Mashaallah mashaallah allah afungulie riziki pana apate zaidi na zaidi. Kwani ni wengi wanao pata riziki zao hapo na kutunza familia zao kwa kupitia mgongo wa muheshimiwa.big up sana sana kwako mheshimiwa.
@esabelfadhili8432 Жыл бұрын
Huyu anabarikiwa kwasababu ya utu wake kwetu😍🙌🙌🙌be blessed Mheshimiwa na katibu wako
@mchinamweusi_1 Жыл бұрын
Moja kati ya watu ninao wish siku 1 wapate hatam ya kuongoza hii nchi inshallah ndoto zangu zitatimia Kongole mh SALIM ALMAS hakika ULANGA wamepata mtu haswaa!!!
@raswearthebranddealerbitsa8908 Жыл бұрын
Nice Touch, Approach Nzuri sana in Digital Marketing ya Migodi yetu
@fauzishabani2622 Жыл бұрын
MashaAllah
@saidabdallah2649 Жыл бұрын
Safi sana hata bongo tunaweza Allah akufanyie wepes uendelee zaidi in shaa Allah keep it up kamanda we ndo mfano wetu
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Kabisaaa
@user-or7tr5nv8g Жыл бұрын
Big up bro well done
@cocotz1892 Жыл бұрын
Hongera sana
@fatnamasinde877 Жыл бұрын
Namna hii inatia moyo mwekezaji akiwa mwananchi kutoka eneo husika atakuwa na uchungu wa mali na nchi wazawa wengi wajitokeze watoto qetu wapate ajira kuliko wakishika wageni
@fatimahants1526 Жыл бұрын
Hongera mheshimiwa kwa kutowa ajira kwa watanzaniya
@vibetz9991 Жыл бұрын
Napataje iyo Ajira
@sir_ENOCKMACHA Жыл бұрын
Hivi ndo vitu napenda kuona ndugu millard ayo tuletee watu wengi kama hawa nataka uniletee mgodi wa geita goldmining
@marthageorge5043 Жыл бұрын
Nimepeda❤❤👏👏
@mikemutabuzi3665 Жыл бұрын
Aisee muendelezo tunahitaji, Huyu jamaa amenihamasisha sana, tengeneza video ndefu zaidi, Wengine hizo ndo hobby zetu za uwekezaji katika migodi
@andreamutekulwa1092 Жыл бұрын
Vitu vizuri tena vya maana Sana mnatia fupi kweli, tieni ndefu Ayo
@abdallahsaid8157 Жыл бұрын
MashaAllah!
@FreeGod368 Жыл бұрын
Duuuh uyu jamaa Kiboko Mungu amueke
@user-rx5jx5wt3t Жыл бұрын
Naomba ajira hiyo kwa ajili ya wanangu.
@Boyfromtanzania Жыл бұрын
God bless you more bro..
@mariambaraka3339 Жыл бұрын
Kweli huyo ni Almas ni expensive
@giftyjohn3852 Жыл бұрын
Wow home sweet home I like that
@mohdmohd8428 Жыл бұрын
Sikumshangaa mh mbunge nahic ngozi imemsaidia kuwa na akili
@mohamedsaid2882 Жыл бұрын
We acha ufala we kajichubue uone kama utakua tajiri
@ummuadam2423 Жыл бұрын
Mbona kma sijatosheka na hii interview millard, irudiwe plz...
@user-rp2yi8nd2m Жыл бұрын
Mbunge wangu safe sana
@MulkuMassos-um1ix6 ай бұрын
Huyu jamaa ni hatari
@umaima1178 Жыл бұрын
Marshall
@Abuu180 Жыл бұрын
Every man's dream..
@josephmgeni3472 Жыл бұрын
Mipango mikali
@SululuZungu-kx8ws Жыл бұрын
Duu 🙌
@stellah3844 Жыл бұрын
Mmetuwekea fupi jaman,,, hawa ndo wazalendo tunaowataka nchin
@MulkuMassos-um1ix6 ай бұрын
Kiongozi barabara yetu bado sana
@jumamaganga5064 Жыл бұрын
Halo kwemye reflector MOJA na kofia nina mgeni alaf SAWA BOSS😋😋😋😋
@essaumedson5664 Жыл бұрын
Huyu mbunge ni mwelevu sana
@benwamadaba6182 Жыл бұрын
Mm n oparetor wa excavator mheshimiwa naomba kazi
@Jojanmndeme Жыл бұрын
Huyo jamaa namkubali sana
@fauzishabani2622 Жыл бұрын
🇹🇿👍
@jafarsalum6891 Жыл бұрын
Tengeneza barabala mtuwa guleki mbayu zaku bhana aga maisha tu Kuna lelu na shirau balabala ayi gutapita ula gamweni
@jafarsalum6891 Жыл бұрын
Mnamuita billionaire wakati sisi raia wa Jimbo letu tunateseka na miundombinu mbalimbali? Huyu jamaa anawaibia raia mawazo yao, Salim miyeyusho sana
@aminakasim1198 Жыл бұрын
Watolewee walee waarushaa pia wanaojiitaa wadudu
@tanzcanmediatv447311 ай бұрын
Ila kazi ni ngumu jamani
@jacksonngusi4122 Жыл бұрын
Fupi kali
@alantonio855 Жыл бұрын
Mmakonde ni Content leo Tanzania...nimeona jina lake nikaskiliza hiyi interview mara3 mpaka najiuliza nna maskio au?Mbona hatajwi ....