Miongoni mwa magonjwa yanayohusiana na mfumo wa kusikia ni sauti ya kengele kwa wagonjwa. Medicounter inakueletea undani wa ugonjwa huo na tiba yake. Ungana na Dafrosa Prosper mpaka mwisho wa kipindi.
Пікірлер: 120
@magdarenananyiewa68153 жыл бұрын
Asante sana kwa Maelezo haya ila nataka kujua unapatikana wapi
@ernestmhinauttah2322 жыл бұрын
Shukran san mi hyo kengele ndo inanhusu ila tuamby gharama kabsaa tujipange tuje
@nivaleonard47333 жыл бұрын
Doctor please nimetafuta Sana hii kitu inayoitwa epglotitis kwa kiswahili sijapata naomba msaada wako
@abduljuma21473 жыл бұрын
Kweli sikio Ni sehemu sana najuta nimepoteza sikio langu la shoto nilipigwa ngumi kizembe tu Sasa nalihisi liko unormal naitaji usaidizi
@yonasjonas3495 Жыл бұрын
Thamahan Naomba unisaidie Namba za huy daktar
@rizikisimai51403 жыл бұрын
Naomba no ya doctor
@neemasuleiman71302 жыл бұрын
Asantee Sanaa kwamaelezo yako
@kheriathuman25984 жыл бұрын
Mimi ni mmoja wa ugonjwa huo naitaji namba za doctar plz
@doriceurassa56212 жыл бұрын
Mimi hzo kengel zmeanz mud huu Yan dokt napat shda Sana naomba no zake mwenye nazo Mana dawa nmetumia lakin bado naskia hzo mingurumo Yan mpk nakereka
@eliasifiwekileo81503 жыл бұрын
Naomba no za Dr jamani
@user-xq3xp2tj9b16 күн бұрын
Mm ilinianza baada ya kusikiliza mziki kwa muda mrefu
@aimeebusime5849 Жыл бұрын
Merci bcq
@haseanatnsanya20793 жыл бұрын
Mm sikio moja lauma mpaka kimeo chauma sana
@Denis_prudence5 ай бұрын
Namkubali sana huyu daktari
@khadijashabani968429 күн бұрын
Samahan nisaidie namba zake
@hellenbarnaba906923 күн бұрын
Dkt. Mimi ninatatizo Hilo pia naomba namba yako Dokta. Unipe ushauri. ubarikiwe Sana.
@gracetweve84854 жыл бұрын
Mngetupa namba Za dk jamani
@rosemkama66295 ай бұрын
Naomba number doctor
@prospermzee79183 жыл бұрын
Namba nnayo, ila siwezi kuweka hapa.ila huyu dr yupo hospital ya muhimbili ya mloganzila floor ya kwanza.omba kuonana na dr mfuko
@sakinahamza53252 жыл бұрын
Mm naitaj kk
@goodluckgabriel27632 жыл бұрын
Habar kaka naomba unisaidie no ya huyu dk nipo mkoani nina mgonjwa I'll niwasiliane niende
@enterenter7798 Жыл бұрын
Minaomba niandikie hizo dawa za kutibu sikio linolopiga kengele please
@phinajohn3559 Жыл бұрын
nitakuja dar kwaajil yake
@FadhilaAbrahman Жыл бұрын
Mm nko zanzbr naitaji no yke uyo doktr pleas
@EsterMkama-ni1rq29 күн бұрын
NaitwA esta hiyo Hali napitia
@zephaniazacharia5194 жыл бұрын
Nice topic
@mhemaegid34553 жыл бұрын
Namba ya Dr please
