Sasa fain iyo kalipwa samia au nani 😢😢😢 picha tuu milion 5 shikamoo tanzania
@talibsaid809611 күн бұрын
Sheria ni sheria tu ingekuwa we we Mzee wako katukwanwa na mtu bila sababu ungesikiaje pia maisha magumu lakini kila usiku mko bar hamtaki kujishughulisha watanzania wacheni kuchezea amani waangalieni kenya ilivyo vurugu la muda mfupi lakini litawarudisha miaka kadhaa nyuma na Jawa mawakili hawana la kufanya
@rukiaiddyyahaya950611 күн бұрын
@@talibsaid8096 tusi gani alio tukanwa pengine kachora vibaya picha kaamua kuunguza,, kusema wa tanzania hatu ji shughulishi unatulidha weye,, ukome labda wewe una maisha magumu mwenzio nishajenga na maisha yangu tuu
@user-wi8og3sv4j8 күн бұрын
Kwahio wakenya wote wameshindwa baa?
@user-wi8og3sv4j8 күн бұрын
Alitukana tusi gani
@rukiaiddyyahaya95068 күн бұрын
@@user-wi8og3sv4j hapo sasa ana njaa huyu mkenya
@dulaabdallarashid12 күн бұрын
Kenya twachoma hadi bunge na hafungwi mtu nyie picha tu raisi amepanik
@denicegaspar947910 күн бұрын
😂😂😂😂
@RahimaMct-ik8mr9 күн бұрын
Yupo sahih ndoman wamemchangia😅😅
@johnbidya1198 күн бұрын
Democracy zero..
@NuruJuma-zv3yz8 күн бұрын
Kenya hamjafungwa bali mliuwawa😊kufungwa na kuwawa vipi hapo
Kuna mijitu ipo serikalini mijizi ya pesa za umma lkn hawakamatwi wala hawashtakiwi, huyu mnyonge amechana picha tu na kusema ukweli kuwa maisha magumu amefungwa, yaani nyinyi mahakimu mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuwaonea wanyonge
@RechoMzava-gt7so12 күн бұрын
Kabisaaa na watahukumiwa kama wanavohukumu wenzao
@user-wi8og3sv4j8 күн бұрын
Anaetukana na mlarushwa nani mwenye madhara zaidi?
@SKY-fk3fz5 күн бұрын
TRA ni moja ya wahalifu
@user-lu8ny2gu7t13 күн бұрын
Wacheni ujinga kwani amechoma picha ya Mungu mnaacha kushughulika na mambo ya maana kuna mijizi huko serikalini mbona hamuishitaki
@KhadijakassimMwaipaya11 күн бұрын
Iyo pesa ingeenda mojakwa Moja kusidia wananchi
@KASSIMMHILU-oh5ch9 күн бұрын
Yani 😀😀 MIMI ndio mana Adi umeme nimeweka wangu tu mana serikali Hamna kitu
@iddidandodando606313 күн бұрын
Safi Sana mliosimamia kuhakikisha chaula yupo huru,Hali ya maisha ni mbaya Sana.
