Babuu Wakitaa Afunguka Alivyonusurika na Kansa | Mikiki Aliyopitia Tangu Yupo Hoi Mpaka Sasa

  Рет қаралды 49,967

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

10 ай бұрын

Full Interview ya Babuu Wakitaa kwenye leo Tena, asimulia mikiki aliyopitia akipambana na kansa

Пікірлер: 106
@Marzzzzzz20
@Marzzzzzz20 10 ай бұрын
This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!
@kelvinsichone2359
@kelvinsichone2359 10 ай бұрын
Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.
@digitalworld5577
@digitalworld5577 10 ай бұрын
Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….
@MargrethNdone
@MargrethNdone 10 ай бұрын
Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu
@abeldavid845
@abeldavid845 10 ай бұрын
Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu... Glory to God
@adeboTNM
@adeboTNM 7 ай бұрын
Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 9 ай бұрын
Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 10 ай бұрын
Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa
@attunelson8828
@attunelson8828 10 ай бұрын
Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine
@vincej9275
@vincej9275 10 ай бұрын
Thanks to God for your healing. You are very positive.
@KADALAtv255
@KADALAtv255 10 ай бұрын
Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 10 ай бұрын
Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu
@KADALAtv255
@KADALAtv255 10 ай бұрын
@@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota
@KADALAtv255
@KADALAtv255 10 ай бұрын
@@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 10 ай бұрын
Acha kulaumu wauguzi
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 10 ай бұрын
Bi zena hongera sana
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 10 ай бұрын
Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,
@bobcheni
@bobcheni 10 ай бұрын
Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua
@rosehaule6765
@rosehaule6765 10 ай бұрын
God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 9 ай бұрын
Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement
@Snuky54
@Snuky54 10 ай бұрын
Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote
@yusrasalum
@yusrasalum 10 ай бұрын
Amin
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 9 ай бұрын
kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN
@georgecredo9100
@georgecredo9100 10 ай бұрын
My brother pole sana
@BakariMtomae
@BakariMtomae 10 ай бұрын
Aiseeeh pole sana kak
@ancolartherapper1899
@ancolartherapper1899 10 ай бұрын
Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote
@lilianilimbe4508
@lilianilimbe4508 10 ай бұрын
Polee sanaaa
@AminaMwingira-jh7ze
@AminaMwingira-jh7ze 10 ай бұрын
Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah
@leaherasto929
@leaherasto929 10 ай бұрын
Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer
@mitaahisia8452
@mitaahisia8452 9 ай бұрын
kaizer sosar.....nakubal sana bro
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 10 ай бұрын
Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani
@asyajey3479
@asyajey3479 10 ай бұрын
Pole sana babu
@omaryrashidiboga4651
@omaryrashidiboga4651 10 ай бұрын
Duh pole sn Mwana wa hip hop
@JuliusMchopa-pr5pt
@JuliusMchopa-pr5pt 10 ай бұрын
Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲
@brightonmasaki1183
@brightonmasaki1183 10 ай бұрын
Pole brother
@chiwagaempire1211
@chiwagaempire1211 10 ай бұрын
Mungu akutunze
@AshuraNgoto
@AshuraNgoto 10 ай бұрын
Pole sana
@veronicapaul4821
@veronicapaul4821 10 ай бұрын
God is good
@GladnessJames-mk9yh
@GladnessJames-mk9yh 9 ай бұрын
Daah ushuhuda mzuri sana
@hariethmatungwa9293
@hariethmatungwa9293 10 ай бұрын
Duu bigup
@lulumbwaga9822
@lulumbwaga9822 10 ай бұрын
Champion
@cptnbazil6121
@cptnbazil6121 10 ай бұрын
Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro
@mbeyusaid4688
@mbeyusaid4688 10 ай бұрын
Pole Allah ndo mweza wa yote
@DirectorNoahkilima
@DirectorNoahkilima 10 ай бұрын
Doctor ruta
@joshuakinabo6861
@joshuakinabo6861 10 ай бұрын
Kumbe country boy na Babu ni nduguuu
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d 10 ай бұрын
Babuu wa Kitaa 🫶
@dannylema3125
@dannylema3125 10 ай бұрын
Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?
@giztony2009
@giztony2009 9 ай бұрын
Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa
@user-td3ss6nk2d
@user-td3ss6nk2d 10 ай бұрын
😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 9 ай бұрын
Dak ya 17-18.....mwijaku hapo
@malengaWetuTv2699
@malengaWetuTv2699 10 ай бұрын
Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 10 ай бұрын
