Wawooo nashukuru Sana baba karobo amepona watu mumefurahi kwakupona baba karobo munipe like
@janetkyumbe715413 күн бұрын
Aki final ameona sasa Wacha tuone Bora isiwe baba karobo anaota😂😂😂😂
@juliensango850413 күн бұрын
Aki tume furahi sana kabisa sana 😊
@emilymarcel817213 күн бұрын
Huyu atakua anaota@@janetkyumbe7154
@rukcabby257213 күн бұрын
@@janetkyumbe7154umeona pia ww😂😂
@user-kb1rq8dx1h13 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅@@janetkyumbe7154
@ElogeKambale-bw2zd14 күн бұрын
Ata kama wa 42 Léo nime Chelewa naombeni ata liké 10 nawapenda❤❤😂🎉 nyinyi nyote ongera baba karobo🎉 kwa movie zenu ❤🎉❤
@delvinejeruto12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-ro1fg5ur9l14 күн бұрын
wapenzi watazamaji Leo nimewahi mapema tu wapi like za baba Joan 🎉🎉
@LuciaBukula14 күн бұрын
Hatimae baba kalobo kaona like kwake kwa waliofurahi baba kalobo kuona
@bintijumachongoa89213 күн бұрын
kwel
@joelnyaga198513 күн бұрын
halafu ukute ilikuwa doto,😂
@maylucson00113 күн бұрын
Na nindoto kweli bc😂
@LuciaBukula13 күн бұрын
@@maylucson001 ndoto Tena jaman
@LuciaBukula13 күн бұрын
@@joelnyaga1985 aaa nayo yawezekana ety
@Kamoste14 күн бұрын
Number one kilifi kenya mpoooo nimefika kikambala ❤❤kazi safiiii mamakalobo anaupiga mwingi😂😂
@user-xl3gx3hw2p14 күн бұрын
Like zangu ziko wapi💕🥰🥰🥰
@gastonerobert202613 күн бұрын
Mtwapa nko apa
@faithkalulu14 күн бұрын
mama karobo akona roho chafu jamani😢😢,nipeni likes jameni
@graffinamisi9 күн бұрын
Like zikusaidie na nini jamani
@faithkalulu9 күн бұрын
@@graffinamisi none of your business braza
@faithkalulu9 күн бұрын
@@graffinamisi na sipendi uchokozi
@graffinamisi9 күн бұрын
@@faithkalulu failure badala ya kutafuta kazi ya kufanya ww huko uku hunaomba like
@faithkalulu9 күн бұрын
@@graffinamisi failure ni ww,nakuhurumia sana ady,nani amekwambia niko na aja na kazi..na kitu ingine na ya mwisho achana na comment yangu la sivyo utajua mm ni mkamba na siliagi macho mshezi ww ata auna maisha
@jaycburundi25714 күн бұрын
Wa kumi na Nani kutoka Burundi Munigongeye like tumuoneshe upendo baba karobo ❤
@dorinenahimana995814 күн бұрын
😅😅
@jaycburundi25713 күн бұрын
Unacheka nini dodo
@modex_037614 күн бұрын
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa
@fredrickndangili827414 күн бұрын
Mie natokea Kenya naona uswahilini man warembo
@aliteezAhmed14 күн бұрын
Kenya
@faithkemuma911314 күн бұрын
Apo n poa
@user-jv8cn9iz8v13 күн бұрын
Tuko wengi hapa.