@Amirimwashembe8 күн бұрын
P1 na koment zte nzur za kumpongeza kijana au kuwapongeza waliomsaidia ila mm namuombea dua ya maisha yke usalama wake kua Allah amhifadh aise
@floraflora571712 күн бұрын
Uyo kwaza. Sio raisa alipigiwa kura lini uchanguzi ulifanyika lini mimi naamini tuu tazania akuna rais rais alikufa atujachagua bado
@jumahamadomar912411 күн бұрын
Kwa muujibu wa katiba ya Tanzania anapokufa raisi makamu wa raisi anachukuwa uraisi bila kupiga kura nyengine, kwani kawaida ya kura Tanzania mgombea wa urais na makamu wake wanachaguliwa pamoja kwa iyo ukisema hukumpigia kura unajidanganya,INSHA ALLAH mitano tena hata kwa shari maana kinachowauma ni asili ya huyo mama si jengine lolote wala hamukutarajia kuona raisi kutoka zanzibar lakini Mungu mkubwa ameficha tusivyovijuwa,kitawauma sanaaaaa na bado
@mariakabonga211 күн бұрын
😂😂😂😂 yaani uko sawa kabisa
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv10 күн бұрын
We ni mijnga sana hatakama ujui kusoma hata picha huni@@jumahamadomar9124
@emanuelnisetas75109 күн бұрын
@@jumahamadomar9124 huyo mama hafai
@DottoMussa-ro6rw9 күн бұрын
yes,,nakuunga mkono na ndio maana Hana uchungu na ardhi yetu ama nchi yetu
@fettiemaganza148413 күн бұрын
Huu ni ujumbe mwenye akili na aelewe watu wanaumia maisha magumu
@FatimaAli-of4gh12 күн бұрын
Ni kweli yy kasema kweli maisha magumu shida ni ipi hata huku ulaya maisha magumu juzi tumepiga kura tumechagua kiongozi mwengine muhindi tumempiga na chini juu maisha magumu 😢
@PhilipoMwita-b2x12 күн бұрын
Kuna wezi wa CAG mnawaacha mnaenda kufunga mtoto
@elimuvisioncenter12 күн бұрын
😂😂😂 mtoto😅
@user-eu6ql9zl7n7 күн бұрын
😅
@HappyBooks-dj6oy13 күн бұрын
Watu wananyea Mavi picha ya Samia kwenye kanga mbona hamuongei.Sio kila mtanzania muoga.Safi sana bro.Salute
@nancolower_803211 күн бұрын
Ujinga
@AmourAmour-ux3nm8 күн бұрын
Na ya mama Yako ikifanyiwa mbele yako utasemaje samia ana familia yake
@HappyBooks-dj6oy8 күн бұрын
Uyo sio Mama yako ukilala njaa hawezi kukuletea chakula ila Familia yake hawezi kuacha walale njaa.Sio Mama yangu ni raisi tu kama Marais wengine
@AmourAmour-ux3nm7 күн бұрын
@@HappyBooks-dj6oy nakuuliz ni rais Lkn n mzaz wa mwenzako je angekuwa ni mama yako mzazi ungefurahia
@CeciliaShauri-vc7up11 күн бұрын
Kweli maisha ni magumu mno. Kuna baadhi wanakimbiwa na waume zao, mama wanabaki na watoto kwa mateso makubwa. Mungu tusaidie hatujui kesho yetu.
@harshkirit678013 күн бұрын
Safi sana. Hongereni watanzania wenzangu kwa kumsaidia ndugu yetu.. kuna mijitu serikalini wanatunyanyasa wananchi. Haya sasa wajiandae 2025 kama watapita hayamajitu PIPOZ PAWA...HAPO SAWA
@jaybajay997312 күн бұрын
Watapita maana wasanii wa sanaa totauti tofauti eanampigia Debe
@AmourAmour-ux3nm8 күн бұрын
Ingelikua Samia ni mama yako mzazi ungekuj kupongeza watu km unavyofanya juu ya mama w mwengin
@user-do2id6pp4g8 күн бұрын
Mwinyi alipigwa Kofi lkn alisema mwacheni huyo mtu asifanywe chochote hivi jamani viongozi tuangalieni nafasi zetu no mitihani tu wala sio raha kuwa hapo
@pyerinajilatu28849 күн бұрын
Mbarikiwe sana mnaojitoa kusaidia watu Kwa moyo wa upendo Atawalipa Mungu
@user-ex4rk2yx4s13 күн бұрын
Musiwatukuze marais kama manabii
@SalmaAthuman-hp3en12 күн бұрын
Mama samia umeona nguvu ya watanzania ndo ujue tumekuchoka
@MnubiMm12 күн бұрын
@@SalmaAthuman-hp3en nguvu Ujinga huo wangechoma ya Mama yako na kukashifu ungeshabikia hivi umechoka na Nani? Kwa nini mnakuwa mnapenda kuwachanganya watu kwenye mambo yenu ya na fikra zenu wewe na wenzio saw usifikili wa msifikili Kila unachoona sawa wewena wengine ni hivyo hili mnalo sifu ni Jambo la hivyo kabisa subili wazazi wenu waanze kuzaliliswa ndio mtajua
@NuruJuma-zv3yz8 күн бұрын
Umemchaka wewe,
@AbdallaMpambika-bp6ub8 күн бұрын
Acha ujinga wewe rais mwenyew hameifanya kesi iwe rahisi kama angeonesha amechukizwa uyo jamaa angekaa jera
@SalmaAthuman-hp3en8 күн бұрын
@@AbdallaMpambika-bp6ub milembe iko wazi muda wote muhimbili sibishani na vichaa
@SalmaAthuman-hp3en8 күн бұрын
@@NuruJuma-zv3yz tumemchoka ndiyo wewe anakusaidia nini 😂kichaa ww
@Mona-pn2pv2 күн бұрын
Pole watanzania kwaku kosa uhuru wenu mpaka picha piya 😢 Allah awasamehe na viongozi wenu
@zulekhamohamed343110 күн бұрын
Mume wangu amechoma picha yangu nimshitaki??
