Full Interview ya Babuu Wakitaa kwenye leo Tena, asimulia mikiki aliyopitia akipambana na kansa
Пікірлер: 106
@Marzzzzzz2010 ай бұрын
This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!
@kelvinsichone235910 ай бұрын
Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.
@digitalworld557710 ай бұрын
Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….
@MargrethNdone10 ай бұрын
Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu
@abeldavid84510 ай бұрын
Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu... Glory to God
@adeboTNM7 ай бұрын
Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!
@carlosleonard60509 ай бұрын
Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes
@RahmaAwadh-ul9yu10 ай бұрын
Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa
@attunelson882810 ай бұрын
Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine
@vincej927510 ай бұрын
Thanks to God for your healing. You are very positive.
@KADALAtv25510 ай бұрын
Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️
@aisharamadhan525710 ай бұрын
Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu
@KADALAtv25510 ай бұрын
@@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota
@KADALAtv25510 ай бұрын
@@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno
@minaelnathanael184610 ай бұрын
Acha kulaumu wauguzi
@gloriamwanjali937110 ай бұрын
Bi zena hongera sana
@mathiasswai700610 ай бұрын
Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,
@bobcheni10 ай бұрын
Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua
@rosehaule676510 ай бұрын
God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha
@sidiqmhina78239 ай бұрын
Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement
@Snuky5410 ай бұрын
Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote
@yusrasalum10 ай бұрын
Amin
@sidiqmhina78239 ай бұрын
kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN
@georgecredo910010 ай бұрын
My brother pole sana
@BakariMtomae10 ай бұрын
Aiseeeh pole sana kak
@ancolartherapper189910 ай бұрын
Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote
@lilianilimbe450810 ай бұрын
Polee sanaaa
@AminaMwingira-jh7ze10 ай бұрын
Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah
@leaherasto92910 ай бұрын
Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer
@mitaahisia84529 ай бұрын
kaizer sosar.....nakubal sana bro
@ayubukedimundi322110 ай бұрын
Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani
@asyajey347910 ай бұрын
Pole sana babu
@omaryrashidiboga465110 ай бұрын
Duh pole sn Mwana wa hip hop
@JuliusMchopa-pr5pt10 ай бұрын
Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲
@brightonmasaki118310 ай бұрын
Pole brother
@chiwagaempire121110 ай бұрын
Mungu akutunze
@AshuraNgoto10 ай бұрын
Pole sana
@veronicapaul482110 ай бұрын
God is good
@GladnessJames-mk9yh9 ай бұрын
Daah ushuhuda mzuri sana
@hariethmatungwa929310 ай бұрын
Duu bigup
@lulumbwaga982210 ай бұрын
Champion
@cptnbazil612110 ай бұрын
Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro
@mbeyusaid468810 ай бұрын
Pole Allah ndo mweza wa yote
@DirectorNoahkilima10 ай бұрын
Doctor ruta
@joshuakinabo686110 ай бұрын
Kumbe country boy na Babu ni nduguuu
@user-nq4md3sj6d10 ай бұрын
Babuu wa Kitaa 🫶
@dannylema312510 ай бұрын
Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?
@giztony20099 ай бұрын
Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa
@user-td3ss6nk2d10 ай бұрын
😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....
@carlosleonard60509 ай бұрын
Dak ya 17-18.....mwijaku hapo
@malengaWetuTv269910 ай бұрын
Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢
@kijakazinyalinga700310 ай бұрын
Naogopa mimi😢
@emmamatemu822510 ай бұрын
Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.
@mtaostephen36609 ай бұрын
Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena
@bainolatino341210 ай бұрын
Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo
@bobcheni10 ай бұрын
Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh
@Ramboyclassic6910 ай бұрын
Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔
@KalenjeMasoud-vg3om10 ай бұрын
Pole sana
@ayubukedimundi322110 ай бұрын
Pole Sana ndugu
@user-nq4md3sj6d10 ай бұрын
pole sana.. Allah atamjalia atapoa inshaallah
@Darian255010 ай бұрын
Pole sana!
@saeedmassoud25610 ай бұрын
Pole sana unaweza kumtumia link itamfikia na ataiyona inshallah 🙏
@magrethmbuma304510 ай бұрын
Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti
@sarahmurano282910 ай бұрын
Pole san
@eliasurious741910 ай бұрын
Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha
@abdallahahmed277610 ай бұрын
Mbona mwijaku hana raha😂😂😂
@tanzaniaprogress9 ай бұрын
Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.
@jamesmwangonda708010 ай бұрын
mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.
@jrm944810 ай бұрын
Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.
@user-ip4ie7pt6i10 ай бұрын
Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu
@robertadrian255910 ай бұрын
Acha ujuaji
@justyoscar298710 ай бұрын
@@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!
@amandomwamanda90009 ай бұрын
Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.
@shakilamasoud298310 ай бұрын
Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah
@eveliynejoseph794410 ай бұрын
Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli
@shakilamasoud298310 ай бұрын
@@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili
@ibrahimbaila776410 ай бұрын
Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road
@Trappqueen97010 ай бұрын
anza n mim jmn nkupe no ykupokea pesa
@luizabahati51989 ай бұрын
Inshallah
@magrethmbuma304510 ай бұрын
Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢
@internationaltiktok447710 ай бұрын
Naitaji namba za huyo doctor
@godwinmwakibibi2749 ай бұрын
Mjanja huyuu
@nelsonmasolwa83439 ай бұрын
mwamba anaongea san asee
@hanifatanzania725810 ай бұрын
Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo
@ireneinnocent412810 ай бұрын
Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤
@rogath_silayo10 ай бұрын
Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.
@mwajabuyusuph39459 ай бұрын
@@rogath_silayo habari
@mwajabuyusuph39459 ай бұрын
Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu
@hanifatanzania72589 ай бұрын
@@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri
@FarajiAbdallah-pq1dc9 ай бұрын
Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa
@franciskyombo939410 ай бұрын
Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.
@jrm944810 ай бұрын
Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima. Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.
@AshuraNgoto10 ай бұрын
Pole sana
@user-jv1tk2vz8m9 ай бұрын
Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia