Aisee reporters mna kazi kweli duh huogop mitambo itazima broo duh wanaokubali Ayo TV gonga like twende pamoja
@haimahaima91355 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@isackrajabu52025 жыл бұрын
boss imma Mafie
@isackrajabu52025 жыл бұрын
boss imma Mafie
@isackrajabu52025 жыл бұрын
boss imma Mafie ....
@isackrajabu52025 жыл бұрын
boss imma Mafie
@frdadaud9915 жыл бұрын
usalama wang wa taifaa km kuna aliyeckia gonga like bac😁😁😁😁
@kulwarashid93454 жыл бұрын
Hahahah
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Hahaaaa
@sylvestercharles35855 жыл бұрын
Kuna Mungu aliye mkuu kuliko uganga, itapendeza sana Bibi ukimpokea Yesu na kumfanya kuwa Bwana na mwokozi wako, yeye ni zaidi ya uganga.
@ligayaasamuu6375 жыл бұрын
Sylvester Charles wote sio Makafiri
@elibarikielikana18245 жыл бұрын
Ameeeen
@kwamejoseph32645 жыл бұрын
Sylvester Charles ameeeen,,,tatzo watu kuwa wagum wa mioyo kumpokea yesu
@izdoryb.barnabas17945 жыл бұрын
Sylvester Charles b
@chaliialex2435 жыл бұрын
@@ligayaasamuu637 true
@simonmagembe71405 жыл бұрын
Huo uwezo Wa bibi Wa kuzuia basi aajiriwe serikalini ili azuie na rushwa
@Motv10005 жыл бұрын
dahaa acheni Mila za kishilikina jamani sio kula mzeee mchawi jamani msimtuhumu Bibi wawatu
@fatmazullu49335 жыл бұрын
Simon Magembe 😂😂
@eunicejohn55205 жыл бұрын
Kabisa hahahahaha
@shahamtindo5 жыл бұрын
Hahaha
@rosemtweve54755 жыл бұрын
😁😁😄😆
@mohammedmkomi90875 жыл бұрын
NILIPELEKWA KITUO CHA POLISI #ARUSHA KWA AJILI YA USALAMA WANGU WA #TAIFA ..nan kasikia hyoo #sentensi kama mm?
@dickmalove55445 жыл бұрын
Mohammed Mkomi 😂😂
@emanuelsamkinda42285 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣
@mayusahussain80455 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatumahabibu89335 жыл бұрын
Haaaaaaaaaa
@mashallah63215 жыл бұрын
Hahahahaha
@gaudiosamweha1792 Жыл бұрын
Heri ya mganga ujinga gani,we bibi sikuogopi usitishie watu bana.mi nikiwa Karibu yako mbona utakbilia uvunguni huwexi furukuta mbele ya Mungu wangu.God is everything.Heri amtumainie Mungu milele
@allyanthony34895 жыл бұрын
Bibi uko sawa makondakita wanazalau sana abilia
@georgeking44695 жыл бұрын
kwa MTU was Mungu yeyote akipanda kwenye gari yoyote lazima aombe,na maombi ya MTU mmoja yanaponya nchi nzima
@najatmngazija15475 жыл бұрын
george king fanya basi maombi mashoga waishe tz, inaelekea unajua
@glorychiwala45763 жыл бұрын
Maombi ya mmoja hakika huponya
@bingwarash32563 жыл бұрын
Amina
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kwahyo uganga na mungu ni sawa ???acha kuzngua ww
@mosesritoine2320 Жыл бұрын
Lushoto Moshi Arusha inakuwaje, stend ya Arusha Tena vipi?
