Biashara za mtaji mdogo zenye uhakika wa faida .

  Рет қаралды 71,708

Kelvin Kibenje

Kelvin Kibenje

11 ай бұрын

Hizi ni Biashara 5 ambazo zina uhakika wa wateja wakati wote. Kama ulikua unatafuata wazo la biashara ya kufanya basi unaweza kuanza na biashara hizi. Tatu ni biashara ambazo mimi nimezifanya mwenyewe na mbili kati ya hizo jamaa zangu wa karibu wanafanya mpaka leo na ni biashara tulifanya mara baada ya chuo.

Пікірлер: 148
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Ай бұрын
Wengi mmeulizia chimbo la chupi za kike ambazo unaweza kuanza na mtaji wa laki moja. Kiufupi ukiwa na mtaji wa laki moja ukafanya biashara ya chupi inakutoa kabisa sababu ina mzunguko maeneo mengi. Number ya chimbo ni 0763356395 au 0743356395 hawa watakuuzia kwa bei nzuri ya jumla na hata kama uko mkoani utatumiwa kwa uaminifu. Nawajua na kuwaamini hivyo utakua salama na pesa zako
@tedijemsi4589
@tedijemsi4589 17 күн бұрын
Me nategemea kuanza mwez wa tisa mwishon pls msaada kaka chimbo la nguo
@SharifuSalimu
@SharifuSalimu 18 күн бұрын
Ahsante kwa somo zur endelelea kuchimbua lingine
@GreysonTz
@GreysonTz 2 ай бұрын
Asante kwa ushauri wako mzuri mungu skubariki
@user-kw6bv9qp4e
@user-kw6bv9qp4e 3 ай бұрын
jahh! bless you tunazidi kupata maarifa
@CarolineSayia-tq5zm
@CarolineSayia-tq5zm 3 ай бұрын
Asante sana mwalimu niko kenya ninaweza pataje nguo za mitumba nzuri
@upendolairumbe889
@upendolairumbe889 11 ай бұрын
Powerfull message
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Thanks much
@DavidDeus-r8u
@DavidDeus-r8u 5 күн бұрын
Thanks brother
@DaudyNdossa-vh8vg
@DaudyNdossa-vh8vg 3 ай бұрын
🙏🙏🙏mungu akupe maisha marefu
@RachealChiyaze-rh8se
@RachealChiyaze-rh8se 9 ай бұрын
Biashara ya nguo za ndani hainaga asala,
@rusaboy6593
@rusaboy6593 4 ай бұрын
habali nahitaji mawasiliano yako unisaidie mawazo kuhusu biashala ya nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Ай бұрын
​@@rusaboy6593 Waliooomba kujifunza hii Biashara. .... UCHAMBUZI BIASHARA YA NGUO ZA NDANI. . Hii ni biashara nzuri kwako sababu kadhaa, kwanza inagusa watu wengi zaidi kuliko biashara za nguo aina nyingine kama vile Jeans,Tshirt,magauni au suit zenye watu wake na hobbies zao lakini sio kwa nguo za ndani ambazo hao wote hapo ndani wamevaa kati ya boxer,braa, chupi,vest n.k . . Zaidi ya 90% ya watu wote duniani wanavaa nguo za ndani kuanzia mtoto mchanga na maisha yake yote. . Pia nguo za ndani HAZINA Msimu kwamba usubiri sikukuu au wanafunzi wakifungua,muda wote zinanunulika, hivyo utauza muda wote. . Hii ni biashara ambayo inahitaji kiasi kidogo cha mtaji na kianzio hicho kinakupa faida zaidi na zaidi. . Hii ni biashara Ambayo ukiwa na mtaji wa kuanzia laki mbili tu unaweza kupata mzigo mkubwa. . Nguo za china ndio bidhaa nzuri zaidi kwa mfanyabiashara kupatia pesa kuliko zinazotoka sehemu nyingine yoyote duniani hasa kwa Tanzania. . Ila kama una wateja wako unaweza uza za popote ila kama unaanza nashauri anzia za China. . Sababu kubwa ni kwamba zinauzwa bei rahisi . Kwa mfano biashara ya chupi ili ukue kimtaji kwa haraka zaidi basi uza za china na sio za sehemu ingine . China ndio utapata chupi zile zinauzwa 1000,1500,2000/- kwa pic 1 . Na hizi bei ndio ambazo watu wengi zaidi ya 80% au 90% wanaweza kuzimudu. . Kwa hio kwa % hizo umeishaona namna soko ambavyo ni pana. Kama utaamua kuchanganya na bidhaa nje ya china basi weka kidogo na nguvu kubwa iwe china ,fanya hivo ili kuchukua wateja wengi zaidi . . Fanya hii biashara upige pesa. . Kama una Uwezo agiza Moja kwa moja China alafu uzia wafanyabiashara na Wajasiriamali kwa jumla. (kama hujui kuagiza china hakikisha hukosi darasa la mwezi wa tano nitafundisha na kukupa Agent& suppliers wa china) . Kama mtaji bado mdogo nenda kariakoo mtaa wa mchikichi na gogo, Mchikichi na sikukuu huko kuna machimbo bei rahisi. Mmoja wapo ni huyu 0743356395 au 0763356395 walikua kariakoo mtaa wa mchikichi na sikukuu kwa sasa stoo zao ziko makumbusho plaza. Huyu atakupa chupi za 1000 ambazo utauza 2000 na kuendelea au za 1500 ambazo utauza Tsh 2500 mpaka 500 sema Anauza jumla kuanzia pc 100 kwaio mtaji wa laki unatosha . Hii biashara si lazima uwe na frem, unaweza kuzungusha majumbani, kuuza online, kuwa na kibanda kidogo, Kuuza chuoni nk, Duka au kuuza gulioni.
@williamnyankongo9655
@williamnyankongo9655 3 күн бұрын
Blessed
@upendomtui2385
@upendomtui2385 9 ай бұрын
Somo nzuri sana kaka Mungu akubariki
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Asante sana Rafiki yangu
@carolinetoto8706
@carolinetoto8706 23 күн бұрын
Asantee asantee
@DausonnyJuma
@DausonnyJuma 2 ай бұрын
Asante kwa ushauri wako
@awabuawami3625
@awabuawami3625 2 ай бұрын
Kak God bless you niko na vifaa vya simu hapa
@SalumSaid-e1j
@SalumSaid-e1j 22 күн бұрын
Asante kwa ushaur
@jumaatubu
@jumaatubu 8 ай бұрын
Thanks
@RoncyMroki
@RoncyMroki 11 күн бұрын
Asante sanaa
@jimmydikwe6620
@jimmydikwe6620 11 ай бұрын
Hyo ya vyombo nimeielewa mkuu, naanzia wapi?
@sarahkissu3821
@sarahkissu3821 11 ай бұрын
Be blessed 🙌
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Thanks much
@MakiBanda-tc9pw
@MakiBanda-tc9pw 8 ай бұрын
Be blessed
@NeemaJitambi-hj9iv
@NeemaJitambi-hj9iv 8 ай бұрын
asante kaka kwa ushaur mzur
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 ай бұрын
Asante pia
@hawardmhema9784
@hawardmhema9784 4 ай бұрын
❤❤❤
@bekakasambala7108
@bekakasambala7108 6 күн бұрын
Bro nilkuw nahitaji kujua naanzaje biashara ya accessories ya simu. Na vifaa vyake kwa ujumla
@ZainabuMkula-zn5np
@ZainabuMkula-zn5np 3 ай бұрын
Biashara ya urembo ni ndoto yangu kubwa ila sijui nianze kwa mtaji wa sh ngapi??
