177 7 ай бұрын
Naomba no ya doctor 11:07
@aishaaboubakar7147
@aishaaboubakar7147 6 жыл бұрын
me dokt kinaniuma kichwa sana nahic km mishipa inanibana sana kichwa kizima hd shingo yote ht kuongea najickia shida sana. sa sijui utanishaur vp.
@sweetheartschannel7120
@sweetheartschannel7120 6 жыл бұрын
Nazani aisha tatzo lako ni kama langu vipi hadi saiv umefanikiwa kama umefanikiwa nielekeze namm mana nimemaliza tiba zote sijafanikiwa bado
@sweetheartschannel7120
@sweetheartschannel7120 6 жыл бұрын
Aisha Aboubakar
@sweetheartschannel7120
@sweetheartschannel7120 6 жыл бұрын
Aisha Aboubakar namba yangu hii hapo kama unatumia WhatsApp nitafte +255779804000
@emmanuelkigola7955
@emmanuelkigola7955 6 жыл бұрын
Aisha Aboubakar mambo vipi hata mm nasumbuliwa na kichwa sjui.tatzo nn
@emmanuelkigola7955
@emmanuelkigola7955 6 жыл бұрын
sweethearts channel ww kina mda gani toka kianze kuuma
@husnamushi1163
@husnamushi1163 5 жыл бұрын
Mimi kichwa kinanitesa mno doctor mpka nakosa amani yaani mnoooo mpk nais kuchangnyikiwa
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@raidenmaverick8191
@raidenmaverick8191 3 жыл бұрын
I realize I am quite off topic but does anybody know of a good place to stream new series online?
@cadetate3023
@cadetate3023 3 жыл бұрын
@Raiden Maverick try flixzone. Just search on google for it :)
@jaxxonleighton4105
@jaxxonleighton4105 3 жыл бұрын
@Cade Tate Yea, I've been watching on Flixzone for years myself :D
@raidenmaverick8191
@raidenmaverick8191 3 жыл бұрын
@Cade Tate Thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there :D Appreciate it!
@khadijayussufsaid134
@khadijayussufsaid134 3 жыл бұрын
Mi nakaa naumw n kichw upand mmj c maumiv makal bali upand huu huu nahc km kun kitu kinanikandamiza nahc km kit
@suhmkondela9863
@suhmkondela9863 3 жыл бұрын
Umepona na nn
@HappnassMasatu
@HappnassMasatu 3 ай бұрын
Namba zako doctar plz
@emanuelmacha9827
@emanuelmacha9827 4 жыл бұрын
Doctor ninatatizo lakuumwa kichwa upande mmoja wakushoto je kunatatizo gani au nitumie dawa gani
@najmagoa4727
@najmagoa4727 4 жыл бұрын
Mambo broo alikupa no zake dokta
@najmagoa4727
@najmagoa4727 4 жыл бұрын
Mambo broo alikupa no zake dokta
@najmagoa4727
@najmagoa4727 4 жыл бұрын
Mm dokta niko na meno yauma wiki mbili sasa na kichwa nacho pia nakisikia kizito nimemeza dawa lakini wapi
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@malkhamwinyi4246
@malkhamwinyi4246 2 жыл бұрын
Doctor mi mjamzito miez mitatu ila naumwa sana kichwa vp apo
@user-im4xo5eo3x
@user-im4xo5eo3x 4 ай бұрын
Samahan doctor naomba namba yako nnashida sana naomba unisaidie
@zuenasaimon2224
@zuenasaimon2224 3 жыл бұрын
Docter mi kichwa kinaniuma upande wa nyuma, macho mpaka kifua kinaniuma naomba unisaidie
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@ludoviclimo4153
@ludoviclimo4153 3 жыл бұрын
Mimi nasikia nachomwa namisumari kichwani ninini?
@najmagoa4727
@najmagoa4727 4 жыл бұрын
Dokta tupe namba yako
@magrethmichael2426
@magrethmichael2426 Жыл бұрын
Mnapatikana wapi
@rosyotieno7271
@rosyotieno7271 3 жыл бұрын
Dr naomba namba
@innocentmugunda3369
@innocentmugunda3369 3 жыл бұрын
Jana nimeamka kichwa kinauma sana upande wa kulia na iliambatana na maumivu upande huo huo tatizo n nn
@veronicadiwani6022
@veronicadiwani6022 3 жыл бұрын
Na mm hvyo hvyo hapa hata kazi imenishinda nimelala tu
@neypeter4908
@neypeter4908 3 жыл бұрын
Hats mim
@rosenjau3576
@rosenjau3576 6 жыл бұрын
dokta me kichwa kinawaka noto utosini na saa nyingine nasikia ganzi kichwa kizima shida ni ni dokta naitaj msaada
@tanzaniangirl1980
@tanzaniangirl1980 5 жыл бұрын
Tatizo lako ndo tatizo nililo nalo
@gracekikonda7628
@gracekikonda7628 5 жыл бұрын
DOKTA.mwanangu.anasumburiwa.na.kichwaa.marakwamara .akirudi.shure.macho.anasema.yanauma.na.kichwa.naomba.ushauri.wenu
@gracekikonda7628
@gracekikonda7628 5 жыл бұрын
DOKTA.naomba.msaada.wa.namba
@dahappy5879
@dahappy5879 4 жыл бұрын
Mi naumwa Kama wewe vip umepata matibabu na mm unisaidie
@loveneselia3070
@loveneselia3070 3 жыл бұрын
Ata mm jaman tena adi mishipa
@theclamassewe3629
@theclamassewe3629 3 жыл бұрын
Dokta baba angu alipata stroke miaka minne nyuma, alitibiwa akawa anaendelea vizuri kabisa hadi akawa anaweza kutembea mwenyewe lkn saivi anasumbuliwa sana na kichwa mfululizo yaani akipoi kila akipimwa tatizo alionekani anapewa dawa za maumivu tuu lkn hazisaidii, tunashindwa kufika muhimbili sababu ya hali uchumi, kapimwa hadi site scanner lkn hamna kitu....
