BAHATI BUKUKU:AFUNGUKA KUHUSU KUZUSHIWA KIFO 'BADO NAISHII'.ROSE MUHANDO AMERUDI KUNDINI

  Рет қаралды 546,498

Masanja TV

Masanja TV

5 жыл бұрын

BAHATI BUKUKU:AFUNGUKA KUHUSU KUZUSHIWA KIFO 'BADO NAISHII'.ROSE MUHANDO AMERUDI KUNDINI | MASANJA TV
TANGAZA NASI MASANJA TV TUPIGIE SASA KWA NAMBA 0712329490
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Пікірлер: 514
@marcelinemwaro266
@marcelinemwaro266 Жыл бұрын
Twakupenda sana uku Kenya Bahati bukuku ata kushinda Tanzania fanya sku uje Kenya tukuone live mamaaà we love you so much mwaaaah
@stellamsemo1020
@stellamsemo1020 5 жыл бұрын
Hutakufa bali utaishi, Mungu akulinde sana damu ya Yesu ikulinde
@violetkaaya7819
@violetkaaya7819 5 жыл бұрын
Anaendika habari hizo ameshindwa vita katika ulimwengu wa roho sasa ameingia mwilini. Asante mtumishi wa Mungu kwa kusamehe. God bless u
@rahelipaul7168
@rahelipaul7168 5 жыл бұрын
Reudjyjf
@duncanmulu2450
@duncanmulu2450 4 жыл бұрын
Hongera kwa bahati...hekima imekupa heshima
@japhethkilonzo5825
@japhethkilonzo5825 4 жыл бұрын
Mungu akupiganie mtumishi
@precious5277
@precious5277 4 жыл бұрын
Hongera sana
@ruthdorcas6962
@ruthdorcas6962 5 жыл бұрын
The voice that makes people and businesses come to standstill, we love you 254 hata kuliko watz wenye wanakutakia kifo.Bahati √√√pole
@patrickhazard238
@patrickhazard238 4 жыл бұрын
Yaani nilishtuka sana kusikia bahati ayuko kumbe mum uko ,,,,,bahati utaishi sana
@bendettakatumbi5252
@bendettakatumbi5252 4 жыл бұрын
May God give you long life like Moses and may he condemn the person prying for your early death God forbid that person in his name
@lightwilliam4443
@lightwilliam4443 4 жыл бұрын
wakenya mna tabia mbaya sana kutusema vibaya.utafikiri ninyi ni malaika.watu wabaya wakuzusha mambo machafu wako kila sehemu usiseme waTZ kama vile wote tunahusika.Hata sisi hatupendi mambo kama haya.mnakera sana sometimes kujudge watu mnaweka huko wote kwa ujumla that is bad.mbadilike
@wangarimuraya7786
@wangarimuraya7786 3 жыл бұрын
Utaishi dadangu,God loves you
@nicholaskhainza4802
@nicholaskhainza4802 5 жыл бұрын
Mama mfupi wa maneno na majibu.Haya yanakuepusha na mambo mengi.Mungu akuwezeshe kufanikisha hiyo album.
@joycejohn102
@joycejohn102 5 жыл бұрын
Namshukuru Mungu. Bahati yu hai Ilo tangazo la ibilisi la kumzushia bahati amekufa. Ninalifuta kwa damu ya YESU. Na pia bahati ataendelea kuishi Na kuyasimulia matendo ya BWANA.
@mikeotieno7486
@mikeotieno7486 5 жыл бұрын
You will not die until you accomplish God's purpose..
@oreste2023
@oreste2023 5 жыл бұрын
Me I'm in Rwanda , I love Bahati Bukuku with her music, Lets thanks God Bahati Bukuku is still in live , Thank you God.
@dorinliving5993
@dorinliving5993 Жыл бұрын
Ulakoze
@getrudefavour5951
@getrudefavour5951 5 жыл бұрын
Nangoja Sana mum Hiyo album mpya.Utaishi hadi Adui washangae. Songa mbele mama binadamu atabaki Kua binadamu tu na mwenye wivu. Waombee waishi miaka Mingi Ili washuhudie makuu ya Mungu maishani mwako. Love you so much mama💞💞
@daimonkalinga9772
@daimonkalinga9772 5 жыл бұрын
uko vema mtumishi umejibu vema mom
@gloriousninah8253
@gloriousninah8253 4 жыл бұрын
I LOVE THE APPLAUSE .Aaarrrr ninajua aliyeandika ni mtu mwenye akili timamu ana ufahamu wakutosha kabisa namshukuru mungu kwa jili yake
@shikswaJesus5451
@shikswaJesus5451 5 жыл бұрын
Ahsante dada Bahati Bukuku kwa kujibu maswali kwa busara....I love you
@dutarametv9793
@dutarametv9793 5 жыл бұрын
Nimejaribu kufanya utafiti kwenye byombo mbalimbali byatarifa inje nandani kuhusu kufo sha dada kipenzi BAHATI BUKUKU Sijapata jibu Namshikuru mungu kweli From USA 🇺🇸 . Kazabuti mama.
