Wewe mazinge Allah akujalie Wewe ulinifanya nikawa mwislamu hivi Sasa mimi ni mwislamu mgeni mashallah
@mbalahdejr42775 жыл бұрын
Alhamdulilah allah kakuongoza
@brothertamiim19305 жыл бұрын
mash allh
@malikiakimwera95245 жыл бұрын
Mashaallah
@martinibrahim89665 жыл бұрын
Jacob polee ndugu yangu...kwa sababu umefanya maamuz pacpo kufanya uchunguz wa kiloho jacob maamuz nimabaya endapo utaamua bila kumshilikisha mungu mwenyewe...uliamua kimwili naco kiloho mungu akuhurumie...
@hajrakassim29455 жыл бұрын
@@martinibrahim8966 mungu akuhurumie wewe usiejielewa
@hassanmpwepwe38265 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mzinge inshallah
@rukybaribari68838 жыл бұрын
Allah barik Mazinge mlinde na umtimie malaika 70 wamlinde kwa kila hila .amin
@abdallahmseven6005 жыл бұрын
Bro si malaika 70 nimeongeza elfu 70,000
@seifali59738 жыл бұрын
sh.mazinge na wenzake wote katikaa daawah mungu awajaalie afya njema na janaatul firdauss kutoa mtu kwa giza kumleta kwa nuru yataka moyoo sanaa jazakallah kheir mashekhee
@aishahakizimana58685 жыл бұрын
seif ali , allahumma amiiiin
@korogwetanga8105 жыл бұрын
Aamiin yarrab
@raymondngajagu665 жыл бұрын
HKun MTU anayewapoteza watu kama mazinge badilika hakun ukweli wowote kwenye uisilamu labda majini
@raymondngajagu665 жыл бұрын
Shetan amewapote waislamu
@babimwita45322 жыл бұрын
Hiyo ndo nuru shauri yenu
@kinglionist13318 жыл бұрын
Hii kazi ambayo mazinge ya fanya halipwi na mtu na ni kazi gumu sana tumuombe mwenyezi mungu amtie janatul fardoss
@AKASHA.P8 жыл бұрын
+Kuku Bataa AMIIINA
@asutfaile26478 жыл бұрын
Allahuma ameen
@mrsdully16138 жыл бұрын
amin yaraab
@zaithazaitha8207 жыл бұрын
aaamin
@mumkmamy51866 жыл бұрын
Aameen
@nadyajuma41087 жыл бұрын
Mashallaah Allaah akuzidishie sana mazinge uzid kuutetea uislam Allaah azidi kukup afya na baraq tele inshallaah
@fatmabakari5458 жыл бұрын
mola akulipe kheir na akujalie pepo mazinge inshallah kwa kazi njema
@naimakhalfani81395 жыл бұрын
Mashallah mazinge ALLAH akupe moyo uendelee kuwapa dawa makafiri waweze ingia dini ya HAKI IN SHA ALLAH
@magembesitta56572 жыл бұрын
Hamna dini ya mauzauza
@salmaathman19738 жыл бұрын
mashaallah!!! sio mchezo shekh Mazinge uko juu!!! Allah akuhifadhi sana sana!. mabruk yako.
@jumannemashaka94395 жыл бұрын
MashaAllah ndugu yetu mazinge katika imani kwakazi nzuri unayoifanya Allah Akujaliee kila lilo la Heri Akujaliee Afya njema na Akujaliee umri mrefu Aminaaa
@farouqisra65025 жыл бұрын
May Allah protect you with your work until the day of judgement sheikh mazinge
@hijakhalifa8455 жыл бұрын
Farouq Isra mashalaah
@alhajiomary22945 жыл бұрын
Shekh mazinge unahoja konk maashaallah.
@neemanitu75225 жыл бұрын
Mashaallah, wakristo mmepotoka mnasema yesu ndo mungu wenu sasa mungu wenu kafa msalabani. Hivi sasa dunia imebaki na nani. Rudini ktk dini ya haki msijidanganye.
