Mungu Amponye Askofu Nkwande, aendelee kulihudumia Kanisa Amina
@florencemeza65405 ай бұрын
Nampenda nkwande ni Askofu mwenye hofu ya Mungu saaana toka akiwa mkuu wa Nyegezi semini
@josephnshimba35665 ай бұрын
Pole Sana Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande. Nini kimempata Baba Askofu mpaka kutembelea Magongo!
@greysonmatogo46625 ай бұрын
Aisee kumbe Mzee anaumwa sasa mpk amepewa support ya kutembelea, tuwe na utamaduni wa kutoa taarifa kamili za viongozi wetu wakubwa kuhusu afya zao sio kusema ana changamoto tu, mbona Roma huwa inatoa mkeka mzima baba mtakatifu akiwa anaumwa.