@mathiaskibamba7929
@mathiaskibamba7929 4 жыл бұрын
Barikiwa sana mama bahati bukuku
@glorymwakasege5040
@glorymwakasege5040 5 жыл бұрын
Strong and intelligent woman, love you so much, God bless you.
@nancdodoma2992
@nancdodoma2992 5 жыл бұрын
Aonavyo mtu nafusini mwake ndivyo alivyo ameeen nakupenda sana Bahati Bukuku
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 5 жыл бұрын
Thank you GOD bahati bukuku is still life may God bless you
@deffencemtagwa6958
@deffencemtagwa6958 5 жыл бұрын
Aiiii that's greet I love that ....kumbe Bukuku upo wenye wanakuuwa wafe wao...si Bukuku Endelea pia uwasamehe wote na umejibu maswali vizuri God bless and help you more ....keep it up.....!!!! Congracts .....!!!! From Kenya
@rachaelolweny8175
@rachaelolweny8175 4 жыл бұрын
Thanks alot Bukuku.let God deal with those who dirtify His work through you.am from Kenya and we love you...we like the messages from your songs.🙏🙏
@israeltango9126
@israeltango9126 15 күн бұрын
Mama yangu mungu akubariki Kazi yoyote ni maadui we songs mbele
@isaiahshizava4986
@isaiahshizava4986 5 жыл бұрын
Hakika napenda nyimbo zake bukuku ana sauti ya kipekee kabisa na haigi mtu kama wanavyofanya waimbaji wangine wanaiga hadi wanaharibu ladha ya muziki mungu amuhifadhi bukuku na amlinde AMEN
@IbrahimBoiyo-t8b
@IbrahimBoiyo-t8b 23 күн бұрын
You shall not die but you shall live and declare the mighty work of the Lord mum.
@kabangedellhy4548
@kabangedellhy4548 5 жыл бұрын
May the Lord gives You long life to keep moving with gospel. You shall not die but live to declare the works of the Lord. I break that evil spirit of fake death moving around be covered by the blood of Jesus Christ.
@hopefordawn44
@hopefordawn44 Жыл бұрын
Mimi ni shabiki mkubwa wa Bahati bukuku.ukiinuliwa namwanadamu utashuswa bali ukiinuliwa na mungu utakua juu. napenda hii wimbo sana. nakupenda bukuku wachana na maneno ya wanadamu songa mbele na yesu.
@didierbanze9651
@didierbanze9651 5 жыл бұрын
Na furahi dada Bahati bukuku Yuko hai.J aime cette servante de Dieu.
@hopemungure5009
@hopemungure5009 5 жыл бұрын
Hautakufa Bali utaishi na kuyasimulia matendo ya Bwana mtumishi Bahati
@jeradessy6667
@jeradessy6667 5 жыл бұрын
Super talented mum..God bless you richly ..no weapon formed against you and your family shall prosper in JESUS mighty name Amen
@banterbeebee8976
@banterbeebee8976 4 жыл бұрын
Wewe ni mama mwenye hekima u shall not die u will live to proclaim the Goodness of God.God bless you
@enesschitambo6721
@enesschitambo6721 Жыл бұрын
Ster along life bahati bakuku. Mimi nakupenda sana kutoka kwaro yangu.. safari jema yanko ubarikwa huka myaka mengi kwa kwajina Lya yesu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@duejesterkerubo6046
@duejesterkerubo6046 Жыл бұрын
Niko kenyan napenda nyimbo za bahati bukuku sana more and more blessings 🙌 🙏
@samwelmalindi1083
@samwelmalindi1083 5 жыл бұрын
Nampenda Bahati sana kw nyimbo zako wasamehe bure
@thadeophilipo490
@thadeophilipo490 5 жыл бұрын
Samwel Malindi
@mmnn3060
@mmnn3060 5 жыл бұрын
Mungu yupo mama Africa bahati bukuku tunakupenda natena mungu akuepushie mama
@amaniamani2277
@amaniamani2277 5 жыл бұрын
Samwel Malindi ir
@miltonmgobasa3919
@miltonmgobasa3919 4 жыл бұрын
habari
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 жыл бұрын
Pole sana Bahati Bukuku kwa kuzushiwa kifo Mungu wa mbinguni akukinge na mauti inayopangwa na wanadamu dhidi yako. Endelea kuwaombea na kuwasamehe bure maana hawajui walitendalo.
