Wawooo nashukuru Sana baba karobo amepona watu mumefurahi kwakupona baba karobo munipe like
@janetkyumbe715416 күн бұрын
Aki final ameona sasa Wacha tuone Bora isiwe baba karobo anaota😂😂😂😂
@juliensango850416 күн бұрын
Aki tume furahi sana kabisa sana 😊
@emilymarcel817216 күн бұрын
Huyu atakua anaota@@janetkyumbe7154
@rukcabby257215 күн бұрын
@@janetkyumbe7154umeona pia ww😂😂
@user-kb1rq8dx1h15 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅@@janetkyumbe7154
@ElogeKambale-bw2zd16 күн бұрын
Ata kama wa 42 Léo nime Chelewa naombeni ata liké 10 nawapenda❤❤😂🎉 nyinyi nyote ongera baba karobo🎉 kwa movie zenu ❤🎉❤
@delvinejeruto14 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@LuciaBukula16 күн бұрын
Hatimae baba kalobo kaona like kwake kwa waliofurahi baba kalobo kuona
@bintijumachongoa89216 күн бұрын
kwel
@joelnyaga198515 күн бұрын
halafu ukute ilikuwa doto,😂
@maylucson00115 күн бұрын
Na nindoto kweli bc😂
@LuciaBukula15 күн бұрын
@@maylucson001 ndoto Tena jaman
@LuciaBukula15 күн бұрын
@@joelnyaga1985 aaa nayo yawezekana ety
@user-ro1fg5ur9l16 күн бұрын
wapenzi watazamaji Leo nimewahi mapema tu wapi like za baba Joan 🎉🎉
@Kamoste16 күн бұрын
Number one kilifi kenya mpoooo nimefika kikambala ❤❤kazi safiiii mamakalobo anaupiga mwingi😂😂
@user-xl3gx3hw2p16 күн бұрын
Like zangu ziko wapi💕🥰🥰🥰
@gastonerobert202615 күн бұрын
Mtwapa nko apa
@faithkalulu16 күн бұрын
mama karobo akona roho chafu jamani😢😢,nipeni likes jameni
@graffinamisi11 күн бұрын
Like zikusaidie na nini jamani
@faithkalulu11 күн бұрын
@@graffinamisi none of your business braza
@faithkalulu11 күн бұрын
@@graffinamisi na sipendi uchokozi
@graffinamisi11 күн бұрын
@@faithkalulu failure badala ya kutafuta kazi ya kufanya ww huko uku hunaomba like
@faithkalulu11 күн бұрын
@@graffinamisi failure ni ww,nakuhurumia sana ady,nani amekwambia niko na aja na kazi..na kitu ingine na ya mwisho achana na comment yangu la sivyo utajua mm ni mkamba na siliagi macho mshezi ww ata auna maisha
@emm-blacklight524316 күн бұрын
Baba yangu kipofu ❤❤❤so best i like from congo drc
@jaycburundi25716 күн бұрын
Wa kumi na Nani kutoka Burundi Munigongeye like tumuoneshe upendo baba karobo ❤
@dorinenahimana995816 күн бұрын
😅😅
@jaycburundi25716 күн бұрын
Unacheka nini dodo
@gaudenciasyl980916 күн бұрын
Dakika ya tatu naomben like jaman❤❤❤🎉
@modex_037616 күн бұрын
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa
@fredrickndangili827416 күн бұрын
Mie natokea Kenya naona uswahilini man warembo
@aliteezAhmed16 күн бұрын
Kenya
@faithkemuma911316 күн бұрын
Apo n poa
@user-jv8cn9iz8v16 күн бұрын
Tuko wengi hapa.
