BILIONEA WA KILIMO ALLY HAPI, SHAMBANI KWAKE, MAMILIONI ANAYOINGIZA, TOKA U-DC, RC MKULIMA BINGWA

  Рет қаралды 277,131

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 291
@wiliminawiliams9384
@wiliminawiliams9384 Жыл бұрын
Hongera Sana Mheshimiwa Ally Happy,Hakika wewe ni kiongozi,Mpambanaji,Mwalimu na Mfano wa kuigwa,Mwenyezi Mungu akusimamie Kaka.Unatu-inspire 💕💕
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 4 ай бұрын
SASA unampa hongera Yani wakati huyu alikuwa anajuwa kilimo alipo kuwa mkuu WA mkowa alishidwa kuwanufaisha wakulima Kwa kuwapa mafundisho na kuwawezesha lakini alikuwa na roho mbaya Leo kawachishwa kazi ndio anatuonyesha
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 Жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu wewe ni mfano bora sana mzalendo wakweli naona chembecheme za nyerere na magufuli tafuta chako cha halali kuliko hao wafuga matumbo kucha kutuibia wanyonge ipo siku watalia mbele za Mungu watatamani wapewe sekunde warudishe ila muda utakuwa umeisha
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 Жыл бұрын
Hakika!! Wana macho hawaoni, Wana masikio hawaoni dhuruma wameifanya ndio mitaji. Acha tutaabike lkn kila mmoja ana ya kujibu muda ukifika.
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 Жыл бұрын
Uko vizuri unaonyesha njia kuwa kuteuliwa sio kuhama duniani na kuishi dunia nyingine. Wengine hadi hapo wangekuwa wanachungulia kaburi kwa msongo. Akili ni nywele kila mtu ana zake. Uliwasaidia watu kupata haki zao, si tulikuwa tunaona na kusoma!!? Piga kazi uwafungue watanzania kuishi nje ya boksina kuwaza positively wakati mambo yamegeuka ghafla. Acha jamaa yule acheze litungu kama mtaji.🙋 Well-done Hapi
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Жыл бұрын
Ally Happi alikuwa anakwenda na wale wale wa mazoea ya kuimba CCM ya jenga Inchi. Nilisikitika sana kumwaachisha katika Mkowa wa Mara. Angewanyosha watu wa Mara. Alikuwa anataka kuwatoa wanamara kuacha marumbano kugeuza kazi. Hawakumuelewa. Hongera sana kijana. Mungu aendelee kubariki kazi ya mikono yako.
@devidpanja115
@devidpanja115 Жыл бұрын
Dhahabu ni dhahabu tu popote inashine. ..hongera sana
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Riziki mafungu saba, Mwenyezi Mungu akufungulie milango yote ya riziki
@iddyhamis5330
@iddyhamis5330 Жыл бұрын
Hapana lizik mafungu 2 kupata au kukosa
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Жыл бұрын
MashaAllah Mwenyeez Mungu akusimamie Ally Happy riziki mafungu saba tulikuombea sana Mwenyeez Mungu amejibu inadhirihisha usikate tamaa
@limakisasautajirike
@limakisasautajirike Жыл бұрын
Mimi ni Mtaalamu wa Kilimo, Kiukweli Mr Hapi, passion yake kwenye kilimo ndo inayomfanya afanye mazuri zaidi..... Kilimo ni ni sector mojawapo ambayo kwa sasa inauwezo wa kumtoa kwenye umaskini. Kwa sasa masoko yapo, technology zimeimarishwa na kilichobaki ni kufungua njia mkulima awe na uwezo wa kupata mtaji kirahisi..... Tupo pamoja kukifikisha kilimo kisasa zaidi....
@yashramanuj250
@yashramanuj250 Жыл бұрын
Unaweza kunipa namba yako? Tuwasiliane
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 Жыл бұрын
Safi sana. Ni mfano wa kuigwa. Hongera Ally.
