SAMATTA ANA KILA KITU, UTAJIRI WAKE KIASI GANI? “UNAWEZA KUMFANYA AWE NA KINYONGO”

  Рет қаралды 482,797

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 351
@Juma-kb3mg
@Juma-kb3mg 3 ай бұрын
Dah brother allah akufanye uwe na hyo roho
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 5 ай бұрын
Very humble Guy. Hongera sana Mbwana Ally Samatta.Mungu aendelee kukulinda na kukubariki.
@abdulmrisho5629
@abdulmrisho5629 Жыл бұрын
Very interesting interview kwa sisi wapambanaji be humble kwa kile kidogo unachokipata
@protaspeter5371
@protaspeter5371 Жыл бұрын
Mungu kweli fundi, hamjalii mtu kizembe, this is a right one, samata we ni genius
@aaronswai3092
@aaronswai3092 10 ай бұрын
Mungu akubariki sana Samatta! Una hekima kwa kuwa u mnyenyekevu! Mungu akuzidishie
@sarahsalum2325
@sarahsalum2325 Жыл бұрын
Samatta na ally kiba walitakiwa kuwa ndugu jamn 😊vitu ving wanaendana hasa life style ALLAH AWAHIFADHI
@hadijamsati8813
@hadijamsati8813 4 ай бұрын
Acha kumfananisha samatta na vitu vya kijinga
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 3 ай бұрын
Ameen
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Жыл бұрын
Hakuna kitu kizur kama kumshukuru Mungu God bless you 🙌mbwana samatta
@samuelkiama975
@samuelkiama975 Жыл бұрын
Mtangazaji smart sana🎤
@albertkamala6843
@albertkamala6843 Жыл бұрын
Samaboy! Brilliant, very smart and humble!
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 11 ай бұрын
Mbwana Samatta, hongera sana Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza, wewe huna makuu!
@ashaanab-sy4cq
@ashaanab-sy4cq Жыл бұрын
Nawapenda Saana Samata Na Alikiba Big Up💪💪💪
@user-rl9us9jw4g
@user-rl9us9jw4g 6 ай бұрын
Kivipi yaani😅😅😮
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 10 ай бұрын
Maashaallah ushaahijiii kaka baarakallah fiikum
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Жыл бұрын
Wanaopata mali za maagano ndio wanaosumbua watu kama hao wasanii wenu, ila mali halali unakuaga poa sana coz una jua kwamba only God
@abdulmiyugi
@abdulmiyugi Жыл бұрын
Samata one❤ MY brother mtoto anabidi aoneshe mfano mzuri wa kutafuta pesa.nimeipenda iyo
@Juma-kb3mg
@Juma-kb3mg 3 ай бұрын
Brother allah akufanye uwe na hyo roho dah
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 10 ай бұрын
In fact, you have said something that the fear of God here has made me think too far. Thank you, brother. May God protect you and guide you in happiness.
@JamalJamal-bx2cd
@JamalJamal-bx2cd 4 ай бұрын
😅😅y4x ģ❤
@francismepukori9840
@francismepukori9840 Жыл бұрын
U know brother. Contented🔥✅
@muhidinponda1498
@muhidinponda1498 Жыл бұрын
Safi sana kwa muuliza maswali👏
@tumahamza8972
@tumahamza8972 Жыл бұрын
Baarik Allahumma feekum. You're very smart and humble. Even the way you are answering the questions. May Allah protect you.
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 Жыл бұрын
Kuna tofauti kubwa kati ya samata na diamond ,Diamond kutw Kuonesh hela zake mtandaoni
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Жыл бұрын
Ata kuongea anaongea kama King Kiba huyu jamaa!