@hamzavirago26495 жыл бұрын
Kwaajiri ya usalama wangu wa taifa🤒🤒🤒🤒
@bundukitv13225 жыл бұрын
Godfrey na mwenzio Vido ni mapresenta wazuri sana. Mungu awaongeze ufanisi
@georgeking44695 жыл бұрын
Basi nzima walimwogopa bibi kwa sababu hawakuwa na ufahamu kuhusu uwezo was Mungu,ndo maana hata bibi aliwaona kwenye darubini yake ya kichawi ,hakukua na mlokole ndani ya basis LA kama mlokole angekuwa kwenye hiyo bibi hiyo bibi asingepanda from the start
@phaniboyphaniboy98375 жыл бұрын
Kama una soma comment kama mm likes
@bigboys0165 жыл бұрын
Usalama wake wataifa,lazima ulindwe halafu wewe mwenye kuuliza maswali unaendeshaje kipindi wakati simu inapiga fujo
@georgeking44695 жыл бұрын
kama ni mzinzi,Sena nakataa uzinzi,au usengenyaji,au ufilaji,au wizi,au kuabudu sanam, kila aina has uchafu ginga kataa na Mungu atakusamehe utaanza maisha mapya ndani ya Yesu
@hakbilalbilal10712 жыл бұрын
Yesu wawapi
@milcahjosiah39675 жыл бұрын
Uwiiiii alikua anakuja kwetu nzega yelewiiiii
@wizchiachacha79375 жыл бұрын
Ayo tv wametafta bibi fulani tu kwaajili ya kutengeneza pesani Huyu sio bibi ni mama na namjua hana maajabu hayo
@dorischilla16275 жыл бұрын
Wizchia Chacha peleka usenge hukoo
@nellywizzy70345 жыл бұрын
Doris unamtukan jamaa. Unaamini kweny giza
@nellywizzy70345 жыл бұрын
Kwanz hyo mama akuzuia gar ila gar walifaulisha kwasabb zao weny campun tatiz la wa tz mnamin giza sana na mnapenda kuckia kuus maajab y giza
@angelrimoy23654 жыл бұрын
Wizchia Chacha Aah kumbee
@queenandchill915 жыл бұрын
"Mimi sikuwa na aja ya kujisaidia"😂😂 ili upate muda wa kufanya mambo bibi au sio
@madadamadada14024 жыл бұрын
Queen Bernard hhahahaha umenivuunja mbavu balaaa
@fintanmkesha10774 жыл бұрын
Kuna kitu nimegundua hilo ni dili la makonda na matapel kuwaaminisha wat kua bib ni mganga ili wawapige watu wanao enda kwa waganga hamna uchawi hapo
@morgankalima58245 жыл бұрын
Wa Tanzania mnapenda sana kuamini amini mambo ya ushilikina Kila kitu ni ushilikina mpira uchawi.Simba na Yanga ushilikina badilikene alafu Huyo sio bibi msipende kuzeesha watu Huyo ni mama.
@paskalmanongwa71835 жыл бұрын
Aisee mm sjawahi kuwa mshabiki Wa timu za tz kwa kua spendi hata kidogo hayo mambo yao ya kichawi
@sylvesteraron49725 жыл бұрын
wewe mama acha uchawi njoo kwa BWANA YESU KRISTO, akuponye, uchawi sio sifa zuri
@husenimareja19075 жыл бұрын
Sylvester Aron huko uliko hakuna usalama hata kidogo soma vitabu ujue unachokiamini sio sahihi
@lailaathumani86205 жыл бұрын
Unauhakika kama mchawi ama unaropoka
@happygamnazi84355 жыл бұрын
Amina
@RoseJames-ed5hv5 жыл бұрын
Unayesema Una uhakika mchawi wewe unaona anaimba kwaya hapo au na wewe ni mteja wake.
@christsflowe.r5 жыл бұрын
@@husenimareja1907 sasa na wewe si ungeandika comment yako kwa huko unakohisi kuko sahihi 🙄
@hudsson755 жыл бұрын
Kama nawaona vile watu wa mambo yao wanavyoandika namba ya simu😂😂😂
@mariamelias19154 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 wa kwanzaa mm
@marianachristophory49164 жыл бұрын
Haaaaaaa umeona eeeeee tulivyo makini na number!!!!!!!