@rassanleezedon68615 жыл бұрын
Tahila wewe.. kafa kafufuka...mtume kafa mazima
@aivanimaedard63145 жыл бұрын
Neema Nitu Usihukumu mungu ndo Anajua ss wote niwake coz kila MTU na Imani Yake
@frankjohn85705 жыл бұрын
Neema Nitu JINA lako zuri waitwa Neema vp upo nje ya Neema ya Mungu, YESU aliye hai wamkana Leo, yeye atakaekuja kuwahukumu waliohai na wafu, tena hakuna mtu wa dini yeyote anaebisha kuhusu kurudi kwa YESU hata wahuni wanaosema atakuja kuoa hawasemi kwa sasa yupo wapi
@zawadally90975 жыл бұрын
Sh. Mazinge allah akuongezee umri mrefu innshaallah uzidi kuwaelimisha hao makafili
@alfanomar2427 жыл бұрын
nafuraia sana zaid ya sana kusikia ukwel wa mambo najivunia kua muislam
@jumamfupi72236 жыл бұрын
Arran
@jumamfupi72236 жыл бұрын
at fan Omar
@khalfanhamisi42185 жыл бұрын
Wslm alkum ' ndugu wslm? wkrsto wbshna bure,lkn dini n moja na ni ya khislm,Allah Akbar!!!......
@abdallahmseven6005 жыл бұрын
Wewe Kama Mimi uko juu tu san
@jamilaallyally24117 жыл бұрын
mashaallah shekh mazinge allah akuzidishie umri
@gideonimathew64917 жыл бұрын
Yesu ni njia ndugu yangu
@fbhj4437 жыл бұрын
Gideoni Mathew ni njia yakwwndea wapi?
@mumkmamy51866 жыл бұрын
Aameen @ siz jamila
@hamidanasoro76346 жыл бұрын
Nas zaim
@omargbabagbaba42318 жыл бұрын
MashaAllah mazinge wape vitu
@fahadorkholam73765 жыл бұрын
Allah awabashirie jannatul firdaus mashehe wapenzi
@mohdwasia73095 жыл бұрын
Naomb mung akuzidishie umr mref il upate kuwafundisha hao wanafunzi
@akareemtamimy358 жыл бұрын
mashallah tabaraka allah mola akupe umri mrefu ustadh mazinge kwa kutangaza dini ya haki hawakuezi
@chusseboywcb28085 жыл бұрын
Mazinge nikiboko ww ninomaa sanaaa unajua
@jafarisintoo37435 жыл бұрын
Allah akulipe sheikh wangu.
@jokhanassor35075 жыл бұрын
dah shekh wetu Alla akulinde na mikafiri isio elewa
@innocentomar168 жыл бұрын
mazinge wape maneno yahaki
@ndumbajr90375 жыл бұрын
Sheikh Suleiman Mazinge Allah akubariki sana ..uishi miaka mingi yenye Kheri na baraka tele ili uendelee kutoa dawa na kuwasilimisha makafiri... #proudbemuslim
@safielimjema4593 Жыл бұрын
Kwalipi?
@safielimjema4593 Жыл бұрын
Mbariki kwalipi
@munirayusra917 жыл бұрын
Ameen thumma Ameen
@ahmednoormohamuud76596 жыл бұрын
Munira Yusra
@swaleheismail465 жыл бұрын
mash Allah hadi raha mazinge utabaki kuwa juu, juu mawinguniii
@derickomoghela99482 жыл бұрын
Yohana, utukufu wa Mungu uwe juu yako daima.
@derickomoghela99482 жыл бұрын
Yesu na Muhammad wapi na wapi! Muhammad hana sifa za utume.
@ukhtysakinaa76646 жыл бұрын
Hongera ustadh Mazinnge Allah akuzidishie umri upate elimisha makafiri Aamin
@lokeredavid97542 жыл бұрын
Yesu alisema chunganeni na mmtume wa uongo Mohammad
@salamamohd8762 жыл бұрын
No s ok pg
@reubenngonyo13082 жыл бұрын
I'm proud to be a Christian
@abdiqaanurow59248 ай бұрын
Allah atakulipa InshaAllah sh. Maxinge
@teamallyracing17805 жыл бұрын
Mazinge ana confidence anaijua biblia kuliko wenyewe
@harbisulub8 жыл бұрын
jazaka llah khair kwa hizi video baraka Allah feek, iko part C?
@halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын
Allah akubariki Sheikh Mazinge.
@achivanejaphary25348 жыл бұрын
hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri Achivanejaphary
@fatamiqw12988 жыл бұрын
hawa wamepoteya njiya allah atawaongoza inshaallah
@ahmedbaga265 жыл бұрын
Kweli wakriso hawana dini
@getrudealnos41655 жыл бұрын
Wawana din kwa maneno ya mazinge, nakuonea huruma
@fatmahassan64975 жыл бұрын
Dini pekee ni uislam
@nintunzeloic99905 жыл бұрын
Bastard
@magembesitta56572 жыл бұрын
Yesu ni Mungu cio kuabudu mitume iliyorogwa
@fbhj4437 жыл бұрын
AllaH akupe afya Sheikh wetu wallah kuelimisha kafiri ni kazi kubwa
@korentinisilayo81252 жыл бұрын
Mtume wa mungu kalogwa na binadamu hiii kali sana ikiwa ndio hivyo basi musa angelogwa na wachawi wa misri
@humairahtomicky24545 жыл бұрын
yn mazinge amekaa kibabe😂😂😂
@thuebamohammedswaleh68978 жыл бұрын
section c iko wapi jamani nakosa mauthamu
@mrsdully16138 жыл бұрын
kweli kabisa hapa ni kazi ngumu sana sheikh mazinge mungu akubarik na akulinde na mahasid wote hao utabishananaooo mpaka nahawatokubal mung atakuwezesha kwakila jambo insgaAllah
@pierremira7 жыл бұрын
mwisho WA manabii maanayake no masiha kwa huyo Mohammed masiha?????? masiha ktk Hadith alivyooa aliruhusiwa pekee kuoa hao wanawake peke take mungu awafungue macho shetani,jini wote mapepo ujuzi wote elimu zote majini nikweli majini yana uhamu elimu nyingi na kunavitabu vingi vya elimu hizo
@pierremira7 жыл бұрын
ndugu zangu mungu alisema nitafute kama kweli unataka ukweli sali kutoka ktk Moto wako muulize atakujibu utajua ukweli mungu tu ndiye atakujibu mtume hawezi kukujibu ala hawezi kukujibu NG'o kwanini jubu unalo ala ni shetani ametengeza Dini aabudiwe kama mungu
@mohammedabdinur62362 жыл бұрын
Sheakh Mazinge mungu akulinde kwa Maisha yako
@morrisevarist67062 жыл бұрын
Waislam wote naomba muache mbwembwe zenu za majini,HEBU soma Biblia 1Yohana 5:18-21 amen.
@mkomboziathumani49868 жыл бұрын
wakristo ni wacheza dance tu hawana dini
@abdallahmseven6005 жыл бұрын
Wewe kumbe unajua zaidi
@abdallahmseven6005 жыл бұрын
Uko saw bro
@rassanleezedon68615 жыл бұрын
Kapime ufahamu wako milembe
@frankjohn85705 жыл бұрын
Mkombozi Athumani mtu hajulikani kabisa kwenye kundi la mitume na manabii ambao Mungu aliwatuma kwaajili ya wana waisrael sasa vipi atajwe ana fungu gani katika israel
@davisrotich1165 жыл бұрын
Mazinge umekula kibano mpaka kijasho chakutoka pole sana njoo kwa Yesu ubatizwe wachana na mtume wa uongo
@fatmahamad21565 жыл бұрын
Km ni muongo ,subiria hapo siku utakayotolew roho ndo utajua km ni muongo au mkweli
@francisjoseph10742 жыл бұрын
ILA 😂😂😂😂 Mazinge Kwa kuzuga sasa hapo alikua anajifutafuta nini kwenye domo lake😂😂😂 zee zima akili halina
@khuzeimaabdul42755 жыл бұрын
Mungu akuweke shekhe wetu
@rozinahamisi845 жыл бұрын
Alhamdulillah nimeingia kwa dini ya haki nikatoka uko kwa wakristo
@aivanimaedard63145 жыл бұрын
Hakuna mwenye kutoa haki bari mwenyezi mungu tu Alie mbinguni
@pierremira7 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe amen kwanza ninaomba katika jina la yesu nakomba yesu umwage damu Yako kwa watu wote duniani iliwaweze kufunuliwa macho yao fahamu zao waweze kuona,kusikia wafunguliwe katika vifuniko vyote vya shetani na majini yote yaliyo katika vitengo mbalimbali vyakuwapotosha binadamu ili wasijue ukweli ulioyo kweli naamini haya katika jina la yesu kristo amina swali langu kwa waislam wote mtueleze wapi huyo Muhammad anaye jiita mtume WA mwisho yaani masiha swali langu Sasa kama yeye ni masiha wapi alifanya Mambo yaliyotabiliwa kufanywa na masiha yaani kuponya, wapi aliponya, wapi alifufua kama ilivyo tabiliwa masiha ? wapi nataka jibu
@shaaallyi17025 жыл бұрын
pierremira seng
@ahmedwako77325 жыл бұрын
Wacha hizo soma maandiko mjomba
@selemanishabani68435 жыл бұрын
Utakuwa lini na utajitambua lin?
