Mzazi hauwi mtoto Ila mtoto anauwa mzazi mungu atupe mwisho mwema.
@samoy54814 жыл бұрын
Point kabsa
@sharifamfaume93424 жыл бұрын
Sana kabisa
@christayohanayohanangepe16254 жыл бұрын
Radhia mbwana amina amina
@salamakombo32574 жыл бұрын
Kweli
@oyay28214 жыл бұрын
Amin
@shakila39824 жыл бұрын
Mama hawezi singizia mtoto hivi vyote, huyu Anglican ni ukweli kamfukuza mamake, lakini Mwenyezi Mungu amemuaibisha, huyu bibi hafai kufanya kazi, mnafaa mumlee vizuri hili mpate baraka.
@joycemeki31763 жыл бұрын
Kweli kabisa mwaya hawaijuwi sadmani yamama wangejua ss wengene tuna mlilia mama mungu awasamehe bure🙏🙏
@eddywinnie75394 жыл бұрын
Tunaawatamani bibi zetu warudi kuishi hii Dunia nyinyi wenu mnawatesa jamani 😭😭😭😭
@uledimtumwa24064 жыл бұрын
Kiswahili cha huyu bibi kimenivutia sana. Yaani hii ndio lugha nguri.
@officialifruit_x75494 жыл бұрын
Uledi Mtumwa Kiswahili chake bibi kama cha senga
@uledimtumwa24064 жыл бұрын
@@officialifruit_x7549 kimenyooka sawa.
@lucyshula56694 жыл бұрын
Mlee mama yako ww watu wanamlilia mama hata Kama anakukosea mama yako huyo
@lucyshula56694 жыл бұрын
Eti ukamuonea huruma sio huruma ni wajib wako huo
@johnpesambili48064 жыл бұрын
Hongera mkuu wa mkoa, mungu akubariki sana. Huo ndo uongozi
Bibi Atakuwa kaibiwa kweli mbona bibi anaongea vzr tu
@keisal31714 жыл бұрын
Eeeeeee hlf wanajifanyanwakali ati
@shukurulusasi25724 жыл бұрын
Huyo bint yake kamfukuza kweli hamuoni macho makavu kabisaa?
@shukurulusasi25724 жыл бұрын
Na huyo mjukuu kweli kamuibia amlipe Bibi hela yake
@officialifruit_x75494 жыл бұрын
Bibi yuko sahihi na hajachanganyikiwa kabisa ila wao ndio wanamuona kakorogeka ila bibi yuko very smart
@samsonmaliga39664 жыл бұрын
mama na mtoto wake lao moja.bb kaibiwa kweli mheshimiwa
@gloriamichael36984 жыл бұрын
Uzee kweli kazi kazi Mungu tuhurumie
@sharoombay89974 жыл бұрын
Kama hujawai ishi na wazee utaamini huu uongo wa huyu bibi. Dada Angelika Mungu atakusaidia. Mvumilie huyo ni mamaako, Mungu atakubarikiiii.
@rastokapunji71914 жыл бұрын
Mheshimiwa Ali Hapi kazi nzuri tu.Nifikapo Iringa ningependa kuhudhuria mojawapo ya mikutano maana ina raha yake
@utapatatabusanautanyooka26004 жыл бұрын
Mama Leo hii waweza kumlipa mamaako uwezo huo uko nao umesahau yote Kama umesahau siujikumbushe uchugu uliopata wakat wakuzaa ongea namama ako vizur asife aka kuaachia laaana
@ernestlaiza33064 жыл бұрын
Broo huyu bibi kisirani uuuu
@seciliabalama55334 жыл бұрын
Pili Omar huyu bibi ndio tatizo
@lovenessshekiiyo85674 жыл бұрын
Bibi kaibiwa kweli maana anavyoongea anaongea kwa kujiamini na maelezo yake yamenyooka hapindishi wamemwibia bibi na wanamtesa pia anajishuhurisha kujipatia kipato bado wanamwibia mungu ana waona kwa kweli .
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Mungu atasema kwako kijana kwa kazi nzuri sana ya kusaidia wanyonge jamani.
@phydiliahmwagodi22544 жыл бұрын
Elewa mama umri imemuzidi huwa wanarudi kama watoto na kusahau maneno. Watching from Nairobi Kenya.