@donatuspeter89903 жыл бұрын
Mama noma huyo
@donatuspeter89903 жыл бұрын
@@mariamelias1915 mama Bella and Josie the archana mukunda mukunda mukunda mukunda
@donatuspeter89903 жыл бұрын
@@mariamelias1915 mama Bella and Josie the archana mukunda mukunda mukunda mukunda
@ngometvarusha40305 жыл бұрын
Kilichosimamisha gari siyo uchawi wala ndumba nimatatizo ya gari sema watanzania kwakukuza vitu vya kishirikina hawajambo huyu mama kasema alipoona watu wanashuka hakujua kinachoendelea alidhan wanaenda kukojoaa achen kuendekeza ujinga ndio maalibino waliuliwa sana Tanzania na kule njombe watoto wadogo ,kupotea ,makonda amesema tusiwe na taifa ambalo lina promote mambo ya hovyo na kuacha mambo yenye faida
@dalalihakweahakweya66634 жыл бұрын
Mm nisha jichukuria namba mudah, mlefu nami nika fanye yangu huko lushoto sijuwi tabora 😁😀😃😄😁😀
@saidiomali33245 жыл бұрын
Naona bibi katoa namba wenye iman za kishilikina wa ruke hewani
@moseswanjara34085 жыл бұрын
Saidi Omali moja wapo ni ww
@josestudio45344 жыл бұрын
nimempigea amesema atanikomeshea wanaonisumbua
@mrprogram55093 жыл бұрын
@@josestudio4534 😂😂😂
@muhimpundunourah80214 жыл бұрын
unafiki mkubwa,mama mwislam mshirikina mkubwa.mnatuleteya haya waislam.muogope mungu.
@marumswhly41865 жыл бұрын
Sem brother umenenep sana khaaa MashAllah ila mazoez muhim
@ericchepe82445 жыл бұрын
bibi ni shda
@silverjoseph45775 жыл бұрын
Nimecheka jaman Bibi alivyoshika maiki na anavyoongea Kama mwandishi wa habari kwa nukta Bibi shikamoo ooooooooooh
Kwanzaa lazma ajitetee duh usalama wangu wa taifa haha 😂 😂😂😂😂😂 lakn tusimseme Sana keshakuw 🌟 star
@sofiayusufu77625 жыл бұрын
Ally Mohamedi 😁😁😁😁😁😁
@georgeking44695 жыл бұрын
let me help you,,ukimwamini Yesu na kutubu dhambi,unakuwa kiumbe kipya,utu wako was ndani unahuihwa,unabadilishwa,unakuwa umevikwa utu mpya,yaani George was zamani anabadirishwa unakuwa George mpya,ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya,Yesu anakuja kukaa ndani yako
@esterjema29323 жыл бұрын
AMEN
@moyomzurionline97185 жыл бұрын
Karibuni Lushoto 😂😂Daadeki
@edwinalexander11705 жыл бұрын
Huyu Mama uchawi wake uko kwenye macho, anatumia macho kulogea, anatumia nguvu za Giza, ila kwa Jina la Yesu kristo huo uchawi wako hawezi kukusaifia ni kwa vile ulikutana na watu walikuwa wakishangaa badala ya kuomba. Mpe Yesu maisha yako Mama uchawi hautakusaidia, baada ya kufa utaenda motoni na uchawi wako.
@janesuma21935 жыл бұрын
Edwin Alexander kwani kasema yeye ni mchawi
@mneneijasmin14935 жыл бұрын
Edwin Alexander mchawi ndiio sasa anaongea naninii vitu havionekani au alikuwa anaongea na malaika
@jaymandy81362 жыл бұрын
Tumpe Mungu maisha yetu na sio Nabii Yesu.