Naogopa mimi😢
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 10 ай бұрын
Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.
@mtaostephen3660
@mtaostephen3660 9 ай бұрын
Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena
@bainolatino3412
@bainolatino3412 10 ай бұрын
Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo
@bobcheni
@bobcheni 10 ай бұрын
Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh
@Ramboyclassic69
@Ramboyclassic69 10 ай бұрын
Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔
@KalenjeMasoud-vg3om
@KalenjeMasoud-vg3om 10 ай бұрын
Pole sana
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 10 ай бұрын
Pole Sana ndugu
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d 10 ай бұрын
pole sana.. Allah atamjalia atapoa inshaallah
@Darian2550
@Darian2550 10 ай бұрын
Pole sana!
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 10 ай бұрын
Pole sana unaweza kumtumia link itamfikia na ataiyona inshallah 🙏
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 10 ай бұрын
Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti
@sarahmurano2829
@sarahmurano2829 10 ай бұрын
Pole san
@eliasurious7419
@eliasurious7419 10 ай бұрын
Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha
@abdallahahmed2776
@abdallahahmed2776 10 ай бұрын
Mbona mwijaku hana raha😂😂😂
@tanzaniaprogress
@tanzaniaprogress 9 ай бұрын
Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.
@jamesmwangonda7080
@jamesmwangonda7080 10 ай бұрын
mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.
@jrm9448
@jrm9448 10 ай бұрын
Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 10 ай бұрын
Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu
@robertadrian2559
@robertadrian2559 10 ай бұрын
Acha ujuaji
@justyoscar2987
@justyoscar2987 10 ай бұрын
@@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!
@amandomwamanda9000
@amandomwamanda9000 9 ай бұрын
Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 10 ай бұрын
Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah
@eveliynejoseph7944
@eveliynejoseph7944 10 ай бұрын
Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 10 ай бұрын
@@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili
@ibrahimbaila7764
@ibrahimbaila7764 10 ай бұрын
Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road
@Trappqueen970
@Trappqueen970 10 ай бұрын
anza n mim jmn nkupe no ykupokea pesa
@luizabahati5198
@luizabahati5198 9 ай бұрын
Inshallah
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 10 ай бұрын
Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢
@internationaltiktok4477
@internationaltiktok4477 10 ай бұрын
Naitaji namba za huyo doctor
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 9 ай бұрын
Mjanja huyuu
@nelsonmasolwa8343
@nelsonmasolwa8343 9 ай бұрын
mwamba anaongea san asee
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 10 ай бұрын
Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo
@ireneinnocent4128
@ireneinnocent4128 10 ай бұрын
Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤
@rogath_silayo
@rogath_silayo 10 ай бұрын
Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.
@mwajabuyusuph3945
@mwajabuyusuph3945 9 ай бұрын
​@@rogath_silayo habari
@mwajabuyusuph3945
@mwajabuyusuph3945 9 ай бұрын
Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 9 ай бұрын
@@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri
@FarajiAbdallah-pq1dc
@FarajiAbdallah-pq1dc 9 ай бұрын
Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa
@franciskyombo9394
@franciskyombo9394 10 ай бұрын
Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.
@jrm9448
@jrm9448 10 ай бұрын
Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima. Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.
@AshuraNgoto
@AshuraNgoto 10 ай бұрын
Pole sana
@user-jv1tk2vz8m
@user-jv1tk2vz8m 9 ай бұрын
Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 7 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
MAKOSA YA KUYAEPUKA KATIKA MALEZI SEHEM YA 5 FULL
43:20
BUSATI ONLINE TV
Рет қаралды 144
Mpenzi wako hakuachi kama ukiyajua haya,..Darasa la bure.
9:44
KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU
5:32
Wasafi Media
Рет қаралды 26 М.
Мыла наелся
0:21
Pavlov_family_
Рет қаралды 3,5 МЛН
НИЧЕГО СЛОЖНОГО
0:21
KINO KAIF
Рет қаралды 6 МЛН
Gymrat CAT is a CHEATER?! 🙀 #kitten #cat #cute #aicat
0:45
Stunning Cat Stories
Рет қаралды 30 МЛН
Gymrat CAT is a CHEATER?! 🙀 #kitten #cat #cute #aicat
0:45
Stunning Cat Stories
Рет қаралды 30 МЛН
бим бам бум💥💥 типа..
0:18
Ma1x1
Рет қаралды 6 МЛН