MaShaAllah Allah azidi kukupa umri mrefu tuzid pata faida toka kwako
@user-zr5lb9zk1g Жыл бұрын
Asalam aleikm warahimathullahi wabarakatuhu sasa sisi wenye tuko Kenya Mombasa tutazipata vp hizo dawa innsha Allah
@ghaniyyatkinyogoli82149 ай бұрын
Nend duka la daw za asil
@Albertmusita7 ай бұрын
Marikiti
@jumamwindadi2 ай бұрын
Assalaam Alaykum. Mimi pia nasumbuliwa na tatizo hili la nguvu za kiume. Leo nimebahatika kisikilza mchanganyo wa dawa 13.Lakini ni kweli dawa moja inkosekana kama walvyo gundua wasikilizaji wengine nabado mimi binafsi sijapata jibu ya hiyo dawa inyokosekana. Pia mimi naomba Aya/Sura rukya za kusoma na kama ipo dawa kamili iliyokwisha andaliwa ya mchanganuo huu na bei yake tafadhali Skh. tutajie. Wabillah Tawfiq.
@user-ml6ms5js9x10 ай бұрын
Assalam alkum mm tatizo langu Nina mshipa watumbo umenizuya damu ya hedhi naumwa Sana he nifanyeje
@ibrahimcollow17898 ай бұрын
Shukran shekh Othman
@ridhiwanisaidi-gs5tf Жыл бұрын
Maashaallah, Allah akulipe kheri shekh wetu kwa faida hizi adhwiim, ilaa dawa ya 9, hatujaisikia.
@omarimsangi40759 ай бұрын
ni kweli namba 9 imerukwa
@allyhuyu18928 ай бұрын
Dawa ni 13 na zote zimetajwa
@EmanuelMoshi-ss4ec18 күн бұрын
Hajataja
@MwinyiMwinyihija11 ай бұрын
Shukran sheikh
@user-ee3th3tn4i5 ай бұрын
Shukran shekhe letu
@ismagatarama1285 Жыл бұрын
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh sheikh nauliza dawa hiyo bai gani na nitayipata aje
@mwalimumlaula6167 Жыл бұрын
Tatizo Sheikh wetu tunakuomba kwa niaba ya Allah ututajie mchanganyo wa 13,umetutajia michanganyo 12 pekee,pia tunaomba uwe ukitujibu tunapokuuliza maana umejitolea kwa ajili ya Allah kuelemisha Ummah
@ukhtiamina7762 ай бұрын
Shekhe jazakallahu khaira
@kit-thsabanyene97524 ай бұрын
Sasa cheikh Michael nina swali kwako nikikufuata na nikiwa hapa Congo/ Lubumbashi. Naomba uniruhusu niyaeleze matatizo yangu ya afya. ( Canser,tezi dume,kukosa nguvu za kiume... 24:16 dume,
@AlexGLyimo9 ай бұрын
Hiyo dawa inaitwaje maana jina hujalisema ili tuweze kuinunua na kuitumia. Wapi watu wengine tumehamasika nayo.
@user-qo1db1eq2c10 ай бұрын
Asalam alykum sheikh mm nahitj hy dawa naipataje kutoka kwako orginal
@ibrahimmaulid2704 Жыл бұрын
Sheikh namba ya simu yako vp Kuna mambo ya kujadili juu ya tiba yako sheikh thks
@SalumHaji-ys4nj9 ай бұрын
Maashaallah
@user-pl2um2wy4z9 ай бұрын
Shukran sheik wangu naomba namba yako
@user-qj5us7zb7x5 ай бұрын
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh sheh tunashukuru sana kwa dawa izo mimi nipo cape town south Africa tapata iyo dawa vipi?
@jerrymcbride223010 ай бұрын
I wish u can say those names in English too
@mamdiakite6987 ай бұрын
Naam❤
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Sasa kinamama hicho ndio chakula cha wanaume , mahsusi kwa maumbile ya uzazi ya kwao, nguvu za mwanaume huletwa na vyakula hivi, ugali, maharage,kuku, wali, na vyakula vya kila siku ni vya kuupa mwili nguvu tu, lkn kwa kitandani hii ndio dawa mujarab
@user-qz9gl2qu1e Жыл бұрын
Assala alaikum warahmatullah wabarakatuh vipi halizenu? Kwa watu Burundi dawa iyo waipata vipi?