@gaudiosamweha1792 Жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂umemkagua macho tayar
@abdullayahya87175 жыл бұрын
Huyu bibi akiongea kama lowasa anapiga kampeni
@sheikinitv84895 жыл бұрын
Itakuwa ni ndg ake😂😂😂
@mariadunguru82045 жыл бұрын
Abdulla Yahya hahahahah umenivunja mbavu na iyo comment yako
@leonardmrope95285 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@abdallahomari86805 жыл бұрын
@@leonardmrope9528 afadhali huyo mama kuliko lowasa hawezi kujieleza hana speech,
@bennyfrank64275 жыл бұрын
Abdulla Yahya
@pilihashim.31625 жыл бұрын
jamani mwanikumbusha mbali jamani home huko we kaka unatisha big up God
@raymondjimmy27125 жыл бұрын
Hii Mizimu ya huyu Bibi Mbona inawahi sana kupanic😂😂😂
@zenaal-baalawy1953 Жыл бұрын
Raymond jimmy@😂
@financialloan98185 жыл бұрын
Mapepo wanayaogopa apo ni kukemea tuuu na uyu bibi asingekua na chochote kile kawatisha tuu kwakua Ameona wotee amna yesu ndani yenu
@faridbawazir2895 жыл бұрын
Huyu bibi anasoma tarifa ya habari au
@remmierobby24445 жыл бұрын
Haha
@joharingwale59045 жыл бұрын
Hahahahaha ww shauri yako
@chabycarpoza29985 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@coneschikulo38175 жыл бұрын
Farid Bawazir haaahaaaaaaa. Uwiiiiii
@rehemamsuya22635 жыл бұрын
Umeonaee anaongea kwa kituo bila ht hofu anajiamini usipime
@salimmohamed6945 жыл бұрын
Bibi wacha uchawi ww utakufa vibaya ushirikina ni kitu kibaya sana
@saudorsaugold66434 жыл бұрын
Moto wa jahanam unawasubiri
@geraldpeter93704 жыл бұрын
Salim Mohamed bhgb
@alexjeremia76865 жыл бұрын
dah! ndo tuamini dawa zipo
@nelsonmrangu7525 жыл бұрын
Uchawi wa kbongobongo ndio ulivo hautak Mambo makubwa, Kama vp Bibi awaroge IMF na world Bank apate mahela yakushato so ishu ndogo kaizo
@TheSalma19995 жыл бұрын
Mandhari mmeiona it’s beautiful
@gilbertmwangonela77575 жыл бұрын
Namba ya bibi naomba #
@lailaathumani86205 жыл бұрын
Asante mungu mamangu kafika Salama nyumban
@lucyammi4199 Жыл бұрын
YESU KRISTO ni jibu
@josephnjeno25825 жыл бұрын
Kwaajili ya usalama wangu wa nini kwa mwenzengu aliyesikia vizuri
@danielelias88555 жыл бұрын
😀😀😀
@aminamassawe17685 жыл бұрын
Hahahahhaha kwa ajili ya usalama wangu wa taifa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@reyham17225 жыл бұрын
Wa taifa
@janeschurmanns73645 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kwa usalama wangu wa Taifa nimeipenda hiyo
@neemashaban84314 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aichaabdul58444 жыл бұрын
Uwe unatembea na gari yako basi na kama hujui kuendesha tafuta dereva.....hapo ndio utaonekana mganga mjanja
@alexchungu88235 жыл бұрын
Huyo bibi na mauzauza yako, hukumuogopa?