@dechardavid2555
@dechardavid2555 Жыл бұрын
Sindioo
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Kuna kitu nimejifunza aise kupitilia huyu samata Asante sna bado zinachelewa kwa huu umri nilio nao Kwa sasa ubarikiwe mume wangu kwa kuniweka njia nzul nizid kuwa mke bora na sio bora mke kama WAkina furan maisha ya private Mazur sna
@oscanyakunga
@oscanyakunga Жыл бұрын
Point naomba Mungu utusaidie
@ibrahjoseph4239
@ibrahjoseph4239 Жыл бұрын
Naombeni jina la huyu mtangazaji anajua sana maswali hayakeri ni tofauti na watangazaji wengine
@hoseamagawa9088
@hoseamagawa9088 Жыл бұрын
Ayo maneno dawa sio mtoto aseme baba ana mali apambane kwa jasho lake nayeye big up
@tatually1366
@tatually1366 Жыл бұрын
Masha Allah 🍀🍂. Mwenyezi mungu amejali 🙏👏❤️
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 Жыл бұрын
Mtangazaji unajua, unajua, unajua saana kuuliza, Big up Samata !
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 5 ай бұрын
Well done dogo samata ,stay blessed
@peterlujuo1640
@peterlujuo1640 Жыл бұрын
If humble was a person 🙌🙌
@FILIMINIGWASMAY
@FILIMINIGWASMAY 4 ай бұрын
Samatta you are the legendary uzidishiwe
@nasrayahya2885
@nasrayahya2885 11 ай бұрын
Mungu akuzidishie uko vizuri simtu sifa
@nathaniazori3697
@nathaniazori3697 Жыл бұрын
Big point bro ur bright umeongea vitu ambavyo ni sahihi🙏
@paschaledward8670
@paschaledward8670 Жыл бұрын
Sammata akili 🧠 kubwa. Big up bro.
@user-zf2wx8rv4l
@user-zf2wx8rv4l 10 ай бұрын
Mashaallah kijana mungu akuzidishia usiwe na majivuno
@MarijanLooserboy-hw6gs
@MarijanLooserboy-hw6gs Жыл бұрын
Huwez mfananisha smata na Ali kiba wala daimond samata himfananisha na staa wowote Tanzania anajielewa na Juan nini kitakiwa katika mfumo wa dunia na akhera yake big up samata
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 Жыл бұрын
Busara na nidhamu msingi wa maisha bora Big up
@JummaSammata-ny5xf
@JummaSammata-ny5xf Жыл бұрын
ALLAH akufanyie WEPESI
@maonitalk8554
@maonitalk8554 Жыл бұрын
Safi sana ubarikiwe
@brunobalama6046
@brunobalama6046 Жыл бұрын
wa kwanza nipen like zangu..
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Жыл бұрын
MashaAllah ALLAH akuzidishie
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Yaaan samata Ni star mkbwa sna lakin hata ndoa yake tu aliifnya kimyakinya Ila ningekuwa mm duhhh
@kingfuture7147
@kingfuture7147 Жыл бұрын
Angekuwa GOODLOVE 🤣🤣🤣🤣
@gumbagumbalaulent4797
@gumbagumbalaulent4797 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@blaizerballer4248
@blaizerballer4248 Жыл бұрын
Dah yule jamaa hana kityu kabisa na anajisifia sana yule chief godlove 😂
@mpajibinaisa7238
@mpajibinaisa7238 5 ай бұрын
Hahahaaaaa umetisha kaka
@amanimangalila-pj8ik
@amanimangalila-pj8ik 4 ай бұрын
Ukitaka Pesa Idumu Nawewe, Jifanye Huna Hata Kama Unazo. Na Ukijifanya Unazo Kabla Hujazipata Sahau Kuhusu Kukutana Nazo. (Pesa Ina Nidhamu Yake).
@mbarouksalim1568
@mbarouksalim1568 Жыл бұрын
Mashaa Allah
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Жыл бұрын
Nawakubali saana Alikiba na Samata maisha yao yana full password
@westchugagang5323
@westchugagang5323 Жыл бұрын
SAMAKIBA FOUNDATION WAMEFANANA
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 Жыл бұрын
Yuko sawa kabisa, Atuache ambao bado tuna uhitaji kwa mungu tuendelee kumwomba! Ni kweli atupe nafasi nasi tupewe!