@josphatwanyeki841316 күн бұрын
Tupo hapa
@user-dc5xm3bd9x16 күн бұрын
Eheeeee Maman Karobo Wakwel Asante Mungu Aposasa Nimwoto ❤❤❤🇧🇮 Zugati Umefikilia Mapenzi Ya Baba Karobo ❤❤❤
@dianaqueen796716 күн бұрын
Wa kwanza leo naomba likes hata kumi jamani
@fayojarso377716 күн бұрын
Baba karobo leo nimefurahi sana,baba karobo amepoona kabisa,
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin15 күн бұрын
Ni ndoto hiyo 😂😂
@user-vo7yb6wp1m16 күн бұрын
Woow Baba karobo amepona kweli mungu ni wa ajabu aaishe leteni engine haraka iwezekanavyo🎉🎉❤
@kingchiefking926516 күн бұрын
Eebaneee wakwanza kutolz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 egzo nzuli bro
@Asma-hn1jk16 күн бұрын
mashaAllah nimefurh kumuon baba karobo akion tena furah ya karobo😊😊😊😊😊
@user-eo8wi2is7t16 күн бұрын
Burundi mimi wakwanza🇧🇮 munipe like zangu
@vallesndayishimiye239616 күн бұрын
Limama Karobo Fake nalichukia 😢😢😢 love from Burundi
@bridgetakuku695516 күн бұрын
Nalichukia sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MashMashile16 күн бұрын
Baba Joan film y mafundisho y maisha nakukubali sana
@user-cj9pe5ts6c16 күн бұрын
Hata mm Leo nimejaribu like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Baba karobo kasha pona ❤
@user-wy8ru2pi4s16 күн бұрын
Weee mama kalobo roho mbaya natazama kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@KeristiStel16 күн бұрын
Hi
@bridgetakuku695516 күн бұрын
Ako na roho mbaya sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JohnsonMwita-uz5dn16 күн бұрын
Eeeeh mama kalobo ako na roho mbaya sana😂😂😂😂😂
@YusraSiyaleo-yk2fz16 күн бұрын
Hivi huko kenya kaz za ndan wanaripa.shi ngap@@bridgetakuku6955
@user-ff9gr2ns1c16 күн бұрын
Mashallah mashallah ❤️ ♥️ 🇰🇪 🇰🇪
@niyogushimadorine608616 күн бұрын
Leo niko wakalibu kwa kutok Burundi 🇧🇮 warundi wenzangu mukikuja nyuma tujuwane😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@DesireNiyitunga16 күн бұрын
Nataman nikufaham
@user-ie8om7kh5w16 күн бұрын
Wow congratulations team kibanio nina imani watafanikiwa wow so nice wapi likes za baba karobo kaona congrats❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@kondebouy130816 күн бұрын
Wow nimewahi mapema ila saudat ameteka roho yangu from kenya nipe pia likes🤗
@SARIVE.LAME_12316 күн бұрын
Guys Nani amamkubali baba joan but uwaga analeta video nyuma sana tunakuwaga tumechoka kusubiri Ila good job ❤❤
@RoselineMulwa-qg4bn16 күн бұрын
Leo wamewai jamani
@Tikijmlengo-rj8ed16 күн бұрын
imewai hii hadi laha🎉🎉🎉🎉
@AmonIhangane15 күн бұрын
Baba Joan nakupenda kabisa Mutu mtulivu Kutoka kwenye filamu MWALIMU MUGENI kufika huku unanifunza sana ubalikiwe
@AbdulMussakabagambe-qd6lv16 күн бұрын
Duh mama karobo wa michongo atakoma kwa sasa baba karobo anaona amesaidiwa na mzimu wa mke wake ambaye ni mama karobo origino💪💪💪💪👏👏👏👍👍👍👍
@RehemaKitsao16 күн бұрын
Me nawapendea ivi Yan hamcheleweshangi move yenu good work ❤❤
@user-oj2bd9td6r16 күн бұрын
Waouh🥰🥰🥰🥰💋💋💋💋🤗🤗hapo sasa baguer oyaa itok mupusi nafurahi sana tena sana❤❤❤❤
@user-hm6hy6rr1h16 күн бұрын
Baba kalobo uyo ajabadilika ni nyok uyo kua makin san
@MosesMakokha-tg4ki15 күн бұрын
Wow baba karoboo you are number one in Tanzania I respect you na MUNGU akupe hekima na maharifa ili tuweze kuburudika hivi Kila time 💪💪🌹
@joygitahi380916 күн бұрын
Watching from Berlin Germany, nawapenda sana.
