Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭
@eriminashayo13413 жыл бұрын
Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏
@salomekamendi2458 Жыл бұрын
Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏
@PaulinaSemindu-ob3de10 ай бұрын
Pole Sana ndugu
@gabrielnyambu82874 ай бұрын
Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba
@charlesmillinga9924 ай бұрын
Bernado Mukasa kaka.
@divinajoseph27603 жыл бұрын
Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri
@saraboniphace76702 жыл бұрын
Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde
@JohnmaryBirungi3 ай бұрын
Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu
@NeemaKiria-wz5gh2 ай бұрын
Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤
@avitbuchwa23532 жыл бұрын
I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!
@anthonykimanthi25512 жыл бұрын
katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya
@user-sz3kz2wf5n4 ай бұрын
Ubarikiwe San
@valentinewamboi44902 жыл бұрын
So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you
@clementmarandu27122 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele
@stacykibutu3654 жыл бұрын
Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli
@remigiusjuvenary30992 жыл бұрын
One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama
@lucasmaro41722 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.
@lutigardkomba12152 жыл бұрын
Nikutukuze vipi Mungu wangu
@linahmadawe28234 жыл бұрын
Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,
@munlagloryzingwe6487 Жыл бұрын
Event I don't understand this song but I really love it
@raymondmushi33104 жыл бұрын
Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia
@faridakibadu12133 жыл бұрын
Nan Kama Bernard mukasa namkubali sana
@mariamlote2183 Жыл бұрын
Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako
@bensonotieno79014 жыл бұрын
uu wimbo unanibariki sana
@awardngailo52334 жыл бұрын
Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel
@user-fn9mr3xe3k8 ай бұрын
Nabarkiwa sana na wimbo huu
@josephinekieti46832 жыл бұрын
I can't get enough of this song, I keep on replaying it.
@totimusmodest82412 жыл бұрын
Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana
@christerkanyamala299611 ай бұрын
Be blessed Mr& Mrs Mukasa,you are highly appreciated
@agripinaapolinary13629 ай бұрын
Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana
@AgnesMwita-nb3cx8 ай бұрын
Aise ama kweli aliyepewa kapewa na Bernard umepewa kipaji Cha pekee
@sarahchiliko10603 жыл бұрын
I love you my Roman Catholic gospel
@gertrudekopiyo Жыл бұрын
Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you
@stevembuhilo29564 ай бұрын
Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz
@upendoinaction47244 жыл бұрын
Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!
@josephirungu40113 жыл бұрын
Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini
@levinamukandara69702 жыл бұрын
How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up
@jamespetro67732 жыл бұрын
Mungu awarki kwa ujumbe mzuri
@gustavkunkuta67333 жыл бұрын
Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.
@muendoandrew5 ай бұрын
I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..
@leahburchard37382 жыл бұрын
Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji
@bahatimungundomteteziwetum43604 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!
@priscamsomba42242 жыл бұрын
Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu
@kamanzielias3585 Жыл бұрын
Mungu akutunze Ben tunajivunia sana
@katommbusa45596 жыл бұрын
Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa
@sarahsangija29136 жыл бұрын
Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima
Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako
@dorischuwa36412 жыл бұрын
Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏
@robertmahucha57153 жыл бұрын
magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru
@kamukamasylvia96404 жыл бұрын
It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed
@achiecaren2908 Жыл бұрын
Good job, sweet voice blessed family.
@skoraskora80932 жыл бұрын
Hongereni sana kwa utume huo
@elizabethtreshory77764 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima
@njugunawjulius44123 жыл бұрын
Baraka kila niuskiapo...
@josephinekieti46832 жыл бұрын
This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.
@agustinotadeo85544 жыл бұрын
Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru
@leonardmwankemwa72234 жыл бұрын
you are role models of most of us
@kathanjeable3 жыл бұрын
tumebarikiwa hapa kamurima catholic church
@beatricejames7207 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwainua
@johnedmundmachota75825 жыл бұрын
Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha
@bonifacejohanes8952 жыл бұрын
Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea
@angelinakemuma27484 жыл бұрын
We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better
@raymondlaurent94032 жыл бұрын
Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..
