MEDI COUNTER: Una tatizo la kusikia kengele masikioni? Daktari anauelezea ugonjwa huo

  Рет қаралды 19,392

Azam TV

Azam TV

4 жыл бұрын

Miongoni mwa magonjwa yanayohusiana na mfumo wa kusikia ni sauti ya kengele kwa wagonjwa.
Medicounter inakueletea undani wa ugonjwa huo na tiba yake.
Ungana na Dafrosa Prosper mpaka mwisho wa kipindi.

Пікірлер: 120
@magdarenananyiewa6815
@magdarenananyiewa6815 3 жыл бұрын
Asante sana kwa Maelezo haya ila nataka kujua unapatikana wapi
@ernestmhinauttah232
@ernestmhinauttah232 2 жыл бұрын
Shukran san mi hyo kengele ndo inanhusu ila tuamby gharama kabsaa tujipange tuje
@nivaleonard4733
@nivaleonard4733 3 жыл бұрын
Doctor please nimetafuta Sana hii kitu inayoitwa epglotitis kwa kiswahili sijapata naomba msaada wako
@abduljuma2147
@abduljuma2147 3 жыл бұрын
Kweli sikio Ni sehemu sana najuta nimepoteza sikio langu la shoto nilipigwa ngumi kizembe tu Sasa nalihisi liko unormal naitaji usaidizi
@yonasjonas3495
@yonasjonas3495 Жыл бұрын
Thamahan Naomba unisaidie Namba za huy daktar
@rizikisimai5140
@rizikisimai5140 3 жыл бұрын
Naomba no ya doctor
@neemasuleiman7130
@neemasuleiman7130 2 жыл бұрын
Asantee Sanaa kwamaelezo yako
@kheriathuman2598
@kheriathuman2598 4 жыл бұрын
Mimi ni mmoja wa ugonjwa huo naitaji namba za doctar plz
@doriceurassa5621
@doriceurassa5621 2 жыл бұрын
Mimi hzo kengel zmeanz mud huu Yan dokt napat shda Sana naomba no zake mwenye nazo Mana dawa nmetumia lakin bado naskia hzo mingurumo Yan mpk nakereka
@eliasifiwekileo8150
@eliasifiwekileo8150 3 жыл бұрын
Naomba no za Dr jamani
@user-xq3xp2tj9b
@user-xq3xp2tj9b 16 күн бұрын
Mm ilinianza baada ya kusikiliza mziki kwa muda mrefu
@aimeebusime5849
@aimeebusime5849 Жыл бұрын
Merci bcq
@haseanatnsanya2079
@haseanatnsanya2079 3 жыл бұрын
Mm sikio moja lauma mpaka kimeo chauma sana
@Denis_prudence
@Denis_prudence 5 ай бұрын
Namkubali sana huyu daktari
@khadijashabani9684
@khadijashabani9684 29 күн бұрын
Samahan nisaidie namba zake
@hellenbarnaba9069
@hellenbarnaba9069 23 күн бұрын
Dkt. Mimi ninatatizo Hilo pia naomba namba yako Dokta. Unipe ushauri. ubarikiwe Sana.