@sadikkhamis25474 жыл бұрын
Kazi nzuri sana mh mkuu wa mkoa
@nailaomar25874 жыл бұрын
Mjukuu kachukuwa pesa mama alivosikia kesi itapelekwa police kasema atalipa deni subhanaallah kamuogopea mwanawe kufungwa haki ya mtu haipotei muenzi mama ako upate baraka pesa uchafu wa dunia
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
We we mjukuu jaribu kuchunguza taratibu unaweza ukajuwa labda kaingia mtu hapo nyinyi hamjui ndio mnaingia lawamani poleni
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa,Sasa siyo kukaa ofisini,kazi ni wilaya kwa wilaya,Kijiji kwa Kijiji,mtaa kwa mtaa heeee HAPA KAZI TU
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Ohoo ishi hapa kazi tu
@lucyshula56694 жыл бұрын
Ungeomba tu ulichukua ww mwee bibi mzee analima alaf mnachukulia
@rachellaizer9414 жыл бұрын
Huyo bibi ni mzee wew dada acha ubaya huyo ni Mamako muacheni Mungu atawalaani mjute muacheni mtumikieni mpaka Mungu atakapompumzisha msifanyie roho Mbaya
@sifasanga78663 жыл бұрын
Huyu bibi akiri imeanza kurudi utotoni. Naamini Hawa hawajaiba
@mamiyfeiy4 жыл бұрын
Huyu bibi ana akili timamu wamemuibiaa pesa zake . Wakesha wanamnyanyasa huyu mtoto anaonesha kua mkorofi na mjukuu kapiga hela huyo anajitetea tuu hapo. Eti anamwita huyo.bibi shenzi wewe huyo ni mama yako anaadhirika na kauli zake pia ataondoka mitoto mengine mishenzi kweli
@radhiambwana87874 жыл бұрын
Kumpa nyumba akae sitatizo ASA pesa yake imeenda wp jmn mungu anawaona jmn kuzulumu wazee ni laana mbaya kuliko maelezo.
@annamwangaza6054 жыл бұрын
Mpeni mama pesa yake anajitambua Kukaa nae sio tatizo tatizo kumwibia
@radhiambwana87874 жыл бұрын
Seleman Hemedi wameila pesa bibi huyu nimchapa kaz Ila wanamrudisha nyuma.
@radhiambwana87874 жыл бұрын
Anna Mwangaza hii nyumba ndoinaowap kibur ndomana wanamfanyia ukali
@samoy54814 жыл бұрын
Huyo mjukuu inaonekana aliipiga hela ya Bibi yake. Maana anajiumauma sana
@silyadamian57084 жыл бұрын
Anaweza kuwa hakuchukua lkn anaogopa kuongea mbele ya mh si unajua kijijin
@zuweinaalhabsya87734 жыл бұрын
Jamani kuishi na tubibi ni kazi kweli inataka subra jamani
@hjhj62304 жыл бұрын
Kabisaa
@sikuzanibusanya64234 жыл бұрын
Kabisa Aiseeee
@mariummchuma64534 жыл бұрын
Unaposema tubibi jua na wewe nihapohapo utakua hivohivo
@fatmamsiliwa84853 жыл бұрын
Kukaa na mamayataka subra
@carolinetalam58324 жыл бұрын
Smart granny i like her courage
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Ww huyo bibi anashi da Sema imekua mtiani kesi kama hizo zipo sana mjukuu a naiba kuku pesa. Za bibi yake alafu mama akiambiwa anakazilika anamwambia mamake kama una ibiwa ondoka hapa
@leylahley35424 жыл бұрын
Sure
@salamakombo32574 жыл бұрын
Kweli
@cockshublakisoma36554 жыл бұрын
Kuishi na wazee kama hawa ni hekima inahitajika sana...
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
Kweli mumy na ukiweza kuishi nae kwawema nibaraka tele
@revinajimson52324 жыл бұрын
sanaa,wanasumbua sanaa
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Mtu akizeka anakuwa kama mtoto yaani n Bibi yangu mwenyewe tunamlea kwa mbinde sana ukimkataza kulima yeye anataka kwenda shambani maneno anayoongea hayaeleweki, mara atakusa akuulize wewe nani mara umekuja lini hapa kwangu yaani wazee wana shida jamani tuwavumilie tu ni Wazazi wetu
@Mpakauseme4 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 kweli mtu akizeeka anakuwaga nashida
@sulaimanafrican81344 жыл бұрын
Mvumilie tu bibi
@estherjoachim98454 жыл бұрын
😂😂😂😂 achen kutunyanyasia bibi zetu ..