@emmyjohn31925 жыл бұрын
nan anaamin bib kajitangazia biashara yake 😂😂😂😂😂
@iddisalumu87432 жыл бұрын
Hongera Sana Bibi nimeilenda
@matridajanvier45095 жыл бұрын
mbna mtangazaj hujamhoji kwa karibu jaman uxo kwa uxo ndo tamuu au umemuogop
@georgeking44695 жыл бұрын
mwingine anasema sitaweza kuacha,jipe moyo mkuu,hata Mimi nilikuwa hivyo na Mungu amenisaidia nimeacha, jionyeshe kuwa Mungu anakupenda mwambie shetani wakati wake umekwisha.sasa umemgeukia Mungu aliyekuumba,Mungu anakupenda sana tena mno
@fatimamohammed23325 жыл бұрын
bibi weweee hatar fire mama nakufaaaa bibi utabak kuwa juu
@josephnyangile27285 жыл бұрын
mchawi mungu2 usi2tishee
@georgeking44695 жыл бұрын
basi nzima hakukua na MTU wa Mungu ,kuokoka kuzuri ndugu zangu, kwa hiyo shetani kawambia mumuage na ninyi mmemuaga, wajinga ninyi
@bwegelanyakhaido30885 жыл бұрын
george king we umeokoka ushawai kuona wapi mtu kaokoka na bado upo duniani mbona muongo ww na dini yako
@naimaramadani94355 жыл бұрын
@@bwegelanyakhaido3088 😂😂😂
@mariadunguru82045 жыл бұрын
george king yani wote walikua hawana yesu wa kumpa jamba jamba na huo uchawi wake ukashindwa
@swahilitrends33975 жыл бұрын
Toka ndani ya box george hamna kuokoka huku unavuta pumzi mnapigwa sana sadaka
@ahmedhassan26195 жыл бұрын
Wew ungefanyaje ama unaongea tu
@Nananafella5 жыл бұрын
Duh sijui kichwa changu kigum kuelewa au nigani kusemachaukweli sijamuelewa bibi alicho ongea
@francolazaro86465 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@francolazaro86465 жыл бұрын
Usalama wako wa taifa #GiftChriss 😂😂😂😂😂
@mayusahussain80455 жыл бұрын
@@francolazaro8646 😂😂😂😂😂😂
@andrewwoiso55595 жыл бұрын
😃😃😃kwaajili ya usalama wako wa taifa😂😂
@francolazaro86465 жыл бұрын
@@mayusahussain8045 🤣🤣🤣🤣🤘🏿🤘🏿
@amiryyusufmbaraka10315 жыл бұрын
interview ya kwanza alisema anakwenda Tabora Leo yuko lushoto Khaaaaaaaaa
@abdultwlib57395 жыл бұрын
sasa namba za nin au mnataka watu waendelee kukwama maana huyo ni wa kukwamisha safar za watu tuu
@hildazablon34115 жыл бұрын
abdul twlib 🤣🤣🤣
@ramsontz73374 жыл бұрын
Duuuh bibi nixhidaa kama unakubaliana na bibi gonga like
@africa74795 жыл бұрын
anaongea kama muheshimwa flani hiv alikuwa mgombea 2015
@alextzmmary51215 жыл бұрын
Kakakakakak lowaaa
@mayusahussain80455 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@matridajanvier45095 жыл бұрын
😂😂
@hildazablon34115 жыл бұрын
Duhh🤣🤣🤣watu siwawez🙌🏼
@georgeking44695 жыл бұрын
ndo maana Mungu anasema walipo wawili au watatu wakusanyikapo kwa jina langu Mimi Mungu nipo katikati yao.kwa hiyo umepata picha jinsi Mungu alivyo kwetu. jioni njema, Mungu awabariki
@shabanihussen74495 жыл бұрын
kaaa jamn huy mbibi nae bhn mbon anavihimambo ivo jamn duh!!! hofixho kweli jaman
@aishahayata61315 жыл бұрын
Wizi mtupu unatafta soko mganga wa uongo ningechuku kibeg chako nikitupe huko mbali nione itakuaje pumbavu sana tushachoka usanii wenu
@julianacharles57205 жыл бұрын
😂
@ashuramhando52853 жыл бұрын
Kijana mtangazaji makini Sana na kazi zako makini big up
@ibrahimsheha2155 жыл бұрын
Babuyangu kakuona alafu kakupenda sana anasema nimlete sawabibi unafanana nae sana vitendo vyenu
@khadijahkhdoo63875 жыл бұрын
Haaaaa!!! Weweee
@zenaycechanzinho67025 жыл бұрын
Chiz huyu🤣🤣
@khadijahaji72495 жыл бұрын
Hahahahaha
@ziadasadiki81962 жыл бұрын
😳😳😳
@dishasuwa76165 жыл бұрын
Acha ushamba, hakuna uchwai, ni Imani za kishirikina, huduma za uongo
@gitu4me5 жыл бұрын
Sasa hivi unaleta Habari motomoto safi sana
@eladiuspeter5865 жыл бұрын
Huyo ni mama bhn au mtu akihusishwa na ushirikina anakua bib?