@JOSEPHINE7245 ай бұрын
How can I get in touch with you coz am suffering
@phinajohn3559 Жыл бұрын
Yan mim nilishapewa dawa bugando Kila mwez lak na zaidi lakn hakuna kitu hata unafuu robo hakuna nimechoka balaa
@festominani362111 ай бұрын
Hello! Ulishapata tiba? Niambie aise nateseka sana na hili tatizo
@mwanaishachonya6246Ай бұрын
Kuziba jino ndo chanzo cha ili tatizo
@ummyshee1310 Жыл бұрын
Naomba na doctor
@zakiamohamed76117 ай бұрын
Dakta naomba unisaidie cna tatizo la mashikio ila nimtu wakusafiri safiri kwa ndege nnapokuwa safarini nnakuwa naumwa sana na mashikio jee nijikinge nanini kuhusu hizi kelele nnazozickia nakuumwa namashikio
@batholomeokivamba6959Ай бұрын
Niko Arusha
@magrethparsalau21982 жыл бұрын
Mimi ni mjamzito miezii sita lakini napata hilo tatiz la mvumo maskioni kichwa kinauma sana mpaka shingo inashindwa kugeuka
@MwanaOgАй бұрын
Vp ndugu ulipona tatzo la maskio
@devaliant88684 жыл бұрын
Lini mtaiachia Azam TV app iwe hewani
@sophiahalfani1870 Жыл бұрын
Namba zako nazipataje
@heriethchristopher76632 жыл бұрын
Dr mm masiko yananguluma je nn shida?
@fareedatrash6653 жыл бұрын
mueke number za hawa dr hawa wa vipindi
@goodluckgabriel27632 жыл бұрын
Dk hupatikani kwa no hiyo tunakupataje
@user-bb5vo1jf3v7 ай бұрын
Dock samahan mm nipo mwanza nawapataje ninatatizo holo
@jovinkomba29084 жыл бұрын
best otolaryngologist you are the best DR.Godlove peter mfuko
@sarahbaltazari68993 жыл бұрын
Jamani napataje namba za dokta niko mkoani
@mesopallangyo35203 жыл бұрын
@@sarahbaltazari6899 ukipata namba ya Dr naiomba jamani Nina tatizo Tena la upande mmoja😌😌
@abdulalmas30503 жыл бұрын
Jamani me ni miongoni meao
@bahatimtenya40142 жыл бұрын
Huyo dr bado yupo mpaka sasa
@joycesaguda57511 ай бұрын
Sikio langu moja lina maumivu makali Sana likichachamaa hata dawa za maumivu znadunda naambulia kulia tu😢, na hasa likipulizwa na upepo au nikiwa kwenye sehemu ya baridi naumia Sana😢naomba msaada
@manxuleemikui38094 жыл бұрын
ahsant kwa elmu
@mesopallangyo35203 жыл бұрын
Dr.mimi sikio la upande mmoja ndio linapuliza napata shida mno
@fareedatrash6653 жыл бұрын
dr wa masikio nahitaji number yake
@shimafuad68683 жыл бұрын
Kwanini nembo ya Azam hua mnaiweka katikati? Inaziba iwekeni pembeni
@keanujayce3562 жыл бұрын
i know im asking the wrong place but does any of you know of a method to log back into an instagram account..? I was dumb lost the account password. I love any tricks you can give me.