@gracetweve8485
@gracetweve8485 4 жыл бұрын
Mngetupa namba Za dk jamani
@rosemkama6629
@rosemkama6629 5 ай бұрын
Naomba number doctor
@prospermzee7918
@prospermzee7918 3 жыл бұрын
Namba nnayo, ila siwezi kuweka hapa.ila huyu dr yupo hospital ya muhimbili ya mloganzila floor ya kwanza.omba kuonana na dr mfuko
@sakinahamza5325
@sakinahamza5325 2 жыл бұрын
Mm naitaj kk
@goodluckgabriel2763
@goodluckgabriel2763 2 жыл бұрын
Habar kaka naomba unisaidie no ya huyu dk nipo mkoani nina mgonjwa I'll niwasiliane niende
@enterenter7798
@enterenter7798 Жыл бұрын
Minaomba niandikie hizo dawa za kutibu sikio linolopiga kengele please
@phinajohn3559
@phinajohn3559 Жыл бұрын
nitakuja dar kwaajil yake
@FadhilaAbrahman
@FadhilaAbrahman Жыл бұрын
Mm nko zanzbr naitaji no yke uyo doktr pleas
@EsterMkama-ni1rq
@EsterMkama-ni1rq 29 күн бұрын
NaitwA esta hiyo Hali napitia
@zephaniazacharia519
@zephaniazacharia519 4 жыл бұрын
Nice topic
@mhemaegid3455
@mhemaegid3455 3 жыл бұрын
Namba ya Dr please
@JOSEPHINE724
@JOSEPHINE724 5 ай бұрын
How can I get in touch with you coz am suffering
@phinajohn3559
@phinajohn3559 Жыл бұрын
Yan mim nilishapewa dawa bugando Kila mwez lak na zaidi lakn hakuna kitu hata unafuu robo hakuna nimechoka balaa
@festominani3621
@festominani3621 11 ай бұрын
Hello! Ulishapata tiba? Niambie aise nateseka sana na hili tatizo
@mwanaishachonya6246
@mwanaishachonya6246 Ай бұрын
Kuziba jino ndo chanzo cha ili tatizo
@ummyshee1310
@ummyshee1310 Жыл бұрын
Naomba na doctor
@zakiamohamed7611
@zakiamohamed7611 7 ай бұрын
Dakta naomba unisaidie cna tatizo la mashikio ila nimtu wakusafiri safiri kwa ndege nnapokuwa safarini nnakuwa naumwa sana na mashikio jee nijikinge nanini kuhusu hizi kelele nnazozickia nakuumwa namashikio
@batholomeokivamba6959
@batholomeokivamba6959 Ай бұрын
Niko Arusha
@magrethparsalau2198
@magrethparsalau2198 2 жыл бұрын
Mimi ni mjamzito miezii sita lakini napata hilo tatiz la mvumo maskioni kichwa kinauma sana mpaka shingo inashindwa kugeuka
@MwanaOg
@MwanaOg Ай бұрын
Vp ndugu ulipona tatzo la maskio
@devaliant8868
@devaliant8868 4 жыл бұрын
Lini mtaiachia Azam TV app iwe hewani
@sophiahalfani1870
@sophiahalfani1870 Жыл бұрын
Namba zako nazipataje
@heriethchristopher7663
@heriethchristopher7663 2 жыл бұрын
Dr mm masiko yananguluma je nn shida?
@fareedatrash665
@fareedatrash665 3 жыл бұрын
mueke number za hawa dr hawa wa vipindi
@goodluckgabriel2763
@goodluckgabriel2763 2 жыл бұрын
Dk hupatikani kwa no hiyo tunakupataje
@user-bb5vo1jf3v
@user-bb5vo1jf3v 7 ай бұрын
Dock samahan mm nipo mwanza nawapataje ninatatizo holo
@jovinkomba2908
@jovinkomba2908 4 жыл бұрын
best otolaryngologist you are the best DR.Godlove peter mfuko
@sarahbaltazari6899
@sarahbaltazari6899 3 жыл бұрын
Jamani napataje namba za dokta niko mkoani
@mesopallangyo3520
@mesopallangyo3520 3 жыл бұрын
@@sarahbaltazari6899 ukipata namba ya Dr naiomba jamani Nina tatizo Tena la upande mmoja😌😌
@abdulalmas3050
@abdulalmas3050 3 жыл бұрын
Jamani me ni miongoni meao
@bahatimtenya4014
@bahatimtenya4014 2 жыл бұрын
Huyo dr bado yupo mpaka sasa
@joycesaguda575
@joycesaguda575 11 ай бұрын
Sikio langu moja lina maumivu makali Sana likichachamaa hata dawa za maumivu znadunda naambulia kulia tu😢, na hasa likipulizwa na upepo au nikiwa kwenye sehemu ya baridi naumia Sana😢naomba msaada
@manxuleemikui3809
@manxuleemikui3809 4 жыл бұрын
ahsant kwa elmu
@mesopallangyo3520
@mesopallangyo3520 3 жыл бұрын
Dr.mimi sikio la upande mmoja ndio linapuliza napata shida mno
@fareedatrash665
@fareedatrash665 3 жыл бұрын
dr wa masikio nahitaji number yake
@shimafuad6868
@shimafuad6868 3 жыл бұрын
Kwanini nembo ya Azam hua mnaiweka katikati? Inaziba iwekeni pembeni
@keanujayce356
@keanujayce356 2 жыл бұрын
i know im asking the wrong place but does any of you know of a method to log back into an instagram account..? I was dumb lost the account password. I love any tricks you can give me.