@SarahBimuloko16 күн бұрын
Mama kalobo original uyoooooo Safi sana mama karobe nipende mimi sasa nikuchungiye mwanaoo vizuri from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@dondeprincer952716 күн бұрын
aaah kazi safi ila wakenya mnapenda likes😂😂am kenyan tho
@user-lz6jb3nr9d16 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@HadijaHuseni16 күн бұрын
Mhh ayo macho yama karobo Kama feniiiii❣️❤
@user-ii3rb6uj7g3 күн бұрын
😂😂😂𝐲𝐚𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐛𝐥𝐚 𝐛𝐫𝐞𝐚𝐤
@vavavava-ed7lg16 күн бұрын
Ooooh God thank you kwa baba karobo kuona .tapfazalie usioneshe uyo mama wa roho cafu Kama umeona 🙄paka uyajuwe yote 🗣️Asante enjoy mama karabo🙏 nawapenda sana .from Rwanda 🙏
@babutalemituno16 күн бұрын
Baba joan toa hata episode mbili mbili kwa sku maan unatukatishia utamu brother,,,,,,
@user-fk4pd6bp7j16 күн бұрын
A la 1ere minute.kutoka 🇧🇮 like kwangu
@user-hb9eq2fo6z16 күн бұрын
Woiyeee 😂 wapili kutoka Kenya naomba likes jameni,, ata kamoja😂
@user-xy4kt8wk6l16 күн бұрын
❤❤❤
@glorymanga365016 күн бұрын
Ngojaa niangalie kwanza movie
@GaidiBeuchi16 күн бұрын
Asante sana baba joan kwa job yko nzuri naomba mola akuzidishie
@niyogushimadorine608616 күн бұрын
Nafurahi sana kwasababu baba kalobo amewona🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
@FrancoIndeche16 күн бұрын
Sad swahili movie .it make sense like pete ya ajabu .watching live from Nairobi kenya❤❤❤
@NzarokalamaNzarokalama16 күн бұрын
Mama karobo bandia Hana mpango kabisa 😢😢 sheeeeeenzi sana
@BrianMulari16 күн бұрын
Safi sana movie inazidi kunoga episode 15 ije haraka bwana
@user-zm8wo1ue7e16 күн бұрын
Zujati umebarikiwa maashaallah❤❤❤❤
@user-ex6tg6di7r16 күн бұрын
Baba Joan Mimi shabiki wako sugu , hongera sana Kwa kazi nzuri👏👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Pauline-25416 күн бұрын
Weee uku hope cjachelewa sana pia mm naomba likes
@cishamakejoseph16 күн бұрын
Amazing film rwanda we together
@marietacristovao138716 күн бұрын
Kutoka mozambique nawafatilia vizuri,hongera bakarobo na team yako kwa jumla
@ksaskaka16 күн бұрын
Niko nafuraha sna leo mamakarobo namponya baba karobo ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@morjanoman518116 күн бұрын
Wawoooo Baba karobo umepona naomba muendelezo Niko. Oman. Nafurahia ninavyo angaria filam na tz
@esterester362816 күн бұрын
Whaaat!! Yani ndio tayari Baba Kalobo kapona macho😂😂😂😂nimefurahi sana😂😂❤
@BrandinaAntony16 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@HassanBambaza16 күн бұрын
Namm nimewahi Leo jmn naomba like
@janemoraa847015 күн бұрын
Wow amazing baba karobo umeona mmmmh mungu ni mwema aki mama karobo amekusaidia sana ❤❤❤❤
@zephbaraka16 күн бұрын
Really amazing....I like it
@MwanalimaAbdallahkea16 күн бұрын
Hivi nyie wendzangu hizi like mnazipeleka wap ebu mnipe na mm nione zitanifkisha wap 😂😂😂
@user-ii3rb6uj7g3 күн бұрын
𝐊𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐧𝐢𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐧𝐚𝐦𝐦😂😂😂
@MwanalimaAbdallahkea2 күн бұрын
@@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣🤣🤣
@constantinndayishimiyenshu494816 күн бұрын
Eeeeeeeeeeeeeeeee mnipe like kabisa kutoka Rwanda
@danieldemuriah688116 күн бұрын
Demuriah kutoka Kenya Nairobi jamani mvua leo imenifungia kazini lakini tuashukuru... Nimewai❤❤❤
@NelcyAfrica16 күн бұрын
Mama karobo ni mbaya kiasi hicho aaaaah
@DeguerreKanyoni12 күн бұрын
Hongela sana baba yake Karobo. Nafurahia kuona macho yako yanafanya kazi kama zamani. Nina shauku ya kuyiona next period
@zainaburashidi812716 күн бұрын
Aya jamani nimewahi😅
@philipolugoma379616 күн бұрын