@angelomedard
@angelomedard 5 жыл бұрын
I'm member Christianity especially in Rc church by the way from a long time nafuatilia effectively kazi ya mikono yako bwana aliyokutunuku NEVER GIVE UP My lovely sister l think one day atawashangaza bwana
@fortunatathopist3813
@fortunatathopist3813 Ай бұрын
MUNGU akulinde mpendwa katika. BWANA❤❤❤❤❤
@fatmafa1896
@fatmafa1896 5 жыл бұрын
Amen Mungu aendelee kukuinua na kukubariki na akusidishie uzima na njema kwa jina la yesu kristo aliye Bwana na mwokozi wetu amen
@KansiimeEva-ud3wd
@KansiimeEva-ud3wd Жыл бұрын
Gospel star wa bwana I'm so happy to hear that you are live and God continue to help you in your work.evil people who published the fake news be cursed in Jesus'name Amen
@JanetMbuya-ty6yb
@JanetMbuya-ty6yb Ай бұрын
Vita si vyako mama, Nuu(Noah)nifungulie mlango,, mungu na shetani wacha wakampeni Dada, Bali mungu ndo mshindiii!
@jenniferfenty164
@jenniferfenty164 4 жыл бұрын
Looking beautiful mum. Here in Kenya, we love and pray for you.
@angelahmoraa5472
@angelahmoraa5472 5 жыл бұрын
You will live long bahati, have been offline two weeks,I was so shocked to see that kifo cha bahati bukuku
@shiqohg9794
@shiqohg9794 5 жыл бұрын
The devil is a liar, my sister Bahati you will continue to live glorify our Lord in this generation.
@joycesinkala225
@joycesinkala225 2 жыл бұрын
Mchamungu Hana mambo mengi kwanza ukimkosea mchamungu utapata shida wewe na kingine mungu atateta nawewe mchamungu hashindani na binadamu yupo bize namungu wake na maisha yake baati mama yangu uko vizuli sana wabaya wote walo kuandama mungu ata shugulika nao lilax na kingine mungu yunawe mpaka mwisho love you mum wangu ❤️❤️❤️❤️❤️
@ghhfgbgfhh1980
@ghhfgbgfhh1980 5 жыл бұрын
Asante sana mwinjilist Endelea kusimama nimependa sana hekima yako Sote tunastail kutembea na hekima hii ndani ya mwili wa Kristol
@marympemba8843
@marympemba8843 5 жыл бұрын
Nakupenda sana mama bahati bukuku, mungu akulinde na akupiganie kwa yote.
@johnmangar7587
@johnmangar7587 5 жыл бұрын
Love you siz bahati forgive them
@bizimanalouis6472
@bizimanalouis6472 5 жыл бұрын
Bahati nakupenda Santa mungu akurinde uyo anasema ivo usiumie mungu njoo atajua cakufanya musame siyeye nishetani anandani yake
@majaliwamwandembo2048
@majaliwamwandembo2048 5 жыл бұрын
Mungu ampiganie kwa kweli
@angelkimario7622
@angelkimario7622 4 жыл бұрын
Nakupenda sana kwa uwimbji wako MUNGU akukuze kama MBUYU ubebe matunda yakumumusa radha yake isiyo isha kumumusa kamwe.mwaaaaaaaa mama BAHATI.
@victoriajohn4047
@victoriajohn4047 5 жыл бұрын
Navo kupenda bahati bubu bac tyu mungu ndie ajuayee !! Na mungu azidi kukuweka na miaka mingi nakuombea hao wanao kuombea mabaya na kukuzushia yawarudie wao wenyewee!! Kwa jina la yesu!
@agnessmhufu4638
@agnessmhufu4638 Жыл бұрын
Nakupenda sana Dada Bahati.napenda kazi zako.nabarikiwa sana.uishi .na maadui washindwe kwa jina la YESU.