@conniekimaru705 Жыл бұрын
Kindly uwe pia unaeleza na kiingereza please to those who don’t understand Kiswahili properly
Asalam alaykum mm nko kenya mombasa je naeza pata hii dawa na n kwagarama gana
@mkmwayama4534 Жыл бұрын
Asslam alaikum...ina expire baada ya muda gani
@AbdiKadirKanu10 ай бұрын
asalamwaleikum sheik shukran kwa darsa nakufatilia vizuri mungu akulipe inshaala
@user-zb3ju4su2w11 ай бұрын
Swml imamu tutapatadje iyi Dawa Congo ? Upande wa mokambo njiya ya kwenda lubumbashi.
@delvinaemanel2519 Жыл бұрын
Waslmu walekum Niko Kenya nikitaka nitaipataje
@OBEDIMikoba-no9rb10 ай бұрын
Na Mimi naitaji dawa hii ninaishi Zambia je ninawezaje kuipata nina umri wa miaka 65
@Rapidscity5 ай бұрын
Kindly explain in english
@user-sf2ne3tf9w5 ай бұрын
Asalamu alaykum shek mm nipo zanzibar ntaipataje
@abdulhakimhussein60399 ай бұрын
Samahani naomba numbers za Cheikh za WhatsApp ! Nisaidiyeni Ndugu zangu
@Fear_Allah3948 ай бұрын
Ssa utamkuta m’me wa siku hzi shida tupu cha kukila mtihani anakwenda kutafuta dawa za kuongeza nguvu anakula halafu anakwenda kutafuta wtto wa watu 2,3 au 4 anaoa anaanza kuwatesa kwa kufanya kazi yy akiguswa hana pesa.
@MarwaMsela-zx5wr Жыл бұрын
Doctor unapatikana wap maana nam nahitaji dawa maana ninatatizo la nguvu za kiume
@user-ys6zu8hd8q6 ай бұрын
Urijani sijakuelewa ni mmea gani au unajina lingne hapa tanzania
@brunonguma315211 ай бұрын
Nimefurahia somo lkni je dawa no. 9 mbone hujaitaja. Dawa hizi ziapatikana wapi.
Aksanti Mzee lakini utusaidiye kufasiriya hiki kiungo Cha pili habasauda
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Asslam Alaikum Waramatullah Wabarakatu Tulikuwa Maakini Sana Kwa Izo Dawa Ila Mumokosea Dawa Moja Kuitaja Kma Amtokali Mnaweza Kurudira Iyo Dawa Ili Ikalimike 13 Yyi Mumechanganya 12 😢😢😢
@jafaryibrahim43688 ай бұрын
kWELI
@kassimkamtande7358 ай бұрын
10:42 10:45
@zawadidagamra410611 ай бұрын
Assalmalkm, huku Kenya tutazipata wapi? Count ya Kilifi. Mashallah Allah akupe kheri utupe mafunzo.
@Cute-jh4jw7 ай бұрын
Sheikh nimekufuatia sana ila mmeruka kitu cha 10
@philipsaleh6 ай бұрын
Tumeiskia dawa yako shehk ila tutakupataje ili tupate maelekezo zaidi?
@issaiddy129510 ай бұрын
Asalamualikumu warahmatullah wabarakatu shekh mimi niko swiss sijuwi nitaipataje iyodawa
@ismailissa39965 ай бұрын
Aliepata majibu ya namba 9 atuambie jamani
@user-ys6zu8hd8q6 ай бұрын
Abasauda kwa jina lingne ni lipi hapa tanzania
@fatmaahmed86372 ай бұрын
HABA SODA jina ni hili tu inajulikana kote jina hili.pia ni Kiarabu.
@abdulrahmanmwinga324811 ай бұрын
Yenye Uko Tayari kwa hiyo Mkebe mdogo inaitwaje
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Cha Tano Iliki Jameni Mtatuchangaya
@user-eq7co3jr2n9 ай бұрын
Dawa bei gani,na nipo kilimanjaro
@user-dg2lo3fi9b9 ай бұрын
Asalam alikum ,samahani lakini shekhe huwa uko upande ngani, mara kwa ruqia mara ndoto mara mawaidha ili uwe mzuri kwajamb o fulani lazima uwe na istikama,🇰🇪 samahani kama nimekosa
@jumachengo2677 Жыл бұрын
Hulinjani kiingereza ni nini?
@ghaniyyatkinyogoli82149 ай бұрын
Ss wa mombasa
@sesilialaga54032 ай бұрын
Namwanamke anatumia?
@user-wm4cb7sd4w9 ай бұрын
Hayo Maziwa yanachemshwa au?
@ameiramme25483 ай бұрын
Jina gani la dawa na inapatikana Duka gani
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Jameni Pili Pili Manga Ni Dawa Ya 9 Mbona Muneruka