@enterenter7798
@enterenter7798 Жыл бұрын
Sindio inawalipa jmn
@zakiamohamed7611
@zakiamohamed7611 7 ай бұрын
Au nivae kitu gani mashikioni ili hizi sauti niczickie mpaka niweze kufika nnakoenda
@saumulyobe2158
@saumulyobe2158 Жыл бұрын
Mie nnasikia sikio moja na maumiv had kwenye kifuan
@angelpelkoneni2624
@angelpelkoneni2624 2 жыл бұрын
Mimi ninateseka sana na hizo kengele za masikio naomba namba za dokta
@user-xo4qc2hk4j
@user-xo4qc2hk4j 3 ай бұрын
Jamani unapatikana wapi nashikwa na kichaa ,ukowapi
@angelpelkoneni2624
@angelpelkoneni2624 2 жыл бұрын
Naomba namba za dokta au utuelekeze mnapopatikana plz
@florianpango4487
@florianpango4487 2 жыл бұрын
Ahsante nimeelewa Mimi nasikia mvumo flani hivi vuuu
@janethjasson9958
@janethjasson9958 Жыл бұрын
Yaani Kama Mimi tuu na sipati dawa
@salumawilson9580
@salumawilson9580 Жыл бұрын
Asante unapatikana wap jaman
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 2 ай бұрын
Kama mimi
@gracejackson8810
@gracejackson8810 Жыл бұрын
Doctor naomba namba yako nateseka sana na kelele za silio nahitaj Tiba
@festominani3621
@festominani3621 11 ай бұрын
Hello ulishapata tiba?nateseka sana na kelele masikioni
@user-qk2jg2qy6l
@user-qk2jg2qy6l Жыл бұрын
Mimi nimepata tatizo ilo kwaajili ya kupigwa kofi upande wa kushoto
@rehmahamishamismkande4348
@rehmahamishamismkande4348 2 жыл бұрын
Doctor mimi hilo tatizo ni mara kwa mara naenda hospital wanasafisha baada ya muda mfupi inarudi tena
@masterdiv8494
@masterdiv8494 2 жыл бұрын
Jaman elekezeni nadawa wengine atuna uwezo wakuja uko..nateseka sana nallo tatzo
@user-mi7vj3jh6w
@user-mi7vj3jh6w 4 ай бұрын
Dokta ni saidie
@rosemkama6629
@rosemkama6629 5 ай бұрын
Tunaomba number.
@user-tz3zf2rb7x
@user-tz3zf2rb7x 9 ай бұрын
Dah
@florianpango4487
@florianpango4487 2 жыл бұрын
Mpo wapi muhimbili
@seifseif681
@seifseif681 2 жыл бұрын
Dokt mm nimetok kujifunguwa ila hichi kichwa chang mbona nakihis hivi kwanza naogopa mno ,nikisikiy mtu amekuf hofu naogop huyu mtoto wangu huwa namuogop halafu inanijiy nimpije na chini yaani hichi kichwa changu kama hakiko sawa
@user-xo4qc2hk4j
@user-xo4qc2hk4j 3 ай бұрын
Uko hospitali Gani,,??????? Nimeteseka zaidi ya miaka 20 nikenele zakiaina
@malfredification
@malfredification 3 ай бұрын
Uwe unaangalia vizuri mwanzo wa hii video kuna jina la Dk,Pili yeye mwenyewe ukisikiliza ameshasema yupo hospital gani,Tatu uwe unajitahidi kusoma comments maana kuna wengine wanakuwa wametoa msaada wa maelezo, huyu Dk yupo Hospital ya Muhimbili ya Mloganzila floor ya kwanza omba kuonana na Dr Goodlove Mfuko,Hope nimekusaidia!