@fatmakhanii1676Күн бұрын
Fanya haraka iwezekanavo ila ujue asipochangia fain humpati tena 😂😂😂
@EliaShirima-rh4wq6 күн бұрын
❤❤tumechoka utawala wa kikoloni watupe katiba utawala huu ni wa utumwani
@rebekakulwa615912 күн бұрын
Anayeona ni vurugu ana maisha mazuri. Tunaoshindia buku tunafurahi sana
@AmourAmour-ux3nm8 күн бұрын
Angefanyiwa mama yako je
@TeleziaMwaipopo5 күн бұрын
Safii Sana kijana Kwa kumchamba MTU xxxx😅😅😅
@barakanyanchama42977 күн бұрын
Msionee watanzania kwani hiyo picha ariyo choma niayamwenyez Mungu au niyamwanadam
@BasiliClement-ql1yg7 күн бұрын
Napenda tu kutoa hongera kwa makanda wenye uchungu na nchi yao mawakili wameonyesha uzalendo juu ya nchi yao na wananchi kiujumla
@ayshasaid154712 күн бұрын
Hakimu rudisha pesa za fain kwani kamchoma rais au picha wizi ulokithiri tanzania yetu
@LeloJonas5 күн бұрын
Hauna adabu kabisa una choma picha ya raisi
@edsonnelson446413 күн бұрын
Uzuri amechangiwa na chenji imebaki amepata na kianzio
@danielkanso12 күн бұрын
Hawa watu wameshindwa kutatua mahitaji ya wananchi kazi kufuatilia mambo ya picha si ichorwe tena kwa raisi au ndiyo tuseme raisi amechomwa short mind
@karimmveyange255813 күн бұрын
ASANTENI SANA WASHIRIKA. MBALI KIDOGO. LAKINI UMOJA NI NGUVU, NA MUNGU YUPO PAMOJA NA WENYE KUPAMBANA KWA HAKI
@jullythedone861516 сағат бұрын
Ndyo maana watoto wa wafanya Kaz serikalini hawafanyi vzuri mashulen maana wanavaa na kula Hela za damu
@RajaaRajaa-id5wx7 күн бұрын
Mm binafsi huyu rais cmpend
@user-lc6te2pe2l5 күн бұрын
😂😂😂😂
@MageAwe-hl5zb12 күн бұрын
Ugumu wa maisha ni kweli jamani kadi kwenye umeme kodi kubwa sana
@AbdalahMtambuka-rh1dpКүн бұрын
nyinyi munao Pinga faini kweni yeye mtuumiwa kufanya vile lengo lake nini sikujiamin na kumzalilisha rais kweni cheo. Cha rais nikikubwa sana ata kama aumpendi. Aina aja umzalilishe kama ingekua Mimi u uyo mtoto ange potea kama walio potea wengine .uyo jeuli kweni nchi Ii yababayako .Mimi mbona magufuli nilikua simpendi ila sikusubutu kumzalilisha nilituza .ishima yake
@ShaahenAbas13 күн бұрын
Mimi niulize kwamba kwanini aliamua kujirikodi kama picha kachora yeye na kaona hana haja nayo kwanini ajirikodi ? Kwanini aongee kwamfumo wa hasira kivile mbona hapo anaonesha mpole kama sio yeye au siku anajirikodi alilewa ? Mipaka ya wanasheria ikoje hata kutete ujinga nakooo ? Kwanini watu wamemtumia hela ili atoke kama hajafanya kosa kwa fikra zao ? Maneno ya atakaye taka kuelewa Jee wee uko tayari kuchorwa ama kupigwa picha na mtu kujitokeza na kuchoma picha yako hadharani na kuitupa hivo jee wanao ndugu jamaa watakuona wee picha yako iliyochomwa ni kama siiichochote wala lolote Jee rais wetu picha yake ya kuchora ama laa kuchomwa moto ni sawa na kwa kejeli ya maneno kama yale ? Akiiachiwa hamuon tatizo litakuwa kubwaa wengine wataiga ujinga zaidi ya huo Kuchomwa picha ya mtu ni sawa na kuchomwa mtu kweli ,kwakuwa picha ni nusu uhalisia wa mtu Kama anatumika kisiasa hatuwezi kuamini ? Jeee mtu akiiba kwako ukakuta picha imeanguka kwa kumfukuza mwizi jeee hatua ya kuanza kumtafuta mwiz utaanzia wapi ? DNA inaonesha damu na mtu husika kwanini isiwe picha pia inaonesha uhalisia wa mtu
@hamidamussa-sy4fm11 күн бұрын
Wao wanakosea wanaiba pesa za uma wanafanywa nini Hao viongozi mtu anachoma picha kesi mungu ndio mtoa hukumu