@esterfunyenga3185
@esterfunyenga3185 11 ай бұрын
Asante sana
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Asante pia
@GetrudaNgulo
@GetrudaNgulo 28 күн бұрын
Tafadhali naomba chimbo la nguo za watoto za mtumba grade A
@elishazakalia-wj3my
@elishazakalia-wj3my 11 ай бұрын
🔥🔥🔥
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 11 ай бұрын
👏👏👏
@AdolfJordan-rz8sm
@AdolfJordan-rz8sm 6 ай бұрын
Nimekuelewa kaka
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr 11 ай бұрын
natamani niifanye kazini kwangu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Nifuate insta nikupatie
@user-sj4xc1uo7u
@user-sj4xc1uo7u 5 ай бұрын
Kaka naomba namba ili unielekeze
@user-lj5tn8qw2r
@user-lj5tn8qw2r 9 ай бұрын
Asante
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Asante pia
@abbygeorge8394
@abbygeorge8394 11 ай бұрын
👂👂be blessed
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 11 ай бұрын
Thanks much
@elishamwakihaba942
@elishamwakihaba942 8 ай бұрын
🙏
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 ай бұрын
Asante sana
@robertoyoussouf7679
@robertoyoussouf7679 3 ай бұрын
Asante kwa somo la siku, Vipi mwanaume ana fanya pia biashara ya urembo cosmetics ?
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 3 ай бұрын
Inawezekana na wengi wanafanya
@liz_underwearstore_mwanza
@liz_underwearstore_mwanza 11 ай бұрын
🙏🏾
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
🙏🙏
@user-ob7nj9iu2m
@user-ob7nj9iu2m 6 ай бұрын
Biashar ya kuuza airphone nitaifany kak inshallah
@LennySilas-jo3oj
@LennySilas-jo3oj 9 ай бұрын
Ni kwel biashara hiyo watu wanaichukulia poa ila inalipa nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
True best
@jacobchanda4475
@jacobchanda4475 11 ай бұрын
..We up Fam 🫡
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Thanks much
@GetrudaNgulo
@GetrudaNgulo 28 күн бұрын
Msaada chimbo la nguo za watoto mtumba grade A
@neemamarko176
@neemamarko176 11 ай бұрын
mtumba ni biashara ambayo nimefanya ila mtumba unaweza anza na mtaji wa 20000 tu ukawa unapoint nguo nzuri unapeleka chuo na mtu mmoja mmoja unazunguka minadani unanunua nguo mpaka mia 500 lakini hiyo nguo unauza mpaka 5000/10000 Kuna mmoja huyo kila mnada anauza nguo 200/300 watu wanajaa hiyo utauziwa mpaka 10000 ronya zipo na nzuri zipo ni kuwahi tu kama kesho jumamosi Biafra yupo...
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Kabisaaa
@mwanakombomohamed7526
@mwanakombomohamed7526 9 ай бұрын
Sawa
@Willyb254
@Willyb254 9 ай бұрын
Nimependa
@Totorutha
@Totorutha 9 ай бұрын
Nitumie no Yako bro
@user-vv9iq8bp5q
@user-vv9iq8bp5q 9 ай бұрын
Nitumie namba yako ndugu tufanye viashara
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 10 ай бұрын
Paul makonda sauti na muonekano
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Aisee
@user-vn6so3on7z
@user-vn6so3on7z 4 ай бұрын
Mudogoake Huyo
@kiliancloud2437
@kiliancloud2437 9 ай бұрын
Broo nataka kufungua duka la vifaa vya simu vo mtaji wake
@littlebrother4
@littlebrother4 7 ай бұрын
milion 200
@user-zn6uf8om5i
@user-zn6uf8om5i 9 ай бұрын
Connection basi kaka
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Ya nini?