@user-nn9ds7uf2r
@user-nn9ds7uf2r 11 ай бұрын
Uko vzr sn mbwana kwl kuna watu wanauhitaji wa kitu kdg tu wanakosa we unaomba kununua ndege mungu akufanyie wepes mzee
@constantinochalle856
@constantinochalle856 Жыл бұрын
Huyu jamaa anatabia kama za ali kiba,,,,life zao ni password
@abedomar5183
@abedomar5183 Жыл бұрын
Yeah kweli kabisa yani same system with Ali Kiba
@omyjy4819
@omyjy4819 Жыл бұрын
Kama kiba
@ibrahimuselemani4076
@ibrahimuselemani4076 Жыл бұрын
Sure kama Alikiba exactly
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣ally kiba ana nini labda sehemu zake za s.......... Ndio anazo show off kwa wanawake.
@princekarani7836
@princekarani7836 Жыл бұрын
@@ahmedysaidy9874eheee kumbe,yani unahisi hana kitu🤣🤣🤣
@_CyprianBC
@_CyprianBC Жыл бұрын
Good and clean Brother
@sekietetv7131
@sekietetv7131 Жыл бұрын
Masikini wengi ndo tuna majigambo waliofanikiwa sana wapo humble sana , Huyu mtu ni bilionea ila see how he is
@chriskuboja4234
@chriskuboja4234 Жыл бұрын
Baadhi ya maskini wakipata ni kelele Sana Ila wachache Sana wakipata ndio wanaendelea kuwa wanyenyekevu
@lutatuzo7395
@lutatuzo7395 11 ай бұрын
Soo good 👍👍
@daudimungi1327
@daudimungi1327 4 ай бұрын
So humble guy.. Mengi ya kujifunza.
@papamukulu1045
@papamukulu1045 Жыл бұрын
Humble man
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 Жыл бұрын
The truth has been spoken! Kudos sana,home boy. ✊💪🤝
@khamissons1206
@khamissons1206 Жыл бұрын
Mm n
@wilibrodiadrian8021
@wilibrodiadrian8021 Жыл бұрын
Ana hheshma sana , Mungu azidi kumbariki.
@HuliloDonard-gu9bp
@HuliloDonard-gu9bp Жыл бұрын
Nimependa kauli ya ishi maisha yako
@vincentmbaire2666
@vincentmbaire2666 Жыл бұрын
Humble guy
@lusakobaraka9854
@lusakobaraka9854 Жыл бұрын
Mtangazaji ningekua natuzo ningekupa umetisha hatar Yan 🔥
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 Жыл бұрын
Alikiba na samatta tabia zao zinaendana sanaa
@reubenshaban6488
@reubenshaban6488 Жыл бұрын
Muwe munaangalia mazingira mazuri ya kufanyia interview sio mnahoji watu Inzi nao wanapitapita tu hovyo
@ibrahimnyanga8971
@ibrahimnyanga8971 Жыл бұрын
Hahhh nimefurah saana sentensi aliyomalizia tunaambiwaga wengi saana maashaallah
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын
Samata endelea kuwa wa kawaida itazidi kukusaidia
@julianaedward4190
@julianaedward4190 Жыл бұрын
Kabisa jamani SI wengine wakipanda tu ndege wanaanza kuwakashifu walimu wao...sio vzr kabisa to be humble ni muhimu sana ktk maisha
@MajibuCredit
@MajibuCredit Жыл бұрын
Safi sana Diego
@swaumuugata4166
@swaumuugata4166 4 ай бұрын
Nawapenda sana wewe na mbwana samata na ally kiba mko na moyo Wangu walah💋🙏
@henrychaula1174
@henrychaula1174 5 ай бұрын
Hongera sana Mbwana Samatta kwa majibu mazuri na mayo wako wa kutokuwa na tamaa ya vitu