@zenajimmy6603
@zenajimmy6603 5 жыл бұрын
Oh my Allah Na vile nakumbuka vile nilisononeka haki dadangu kumbe huko Hai . Mwenyenzi Mungu azidi kukubariki Ameen
@christineamukoye9969
@christineamukoye9969 5 жыл бұрын
Karibu sana mum ni kwa neema tu wenye uvumi zao watashindwa kwa Damu ya YESU Kristo na haufi sasa hadi siku MUNGU atakuamlia.....nabarikiwa sana na gospel zako sana.
@monicahwangechi3393
@monicahwangechi3393 5 жыл бұрын
Bukuku you will live long and here in Kenya we love your music , you're my mentor.
@jacobokwaro7157
@jacobokwaro7157 5 жыл бұрын
Mum naomba utoe album kwa ajili ya hili jambo,,wanakutakia kifo mbona,,napenda nyimbo zako mum,,zinanitia moyo sana,,love you mum.
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 5 жыл бұрын
Mimi nakupenda Bahati bukuku,ubarikiwe mnoo
@sammyjulia6801
@sammyjulia6801 5 жыл бұрын
Bahati Bukuku Mungu akupe Maisha marefu na ya mafanikio, Taarifa tulizozipata zime tushangaza sanaaaa, Kumbe watu wengine ni sawa nguruwe hawana thamani yeyote kukutangazia kifo...Mimi siishi Africa lakini nazipenda nyimbozako sana,,,Kila siku nasikiliza na kuangalia video zako kwa youtube.ca WWatu wanakutakia mabaya kwa sababu roho zao mbaya Mungu Akubariki na akupe maisha marefu,,,,,
@mapenzikatana9990
@mapenzikatana9990 5 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa maisha marefu hapa duniani na uendelee na kazi ya mungu mama bahati bukuku
@trgbellah9982
@trgbellah9982 Жыл бұрын
I just hate media people who work tirelessly to look for words from your mouth,thanks for answering like an intelligent woman mama
@pastorjohnmburu6048
@pastorjohnmburu6048 5 жыл бұрын
Isee nimempenda Sana huyu mtangazaji ako focused haogopi Wala haruhusu kuwa intimated na majibu
@user-pl2gj6pt6p
@user-pl2gj6pt6p 4 ай бұрын
Hutakufa Bali utaishi mungu akuzidishe maisha marefu❤❤❤❤🙏🙏🙏
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 жыл бұрын
Amen amen. Nalisema hao washinde tena washindwe kwa jina la Yesu aishie Milele yote. Amen.
@sospetermanyama8294
@sospetermanyama8294 5 жыл бұрын
Jamanie Watu wa tcra tusaidieni huu utitiri wa uzushi wanatupotosha
@mariamnekesa7186
@mariamnekesa7186 5 жыл бұрын
I love you very much sister in Christ
@dorothymmbone8864
@dorothymmbone8864 5 жыл бұрын
Mungu akulinde mum ajuzingire na damu yake takatifu.
@judithisiaho236
@judithisiaho236 5 жыл бұрын
Very very sad. I was so shocked God is great you are alive. God bless you.. and continue to enlarge your territory..
@boswage
@boswage 3 жыл бұрын
She's very wise and conscious Love you mamaa😍😍
@felisianamilele5389
@felisianamilele5389 4 жыл бұрын
Hongera mpendwa Mungu akupe maisha marefu hukutaka kubishana au kuhangaikia alie kuzushia kifo
@jacksonmwadime4962
@jacksonmwadime4962 5 жыл бұрын
Mama Bahati Mungu amempa busara sana..Utaishi ili uiendelee kutukuza Mungu ,hutakufa mama.Barikiwa sana mama,Glory to God
@user-co6nm5fk1g
@user-co6nm5fk1g 6 ай бұрын
Niliumia sana presha ikiwa juu kwangu kumbe uongo pole sana Bahati Bukuku
@lavenderodhiambo9843
@lavenderodhiambo9843 Жыл бұрын
Madam Bahati asante mungu akupe nguvu na akusaidie sana na akuinue,uendeleze KAZI ya mungu,na waimbaji wote WA nyimbo za nnjili,nyimbo zenu zanibariki sana
@rosemurimi8962
@rosemurimi8962 5 жыл бұрын
You will not die mom,,,, have faith,, I love you so much,,, may God grant you favour
@happinesstesha7061
@happinesstesha7061 4 жыл бұрын
Nakupenda dada Mungu hata kuacha utakufa umeshiba siku kama neno la Mungu linavyo sema.