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 Жыл бұрын
Mungu aibariki kazi ya mikono yako kaka nakupenda sana wewe ni mtu mahili sana🙏🙏🙏❤
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
God bless you and open more opportunities for you 🙏
@to-chisesoboy7336
@to-chisesoboy7336 Жыл бұрын
Nakubali sana huyu jamaa ni mkulima mzuri na aliwahi kua mkuu wa mkoa wangu wa MARA 💕💕💕
@gracejapheth3476
@gracejapheth3476 Жыл бұрын
Hongera sana, Mungu aibariki kazi ya mikono yake.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Mungu ambariki sanaaaa mwanazengo
@dannywiston6391
@dannywiston6391 Жыл бұрын
Happi alikua na plan b, baada ya siasa alifanya maandalizi ikiwa alishazisoma siasa za nchi hii kulingana na mfumo wa siasa ulivokaa, kila mtawala ana matakwa yake kulingana na aina ya watu anaowataka,alijua hawez kuendana na huu mfumo then alijiandaa, watu wa hivi ni wachache, japo najua hawez kukwepa utumishi maana pia ni passion yake, utakapofika utawala utakaoendana na misimamo,utendaj, wake ataingia Tena japo naamin hawez kuacha kilimo
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 Жыл бұрын
Well said
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Жыл бұрын
Hawezi tena siasa ukionja hii pesa ya kilimo utaki tena mbamba
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Yaani hii siasa hii. Mheshimiwa aliona mbali sana na Mungu atakuongoza na kukulinda
@msombanehemia7503
@msombanehemia7503 Жыл бұрын
Sahh
@faroukrashid5507
@faroukrashid5507 Жыл бұрын
@@jazeerajuma5014 nani kakudanganya?
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 Жыл бұрын
Anachofanya mheshimiwa ni kizuri sana...Lakini lazima uwe na mtaji wa kutosha.
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 Жыл бұрын
Kaka hongera sana na wadogo zako tuko nyuma twaka kipambania mapinduzi ya maisha kupitia neno "AGRICULTURE & BUSINESS" mungu tuwezesheni afya njema na akili timamu vinatosha mengine tutakipambania,asnte baba
@nahumumgwama2280
@nahumumgwama2280 Жыл бұрын
Iringa moja iyo naiona isimani shambani kwa aliy hapi hongera Sana🤝👍
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Hongera sana sana Mungu wa mbinguni aendelee kukuongoza
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Жыл бұрын
Hongera sana kwakujiajiri 💪💪
@gracemwanyika7429
@gracemwanyika7429 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana Mheshimiwa,ninapenda sana kujifunza na Mimi kuhusu kilimo
@happymsaki1720
@happymsaki1720 Жыл бұрын
Chapa kazi Dogo Ally Mungu akuongoze
@severinamsuya5963
@severinamsuya5963 Жыл бұрын
Hongera sana Bro🙏Mungu akubariki wewe na kazi ya mikono yako
@adolfmjunguz9794
@adolfmjunguz9794 Жыл бұрын
Uyo ni Superman ukweli namkubali nampenda najifunza mengi sana kwake🇹🇿🙏
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Anatumia jina gani IG
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Hongera sana kaka yangu mungu abaliki kazi ya mikono yako mnaondolewa viongozi wanawekwa .....
@ericgardner7509
@ericgardner7509 Жыл бұрын
Nakubali George sanga Lwandai sec mlalo unatuwakilisha kinomer nomer👊💪
@fadhilidini1181
@fadhilidini1181 Жыл бұрын
nice project
@firmakisika5073
@firmakisika5073 Жыл бұрын
Hangera sana mwanangu Ally Hapi kwa kuwaonyesha njia vijana. Mwenyezi akuongoze kwenye kila hatua
@mbarikiwambarikiwa6479
@mbarikiwambarikiwa6479 Жыл бұрын
Njia ikiwa na nyenzo ndg, Hapo katumia pesa si haba.