@kaisarimkuu36855 жыл бұрын
Ni bibi kiumri
@isunga19645 жыл бұрын
😂😂😂😂kweli kabisa ni mama ila sasa hivi tunamwita bibi jamni
@charlesjonas44125 жыл бұрын
😂😂😂😂
@elizabethshayo18295 жыл бұрын
Hapo sas hta mm naona ni mmama
@khadijajuma71425 жыл бұрын
Tanzania wanaongoza kwa kuzeeshana,mwanamke wa miaka 30 yenyewe wanamuita bibi 😂😂😂😂Kama mandezi vile.
@tarentstv85585 жыл бұрын
Usalama wake wa taifa😂😂😂
@silverjoseph45775 жыл бұрын
Tarents Tv 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka jaman
@twaiburashid29035 жыл бұрын
hahahahahaaaaa
@godiegodie13365 жыл бұрын
Shauri yako we mcheke tu
@jacklinesaxtus59435 жыл бұрын
usalama wang wa taifa hahahahahahahhahahahahahahah
@kenanidnundwe41445 жыл бұрын
hahahahahha
@judithchristabella3105 жыл бұрын
kapagwa uyu co mwenyewe
@herikaniugu5 жыл бұрын
Promo ya uganga, kuanzia boda boda ad dereva la basi walipangwa, uchawi haupo
@SHARONMKARYE4 жыл бұрын
Mama mimi sikucheki ng'o! Hata nakuheshimu aisee.. nauliza hayo majina uliyoyataja ulipoanza kuongea ni ya nini mama.. samahani ni swali tu.
@gaudiosamweha1792 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 mbona una muogopa hahahaaaa.Mi sikuogopi Ila Kama walimuonea sio sawa ila kukltutishia uchawi mi simuogopi
@shaibumrisho1625 жыл бұрын
Mmmh hatareee xan
@kiri58073 жыл бұрын
Bodaboda wametaka walipwe mara 2 .usimdharau mtu km humjui utaumbuka bure . maisha haya vituko tu .
@annethnkya58912 жыл бұрын
Usalama wangu wa taifa😂😂😂😂😂
@wolfgangkichai85775 жыл бұрын
Kutoka 22:18 imeandikwa, “usiache mwanamke mchawi aishi”.
@geraldpeter93704 жыл бұрын
wolfgang kichai huo upumbavu wawa wazungu totolee
@fatmaalnabhani36092 жыл бұрын
Wachawi wote wauliwe
@hasaniabdalah6148 Жыл бұрын
Da huyu bibi msambaa bana hata lafudhi. Ila kweli watu waache zarau usimzarau usie mjua kuna Ndugu yangu alimchekaga mtu akashikwa kichwa mpaka leo haoti nywele tanga Raha 😂😂😂
@anganilekajigilikajigili26413 жыл бұрын
Bibi kama wewe mwanga c ungepaa tu au ndio tungeskia mbele imeuwa wote😁😁😁
@sokoro11545 жыл бұрын
nahitaji kuonana na huyo bibi nitampataje kwa mawasiliano.
@thomasmartin22455 жыл бұрын
Hhhhha huyo hatary bibi yu7uh
@aishamussa72463 жыл бұрын
Hapana hlo gali linanguv ya mung!!! Bibi hakua m2 was mung' alitaka afany chchote !! Ila uwezo wa mungulihisika
@ramsoshety88655 жыл бұрын
mnaitaj coment tu hahahaha mnafer uyo bb namfaham afi kwake du ase poleni ay tv
@salmasalim60555 жыл бұрын
Loool bibi mchawi🤭
@hassantwalib88185 жыл бұрын
Daahh Kwnn acngeenda na timu ya taifa huyu bibi kule misri kuzuia magori
@masungangombe Жыл бұрын
Huyo bb niwakuombea yesu yuko kazin
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Huo usalama wake wa taifa veepee? Afanye uchawi wake azuie na mafuriko yasifanye maafa. Afanye uchawi wake nchi nzima iwe na miundo mbinu kama Toronto. Afanye uchawi wake aiondelee nchi magonjwa yasiyo na dawa. Ukapotee na uchawi wako tudiletewe habari zako tena. Na nyinyi mnaochukua namba Mungu anawaona.