@KasalamaAllyКүн бұрын
Huyo muhuni tu kama wahuni wengine chezea Dola we
@AdiaOmariКүн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 Duuuh nimejue kuchek Jamani et Kenya t mwachom bunge ss pich t tumepanic Duuuh khataei
@user-vc8cc2pt7n5 күн бұрын
Ndo wajue wananchi wanechoka maisha magum serikari imeka kimya tu watanzania sasa tumechoka
@user-os8qc7pl1g12 күн бұрын
Mama umeshachokwa achiangazi
@MomyMomt4 күн бұрын
Kasema kweli bwana maisha magumu
@DormanDorman-jm3dz3 күн бұрын
WAMELIPIA KODI KUPITIA PICHA .😂😂
@zulekhamohamed343110 күн бұрын
Watanzania Wana njaa
@MsJuniormjunyhandsomeboy11 күн бұрын
Mubarikiwe sana wapendw
@bbclondonulimwenguwasoka612613 күн бұрын
Una bahati angelikuwa mwamba sa hz ingelikuwa historia
@sylvestercameo626313 күн бұрын
Mwamba ndiyo kitu gani? Ni ujinga kusifia ukatili!
@bbclondonulimwenguwasoka612612 күн бұрын
Nikusifia au huo ndo uhalisia
@user-wi8og3sv4j8 күн бұрын
Tupunguze kukata miti na kuchoma mkaa lakini umeme na ges vimeeeeee
@dicksonkilupa225813 күн бұрын
Dogo wa Tz tumekuelewa na tumekupenda kwa udogo wako message imefika ila imegusa panapouma tuombe Mungu kwamba hawajakudhuru afya yako.
@MnubiMm13 күн бұрын
Hebu usiwasemee watanzania semea wenzio na wewe Mliofurahi Mama kutukanwa na kuona ni Jambo lafahali na furaha Mama Samia KUTUKANWA mjiandae Mama zenu nao KUTUKANWA au kuzalishwa Kama huyu alivyomfanyia Mama nasi tutafurahi na kuchangia pesa kwa ajili ya sherehe
@monicamwita786512 күн бұрын
Anajitambuà huyo kijani.
@lukomanomaliki544212 күн бұрын
Uchawa unakusumbua wewe sio bure.
@MedsonUlendo5 күн бұрын
Wakati fulani wanao haribu taswila ya Rais ni watendaji wake wanao chukulia kila jambo kisiasa ushauri wangu watendaji waserikali kuna jumbe nikuzifanyia kazi kwa kuhojiana nao ili wajue namna yakumshauri Rais kwa faida ya nchi yetu na utawala bora
@jamalkishangu5 күн бұрын
Kwa hiyo mtamtuma akamtukane baba yake, mama yake au viongozi wake wa dini? Huyo dogo alikosea Watanzania hatujafika katika hali ya kuwadharau watu wazima achilia mbali kiongozi wa nje
@CretusMwalongo10 күн бұрын
Safi sana,ni uchawa tupu wote huo unao sumbua,yaani achore yeye afu ahukumiwe,mahakama zetu ni shida sana
@HasanooTozzy5 күн бұрын
Mbona kama bado amjamuachia awo jamaa sina imani nao
@msemakweli24310 күн бұрын
Tanzania 🇹🇿 sheria zinawagusa masikini tu mijizi ilitajwa na CAG ipo tu CCM hatari sana kuchoma picha kesi inachukua siku moja na kifungo hapo hapo
@willymwaipaja678312 күн бұрын
Nchi hii naishangaa sana na kwa kweli inakwenda kubaya kwani imeacha maadili ya kwanza ya binadamu na kurukia madili ya kutetea viongozi na haki za binadamu zitokanazo na wazungu waliopotoka. Taasisi zinazoendesha mambo ya ushoga na upinzani dhidi ya maagizo ya Mungu hazichuliwi hatua kali. Ushoga na uinua juu wanawake dhidi ya wanaume ni uovu mkuu kuliko kuchoma picha ya Rais, japokuwa hilo nalo ni vyema. Miziki ya ovyo ipo huru kwenye mabasi na mitaani na kwenye TV; Wasichana na wanawake wanavaa mavazi ya uchi mitaani na maofisini lakini hakuna sheria au hatua zinazochukuliwa!!! Mfumo jike uko kazini duniani kwa matakwa ya shetani akiwatumia wazungu ambao nao hutumia wale wasiopenda kutawaliwa na Neno la Mungu.