@martindaudi80434 жыл бұрын
Mmh
@user-ev6bq9gf1f4 ай бұрын
Mtoto mjinga kweli kweli navo mpenda mama yangu nauzee wake adi miguu namkanda nalala karibu Yake Adi raha nikienda kumtembelea eti leo nimnyanyase labda niwe chizi mtoto mjinga uyo 😂
@anthonyjoseph49794 жыл бұрын
Bibi Amekomaa ameibiwa Duuuuuuu..hahahahahaha
@ladiatsnzania44334 жыл бұрын
Kukaa na wazee jaman yataka moyo jmn mimi bibi yangu alikuwa ananisusia chakula
@naamohamed99644 жыл бұрын
Yataka subra haswa
@angelmhina50724 жыл бұрын
Kwakwel akili zao zinarudi nyuma n uvumiliv tu
@joramnunu14494 жыл бұрын
😂😂😂
@radhiambwana87874 жыл бұрын
Ladia Tsnzania huwa wanakuwa kama watoto lzm umvumilie.
@janekikoti21794 жыл бұрын
@@radhiambwana8787 kabsa ni kazi sana kukaa na wazee kama hawa
@asnathasannhasannsalumshab3274 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema na wazaz wet
@pauloalfayo18682 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wewe ni mtumishi wa mungu kwa kuwaokoa hio familia hii kama kweli wamechukua watakufa kweli laana nimbaya
@futamathias84794 жыл бұрын
Jamani jamani mnamtendea hivyo mama huyo!!!! Mh waheshimu baba na mama mpate hero duniani na Sikh za kuishi ziongezwe
@telaamtauta22273 жыл бұрын
Jamani hapo kajamtu anaekujuweni vizuri kawaviziya hampo kafunguwa kachukuwa pesazabibi ilimgombane nakuaibishana yupo mtuhapo mgombanishi poleni sana
@namirihamisi38994 жыл бұрын
utazipatata.wapi? ww mama umechukuwa hizo pesa unataka kurudisha badala ya kusikia polisi.
@yonahmbengale41564 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa kuwa na busara, kesi kama hizo si za kuamua kwenye mkutano, na wewe si hakimu bali mpatanishi , sasa mbele za mkutano unaamua nini? Tumia akili sawasawa, waite faragha uwapatanishe, acha sifa za hovyo.
Kwani wewe mkuu wa mkoa"umeshindwa kuonesha mfano kama mh.Rais"si ungeilipa wewe tu
@rahelgika38704 жыл бұрын
Makorokoro😂😂😂😂 nacheka ingawa c mazuri.
@user-rd7jt1vi5x4 жыл бұрын
Yani wewe kama mimi nacheka kama mazuri eti baada ya kuhuzunika mimi nacheka eti
@oiiii38984 жыл бұрын
Huyu bibi yupo na uhakika na kila anachisema na ana akili ya kuzungumza
@ernestlaiza33064 жыл бұрын
mungu niepuahe familia kama hii duh huyu bibi ni hatar
@leonardsimon21484 жыл бұрын
Hizi ndo hekaya za Iringa😂😂😂
@galaxe48354 жыл бұрын
Kwakina MPULULE huko😃😃😃😃
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@samiramadenge9534 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@thuvakonde25844 жыл бұрын
Huyu kijana kachukua kweli izo hela maelezo ya bibi yamenyooka ila mama anamuendekeza mtoto eti ntamlipa bibi
@queenhusna2044 жыл бұрын
Ni kweli kabisa uyu kijana kachukua bibi yupo makini uyo
@swebemwalugala68714 жыл бұрын
Jamani nimemkumbuka bibi yangu arisema nimeokota bunda rahera mama enu amenibia
@inongeinongee82894 жыл бұрын
o bibi yupo sahihii wamemuibia kweli huyo mtoto wake chuki kwa mamaake inaonyesha machoni kabisa
@sophiamirambo9656 Жыл бұрын
Ndio Mimi nimepitia huko Sanaa kwahiyo Bibi kaibiwa haswa
@shebaminde76564 жыл бұрын
Jaman kweli kama n kweli wamemuibia huyu bibi Mungu ashuhulike nao
@madinamahuba Жыл бұрын
Hujawahi kukaa nawazee
@munaahmed84994 жыл бұрын
Siez kuwatetea hawa kaka na mama kutakuw kuna mtu aliingia akachukua hao wangechukua wangelipa maan hiyo ni aibu na huyo bibi anaeataj hao vile ana kaa nao
@alutoolifestyle93194 жыл бұрын
Inawezekana aliibiwa kweli lakini ndo hivo,uzee pia unachangia.usimchukie dada huyo ni mama yako .pole
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Kuna aliibiwa zaidi ya laki 7 na mjukuu wa kike. Kuna bibi wanateseka sana.