@enterenter7798 Жыл бұрын
Sindio inawalipa jmn
@zakiamohamed76117 ай бұрын
Au nivae kitu gani mashikioni ili hizi sauti niczickie mpaka niweze kufika nnakoenda
@saumulyobe2158 Жыл бұрын
Mie nnasikia sikio moja na maumiv had kwenye kifuan
@angelpelkoneni26242 жыл бұрын
Mimi ninateseka sana na hizo kengele za masikio naomba namba za dokta
@user-xo4qc2hk4j3 ай бұрын
Jamani unapatikana wapi nashikwa na kichaa ,ukowapi
@angelpelkoneni26242 жыл бұрын
Naomba namba za dokta au utuelekeze mnapopatikana plz
@florianpango44872 жыл бұрын
Ahsante nimeelewa Mimi nasikia mvumo flani hivi vuuu
@janethjasson9958 Жыл бұрын
Yaani Kama Mimi tuu na sipati dawa
@salumawilson9580 Жыл бұрын
Asante unapatikana wap jaman
@NuratyAlly-lq7xc2 ай бұрын
Kama mimi
@gracejackson8810 Жыл бұрын
Doctor naomba namba yako nateseka sana na kelele za silio nahitaj Tiba
@festominani362111 ай бұрын
Hello ulishapata tiba?nateseka sana na kelele masikioni
@user-qk2jg2qy6l Жыл бұрын
Mimi nimepata tatizo ilo kwaajili ya kupigwa kofi upande wa kushoto
@rehmahamishamismkande43482 жыл бұрын
Doctor mimi hilo tatizo ni mara kwa mara naenda hospital wanasafisha baada ya muda mfupi inarudi tena
@masterdiv84942 жыл бұрын
Jaman elekezeni nadawa wengine atuna uwezo wakuja uko..nateseka sana nallo tatzo
@user-mi7vj3jh6w4 ай бұрын
Dokta ni saidie
@rosemkama66295 ай бұрын
Tunaomba number.
@user-tz3zf2rb7x9 ай бұрын
Dah
@florianpango44872 жыл бұрын
Mpo wapi muhimbili
@seifseif6812 жыл бұрын
Dokt mm nimetok kujifunguwa ila hichi kichwa chang mbona nakihis hivi kwanza naogopa mno ,nikisikiy mtu amekuf hofu naogop huyu mtoto wangu huwa namuogop halafu inanijiy nimpije na chini yaani hichi kichwa changu kama hakiko sawa
@user-xo4qc2hk4j3 ай бұрын
Uko hospitali Gani,,??????? Nimeteseka zaidi ya miaka 20 nikenele zakiaina
@malfredification3 ай бұрын
Uwe unaangalia vizuri mwanzo wa hii video kuna jina la Dk,Pili yeye mwenyewe ukisikiliza ameshasema yupo hospital gani,Tatu uwe unajitahidi kusoma comments maana kuna wengine wanakuwa wametoa msaada wa maelezo, huyu Dk yupo Hospital ya Muhimbili ya Mloganzila floor ya kwanza omba kuonana na Dr Goodlove Mfuko,Hope nimekusaidia!
@yakoubali4977 Жыл бұрын
mm masikio yanauma kwa ndani kama nameza mate yanauma sana
@seifseif6812 жыл бұрын
Halafu nasikiy zogo kama kweny sikio moja halafu nahisi mishipa haya ya shingo kama hayashiki vizuri yaani dokt kiufupi mm mwenyewe sijielewi naomb msaada wako
@mwaraminyumba59782 жыл бұрын
Uwe unatoa na namba yako basi waitaji tupo wengi
@ShafiiDauda-mh9ju3 ай бұрын
Uanapatikana wapi doctor man na mm nina problem yng
@sophiahalfani1870 Жыл бұрын
Naomba namba ya cm nije
@jenifervahaye10698 ай бұрын
Daktar unapatikana wap tupe namba zako
@yakoubali4977 Жыл бұрын
Mbona doctor hunijb
@martinemagembe9029 Жыл бұрын
Kweli doctor mm nimeenda hospital sikio langu moja wameniambia ww unauchafu lakini nikaenda kulisafisha lakini hakuna suruhisho na mpaka Sasa sikio langu la kushoto halisikii kabisa nashindwa kuelewa n kwamba sikio langu halitaweza kutibika au n fanye Nini
@anosmart..3596 Жыл бұрын
Lakn
@KelvinSadick-lc4qs11 ай бұрын
unapatikana wapi
@tatusungura78644 жыл бұрын
naomba namba ya dacter
@sophiahalfani1870 Жыл бұрын
Na mm naomba namba
@FadhilaAbrahman Жыл бұрын
Ata mm
@mussaibingo Жыл бұрын
mimi kunakuwa kama vitu vinatembea usoni na masikioni
@nyemonairo144211 ай бұрын
Na Mimi Nina shida Ila ni sik moja tuuu nasikia Kam magari yanapita hivi inalia Kam dakika 1 hiv nawezaj kukupata doctor
@taturashidi514010 ай бұрын
Mimi pia hua nasikia sauti ya gari sikio la kushoto
@yomenikabombwe49392 жыл бұрын
Unasema mengi bila kusema matibabu dawa ok salm
@ezekielmadindula26792 жыл бұрын
Nina tatizo hilo
@clintonnjiku36163 жыл бұрын
Mi sikio langu linapiga kengele Sanaa na nasikiaaa sauti za kukwaruzwaa imesababishwa na kupigwa kofii
@abduljuma21473 жыл бұрын
Ndugu yangu mm nimepigwa ngumi asa Sasa naskia Kama Kama Kuna milio ya engine yaani ovyo ovyo walai vita sitaki tena
@matildamushi44952 жыл бұрын
Je.kcmc yupo ?