@masoudmasoud58195 жыл бұрын
Masiha sio Muhammad masiha atakuja karibu ya dunia kuisha
@rukiaissa58786 жыл бұрын
Allah akupe nguvu sheikh mazinge na akujaalie kila la kheri ktk safari ya kuutangaza na kuunyanyua uislamu
@msellemabdallah88065 жыл бұрын
Allah bariki KAZI zamazinge namwisho mpe popo ya firdaus
@francisjoseph10742 жыл бұрын
Kweli waislam Hamna hoja mpaka mwalim wenu anaulizia muda ya point zimeisha mpaka kila time anaulizia muda
@amosmalakyese12275 жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Baba. Mungu akuwezeshe kuisema kweli. Kweli humweka MTU kua huruuuuu
@aishandayishimiye51278 жыл бұрын
Masha allah
@zawadisembeguli34355 жыл бұрын
Am proud to be chiristianity thanks Lord 😘😘😘
@111dudi2 жыл бұрын
Nenda kwa Mfalme Zumaridi mungu mpya wa wakristo
@soccertv2938 жыл бұрын
mazinge juu
@mkiwezeshwamnaweza3625 жыл бұрын
wewe bwana Yahya unalazimisha neno kuchaguliwa kiukweli hujui kiswahili
@brothertamiim19305 жыл бұрын
mazinge oyee
@dancewithlils2 жыл бұрын
May Allah protect you shekh Mazinge
@saifalbarwani49936 жыл бұрын
mungu akuweke mazinge inshaalwa
@111dudi2 жыл бұрын
Huyu Yohana muongo sana na mpindisha aya,Mtume alirogwa mara moja sio katika maisha yake yote tangu azaliwe. Huyu bwege sana.mazinge Mungu akulinde na akupe maisha marefu.
@gregolyhaule69282 жыл бұрын
acha matusi basi
@111dudi2 жыл бұрын
@@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya hadhara kwa nia ya kupotisha waumini kwa kutumia uongo anastahili zaidi ya hiyo
@111dudi2 жыл бұрын
@@gregolyhaule6928 mtu anaesimama mbele ya watu anasema uongo au kumkadhibisha mtu mkweli, anastahili nini?
@bernardchesoli4322 Жыл бұрын
Wachungaji Mungu awalinde huu mjadala mazinge kashindwa kumtetea Mohamed.
@igiraneza47 жыл бұрын
itakuwaje waislaam wakifundisha kuwa mwanaume akiamini maandiko peke yake itakuwa ngazi pia yakuwapeleka wake zao peponi! wakati tunajuwa kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake mwenyewe, hayo yakwenda peponi na wake je na kama mke hatokuwa ametii amri za Mungu? atalazimishwa kumfuata mume aliyo tii peponi. !!!!