@user-dg7vf1mx4m6 ай бұрын
sauti tamu sana ,,,so blessing
@mgenileonora97172 жыл бұрын
Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru
@Spirit.233 жыл бұрын
I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance
@lutigardkomba12152 жыл бұрын
Amen,,may the Lord comfort you
@JenistaFrancis-hw5fe11 ай бұрын
Good song 👏👏👏
@BestinaJacob-dc3cb9 ай бұрын
@@JenistaFrancis-hw5fe wimbo wanibarik sana jamani na kujifariji katika magumu ,,
@stephenshio5885 жыл бұрын
Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki
@jeanpierrendayishimiye94543 жыл бұрын
This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.
@kunguseconsumata58633 жыл бұрын
Safi sana Mungu atukuzwe
@josephinebiringanine71134 жыл бұрын
Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰
@marianabachilula875611 ай бұрын
Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!
@user-te1mo4hq4s9 ай бұрын
Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢
@jamesbenjamin59695 жыл бұрын
Katikati ya safari maji yale yakamwagika chini lakin kwa wema wako ukayazoa yakajaaa upya.....
@schophimamandago91414 жыл бұрын
Amen hakuna Zaid ya axant
@alfredphantaleo45293 жыл бұрын
Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu
@gladysjebiwot65625 жыл бұрын
Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you
@paskalinasalia80413 жыл бұрын
Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏
@fidesrwemera37103 жыл бұрын
Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima
@susannyaguthii47134 жыл бұрын
Even i lack a word to say . Only to say thanks God. Amen
@meypaulin61383 жыл бұрын
Mbarikiwe Sana nawapenda Sana nyimbo zenu uwa zinanibariki Sana
@Jonathan953116 жыл бұрын
Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!
@GastonCanuty-tx6ppАй бұрын
Wimbo mzur sana
@dominicmwanzia99195 жыл бұрын
Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana
@angiemambo61924 жыл бұрын
Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.
@thomshumbusho54465 жыл бұрын
Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.
@bridgitmutuku41402 жыл бұрын
Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana
@jamesbenjamin59695 жыл бұрын
Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako
@dreusebiusjmikongoti2482 жыл бұрын
Hongereni sana👏
@user-mn3ik1rx1e9 ай бұрын
Wimbo mzuri sana
@user-uw7nv9gj9q5 ай бұрын
Ata mimi kunakitu nimekumbuka
@zawadiagape97623 жыл бұрын
Nisimulie VIP Mimi 🙏
@lilianalara80072 жыл бұрын
Amina nimebarikia
@jamesbenjamin59695 жыл бұрын
Hakika ni zaidi ya Kipaji, Sifa na Utukufu vimrudie Mungu
@godefridamunyaga46054 жыл бұрын
Ninabarikiwa Sana na nyimbo zenu haswa huu Niseme Nini. Asanteni Sana ndugu yangu na wifi yangu. Mbarikiwe Sana.
@yusterkonga69045 жыл бұрын
naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang
@user-xw2ss1yi5w9 ай бұрын
Sending love from Botswana🇧🇼🇧🇼
@patrickkambale7775 жыл бұрын
Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000
@paschalnwanakulya33474 жыл бұрын
Mungu ni mwema kama ni vipaji mnavyo Endeleeni na uinjilishaji
@Jaycarls5 жыл бұрын
🤲🤲🤲 Mungu aibariki kazi ya Mikono yako... Hongera kwa kutumia kipaji ulichopewa na Mungu kumrudishia sifa na Utukufu🤲 Binafsi natamani niimbe km wewe😥😥😥
@puritygakii29934 жыл бұрын
You are a blessing to many Especially me... Your songs uplift me da day by day.... Be blessed 🙏