@user-gt3us2kk2i8 ай бұрын
Tumiya maji ya chuvi yakivukuto inasaidiya masikiyo yakupiga kelele
@KarisaMapenzi7 ай бұрын
Swali ni tunawapata vipi sasa
@KelvinSadick-lc4qs11 ай бұрын
Nambako kka
@shamfumbo35815 ай бұрын
Jekifaa hicho hakito muadhiili
@malfredification3 ай бұрын
Ndugu hiki sio kipindi live kuwa unategemea swali lako lijibiwe hapa,Majibu na maswali yako utayapata pindi umefika Kwa Dk muhusika!
@dayanamusa25682 жыл бұрын
Mnaweka namba tunapiga inapita bila kupokelewa si bora mfute tu kipindi
@sophiahalfani1870 Жыл бұрын
Naomba namba yako
@shadakihwili41972 жыл бұрын
Naomba namba yako dokta ili nije uko loganzila
@thobiaspaul82473 жыл бұрын
Mimi nilipata ajali upande wa kushoto wa sikio na nikawa nasikia sikio likiwa linalia siiiiiiiiiiiiii no zangu 0762569429
@mhemaegid34553 жыл бұрын
Ulishapata namba ya Dr?
@addblessmsola56253 жыл бұрын
Elekeza dawa sio lazma tuje tutumie hela nyingi
@elizabethjulius6513 жыл бұрын
Unatakiwa kupimwa ili upewe dawa kulingana na tatizo lako... Hakuna dawa moja kwa watu wote.
@abduljuma21473 жыл бұрын
Kabisaa mm nilipewa dawa bila kuchunguzwa najuta Kuna ma special doctors na ma nurses Sasa usiombe ukutane na nurse maana ujuzi wake mdogo Bora uone doctor akupime
@user-fe2bg3cx8u4 ай бұрын
Huyu dr ni kiboko wallah... sijawahi kukmuona lakini Ana akili kubwa sanaaaa ni msomi wa hadhi ya juu.. yani kanijibu maswali yangu yoyeeee niliyokuwa nayo kichwani mwangu
@hanscanajoseph79814 жыл бұрын
Kusikia kengele muhimu kwangu maana mm ni mwanafunz 😂😂😂
@lucymkongwa42384 жыл бұрын
Mungu akusamehe
@abduljuma21473 жыл бұрын
Acha utani apa ni serious business
@edinambwambo48472 жыл бұрын
Liliwahi kunikuta ili,hiyo siku nilitoka kwenye sherehe ambapo nilikaa karibu na spika za mziki.Nilipata tabu Yani masikio yalipiga kengele wiki mzima.Yani kama mmbu vile wanalia usiku Sasa kwangu ilikuwa mfulilizo.Sikwenda hospital iliisha yenyewe.🙏
@hellenbarnaba906923 күн бұрын
Dkt. Mimi ninatatizo Hilo pia naomba namba yako Dokta. Unipe ushauri. ubarikiwe Sana.