@mimaakenirram14054 жыл бұрын
huyu mama ampendi mama ake eti huyu bibi wakati mama ake wa kumzaa anaoenesha tu awampendi wanao kama msumbufu wakati mwenyewe anafanya ya kulima mwenyewe jamani eti nitaondoka nimuachie nyumba jamani
@alikhamisog34224 жыл бұрын
Jaman tuwale hawa waze kama walivo tulea jaman
@hawa-luumiwrty31444 жыл бұрын
Nime Muoneya- Huruma Bibi
@otavinamsigala70044 жыл бұрын
Mungu tupe neema anjelika usiwe na hasira hata yeye ulikuwa unamkosea ni uzeee tu pole Dada mtunze Mama upate radhi yake ngueliwe munuve wima rusungu nzao
@furahanyamba3714 жыл бұрын
Jamani tumeishi naakina bibi msisingizie uzee Akina bibi wako makini hasa hawa wafanyabiashara
@rehemamsuya22634 жыл бұрын
Hata mm nakubaliana na ww huyu co mzee wa kupoteza kumbukumbu
@maryammct39674 жыл бұрын
Maskin uyobibi😭😭😭😭
@mercynamusia6224 жыл бұрын
I think the old 🧓 woman she's saying the truth
@lissamsalu21794 жыл бұрын
Hahahahhah nikagutuka
@paradisefelix12184 жыл бұрын
Really Mercy?
@sabrinaislam42004 жыл бұрын
Kachukuwa kweli bibi yuko sahihi
@Mpakauseme4 жыл бұрын
Bibi anamtesa mtoto wake aisee
@vumiliabakari60503 жыл бұрын
Mama roho mbaya
@namwanjemariah14854 жыл бұрын
Wamama wa kihehee hehe mtihani
@zillytash6934 жыл бұрын
Bibi yuko kweli kabisa kwa mtazamo wangu
@consolatablasi62124 жыл бұрын
Wamepiga hela ya bibi
@namirihamisi38994 жыл бұрын
ww jifunze kuongea huyo bibi sio unamuonea huruma bali umtunze kwa sababu ameanza kumzaa mama ako halafu ukazaliwa ww na yy akakulea.
@salamakombo32574 жыл бұрын
Sawa sawa
@veronicamchilo85524 жыл бұрын
Ni kweli wazee kama hawa huwa ni shida ila kwa maelezo ya huyu bibi kunakitu hapo wanamfanyia
@babyhussein67584 жыл бұрын
Kikubwa wamstili mama yao jamani mama ni nuru hata awe namapungufu wahitaji kumvumilia inaumiza 😥
@fatumahirbotuke16634 жыл бұрын
Uchungu wa mama ajuae ni mwenye ameondokewa na mama 😢 😢
@saidabdullah72734 жыл бұрын
Muheshimiwa muwaangalie hao wazee kuishi nao hawaishi visa lkn bibi anaonesha anamatunzo mazuri tu... mara nyingi wazee wanawachukia wanaokaa nao na kuwapa huduma..bibi anamatatizo pia
@piushappyness2264 жыл бұрын
Hahahahha Bibi kapigwa
@ashaali71544 жыл бұрын
Huyu Bibi hasemi uongo Ila wanamtaka Kwa sababu ya pesa zake na akirudi ndani watamkomesha kwa mateso kwani hakuna mtu wa kuona yatakayotokea.
@lilsome63314 жыл бұрын
Jamani uyo bb Hana uzee wakupoteza kumbukumbu izo hela zimechukuliw kweli .
@joachimjjoseph88634 жыл бұрын
Wameiba..Ukitazama mpangilio wa maneno hayo kwa kina Utagundua.
@sameeraidd21094 жыл бұрын
Bibi atakua Kuna aina ya maisha ya manyanyaso anayoishi ikiwa ni pamoja na kupuuzwa. Wazee niwakuthaminiwa Sana Kama watoto .