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr 11 ай бұрын
pia naomba connection ya vifaa vya simu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Ingia Instagram page yangu
@DavidYusuph-hd9xw
@DavidYusuph-hd9xw 5 ай бұрын
Mtu umempa ushauli anataka na connection
@RajabuJuma-fy8nr
@RajabuJuma-fy8nr 5 ай бұрын
Ya nguo za ndani na mtumba, nitakucheki unipe connection ya nguo nzuri nijiongezee kipato
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 5 ай бұрын
Nitafte mm tuongee dia naziuzaa
@FurahaVenosa
@FurahaVenosa 3 ай бұрын
​@@DoriceRemson-by5rrhey uko pande gani
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 3 ай бұрын
@@FurahaVenosanko dar dear nashinda kariakoo msimbazi
@user-mi6yw9lm9i
@user-mi6yw9lm9i 12 күн бұрын
No please rafik
@HappyBirdwingButterfly-wh5do
@HappyBirdwingButterfly-wh5do 5 ай бұрын
Makadirio ya mtaj wa biashara ya nguo zandan au urembo!??
@desmondrabsonmwaipula1239
@desmondrabsonmwaipula1239 4 ай бұрын
50,000
@piuskalilile9850
@piuskalilile9850 4 ай бұрын
Chimbo la nguo za ndani msaada
@AredFered
@AredFered 6 ай бұрын
Nataman sana kua mfanyabiashara lakn mambo yangu bado hayajakaa sawa
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 6 ай бұрын
Jipange tu uanze
@AredFered
@AredFered 6 ай бұрын
@@kelvinkibenje sawa kaka lakn nawaza sana make
@elisafi7
@elisafi7 4 ай бұрын
Kaza ww, unawaza nini sasa😂​@@AredFered
@TusekileMwaswapu
@TusekileMwaswapu 3 ай бұрын
Biashala ya nguo za ndani lnataka mtaji wa shingapi
@AshuraIsaack
@AshuraIsaack 7 ай бұрын
Biashara ya nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 7 ай бұрын
Ni nzuri sana
@tonnyblasty4606
@tonnyblasty4606 11 ай бұрын
Natamani kati ya nguo za ndani au vifaa vya simu ila bado sijaelewa pakuanzia
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 ай бұрын
Unataka kuuzia eneo gani?
@ismailmohamed-sc1hg
@ismailmohamed-sc1hg 9 ай бұрын
Nipo bunda mara nataka nianze biashara yakuuza nguo za mitumba lakini sijui nianzie wap na faida yake nitaipataje maan ndo nataka kuanza
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
@@ismailmohamed-sc1hg pitia account yangu ya Instagram nimeichambua vizuri Biashara ya mtumba, fauda, wapi pa kupata mzigo na masoko. Bonyeza hii link kuingia kwenye page Www.instagram.com/kelvinkibenje
@user-pi6kz2uw5x
@user-pi6kz2uw5x 7 ай бұрын
Xamahanii kaka mm natakaa nifanye biashara mtajii lakii mbilii na nusu je nifanye biasharaa gganii maana mpakaa sahv sielewii
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 7 ай бұрын
Kwenye hizo tano hakuna uliyoipenda
@user-yq2ye9zl3r
@user-yq2ye9zl3r 3 ай бұрын
Nami pia
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr 11 ай бұрын
kaka naomba connection ya chupi!
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Cheki insta yangu
@DahuuAbdi
@DahuuAbdi Ай бұрын
Kaka Nina m 1 na sijui biashara Gani nifanye msaada
@vickymdee
@vickymdee Ай бұрын
Nikopeshe mimi hyo ela boss
@user-vv9iq8bp5q
@user-vv9iq8bp5q 9 ай бұрын
Natamani kuuza mitumba nina laki mbili ila sijuwi pakuanzia
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Pa kuanzia ni kwenda kuchukua mzigo kama tayari umesoma soko na unajua nini utauza
@user-vv9iq8bp5q
@user-vv9iq8bp5q 9 ай бұрын
Kuzunguuka nao mtaani ni vizuri au hadi nipange frame?