@josphatwanyeki841313 күн бұрын
Tupo hapa
@dianaqueen796714 күн бұрын
Wa kwanza leo naomba likes hata kumi jamani
@gaudenciasyl980914 күн бұрын
Dakika ya tatu naomben like jaman❤❤❤🎉
@user-wy8ru2pi4s14 күн бұрын
Weee mama kalobo roho mbaya natazama kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@KeristiStel14 күн бұрын
Hi
@bridgetakuku695514 күн бұрын
Ako na roho mbaya sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JohnsonMwita-uz5dn14 күн бұрын
Eeeeh mama kalobo ako na roho mbaya sana😂😂😂😂😂
@YusraSiyaleo-yk2fz13 күн бұрын
Hivi huko kenya kaz za ndan wanaripa.shi ngap@@bridgetakuku6955
@emm-blacklight524314 күн бұрын
Baba yangu kipofu ❤❤❤so best i like from congo drc
@vallesndayishimiye239614 күн бұрын
Limama Karobo Fake nalichukia 😢😢😢 love from Burundi
@bridgetakuku695514 күн бұрын
Nalichukia sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fayojarso377714 күн бұрын
Baba karobo leo nimefurahi sana,baba karobo amepoona kabisa,
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin13 күн бұрын
Ni ndoto hiyo 😂😂
@user-hb9eq2fo6z14 күн бұрын
Woiyeee 😂 wapili kutoka Kenya naomba likes jameni,, ata kamoja😂
@user-xy4kt8wk6l14 күн бұрын
❤❤❤
@user-eo8wi2is7t14 күн бұрын
Burundi mimi wakwanza🇧🇮 munipe like zangu
@kingchiefking926514 күн бұрын
Eebaneee wakwanza kutolz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 egzo nzuli bro
@MashMashile14 күн бұрын
Baba Joan film y mafundisho y maisha nakukubali sana
@user-dc5xm3bd9x14 күн бұрын
Eheeeee Maman Karobo Wakwel Asante Mungu Aposasa Nimwoto ❤❤❤🇧🇮 Zugati Umefikilia Mapenzi Ya Baba Karobo ❤❤❤
@Asma-hn1jk13 күн бұрын
mashaAllah nimefurh kumuon baba karobo akion tena furah ya karobo😊😊😊😊😊
@user-vo7yb6wp1m13 күн бұрын
Woow Baba karobo amepona kweli mungu ni wa ajabu aaishe leteni engine haraka iwezekanavyo🎉🎉❤
@SARIVE.LAME_12314 күн бұрын
Guys Nani amamkubali baba joan but uwaga analeta video nyuma sana tunakuwaga tumechoka kusubiri Ila good job ❤❤
@RoselineMulwa-qg4bn14 күн бұрын
Leo wamewai jamani
@user-ie8om7kh5w13 күн бұрын
Wow congratulations team kibanio nina imani watafanikiwa wow so nice wapi likes za baba karobo kaona congrats❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-cj9pe5ts6c14 күн бұрын
Hata mm Leo nimejaribu like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Baba karobo kasha pona ❤
@kondebouy130813 күн бұрын
Wow nimewahi mapema ila saudat ameteka roho yangu from kenya nipe pia likes🤗
@RehemaKitsao13 күн бұрын
Me nawapendea ivi Yan hamcheleweshangi move yenu good work ❤❤
@niyogushimadorine608614 күн бұрын
Leo niko wakalibu kwa kutok Burundi 🇧🇮 warundi wenzangu mukikuja nyuma tujuwane😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@DesireNiyitunga13 күн бұрын
Nataman nikufaham
@AmonIhangane13 күн бұрын
Baba Joan nakupenda kabisa Mutu mtulivu Kutoka kwenye filamu MWALIMU MUGENI kufika huku unanifunza sana ubalikiwe
@Tikijmlengo-rj8ed14 күн бұрын
imewai hii hadi laha🎉🎉🎉🎉
@user-oj2bd9td6r13 күн бұрын
Waouh🥰🥰🥰🥰💋💋💋💋🤗🤗hapo sasa baguer oyaa itok mupusi nafurahi sana tena sana❤❤❤❤
@MosesMakokha-tg4ki13 күн бұрын
Wow baba karoboo you are number one in Tanzania I respect you na MUNGU akupe hekima na maharifa ili tuweze kuburudika hivi Kila time 💪💪🌹
@AbdulMussakabagambe-qd6lv13 күн бұрын
Duh mama karobo wa michongo atakoma kwa sasa baba karobo anaona amesaidiwa na mzimu wa mke wake ambaye ni mama karobo origino💪💪💪💪👏👏👏👍👍👍👍
@SarahBimuloko13 күн бұрын
Mama kalobo original uyoooooo Safi sana mama karobe nipende mimi sasa nikuchungiye mwanaoo vizuri from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@joygitahi380914 күн бұрын
Watching from Berlin Germany, nawapenda sana.