@provispermunzenda3195
@provispermunzenda3195 4 жыл бұрын
Barikiwa mama Bahati Bukuku,tunangojea album mupya. Asante masanja TV
@oduor_ruth
@oduor_ruth 5 жыл бұрын
Yaani msambazaji afanya mwenzake kaongea kwa uchungu hivi.Mungu akusamehe bure.Ubarikiwe sana mama utaishi hutakufa.Endelea kuwasamehe usiwaweke moyoni,watupe nje.
@neemanelson9556
@neemanelson9556 5 жыл бұрын
Hyo mtu achukuliwe atua za kiserikali afungwe
@oduor_ruth
@oduor_ruth 5 жыл бұрын
@@neemanelson9556 lkn sio mara ya kwanza habari hii kusambaa na serikali hawakuchukua hatua yoyote,ko na hii pia nadhani hakuna hatua itachukuliwa
@noelaemanuela6100
@noelaemanuela6100 5 жыл бұрын
I love you mamy mungu akubariki
@anoldwangila3171
@anoldwangila3171 5 жыл бұрын
I love Bahati, She had transformed many lives, very passionate indeed
@kamaukamau6233
@kamaukamau6233 3 жыл бұрын
Pepo chafu kwa wale wote walio eneza uvumi na roho ya ushetani..mungu ni mwema bahati bukuku amerikiwa Amin..
@ruthkanini2249
@ruthkanini2249 5 жыл бұрын
I was shocked too .... nakupenda sana mum....wasemehee tu hautakufa utaishi na neema ya yesu inawe kila siku
@geoffreytheprincemwimbaji9343
@geoffreytheprincemwimbaji9343 5 жыл бұрын
Mama mwenye hekima na haki na nguvu shujaa wangu wa muziki.... Nakubali.. kwamba walikuwepo Bali mpo ... Mzikilizaji wa kila Nikita... Alafu mwepezi wa kusamehee...... Mungu yupo..... Dunia .. ni ya neno amna wizi kwa kipaji .. wow
@hopefordawn44
@hopefordawn44 Жыл бұрын
Upside moyo dada yangu mungu atakupigania mti wenye matunda lazima upigwe mawe. Wewe ni thahabu. mashimo wanayo kuchimbia watatumbukia wenyewe.mimi nimkenya napenda mziki wako na sauti yako.
@evawayesu5865
@evawayesu5865 5 жыл бұрын
Thanks a lot God be blessed Mama l.m so happy to here u thank Jesus that’s great 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍😍😍😍🥰👍
@manirambonafidera6866
@manirambonafidera6866 5 жыл бұрын
Ubarikiwe dada Mungu azidi kukurinda 🙏🙏🙏
@xkingx8041
@xkingx8041 5 жыл бұрын
Mungu akufunike na damu yake my dada.
@dativakimaro7640
@dativakimaro7640 5 жыл бұрын
I will never stop loving you bukuku..washindwe na walegee wanaokutangazia kifo live long my mama.
@mcchap1993
@mcchap1993 5 жыл бұрын
Uyu kijana Ako poa kiinterview...big up bro
@precious5277
@precious5277 4 жыл бұрын
BAHATI I LOVE YOUR RESPONSE BELOVED SERIOUSLY YOU'RE WISE
@martinkiberenge4405
@martinkiberenge4405 3 жыл бұрын
I deeply love the lady with all my heart
@janetnjobvu2871
@janetnjobvu2871 Жыл бұрын
Nampenda Bure dada bahati hakakika utaishi kwajina la yesu
@fatumatunu9055
@fatumatunu9055 5 жыл бұрын
Nakupenda mma kila siku mpaka niangalie nyimbo hii ni nyakati zamwisho yanibariki sana +254 nikiwa Qatar
@user-nm2jz9ww4q
@user-nm2jz9ww4q 5 ай бұрын
Nashukuru.baba.neno.yasiri.yatoka.wazi.atushoki.baba.akulinde.nimimi.apa.congo.lumbu.mbashi.musafiri.