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 5 ай бұрын
Nitafte tuongee vizur kipenz
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 5 ай бұрын
Nitafte tuongee vzur ntakurahisishia
@luluanania-cb1bw
@luluanania-cb1bw 3 ай бұрын
​@@DoriceRemson-by5rr❤
@sarahkissu3821
@sarahkissu3821 11 ай бұрын
Vyombo nmewah kuifanya shida ipo kweny machimbo sahv yamekua too hard kuyapata
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Nenda kwenye kiwanda cha cello au jambo. Pia kama una uzoefu saasa anza kuagiza China
@merykyungai2551
@merykyungai2551 4 ай бұрын
Biashara ya nguo za mtumba nafaida kwanzia 50000
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 ай бұрын
Ndiooo
@user-vr1vb4qd6e
@user-vr1vb4qd6e 5 ай бұрын
Kaka mm nina 40000 nawaza nifanye kazi ya nguo za ndani ,niko msoma sasa sijui wanauza wapi jumla kwa aliye msoma omba msahada
@shamuni1983
@shamuni1983 3 ай бұрын
Zipo Dar Kariakoo, Ukihitaji Tunakutumia kwa gari
@HappyBarn-kv6yj
@HappyBarn-kv6yj 3 ай бұрын
Na mimi nahitaji niko kariakoo​@@shamuni1983
@JanethAlex-sg3zu
@JanethAlex-sg3zu 9 ай бұрын
Samahan kaka vo biashala. Yamanukato. Imekaje. Nahii
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Ni moja ya Biashara mzuri. Hapo nimeitaja kwenye urembo
@user-lj5tn8qw2r
@user-lj5tn8qw2r 9 ай бұрын
Hiyo ya nguo za ndani sasa sielew naanzia wap
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 ай бұрын
Anza kwa kuchukua mzigo na kutafuta wateja. Mtandaoni, msofisini, kwenye magulio
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 5 ай бұрын
Kwa mwenye uhitaji wa nguo za mtumba tuwasiliane bei rahisi tutazungumza tusogezane
@user-lu7kn6kn1x
@user-lu7kn6kn1x 5 ай бұрын
Uko wap kwaniii
@FebroniaTamila
@FebroniaTamila 4 ай бұрын
Unapatikana wapi
@user-gb7sw7en6d
@user-gb7sw7en6d 4 ай бұрын
Unapatikan wap
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 4 ай бұрын
Niko Dar dear
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 4 ай бұрын
Karibuni saaana
@AredFered
@AredFered 6 ай бұрын
Asante
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 6 ай бұрын
🙏🙏🤝
@cheluhussen-vo4rd
@cheluhussen-vo4rd 10 ай бұрын
Thanks
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Thanks too
@cheluhussen-vo4rd
@cheluhussen-vo4rd 10 ай бұрын
Yani natamani kufanya biashara ilasijui nianzie wap Leo nimeingua uku ndo nikakutana na wewe. Kaka angu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 ай бұрын
Asante sana. Karibu sana
@manyekiongoz
@manyekiongoz 11 ай бұрын
Blessed
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 11 ай бұрын
Thanks much
BIASHARA 15 ZA MTAJI MDOGO ZENYE MZUNGUKO MKUBWA NA FAIDA KUBWA
16:19
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 37 М.
Njia 4 Rahisi Za Kujenga Nidhamu Ya Fedha Ili Utimize Malengo Yako
7:52
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 94 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 10 МЛН
Episode 2 : Je,Ufanye biashara gani?
11:29
Joel Nanauka
Рет қаралды 78 М.
MAMBO YA KUZINGATIA ILI BIASHARA YAKO IFANIKIWE - JOEL NANAUKA
7:37
KUTANA NA VALENTINE BINTI ANAYEKIMBIZA BIASHARA YA NAFAKA DSM
29:22
Gangana Info Channel
Рет қаралды 10 М.
NJIA ZA KUJILAZIMISHA KUWEKA AKIBA NA KUWEKEZA
8:50
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 4 М.
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 377 М.
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15