@ndungojr14255 жыл бұрын
Rosi Mbonankira
@salmamambo88207 жыл бұрын
tatizo.wakiristo. wanadanganywaa.tuuu wao.hawana kubishaa kila kitu Kwao nindiyo huyo pasta anabadilisha mamboo tu wao wanafurahiya tu nishida manzinge Allah akuongonzee Maisha marefu kwauwenzoo wake waerimishe wafahamu
@yusuphmanyata45415 жыл бұрын
Alahu akbaru ewe mungu mlinde ndugu mazinge kwakuwafahamisha hao makafir
@evalineakuku5905 жыл бұрын
yesu ndiye mulango wa uzima si muhamed muhamed baba wa kuzimu
@abubakarmpole40005 жыл бұрын
Mwalimu Yohana ukafiri umekutawala.Mungu akuongoze akupe nuru ya uislamu, hakika uko katika upotovu.
@magembesitta56572 жыл бұрын
Kwenye uisilamu hakuna nuru ni upotofuu
@omarymasoudykisondo3897 жыл бұрын
tunachotafuta ni kwenda kwa mungu ila kwa mafundisho ya wakristo ukifatiria hakuna kitu mala yesu mungu mala sasa mungu anakufa
@enockkibona75222 жыл бұрын
Mchaji Mungu hawezi logwa
@khayriyamussa56805 жыл бұрын
Mhh babu tafaaa waislam duniani hatumfati Yesu usidanganye watu.. sisi tunamfata Allah naMuhammad mjumbe wake kwa mafundisho sahihi ya Qur-An... yesu ni Nabii Issa..ambaye si Mungu wala Simwana WaMungu..
@jaffarhadji75808 жыл бұрын
mazinge kiboko yao
@tumaininestory79986 жыл бұрын
si kweli
@abdallahmseven6005 жыл бұрын
Wewe mwanaume kamili
@noelmlaponi34055 жыл бұрын
Kwan mohamad mtu me?
@thuebamohammedswaleh68978 жыл бұрын
+Akasha mbona mumeikata jamani ama hapo ndio mwisho????? Mazinge na wahadhir wote wanaoipeleka mbele daawah sisi hatuna lakuwalipa ila kuwaomboa kwake Allah tabaraka wata'aala kuwapa nguvu na afya njema kila siku muendelee kuipigania dini yake kwani iyo ndio biashara bora mbele zake Allah azzah wajala..........Allah awakinge na husda,,,,maovu na yale yote ambayo makafiri wanakutendeeni........awajaalieni na aajalie waislamu wote shahada mbele ya mauti...raha ndani ya qabri atukinge na shari za dunia na za kaburi na atukinge na adhabu za moto na atujaalie pepo yake firdhaus kuwa makaazi yetu AMIYN THUMA AMIYN
@gracecypiliani35206 жыл бұрын
Yaani nyie munasumbuliwa namapepo ya uzinzi bibilia ilasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa wote tutabadilishwa na kufanana na Yesu atakapo dhihilishwa kwanza mute alikuwa mzinzi aliowa idadi yawanawake zaidi ya idadi mulio amuliwa nahayo mapepo yenu ety ni mungu wenu
@othmanabdallah19487 жыл бұрын
aaamin thuma amini
@wilbertcharles91295 жыл бұрын
Hizi ndizo video ninazo zitaka mama
@salehlofy42517 жыл бұрын
Wakristo hawana hoja wala Mungu, Mungu wao ni mzungu na wakati hata mtume mmoja hakuna aliekua mzungu vp watakua na dini jaman acheni mchezo kuna kufa na kufufuliwa na kulipwa
@boazonsongo8508 Жыл бұрын
Me christ Jesus my way always
@mokhaking27347 жыл бұрын
mazinge kiboko yao kama kawaida.
@fatumabura19985 жыл бұрын
Mazinge ww kiboko
@mesaidtsozi87978 жыл бұрын
hapo chacha...ongea yanakuusu achana na doctor Sulle wewe. acha kurukaruka.