@naturelle10977 күн бұрын
At least huyu sio mnafki
@joycefrances45168 күн бұрын
Tunaomba huyu kijana arudishiwe pesa zake,afanye mtaji,hali ni ngumu kweli,vitu vimepanda kila mahali
@DottoMussa-ro6rw9 күн бұрын
hongereni sana watanzania hongereni sana sheria wetu,hamjawah kufeli
@user-fq7pe1xv9y12 күн бұрын
Mawakili msipotoshe ukweli pamoja na kuchoma picha maneno aliyoyasema wakati anachoma hayakuwa kashfa kwa kiongozi Mkuu wa nchi.?
@hamidamussa-sy4fm11 күн бұрын
Hawo viongozi wanao kosea wawo wanafanywa nini
@AtuganileGodson9 күн бұрын
Huna njaa,mwenye njaa hajawahi kuwa na hekima hata siku moja na watu wakichoka hufanya chochote. Angalia mfano wa Kenya.Nazani ni Muda WA viongozi wa siasa kuangalia haki za wananchi na kugawana mkate wa Taifa. Hali ni ngumu sana mtaani wakati wengine waniba mabilioni na
@Ms051959 күн бұрын
Mama samia mi nakupenda sana hila ukweli nimesoma sina kazi nimekuwa ombaomba lakini kwa neema ya mungu nilipata kazi ya private hila kiu yangu ni kuokoa vichaa na watu ambao wanamazigira magumu naomba nafasi nikuone
@Kabeya4108 күн бұрын
Nenda kalime kenge we Aridhi imejaa tele kalime mahindi vitunguu tumbaku nyanya kabichi kilimo ndo mkombozi wako acha kulalama hovyo wadomi wapo wrngi toka 1990 mpaka leo je wote hao eataajiriea wapi wenye degree, na diploma wengi tu. Fanya biashara anza na mtaji hata wa karanga au machungwa au vyombo. Ati ooo Rais naomba ajira ichumi unao umeukalia 😅
@NuhuOmar-wx2ym13 күн бұрын
❤
@kichenjekichenje207213 күн бұрын
Hii imewapa picha kuwa watanzania wamechoka,na cku wakiamua ndipo haya majizi yatatuelewa vzr
@monicamwita786512 күн бұрын
Sahihi kabisa
@user-bx3kl4hn6j13 күн бұрын
Jamani jamani inamaana Samia anahadhi kubwa sana kuliko Muumba watu wanamtukana Muumba mchana kweupe hatujackia hata kufikishwa kwa mjumbe
@fetyalmas69811 күн бұрын
Na yeye alisema kbs anachoma kwa sababu Ana mungi, na kweli Mungu kamuona
@leokamil628413 күн бұрын
Mchanganyiko kiakili maisha magumu wachache wanakula maisha, maumivu ya ndani kwa ndani mpaka mtu anaona liwalo naliwe
@stephenwakunyala400412 күн бұрын
Dogo yupo freshi mama hatumwelewi kabisha Maisha Magumu
@user-hb8vi9fx6g8 күн бұрын
KUMBE HAKUNA USHAHIDI WA KOSA HILO HIZO MILIONI 5 MMELIPA ZA NINI?!