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@yusrat1141
@yusrat1141 2 жыл бұрын
Yani me Sina lakuongea nateseka sana nakichwa DOCTAR tusaidie
@safiam5285
@safiam5285 3 жыл бұрын
Mziki haina haja inakera
@tabudominick9219
@tabudominick9219 6 жыл бұрын
dokta mie sikio linauma saana
@anchortechnicx5014
@anchortechnicx5014 5 жыл бұрын
Wewe unatatzo kama langu
@mercyhealthcare5695
@mercyhealthcare5695 3 жыл бұрын
Nikusaidie +255 625 780 510
@kidotjames922
@kidotjames922 7 жыл бұрын
Doctor mimi kichwa kina niuma sana Hali hii imetokea wakati napika chakula nikaanza kujiskia kizungu zangu mpaka sasa najiskia hivyo chini ya kitovu Pana kuwa kama panawaka moto
@emmanuelmtaita2460
@emmanuelmtaita2460 6 жыл бұрын
Kidot James pole sana
@RahmaRahma-ie6ey
@RahmaRahma-ie6ey 2 жыл бұрын
Sahani Dokta pole na kazii samahani naomba unitumie namba yako kwanjia ya Wasap Mimi sipo Tanzania ilinikueleze vizuri
@ndeshfosekaaya
@ndeshfosekaaya 9 ай бұрын
Nifanyeje?nipone
@MariamOmari-mj3te
@MariamOmari-mj3te 5 ай бұрын
Tunaomba namba yako naumwa nakichwa sana
@thomasshija1135
@thomasshija1135 2 жыл бұрын
gharama yenu ya vipimo
@z.nalnabhani7194
@z.nalnabhani7194 3 жыл бұрын
Doctor husomi comment
@rabinzsinoya8160
@rabinzsinoya8160 4 жыл бұрын
Doctor mimi ninamatatizo ya kichwa naomba tuwasiliane kwa number hii araka iwezekanavyo, 0788 03 79 79
@saidbonge3033
@saidbonge3033 5 жыл бұрын
doctor naomba namba yako
@godfreyedgar4112
@godfreyedgar4112 5 жыл бұрын
Dr . Nakuomba nipigie kwenye namba0785-440-125 Nina shida
@daatydagharo7700
@daatydagharo7700 5 жыл бұрын
Jamn ninapata maumivu ya ndani ya kichwa tena kuna wakati kama nasikia maumivu haya yana move yaani kama vile mafuta yakimwagika yanavyotambaa kwenye sementi. Dr naomba nisaidie hii ni mini na tuba take ni nn?
@samweldiamond502
@samweldiamond502 4 жыл бұрын
Daaty Dagharo tatizo lako linafanana na langu tuungane tujue tunasaidiane vip
@loveneselia3070
@loveneselia3070 3 жыл бұрын
Sana
@jacquelinejemes6246
@jacquelinejemes6246 3 жыл бұрын
Ulimpata Doctor jamani
@jacquelinejemes6246
@jacquelinejemes6246 3 жыл бұрын
Naomba tuwasiliane
@daatydagharo7700
@daatydagharo7700 3 жыл бұрын
Mambo Jacqueline naomba tuwasiliane kwa email
@anithatheobardy5693
@anithatheobardy5693 5 жыл бұрын
Docta nicheki chenye no 0677968632 plz
@frankkibuga6514
@frankkibuga6514 5 жыл бұрын
docta nichek 0686556909
@fadhilahzuberi4116
@fadhilahzuberi4116 Жыл бұрын
Doctor kichwa changu kinawaka moto
@atarasilahyera1929
@atarasilahyera1929 Ай бұрын
Mimi kinauma kichwa upande mmoja ni Nini hicho
Kisunzi/Kizunguzungu (Dizziness)
10:03
Dr. Alamin Suleiman
Рет қаралды 10 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Basal Ganglia | Structure Function | Neuroanatomy | Dr Najeeb
2:27:34
Dr. Najeeb Lectures
Рет қаралды 1 МЛН
MEDICOUNTER EPS 11: SICKLE CELL
24:25
Azam TV
Рет қаралды 403
FAHAMU KUHUSU KIPIMO CHA CT SCAN
20:26
MUHIMBILI MLOGANZILA TV
Рет қаралды 1,1 М.
CHANZO CHA UGONJWA WA KISUKARI, FAHAMU TIBA YAKE YA ASILI...
7:31
Global TV Online
Рет қаралды 6 М.
JINSI YA KUEPUKA MATATIZO YA KICHWA NA MISHIPA YA FAHAMU
25:29
EIS Global Health and Education
Рет қаралды 2,6 М.
#TBC-MIALE TATIZO LA MISHIPA YA FAHAMU NA MATIBABU YAKE
29:28
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
0:51
兔子警官
Рет қаралды 69 МЛН
Тигра в команде Вафельки! А ты? 🐯#симбочка #тигра #симба
0:42
Waka waka #4 🤣 #shorts
0:15
Adani Family
Рет қаралды 4,1 МЛН
Today I finally understand that the three of you are a gang
0:14
昕昕一家人
Рет қаралды 22 МЛН
КАЧЕЛИ ИЗ АРБУЗА #юмор #cat #топ
0:33
Лайки Like
Рет қаралды 1,1 МЛН
Зачем он туда залез?
0:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 2,1 МЛН