@aishaswalleh76217 жыл бұрын
Ameen ya rab
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Mashaallah tabaraka llahu
@macalimaadxaliiso21926 жыл бұрын
MashaAllah
@frankanold98035 жыл бұрын
mohammad alirogwa, alimwingilia mtoto wa miaka 9, alikuwa hajui kusoma wala kuandika,afu mnamuita mtume,mna akili sawasawa kweli nyie😀😀😀
@zainabuhamisi21766 жыл бұрын
Hasbunallah waneemalwakili
@fghvghggh32967 жыл бұрын
mwaisilamu hoyeee jamani wakristo ebu musilimu ili muingie peponi
@kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын
Wanajifanya hawaelewi , wanaelewa vipi Mwenyezi Mungu amtume malaika wake Jibril kwake kwa mpango gani yaan Jibril atumwe kwake? wanaelewa
@111dudi2 жыл бұрын
Huyu Yohana muongo na anabadilisha maneno. Mazinge kasema padri kathibitisha utume wa Muhammad, Yohana anasema ati padri kampa utume Muhammad. Yaani muongoooo.Hiyo aya 25:5 ni maneno ya makafiri ambayi huyu Yohana kakwepa kusema "walisema" neno la kwanza ktk aya. Yaani muongo sana na tapering wa aya
@mesaidtsozi87978 жыл бұрын
Mazinge juu.
@mwantumuhamad80136 жыл бұрын
y
@hamidaabdalla6795 жыл бұрын
Mesaid Tsozi
@salmaalimusa5475 жыл бұрын
Juu zaidi
@ABDULRAZAKADAMHASSAN10 ай бұрын
Good affect
@ibrahimabdul54908 жыл бұрын
Inatakiwa Shekhe atembeze na fimbo. Mana watu wanajibiwa swali ekesha wanarejea hilohilo. Ekesha kitu kingine nilichokipima mm hawa Mapastor ukosefu wa kutokujuwa kiswahili fasagha. Mana hawajui maana ya kuchaguliwa wala kutumwa. Au kama wanafahamu basi itakuwa wanataka watu wawaone kama wasomi na majibu wanayojibiwa sio sahihi. Au hawakubali kushindwa na kama hawakubali kushindwa,unaambiwa siku zote asiekubali kushindwa sio mshindani.! Au kama vp kaeni hivohivo na ukafiri wenu ipo siku ndo mtamjua M/mungu ni nani.? Mana siku zote unaambiwa kuku wako mwenyewe umshikie manati yanini. Wee muache aruke rukee jioni akiingia bandani tu unamkamata. Ndo M/mungu nyinyi anakufanyeni kama kuku tu ipo siku mkifika mbele yake ndo mtamjua kama Mungu ni nani..?
@saidatsuluo43658 жыл бұрын
Vzztzzzu
@AlamriFofo7 жыл бұрын
hahahah fimboooo tena
@princerammy15432 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mohamedkisoma34925 жыл бұрын
mashallah mazinge
@prosperjuma9055 жыл бұрын
Huwez kumjua Mungu wa kweli kwa style hiyo. Sidhan kama mnajua mnachokifanya. Huwez kumjua Mungu kusoma vitabu vya dini pekee. Ni lazima uende zaid ya hapo. Maana hata waliondika hayo maandiko nao hawajajua kila kitu kuhusu Mungu. Huwez kuujua ukweli kwa kubishana hivyo.
@albassamjjamali92865 жыл бұрын
aaa bora ushindane na wote si mazingee mazinge anaelimu
@abdallahmseven6005 жыл бұрын
Kweli anayo zaidi ya wakristo wote
@achivanejaphary25348 жыл бұрын
hata Mimi namwo mbea dua afanye kazi vizuri
@joyjey86092 жыл бұрын
mbona mazinge anajibiwa maswali na anashindwa kujibu lakini hamsemi
@asrymohd66905 жыл бұрын
Mashaallaaah UST mazinge
@BernardLegembo15 жыл бұрын
Nani ameruhusu wenye uelewa mdogo kujadili mambo makubwa. Mifano ya kitoto oooooo . wanaongea kihuni iiiiiiii
@deone7287 жыл бұрын
Barikiwa Mchungaji
@masseanadir29047 жыл бұрын
Dolvine Kwamboka andika kwa kiswahili English hujui, sio all this names, ni all these names kilaza ww mnataka kujifanya wasomi kumbe Hamna kitu chochote