@malimilandegemabunhi852810 күн бұрын
Kweli hii nchi,usipokuwa makini unawezapelekeshwa Kama kuku,watu wanacheza na media siku hiz,huyo kijana ni askar,wanatuchezea filam tuu yaani ni maigizo tuu,
@ramadhaniomary708312 күн бұрын
Lazima tuwe na displini na viongozi wew unachoma picha ya kiongozi unamaanisha nini huo ni utovu wa nizam kabisa mtu anafanya hivyo halafu watu wanashangilia hata hao mawakili wakitukanwa lazima wakushtski lakini leo hii mtu anachoma picha ya mkuu wa nchi watu wanafurahi tumuheshimu kiongozi wetu tumtetee na tumlinde kwa nguvu zote huyu Rais ni wakwetu sio wa nchi nyingine tumuheshimu
@AbubakariBausi-zd6xf9 күн бұрын
Kuna vitu nimejifujza huyu masikini walimsweka ndani wakampa faini ya milioni tano ili akae ndani jumla niwaaambie allha atawaukum nyote makafili madhalim msio na huluma
@SalimKombo-xo4pq10 күн бұрын
Asante sana kwa kumsaidia huyu kijana.
@fridagustaphmwenda665810 күн бұрын
Funzo kwa wengine maana kama hali ngumu na hiyo milioni tano je ni ndogo? Tupatiwe Mikopo tufanye biashara tu inatosha.
@molenicharles910712 күн бұрын
Mmemlopia 5mls...je yeye ana sh. ngapi mfukoni yakuanziaa maisha...hatari HAWA ndiyo wasomi wetu wa Sheria tz.☹️☹️
@user-py9jj5yr9l9 күн бұрын
Kwakweli mungu azidi kuwa barick sana
@aminitu376610 күн бұрын
Duh! Maisha magum?? Ss ni wanafki xna anza Kumlaumu mtanguliz aliyebana ajira ndiposa umuhukumu mama! Mama anajitahid kufungua milango ya ajira lakin hamuoni ungejua kaz anayofany mama usingethubutu unajilaan mwenyewe kwa ujinga. Yan ww kaa ufkir vizur hom beywer msamaha kwa kejel zako hizo kwa MPakwa mafuta wa tanzani Samia Suluhu Hasan
@hajjisanga78912 күн бұрын
Usirudie Tena dogo hapa sio Kenya tuna ustaarabu wetu kwahiyo uwe na adabu
@David-if6nk12 күн бұрын
Acha kututisha Wew bado mimi najiandaa kumyoosha huyo mama yako
@hiyanimsangi738 күн бұрын
Upo sahihi
@AmaniLukumay-wk6zm6 күн бұрын
Mungu awabariki sana
@sagandamalechampullo65912 күн бұрын
KUNA MJITU SERIKALINI NA NDANI YA CCM INAJICHOTEA PESA ZA WIZI, UFISADI NA KULAWITI WANAFUNZI CHUONI NA MASHULENI MBONA WAO HAWAFUNGWI WALA KUKAMATWA NA POLISI?
@jkifutu793610 күн бұрын
CCM wengi wezi tufanyeni tuitoe mdalakani maisha magumu kweli tena kweli
@MohamedIbrahim-bn1gz12 күн бұрын
Kama Raisi Samia hataingilia jambo hili na akaliwacha lifanikiwe maanayake Mama kweli kuleta mageuzi ya kidemokrasiya nchini na jakubali hukumu ya mahakama bila ya kujali lolote lile
@selemankishema578013 күн бұрын
Kunya wewe angekuwepo magufuli ungemtukana kama samia? Na nyie mawakili uchwala mngethubutu? Alafu mungu mnamtafisiri kinyume saana eti mungu anetenda acheni chuki alafu mama hii fitna kuwa makini saana
@gililwise13 күн бұрын
Ndo maana kafa.uwezi kuwa mbabe ukaishi
@andrewkaswagula336710 күн бұрын
Sasa ukarudie tena upuuzi wako uone kama hao watapata hata hiyo nafasi ya kukulipia faini. Ukirudia tena unapotezwa kabisa mazimaa. Wewe rudi nyumbani ukajidai shujaaa😅😅
@fotunatusiMsongole12 күн бұрын
Mungu mlindee na wasiojulikanaa. Mungu anasamehee na wewe samehe
@namsifubwana215212 күн бұрын
Huyu ndo ameukataa umsukule. Kila mtu awe huru kukataa kufanywa msukule na ccm
@user-do2id6pp4g8 күн бұрын
Ila hii nchi kuna sura ya mapinduzi huko mbele dalili hizi na coment hizi inaonekana watanzania wamechoka kwa kweli
@DiwaniMwafongo13 күн бұрын
Mimi nimepika Picha ya Samia , sijachoma na mchuzi wake nikanywa....😢
@paschalsafari974713 күн бұрын
😂😂😂😂
@daviddouglas956513 күн бұрын
Hahahahaha vipi tamu ehn?