@yakoubali4977
@yakoubali4977 Жыл бұрын
mm masikio yanauma kwa ndani kama nameza mate yanauma sana
@seifseif681
@seifseif681 2 жыл бұрын
Halafu nasikiy zogo kama kweny sikio moja halafu nahisi mishipa haya ya shingo kama hayashiki vizuri yaani dokt kiufupi mm mwenyewe sijielewi naomb msaada wako
@mwaraminyumba5978
@mwaraminyumba5978 2 жыл бұрын
Uwe unatoa na namba yako basi waitaji tupo wengi
@ShafiiDauda-mh9ju
@ShafiiDauda-mh9ju 3 ай бұрын
Uanapatikana wapi doctor man na mm nina problem yng
@sophiahalfani1870
@sophiahalfani1870 Жыл бұрын
Naomba namba ya cm nije
@jenifervahaye1069
@jenifervahaye1069 8 ай бұрын
Daktar unapatikana wap tupe namba zako
@yakoubali4977
@yakoubali4977 Жыл бұрын
Mbona doctor hunijb
@martinemagembe9029
@martinemagembe9029 Жыл бұрын
Kweli doctor mm nimeenda hospital sikio langu moja wameniambia ww unauchafu lakini nikaenda kulisafisha lakini hakuna suruhisho na mpaka Sasa sikio langu la kushoto halisikii kabisa nashindwa kuelewa n kwamba sikio langu halitaweza kutibika au n fanye Nini
@anosmart..3596
@anosmart..3596 Жыл бұрын
Lakn
@KelvinSadick-lc4qs
@KelvinSadick-lc4qs 11 ай бұрын
unapatikana wapi
@tatusungura7864
@tatusungura7864 4 жыл бұрын
naomba namba ya dacter
@sophiahalfani1870
@sophiahalfani1870 Жыл бұрын
Na mm naomba namba
@FadhilaAbrahman
@FadhilaAbrahman Жыл бұрын
Ata mm
@mussaibingo
@mussaibingo Жыл бұрын
mimi kunakuwa kama vitu vinatembea usoni na masikioni
@nyemonairo1442
@nyemonairo1442 11 ай бұрын
Na Mimi Nina shida Ila ni sik moja tuuu nasikia Kam magari yanapita hivi inalia Kam dakika 1 hiv nawezaj kukupata doctor
@taturashidi5140
@taturashidi5140 10 ай бұрын
Mimi pia hua nasikia sauti ya gari sikio la kushoto
@yomenikabombwe4939
@yomenikabombwe4939 2 жыл бұрын
Unasema mengi bila kusema matibabu dawa ok salm
@ezekielmadindula2679
@ezekielmadindula2679 2 жыл бұрын
Nina tatizo hilo
@clintonnjiku3616
@clintonnjiku3616 3 жыл бұрын
Mi sikio langu linapiga kengele Sanaa na nasikiaaa sauti za kukwaruzwaa imesababishwa na kupigwa kofii
@abduljuma2147
@abduljuma2147 3 жыл бұрын
Ndugu yangu mm nimepigwa ngumi asa Sasa naskia Kama Kama Kuna milio ya engine yaani ovyo ovyo walai vita sitaki tena
@matildamushi4495
@matildamushi4495 2 жыл бұрын
Je.kcmc yupo ?
@user-gt3us2kk2i
@user-gt3us2kk2i 8 ай бұрын
Tumiya maji ya chuvi yakivukuto inasaidiya masikiyo yakupiga kelele
@KarisaMapenzi
@KarisaMapenzi 7 ай бұрын
Swali ni tunawapata vipi sasa
@KelvinSadick-lc4qs
@KelvinSadick-lc4qs 11 ай бұрын
Nambako kka
@shamfumbo3581
@shamfumbo3581 5 ай бұрын
Jekifaa hicho hakito muadhiili
@malfredification
@malfredification 3 ай бұрын
Ndugu hiki sio kipindi live kuwa unategemea swali lako lijibiwe hapa,Majibu na maswali yako utayapata pindi umefika Kwa Dk muhusika!