@babutalemituno14 күн бұрын
Baba joan toa hata episode mbili mbili kwa sku maan unatukatishia utamu brother,,,,,,
@user-hm6hy6rr1h14 күн бұрын
Baba kalobo uyo ajabadilika ni nyok uyo kua makin san
@user-fk4pd6bp7j14 күн бұрын
A la 1ere minute.kutoka 🇧🇮 like kwangu
@dondeprincer952714 күн бұрын
aaah kazi safi ila wakenya mnapenda likes😂😂am kenyan tho
@user-lz6jb3nr9d14 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@HadijaHuseni14 күн бұрын
Mhh ayo macho yama karobo Kama feniiiii❣️❤
@user-ii3rb6uj7g22 сағат бұрын
😂😂😂𝐲𝐚𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐛𝐥𝐚 𝐛𝐫𝐞𝐚𝐤
@user-ff9gr2ns1c14 күн бұрын
Mashallah mashallah ❤️ ♥️ 🇰🇪 🇰🇪
@vavavava-ed7lg13 күн бұрын
Ooooh God thank you kwa baba karobo kuona .tapfazalie usioneshe uyo mama wa roho cafu Kama umeona 🙄paka uyajuwe yote 🗣️Asante enjoy mama karabo🙏 nawapenda sana .from Rwanda 🙏
@GaidiBeuchi14 күн бұрын
Asante sana baba joan kwa job yko nzuri naomba mola akuzidishie
@BrianMulari13 күн бұрын
Safi sana movie inazidi kunoga episode 15 ije haraka bwana
@user-ex6tg6di7r14 күн бұрын
Baba Joan Mimi shabiki wako sugu , hongera sana Kwa kazi nzuri👏👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@glorymanga365014 күн бұрын
Ngojaa niangalie kwanza movie
@ksaskaka13 күн бұрын
Niko nafuraha sna leo mamakarobo namponya baba karobo ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@user-zm8wo1ue7e13 күн бұрын
Zujati umebarikiwa maashaallah❤❤❤❤
@niyogushimadorine608614 күн бұрын
Nafurahi sana kwasababu baba kalobo amewona🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
@NzarokalamaNzarokalama14 күн бұрын
Mama karobo bandia Hana mpango kabisa 😢😢 sheeeeeenzi sana
@HassanBambaza14 күн бұрын
Namm nimewahi Leo jmn naomba like
@marietacristovao138713 күн бұрын
Kutoka mozambique nawafatilia vizuri,hongera bakarobo na team yako kwa jumla
@FrancoIndeche13 күн бұрын
Sad swahili movie .it make sense like pete ya ajabu .watching live from Nairobi kenya❤❤❤
@Pauline-25414 күн бұрын
Weee uku hope cjachelewa sana pia mm naomba likes
@constantinndayishimiyenshu494813 күн бұрын
Eeeeeeeeeeeeeeeee mnipe like kabisa kutoka Rwanda
@morjanoman518113 күн бұрын
Wawoooo Baba karobo umepona naomba muendelezo Niko. Oman. Nafurahia ninavyo angaria filam na tz
@cishamakejoseph14 күн бұрын
Amazing film rwanda we together
@esterester362814 күн бұрын
Whaaat!! Yani ndio tayari Baba Kalobo kapona macho😂😂😂😂nimefurahi sana😂😂❤
@NelcyAfrica13 күн бұрын
Mama karobo ni mbaya kiasi hicho aaaaah
@janemoraa847013 күн бұрын
Wow amazing baba karobo umeona mmmmh mungu ni mwema aki mama karobo amekusaidia sana ❤❤❤❤
@BrandinaAntony14 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@user-fh5ko7he2z13 күн бұрын
Hatimae baba karobo anaona 😂😂😂😂 hongereni sana mama karobo sasa naona kitamramba na hizo plan zake za kumtesa baba karobo 😮😮😮😢
@aminakenyaa933713 күн бұрын
Sasa imefika mahali pazuri sana ..tunasubiri 15 🔥🔥🔥
@macrinafuraha-zg3mi13 күн бұрын
Woooow am so happy baba karobo kaona tena🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@EmilykuvunaKonzi13 күн бұрын