@DiwaniMwafongo13 күн бұрын
@@daviddouglas9565 taaaamu kama nini
@hafidhali302013 күн бұрын
Sasa ungejirekodi ingekuwa vizuri,ikiwezekana fanya tena halafu usisahau kurikodi na sisi tupo tutakuchangia once things are getting worse
@MeddyZambetakis-iq6pg11 күн бұрын
Pumbavu SAMIA SULUHU NA NYIE WOTE WAPUMBAVU ,ELIMU HAMNA 😂😂😂 ,NIKAMATENI MIMI,
@umranim585412 күн бұрын
Ina maana huyu kutumiwa na wana siasa na ndio maana wamekimbilia kumtoa kutetea ujinga na kesho atatokea mwingine hata ogopa kufanya hivyo anajua atatetewa
@BraveMajaliwa-gf7ru10 күн бұрын
TANZANIA 🇹🇿 NDO ILITAKIWA KUANDAMANA KULIKO KENYA 🇰🇪 ILA WAPO KIMYA 😂😂😂
@wilsonytz673011 күн бұрын
Sasa kuchangiwa pesa faini kwa kijana huyu na wanainchi huo ni ujumbe tosha kuwa wanainchi hawapendi uongonzi wa kijinga
@JacksonThobias-wc6ml8 күн бұрын
Nacho shindwa kuelewa unaelezea sana sisi tunataka tumsikie mtuhumiwa
@AmaniLukumay-wk6zm6 күн бұрын
Amepewa nani
@dignergabriel441812 күн бұрын
ATATEKWA NA KUPIGWA, HAITOJULIKANA WALIOMTEKA NA HAKUTOKUA NA KESI! KAA KWA KUTULIA, JIFICHE KABISA
@AdamSaffi21112 күн бұрын
Tunaabudu Huyu mama, hii nchi vipi? Si atapita kama wengine? Million 5?? Hao mbwa koko hao, tunacchabgia safari zake?
@user-yw7ud9th2l12 күн бұрын
Wanalazimisha etiserekari ya awamuyasita izokura. Kupiga nani wemarizia miakairiyobaki ya makufuri raisi. Wawanyonge
@RechoMzava-gt7so12 күн бұрын
Kwani afungwe amekosea nini kaongea kilicho moyoni mwake na ukweli mtupu maisha ya watanzania ni magumu
@RashidMohamed-j9p11 күн бұрын
Mwenye inch kashaga kuf
@MwanaishaShattry12 күн бұрын
Nyie watu hamna jema hata moja. Alikuwa Nyerere mumemchoka. Ali Hassan Mwinyi mumemchuka, Mkapa mumemchoka, Kikwete mumemchoka , Magufuli mumemchoka Mkampa inasemekena habari hazina uhakika mumempa sumu. Sasa nyie watutabaki hivyo hivyo hata wakipewa uraisi baba zenu mtawapa sumu. Hamnajema kakojoeni mkalale. Au kuleni sumu mfe.
@user-wq7xk9sv8h8 күн бұрын
Tunashukuru watz wote kumchangia kwa upendo swali langu hivi hizo hela zinaenda wapi?
@AmourAmour-ux3nm8 күн бұрын
Usiulize si mshalipa chetu
@TitoRufizi-xb2ub10 күн бұрын
Ushenzi tu wa serikali ya CCM,CAG analeta report ya pesa zinazoibiwa munakaa kimya hamuwajibishi wezi wa mali za uma,munahangaika na vitu vidogo vyamsingi kama hamvioni CCM😂
Vijana mnatumika vibaya Laisi Samia suluhuhasani Nilaisi muungwana ila nyinyi amjitambui angechoma picha Ya mama yake kwanza kuliko Kuchoma picha ya lais wangu Anaetea uuovu alioufanya uyu kijana Ajitambui