@sebastianmathew8475
@sebastianmathew8475 Жыл бұрын
Je salama tz nahodha nakuomba umiliki wa hospital kubwa kama muhimbili urudishe kwa jamii. Ubarikiwe
@user-mu2kb2lv3v
@user-mu2kb2lv3v 5 ай бұрын
Hongera sanaaa mwamba mungu akupe wepesi❤❤❤❤
@user-zz8qr9gn1f
@user-zz8qr9gn1f 5 ай бұрын
Uko vizuri kijana ubarikiwe
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 Жыл бұрын
Saluti bro viva sana kaka
@geraldalfred1781
@geraldalfred1781 Жыл бұрын
Smart indeed
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 5 ай бұрын
Bwana samatta kaongea vizuri sana hongeraa
@emmanuelmashaka1229
@emmanuelmashaka1229 Жыл бұрын
Akili mingi sana
@happinessogisto2918
@happinessogisto2918 5 ай бұрын
Hongera sana Mungu awe na wewe ❤
@MAISHAYACROATIA
@MAISHAYACROATIA Жыл бұрын
Wanae wanasoma IST Ada mil.70 na ushee huyu Jamaa kiboko na apo aliwapeleka alivyoenda genk tu
@Syliveliodeogratias
@Syliveliodeogratias 10 ай бұрын
Kwer mungu hamtupi mjawake samatta ww ni mtu wa pekee ambae kwenye interview nimekuerewa sana
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 5 ай бұрын
Hongera kwa hekima zako.
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Majibu mazuriiii sna wabongo hatuishiwi maneno
@ashaanab-sy4cq
@ashaanab-sy4cq Жыл бұрын
Ni Sawa Hivyo Unavyoishi Kakaa,Sio Kila Mtu Ni Mwema Kwako
@humphreymahenge6498
@humphreymahenge6498 Жыл бұрын
Respect
@emmanuelkisusu2465
@emmanuelkisusu2465 5 ай бұрын
Hofu ya Mungu kui control pesa, daah safi Sana, kijana yuko humble
@evanestharold5079
@evanestharold5079 2 ай бұрын
Mungu akubariki sanaaaa
@user-hn9hd3og8u
@user-hn9hd3og8u 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ umeongea sawa kaka
@e.e5698
@e.e5698 5 ай бұрын
Ameongea mengi mazuri lakini kuna kitu ambacho kakionesha ambacho sisi waafrika/watu weusi tunacho....Hatuwezi kutengeneza ajira za familia...Hatuwezi/Hatutaki kurithisha watoto wetu tulichonacho...Wenzetu wahindi na waarabu wanatengeneza ajira za familia...Sisi tunataka watoto wetu nao waanzie 0...nao wateseke kama sisi...nao wawe na vyao pekee yao...mwisho wa siku poverty cycle haiishi...
@ramadhanitokwete8069
@ramadhanitokwete8069 5 ай бұрын
That's true
@mgonasipapune1383
@mgonasipapune1383 5 ай бұрын
Very True
@ElikanaKikoti
@ElikanaKikoti 5 ай бұрын
Huwezi mlazimisha mtoto Aliso kipaji chako kipaji Mungu ndie anaekujaalia hivyo basi elewa kua mpila nikipaji alichopewa samata mwanae anaweza kua hana kipaji champila wala akili yadarasani bali anakuwa na akili yakufanya biashara vivyo sasa samata hapo inatakiwa atoe sapota yamtaji ili kijana wake naye aingie kwenye gemu ya biashara
@e.e5698
@e.e5698 5 ай бұрын
@@ElikanaKikoti Sikuwa namaanisha kuhusu kucheza mpira...
