Mhasham askofu hongera San kwa kukemea ushoga nmekuwa nakufatilia San, usemayo ni kwel
@emmanuelntalima1717 Жыл бұрын
Asante Baba Askofu Nkwande kwa kumheshimisha mpendwa wetu, anaestahili kuenziwa kwa yale mema yote aliyotuachia km shule ya uongozi. Pole kwa maumivu ya ugonjwa, Mwenyezi Mungu akuponye uendelee kuelimisha.
@selemsigala4771 Жыл бұрын
Asante sana Baba Askofu kwa ujumbe wako mzuri kwa hakika Hayati Magufuli tuta endelea kumwombe mpaka mwisho kwani kazi alizo zifanya hakika zitadumu vizazi na vizazi.
@mathiasgandeta6910 Жыл бұрын
Ahsante sana Baba nkwande... MUNGU akupe nguvu.
@gabybulba9574 Жыл бұрын
Baba Askofu maneno yako ya ukarimu tushayapokea baba, sema ile kitu mwanaume anatakiwa kunuka jasho nimecheka sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,