@fatmashija5637
@fatmashija5637 Жыл бұрын
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuwaji. Saiv Hana shida na mwaswala ya selikali bora afanye yake potelea mbali maana katika selikali utapata changamoto lakin kwa shughuli zake mwenyewe hamna chakumkela mie namtakia. Kila lenye kher na Allah amfanyie uwepes katika kazi zake
@amanjoseph5356
@amanjoseph5356 Жыл бұрын
Hongera sana such Inspiration!
@zawadijoel7516
@zawadijoel7516 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kijana unayejitambua
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
I always remember you ❤️ You worked so hard for the country but they didn't realize that God forbid it
@rubebandihai6207
@rubebandihai6207 Жыл бұрын
That’s very impressive!!
@estherlemburismollel5901
@estherlemburismollel5901 Жыл бұрын
Hongera kijana wa mfano huko kunaitwa " believe in yourself" hupekekea kufikia ndoto zako. Umeo yesha njia, asante sana.
@abbas.h.saydy.3991
@abbas.h.saydy.3991 Жыл бұрын
Safi sanaa mkuu Ally Hapi ila atupe connection na sisi tuna nia ya kufanya kilimo chenye faida kubwa kisichotegemea mvua ila hatuna mitaji kwa ajili miundombinu ya maji na pembejeo za kilimo 🙏🙏🙏
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Hongera sana Ally Hapi, mwenyezi mungu azidi kukusimamia.
@ramsonsaid7962
@ramsonsaid7962 Жыл бұрын
mwenyenzi mungu amekuonyesha njia yakufanya mungu hamtupi mja wake mungu akubariki hongera sana
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
If Tz have 5 people like Ally happy the country should be lucky enough
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
They are more than that. Ila sisi wa mitandaoni hatujui!
@oklahommy9838
@oklahommy9838 Жыл бұрын
Watanzania ni watu wakulaumu tu kila siku sijui serikali imefanya A serikali imefanya B ..yaani mambo kama haya au zaidi ya haya hatuezi fikiri kabisa...sisi tunawaza tuu kuwa stable maishani lakini hata njia yakutufikisha huko hatujui na wala hatutaki kufikiri kabisa
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
@@oklahommy9838 Mwenye lawama hajawahi kufanikiwa!
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
There are few and far between
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 Жыл бұрын
Ni mkulima mdogo sana hapa bongo
@jamalnaheka1131
@jamalnaheka1131 4 ай бұрын
mashaallah,...Allah azidi kukupambania ndgu ally...imenigusa sana.
@jualismushi875
@jualismushi875 Жыл бұрын
Kaz nzur sana hongera sana
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 Жыл бұрын
Hongera sana kwake, Mungu amsimamie na ambariki sana sana
@rashidmshindo1527
@rashidmshindo1527 Жыл бұрын
safi kaka siasa ya bongo aina chochote ukiwa kiongozi bora unatolewa waache waibe pesa lakini wataziacha tu
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
MashaAllah
@gh7naa
@gh7naa Жыл бұрын
Mashaaalah
@salutaricornel819
@salutaricornel819 Жыл бұрын
Hongera mhe.kwa kazi na uongozi bora
@manahiljamal834
@manahiljamal834 Жыл бұрын
Hongera
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Huna budi kufanya hayo, kwa sababu ni lazima akili ya ziada ije.
@hanifaomar7438
@hanifaomar7438 Жыл бұрын
Safi Sana yapi sio lazima ajira mbampana kaka
@CoachHafidh
@CoachHafidh Жыл бұрын
So inspiring...ila huyo mtaalam mnaemuhoji sauti ilkua chini sana
@PromiseJimson-ps5qw
@PromiseJimson-ps5qw 9 ай бұрын
Huyu mwamba alitusaidia tukarudishiwa shamba letu lenye ukubwa wa. Ekali60 ambazo tulishadhurumiwa na serikali ya kijiji salute bro
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Hata akipata hasara hajui kama kala hasara😅😅
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Hongera sana kwake
@ericmtalemwa5229
@ericmtalemwa5229 Жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa
@gracengole2773
@gracengole2773 Жыл бұрын
Nakupenda sana Happy. Wewe ni mfano wa kuigwa. Mwanadamu anamapungufu hajakamilika lakini kile kitu kizuri hata kama ni kidogo ukikichuchumilia kitakupa matokeo.