@dayanamusa2568
@dayanamusa2568 2 жыл бұрын
Mnaweka namba tunapiga inapita bila kupokelewa si bora mfute tu kipindi
@sophiahalfani1870
@sophiahalfani1870 Жыл бұрын
Naomba namba yako
@shadakihwili4197
@shadakihwili4197 2 жыл бұрын
Naomba namba yako dokta ili nije uko loganzila
@thobiaspaul8247
@thobiaspaul8247 3 жыл бұрын
Mimi nilipata ajali upande wa kushoto wa sikio na nikawa nasikia sikio likiwa linalia siiiiiiiiiiiiii no zangu 0762569429
@mhemaegid3455
@mhemaegid3455 3 жыл бұрын
Ulishapata namba ya Dr?
@addblessmsola5625
@addblessmsola5625 3 жыл бұрын
Elekeza dawa sio lazma tuje tutumie hela nyingi
@elizabethjulius651
@elizabethjulius651 3 жыл бұрын
Unatakiwa kupimwa ili upewe dawa kulingana na tatizo lako... Hakuna dawa moja kwa watu wote.
@abduljuma2147
@abduljuma2147 3 жыл бұрын
Kabisaa mm nilipewa dawa bila kuchunguzwa najuta Kuna ma special doctors na ma nurses Sasa usiombe ukutane na nurse maana ujuzi wake mdogo Bora uone doctor akupime
@user-fe2bg3cx8u
@user-fe2bg3cx8u 4 ай бұрын
Huyu dr ni kiboko wallah... sijawahi kukmuona lakini Ana akili kubwa sanaaaa ni msomi wa hadhi ya juu.. yani kanijibu maswali yangu yoyeeee niliyokuwa nayo kichwani mwangu
@hanscanajoseph7981
@hanscanajoseph7981 4 жыл бұрын
Kusikia kengele muhimu kwangu maana mm ni mwanafunz 😂😂😂
@lucymkongwa4238
@lucymkongwa4238 4 жыл бұрын
Mungu akusamehe
@abduljuma2147
@abduljuma2147 3 жыл бұрын
Acha utani apa ni serious business
@edinambwambo4847
@edinambwambo4847 2 жыл бұрын
Liliwahi kunikuta ili,hiyo siku nilitoka kwenye sherehe ambapo nilikaa karibu na spika za mziki.Nilipata tabu Yani masikio yalipiga kengele wiki mzima.Yani kama mmbu vile wanalia usiku Sasa kwangu ilikuwa mfulilizo.Sikwenda hospital iliisha yenyewe.🙏
@hellenbarnaba9069
@hellenbarnaba9069 23 күн бұрын
Dkt. Mimi ninatatizo Hilo pia naomba namba yako Dokta. Unipe ushauri. ubarikiwe Sana.
MEDICOUNTER: Una tatizo la USAHA MASIKIONI? Jibu hili hapa
27:23
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 11 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 80 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
MEDI COUNTER: Unavyoweza kukabiliana na maumivu ya mgongo
25:43
10 Warnings Signs Of STROKE A Week BEFORE It Happens
19:16
Dr. Sten Ekberg
Рет қаралды 1,8 МЛН
#TBC-MIALE TATIZO LA MISHIPA YA FAHAMU NA MATIBABU YAKE
29:28
MEDICOUNTER EPS 10: MAUMIVU YA KICHWA
25:01
Azam TV
Рет қаралды 50 М.
MEDICOUNTER 19/08/2019:  Zifahamu kazi za Kimeo kwenye koo
21:45
Azam TV - Dalili, kipimo na tiba ya saratani ya tezi dume
24:47
Шум в ушах - лечение в домашних условиях. Упражнения при шуме в ушах и в голове
14:10
Онлайн-школа невролога Мажейко Людмилы Ивановны
Рет қаралды 3 МЛН
Что она делает?
0:34
Почему?
Рет қаралды 9 МЛН
🍎🍌Fruit Telepathy #challenge #kidsfun
0:16
J House jr.
Рет қаралды 25 МЛН
Прогулка под водой #shorts
0:19
Story Time
Рет қаралды 8 МЛН
What’s In This Box?
0:51
Clean Girl
Рет қаралды 21 МЛН