@moseswanjara34085 жыл бұрын
Hahaaaaa itakua kua km yule mwenye gunia la mahindi aliyesema limekataria mgongoni kibahaaa watu wapo kazini
@catherinemodest21095 жыл бұрын
Mwenye huyu mam nampa pole
@hulumamwashambwa81404 жыл бұрын
S
@edithajonh2970 Жыл бұрын
Safi Sana lafiki yangu hawa watu inatakiwa tuwanyoshage jinga kwel
@ackshuba86795 жыл бұрын
bibi ukirudi kusoma comments hapa naomba uwasamehee wajukuu zako tunaocoment pumba. tafadhar sana mim kwa usalama wa Taifa naomba usitudhuru maana kwa uwezo wako unaweza futa comments zetu bila Ayo kujuwa
@knourisgalis21655 жыл бұрын
ack shuba hahahahahahaahah
@bilalysalim62224 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂usalama wang wa taifa
@deborasaidimizambwa3534 Жыл бұрын
Madeleva wamezoea sana natamani aje namorogoro doma bibi njoo nauku
@samsonkusupa68095 жыл бұрын
ndio maana Tabora kila kitu ya mwisho lakn kwa mambo mabaya inaongoza upuuzi tu
@rashidsalum79735 жыл бұрын
Mbona unamuuliza maswal kwa kuogpa ogopa!!
@tobalismwengere8005 жыл бұрын
Daaa kazi nzuri ayo tv
@kebbyomary8634 жыл бұрын
Hana uwezo wakuzwia mazao shamban ye nigar na pkpk tu
@izdoryb.barnabas17945 жыл бұрын
Raisi wetu mpe ajira bas huyo Mama atulindie Dhahabu zetu Tanzanite zisitoroshwe tena. Hicho ni kipawa alichopewa na mungu.
@safiyasafiya50145 жыл бұрын
Bibi mbona unafunga macho umeishika mike sawa sawa wasikuchezee bibi hee
@mayusahussain80455 жыл бұрын
😂😂😂😂
@nelizabethnelson85765 жыл бұрын
Mtapeli huyu
@khadijahkhdoo63875 жыл бұрын
Wewe jamaniii 😂😂😂
@sikapendinakapenda41705 жыл бұрын
Watanzania tunaendelea kuaminishana eti kuna muujiza au maajabu? Tusipoteze muda na mambo kama hayo, dunia hii hakuna mwanaadamu mwenye maajabu zaidi ya tricky za ujanja ujanja tu. Na hatotokea mtu wa hivyo zaidi ya kuaminishana uongo. Tujiongeze wenyewe tuache fikra zinazodumaza ubongo kufanya kazi.
@onikesachoni19735 жыл бұрын
Damu ya yesu
@mgenzimnofumbwale3454 жыл бұрын
Aiseee uyoo bb ni Nomaa kwan up ni ufundi na sio uganga
@saumuabdi59545 жыл бұрын
Huyu mama ametunga tu hiyo nikama anafikiria kitu chakusema anarudia rudia maneno
@zawadimsanga34563 жыл бұрын
Kwani we huoni hanachoongea
@hassankidisa80705 жыл бұрын
Sasa Bibi we kwanini ustumie vile vyombo vyetu vya usafiri vya private air jet? a.k.a ungo?
@aishaaaisha97925 жыл бұрын
Hahaha
@aishaaaisha97925 жыл бұрын
H
@eliankya32725 жыл бұрын
Awa ni wasanii kumbukeni kilichotokeaga kibaha yule bwana mahindi yaliyo kwama kichwani kumbe ulikuwa ni usanii mtupu sasa anapotoa namba zake ni ili mtapeliwe ukipiga tu umeliwa