@ElikanaKikoti
@ElikanaKikoti 5 ай бұрын
@@e.e5698 okay hapo sawa
@user-xr5tx6rc7t
@user-xr5tx6rc7t 5 ай бұрын
Man Of The Peoplezzz
@HarunaShabani-hy8mx
@HarunaShabani-hy8mx 11 ай бұрын
daaa watu watu kufanya watu kuwa wabaya na hp ndio chuki huwanza jamaa huyu mtu la hovyo mno mkono mkali sanaaa😢😢😢
@emanuelatilio2853
@emanuelatilio2853 10 ай бұрын
Nakubali sana broo
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 Жыл бұрын
Alafu gank mnachana sana mikeka manina zenu🤣🤣🤣🤣
@robertpeter3679
@robertpeter3679 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 dah
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l Жыл бұрын
😂😂😂😂shenzi zako😂😂😂😂
@kagondanathan3661
@kagondanathan3661 Жыл бұрын
Maua yako Hayo😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 Жыл бұрын
@@kagondanathan3661 🤣🤣🤣
@user-pj7pg9rn5g
@user-pj7pg9rn5g Жыл бұрын
lakini nawewe ujitume kwenye timu yako yataifa
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er Жыл бұрын
Huyu dogo anajitambua sana mungu atanfikisha mbali
@MohammedAlly-op1yj
@MohammedAlly-op1yj 11 ай бұрын
Daah yaani katika watu hasa vijana wa Leo ambao hawana makuu na wanacho huyu mwamba na respect Sana na namuombea Kwa mwenyeezi MUNGU ampe maisha marefu yenye maraka tele! Tujifunze Sana katika hili✍️
@vickylyimo7483
@vickylyimo7483 Жыл бұрын
👌👌
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es Жыл бұрын
Good spetch
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Huwezi kumfilisi Mungu hata uombe vp na akiamua kukupa bd hujampunguzia, km umeridhika na hapo sema tuu Alhamdullilah
@aboubakarfodo1400
@aboubakarfodo1400 Жыл бұрын
Maneno Yako ni Tawhidi tosha...
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@aboubakarfodo1400 kwl
@yusufujoka5986
@yusufujoka5986 Жыл бұрын
Amemshukuru Mungu kwa alichomjaalia na hata akimjaalia vingine bado atashukuru ila tabia ya kutosheka na kuwaacha wengine wafike alipo ni kitu kikubwa hata baadhi ya viongozi wengi wa Afrika hushindwa ndio maana huzidi kukithirisha Mali wao na watoto wao na kuongeza gap la mwenye nacho na asiye nacho!
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын
Skiliz kwa uelewa mbona kaeleweka vzuri tu usisikilze kwa kukusoaa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@abdulsataribashiri8300 kaelezea vzr wp
@sadruhsnow5637
@sadruhsnow5637 Жыл бұрын
Ndio life safi
@manyuhawilson4201
@manyuhawilson4201 Жыл бұрын
🙏🙏
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Жыл бұрын
SAWA MNDENGEREKO MZARAMO, KING SAMA TUNAKUELEWA SANA. NO MAJIVUNO KAMA MIJITU YA PANDE FLANI.
@manyuhawilson4201
@manyuhawilson4201 Жыл бұрын
😁😁😁👊👊
@touches4lifeonlinetv46
@touches4lifeonlinetv46 Жыл бұрын
Kiba king ,saMaball MiamBa Hawa💪🤝 secret Mission😂🤣
@maselejonathan8452
@maselejonathan8452 3 ай бұрын
Hii video atumiwe chief godlove
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 Жыл бұрын
kwelii marafiki zako ndo watakuwa na kinyongo ila kwa ss husiotujua tutachukulia kama motvation
Mpaka Home MAISHA HALISI YA MUIGIZAJI KINGWENDU NYUMBANI KWAKE
18:31
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 16 МЛН
Cat Corn?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:54
Stocat
Рет қаралды 15 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 52 МЛН