Baba joan unapendwa kweli na zujat balaa ila Zujat ni mzuri jamani sio siri
@delvinejeruto14 күн бұрын
Ni ukweli zujat ana.mpenda baba karobo awachane na huyo shetan
@MashMashile16 күн бұрын
Kumewaka moto plzz harakisha n part 15 thank you so much baba❤
@user-help04616 күн бұрын
😂😂😂😂😂nikali sana mama kalobo ww nakuchemusiea chai yako motoni likes please hapo❤❤
@sweetbabymwangi837316 күн бұрын
Afadhali sasa Baba Karobo anaona. Mama Karobo chuma chako ki motoni sasa. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@belysenibitanga278616 күн бұрын
Woow naomb utupatie next episode,naomb uy mama karob asijue kam umepona
@amisabakari126316 күн бұрын
Leo nimekua wakwanza jamani maajabu
@macrinafuraha-zg3mi16 күн бұрын
Woooow am so happy baba karobo kaona tena🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@amarsaod659516 күн бұрын
Baaas imeanza kua fire❤❤❤❤❤❤❤mama karobo's ghost is back mashalla lets keep going❤❤❤🎉🎉🎉
@HassanSeif-mh6oh16 күн бұрын
Aka katoto nako kameamua apite humo humo 😂😂😂😂 kama noma na iwe noma 😂
@hghh605616 күн бұрын
Jamani hizi vitu twaeza amini kweli viko wakati mkeo kafa na ww uwe mngonjwa napiga mkeo aje kukutokezea up one kweli viko 🤔🤔mm nabaki kushangaa ila hii movie inanitia manjodzi saana aki wanawake kma mama karobo wa Sasa sio wanake wazuri🎉🎉❤❤ kazi nzuuri baba jone
@user-lv6xv6nf5j14 күн бұрын
Waah Babajoan umenikosha na team yako kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
@aminakenyaa933716 күн бұрын
Sasa imefika mahali pazuri sana ..tunasubiri 15 🔥🔥🔥
@happygalahenga78216 күн бұрын
Wa ishirini na tatu 😀
@EmilykuvunaKonzi16 күн бұрын
Wow spirit ya mama karobo haikua na amani😢🎉🎉🎉❤
@user-vs7hs5fy7p16 күн бұрын
Asante Mungu Baba Kalobo kapona. Mama kalobo chako kimotoni. Zujat karibu nyumbani❤ pataamu hapo😂😂😂
@nshimiyimanaalex646716 күн бұрын
🇷🇼🇷🇼🇷🇼 kagali turabakunda cyane ❤❤❤❤
@user-ec6ow2cx7c16 күн бұрын
Karobo jamani una akili kweli ety mwalimu alisema ukimfikisha njiani ukamuache huko nimekubali kiukweli 🎉🎉❤❤❤
@HajiMwanz-to3vg16 күн бұрын
Mama karobo punguza roho mbaya kwa baba karobo😅
@user-fk1od3fm8w16 күн бұрын
Good mama kalobo akoze neza
@RashidMgeni16 күн бұрын
Ooo, jmn Tasha aongea vizur huyu yahee,
@user-fh5ko7he2z16 күн бұрын
Hatimae baba karobo anaona 😂😂😂😂 hongereni sana mama karobo sasa naona kitamramba na hizo plan zake za kumtesa baba karobo 😮😮😮😢
@purityrotich170316 күн бұрын
Huyu mama kalobo ni shetani kwa kweli 😂😂😂
@katanakea432514 күн бұрын
Natazama Toka Kenya napenda sana hiyo karobo anavopenda babake🎉🎉
@Biroroshe15 күн бұрын
Aaaa oky it, s number one film I m so happy for father's karobo thankx uu
@kenyasloughinggags155316 күн бұрын
Hata Mimi na comment nipe likes
@user-pm8vd9ni9y16 күн бұрын
Yan mam karobo wew mbingun utapasikia tu mbwa wewe😢😢😢😢
@user-tw5jw1tr9y15 күн бұрын
Naomba like zangu from Burundi ❤❤❤
@Lucy001-j2g15 күн бұрын
Wooow, wondeful ata kama nimechelewa❤❤❤
@tumusiimepeace54315 күн бұрын
When kalobo come back and find her dad eyes open she will be very happy 😂😂 i love you baba and kalobo❤❤❤
@issakabezi16 күн бұрын
Nmefurah sana baa kaloobo kuonaa
@charityngumbao16 күн бұрын
Raha iliyoje baba kalobo kaona,wale walio kuwa wakitaman aone ili mwanawe apumuzimke mateso wako wapi❤
@HellenNyaboke-z4z16 күн бұрын
Mwanamke una roho mbaya wewe mungu amusamehe
@Agentoftchauta16 күн бұрын
Leo mimi wa pili 🤙🤙🤙
@MERCYmercy-rl3lu15 күн бұрын
Wow ata kama nimechelewa Leo imekua smart sana congratulations baba karobo Kuona tena❤❤❤❤ watching from Kenyan 🇰🇪
@user-ps7ur8kw8h16 күн бұрын
Asante mama karobo qwa kujitokeza na kumponya mmeo ss bac nifanyie jambo uyo katili mpe uyo uwo upofu🙄😊