@eunicefaustine7050
@eunicefaustine7050 5 жыл бұрын
M/Mungu na akutetee cku zote, akukinge na maadui wanaokuombea mabaya, uzidi kulitangaza neno la Bwana kwa njia ya uimbaji
@Christina-fq3wu
@Christina-fq3wu 4 ай бұрын
Mungu akupganie bahati bukuku mamy wangu
@JohnKahibi
@JohnKahibi 4 ай бұрын
Ubarikiwe saana dada,nmependa Imani yako
@fatumamgaya7948
@fatumamgaya7948 5 жыл бұрын
Ninakupenda sana kwani unabusara na hekima.nimekupongeza sana kwa jibu ulilojibu.mungu azidi kukubariki sana
@sterahdavid8164
@sterahdavid8164 3 жыл бұрын
Nimekupenda bure Dada, maana imeandikwa nitawabariki wale wanao bariki,nitawalaani wale wanaolaani, kwahiyo baraka zitaanzia kwako hazitaanzia kwa adui zakooo waooooooo
@adelaidelusisat7187
@adelaidelusisat7187 5 жыл бұрын
My mentor, you will not die, you will leave to testify, may God protect you and cover you with His blood,,
@lilianbikeri901
@lilianbikeri901 Жыл бұрын
Nakupenda Bahati mungu akulinde na akuepushe na mabaya
@presseg.6362
@presseg.6362 5 жыл бұрын
Jamani binadamu wengine wapo duniani kwa kuumiza wengine, mungu awasamehe sana, mungu akulinde mtumishi Wa mungu bahati bukuku
@kirigomathu7434
@kirigomathu7434 5 жыл бұрын
Neema ya Mungu ipo juu yako utaishi hadi washangae
@amkeni
@amkeni 5 жыл бұрын
Amina ,nakukubali sana mtumishi wa Mugu ,walio kuzushia kifo wafe mwenyewe na zambi zao, kama wametafuta kiki watakipata kwa shetani uko,wakafie mbele
@everlynechepkoech4840
@everlynechepkoech4840 5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana bahati bukuku ,ni vizuri umewasamehe.wanikumbusha ile wimbo wako unaesema lazima usamehe ili mungu akusamehe.......
@sallyngugi3593
@sallyngugi3593 4 жыл бұрын
Bahati you will live and testify of the goodness of jesus. The grace of God is sufficient upon you.
@dianabwalyabwalya3595
@dianabwalyabwalya3595 5 жыл бұрын
Mama huo kwer Namupenda Tena Napenda Sana Kusikiliz Myimbo Sake Kutoka Zamani
@mwamlimaprisca3115
@mwamlimaprisca3115 5 жыл бұрын
Hutakufa bali utaishi uyasimulie matendo ya bwana nakupenda dadaangu ❤️❤️❤️
@jacobokwaro7157
@jacobokwaro7157 5 жыл бұрын
Mama utaishi ukifanyia kazi mung,,nakuombea maisha marefu mum,,msenge uyo mwajie mungu.
@elisantenjau4352
@elisantenjau4352 5 жыл бұрын
Upo vizuri dada hongera
@Mzungumweusi.254
@Mzungumweusi.254 5 жыл бұрын
We love you Bahati God bless you and be with you whatever you do 👍
@dianaluigi4620
@dianaluigi4620 5 жыл бұрын
Nakupenda Bahati Bukuku Mungu azd kukulinda
@mariethaluvunzu1693
@mariethaluvunzu1693 5 жыл бұрын
Bahati hata me niliumia mwanzoni lakini umemifu umenifundisha kikubwa kumbe hakuna sababu ya kusumbuka na mtu anayejitambua na aliyekusudia kufanya kitu juu yako hata kusambaza taarifa isiyo rasmi, Umenifundisha kumshukulu mungu kwa ajili ya yote Baraka Za mungu aendelee kuwa juu yako
@teresiamutua4487
@teresiamutua4487 5 жыл бұрын
Amen bahati bukuku,barikiwa sana
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,5 МЛН
Sibuka Gospel Hits-Bahati Bukuku(Ajali)
19:48
Sibuka Gospel Hits
Рет қаралды 896 М.
BAHATI BUKUKU AFANYA MTU AOKOKE MSIBANI
2:09
Pastor Emanuel Mdoe
Рет қаралды 9 М.
ALIFANYA MAPENZI NA NGOMBE NA KUPATA MIMBA
21:34
XPLUS TZ
Рет қаралды 1,6 МЛН
Папа гений
0:23
Вельзевул
Рет қаралды 2,8 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
0:12
Jojo Sim
Рет қаралды 22 МЛН
УДИВИЛА ПАРНЯ🤯👏
0:20
Бутылочка
Рет қаралды 5 МЛН
Когда ты младший в семье
1:00
Ерболат Жанабылов
Рет қаралды 2,9 МЛН