@sameeraidd21094 жыл бұрын
Ila anaeshindwa kueleza vizuli Ila Kuna Mambo anayapitia
@priskasantony53924 жыл бұрын
Kumanina zake kijana huyo kama angekuwa mweri aaaaa sukuma ndani angesema tu washampiga bb hao mtu na mma ake ila pesa hiyo itawalani
@janeenock23704 жыл бұрын
Jaman wewe mama usimtendee hvo mama yako ...hyo no mungu wa pili kwako....pili wewe kaka mheshim bibi yako maana bila yeye usinge kuwa na mama na labda usinge zaliwa....jaman tuwalinde na tuwapende...siku zote mzazi hakose...mama na mwanao msijitafutie laana bureeee
@neemamahusho61934 жыл бұрын
😀😀😀😀jamni bibi huyu pole yake
@sheilahismail26984 жыл бұрын
Nimecheka Kama mazuri😅😅😅😅
@Pedeshee014 жыл бұрын
Sheilah Ismail siyo ya kucheka acha tu
@anithagilibert68084 жыл бұрын
Jamani hizo Hera wamazichukua Mama Na mtoto wake nawasipo zirudisha laana itawasumbua sana loooo!!!!
@mashaelieazer61204 жыл бұрын
Mungu anaejua yaliyofichika sirini ndie ajuae yote,siku moja yatafichuka.
@user-vh3yh2ec8r8 ай бұрын
Ela zake
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Uyu bibi ni mkweri mwanae kaibaa
@evajohn70014 жыл бұрын
Huyo mama hamueshimu kabisa mama yake ila mama japo ni mzee ila anajitafutia bila tegemezi mungu yupo .
@roneyvangajanga14264 жыл бұрын
Bibi wachaaaa weeeeeee weeeeee weeeeeee weweeeee, dar mambo ya hela bib unaakaza sana pesa ukatumie wap hizo pesaa dah
@ceciliamhumba73494 жыл бұрын
Halafu amefanana kweli na Mama yake...halafu wabibi hawa mara nyingine wanasemaga kitu kisichokuwa cha kweli..yaani ukabaki unashangaa.
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
Jamanichangeni kidogo kidogo mumlipe muishi vizuri. Dada
@elizabethebambo62864 жыл бұрын
Bibi kaibiwaaa kweliiii
@wendyeliezer64194 жыл бұрын
Kweli kabisa kaibiwa
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
Bibi kaharibu pakulala
@OmanOman-hr6cb4 жыл бұрын
😀 😀
@maulidibulaheze87234 жыл бұрын
Hahaha
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Mungu tusaidie
@yahyadaudi77343 жыл бұрын
Jamani hii familia ni yetu.huyu Kijana toka utoto wake anaishi na bibi yake.wanalima wote viazi.huyu bibi ni MTU mzima.Kwa jinsi alivyo mama Msafiri hawezi kumuibia mama yake jamani.amemlea mwenyewe .utu uzima huo.
@lucymacha18534 жыл бұрын
Mmechukua bibi anajieleza vizuri
@sophiamirambo9656 Жыл бұрын
Ila hapo Kuna shida uzee mbaya alisema Bibi angu Mimi mbona Bibi angu nae alikuwa anaibiwa wazee vihela vyao tunakulaga Ila hapo mbele ya kadamnasi hawawezi kusema kweli
@fediliaulomi49694 жыл бұрын
Yaani wewe dada mungu anakuona
@aishaissa2512 Жыл бұрын
Pole bibi
@praxedadominic98644 жыл бұрын
Mlipeni bibi ela zake 😩😩😩😩
@mimaakenirram14054 жыл бұрын
nimeumia sana kwa huyu bibi yani roho inaniuma sana yani daaah pole bibi huyu mama anamfichia tu mwanae mama kitu chengine jamani tunatamani mama zetu wange kuwa hai arafu bibi ana akili zake vizuri
@rahimaaaaa86993 жыл бұрын
Wewe dada una roho.mbaya umlipe alafu uondoke umuache peke.yake. kweli mnamfukuza na mmeiba pesa zake.
@aminafesali58174 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂bibi yuko sahihi warejeshe pesa za bibi
@consolatablasi62124 жыл бұрын
Haswaaa
@1stladyafrica4024 жыл бұрын
Ukitaka kujua Kama hao watu hawana upendo kwa mama na Bibi yao angalia kwa utu uzima huo anafanya kulima Hadi leo kweli huyu mama kashindwa kumlea mama ake
@sadikisadikikalinga36304 жыл бұрын
Bibi anajieliza vzurii daah
@asifamwenga53104 жыл бұрын
Mzazi amekuvumilia mengi jtahdi kumvumilia Kama alivyokuvumilia
Some time wakizeeka hurudi utotoni mm nlikuwa na bibiyangu akimaliza kula anapiga nduru et hajala au anataja mtu kweny familia na kusema anamtenga au amefariki ,,,,,,dunia mapito.