Wow spirit ya mama karobo haikua na amani😢🎉🎉🎉❤
@sweetbabymwangi837313 күн бұрын
Afadhali sasa Baba Karobo anaona. Mama Karobo chuma chako ki motoni sasa. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@belysenibitanga278614 күн бұрын
Woow naomb utupatie next episode,naomb uy mama karob asijue kam umepona
@user-lv6xv6nf5j12 күн бұрын
Waah Babajoan umenikosha na team yako kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
@MwanalimaAbdallahkea14 күн бұрын
Hivi nyie wendzangu hizi like mnazipeleka wap ebu mnipe na mm nione zitanifkisha wap 😂😂😂
@user-ii3rb6uj7g22 сағат бұрын
𝐊𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐧𝐢𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐧𝐚𝐦𝐦😂😂😂
@MwanalimaAbdallahkea17 сағат бұрын
@@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣🤣🤣
@zainaburashidi812714 күн бұрын
Aya jamani nimewahi😅
@user-help04613 күн бұрын
😂😂😂😂😂nikali sana mama kalobo ww nakuchemusiea chai yako motoni likes please hapo❤❤
@DeguerreKanyoni10 күн бұрын
Hongela sana baba yake Karobo. Nafurahia kuona macho yako yanafanya kazi kama zamani. Nina shauku ya kuyiona next period
@RashidMgeni14 күн бұрын
Ooo, jmn Tasha aongea vizur huyu yahee,
@amarsaod659514 күн бұрын
Baaas imeanza kua fire❤❤❤❤❤❤❤mama karobo's ghost is back mashalla lets keep going❤❤❤🎉🎉🎉
@danieldemuriah688113 күн бұрын
Demuriah kutoka Kenya Nairobi jamani mvua leo imenifungia kazini lakini tuashukuru... Nimewai❤❤❤
@user-ps7ur8kw8h13 күн бұрын
Asante mama karobo qwa kujitokeza na kumponya mmeo ss bac nifanyie jambo uyo katili mpe uyo uwo upofu🙄😊
@MaryJoseph-d1i14 күн бұрын
Nimewahi like zangu na mm
@HassanSeif-mh6oh14 күн бұрын
Aka katoto nako kameamua apite humo humo 😂😂😂😂 kama noma na iwe noma 😂
@amisabakari126314 күн бұрын
Leo nimekua wakwanza jamani maajabu
@kenyasloughinggags155314 күн бұрын
Hata Mimi na comment nipe likes
@philipolugoma379614 күн бұрын
Baba joan unapendwa kweli na zujat balaa ila Zujat ni mzuri jamani sio siri
@delvinejeruto12 күн бұрын
Ni ukweli zujat ana.mpenda baba karobo awachane na huyo shetan
@issakabezi13 күн бұрын
Nmefurah sana baa kaloobo kuonaa
@hghh605613 күн бұрын
Jamani hizi vitu twaeza amini kweli viko wakati mkeo kafa na ww uwe mngonjwa napiga mkeo aje kukutokezea up one kweli viko 🤔🤔mm nabaki kushangaa ila hii movie inanitia manjodzi saana aki wanawake kma mama karobo wa Sasa sio wanake wazuri🎉🎉❤❤ kazi nzuuri baba jone
@user-rk1uq3ht4z14 күн бұрын
Waooo jmn nice plz leteni haraka uwii imenogaje
@happygalahenga78214 күн бұрын
Wa ishirini na tatu 😀
@MashMashile14 күн бұрын
Kumewaka moto plzz harakisha n part 15 thank you so much baba❤
@JosephKatana-o5e13 күн бұрын
Hongera kwako kwa kaz nzur
@fatumakushonda427713 күн бұрын
Team strong tuko ndani km kitu nyengine😂😂😂😂😂
@user-pm8vd9ni9y14 күн бұрын
Yan mam karobo wew mbingun utapasikia tu mbwa wewe😢😢😢😢
@charityngumbao13 күн бұрын
Raha iliyoje baba kalobo kaona,wale walio kuwa wakitaman aone ili mwanawe apumuzimke mateso wako wapi❤