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 Жыл бұрын
Ukiwa napesa kilimo kjnalipa Sana Sana Sana.Hongera Sana kijana mwenzangu.Mungu alisema,nimewapeni Nchi mkailime.Lima Kaka lima.Mungu yuko pamoja nawe.
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 Жыл бұрын
Hiyo ni kwa ufupi itoshe kusema ivo tu 👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪💪🙏🙏😃😄😄
@jacksonmkuye7739
@jacksonmkuye7739 Жыл бұрын
Mwandishi wa habari saikolojia yako ipo kwenye faida tu inavoonesha hutaki kujifunza mambo ya msingi maswali yko yanaharakia faida tu
@mdta8161
@mdta8161 Жыл бұрын
Wanafupisha kutokana na muda
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 Жыл бұрын
Dah! Uko vizuri. Hutapata kisukari wala shinikizo la damu ukiweza haya.
@eft255
@eft255 Жыл бұрын
Interesting..
@work24onme
@work24onme Жыл бұрын
Congrats 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@joshuamatagane1318
@joshuamatagane1318 Жыл бұрын
Safi sana,uko vizuri Ally,pigs kazi
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Our future leader, in waiting.
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 Жыл бұрын
Hongera sana ALLY HAPPY
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Жыл бұрын
Hongera sana mpambanaji,mtaji ndiyo shida
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Kwakweli mtaji ndio shida, yeye alikuwa anapata mshahara laki 8 unashindwaje kumiliki maheka kama hayo.
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 Жыл бұрын
@@happylynguya3464 mkuu wa mkoa laki nane?
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
@@johnmichaellukindo21 Ahahahaha!!!! Ama nimechekesha jamani. Ni milioni 8 John jamani Uwiiiiiii..
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
I was so disappointed that day I heard Samia removed him why????? People like him they're few so I guess they knew he will take over someday that is why they decided to kick him out I'm so so disappointed
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Sio Samia aliyemwondoa.. ni msoga gang
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 Жыл бұрын
Rais hapangiwi wa kumteua wa kumtengua, taarifa rasmi na za uhakika zikimfikia juu ya meza maamuzi ya uteuzi/utenguaji hufanyika mara moja
@leletimoy1984
@leletimoy1984 Жыл бұрын
kuna majungu sana huko,bora katoka na afya yake...piga kazi mdogoangu,hiyo ni hela safi
@Max_Is_Well
@Max_Is_Well Жыл бұрын
We in
@peteretlawe6269
@peteretlawe6269 Жыл бұрын
Nimependa sana hii
@hanifamziray277
@hanifamziray277 Жыл бұрын
Safiiiii sn broo huna haja ya kuajiriwa
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashallah tabarakallah Allah akujaalie msfanikip mema
@saidali8338
@saidali8338 Жыл бұрын
Safi sana Happy hiyo ndio njia sahihi kilimo hakimtupi mkulima kwa vyovyote,,
@ADRIANAKOMBA
@ADRIANAKOMBA Жыл бұрын
Mwambieni mama yenuuu ajanikomoa😅😅😅
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Hongera sana
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 Жыл бұрын
Namkubali Sana Mkuu kwakeli kajitoa pamoja na msingi anao lakini pia hakutaka kushangaa magorofa mjini yuko Bega kwa Bega na wafanyakazi wake kila siku hiyo TU , Inawapa moyo wafanyakazi kufanya kazi Kwa bidii
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Жыл бұрын
Weeee jitangaze tu utaundiwa kesi sasa hivi mungu akulinde!
@andrewmashika3756
@andrewmashika3756 Жыл бұрын
Hongera sana Ally,.. kila-laheri
@richardsaidi2448
@richardsaidi2448 Жыл бұрын
Hongeraa ally happy.
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 3 ай бұрын
Hongera mh. Ally H.
@luhindakanige2987
@luhindakanige2987 Жыл бұрын
Hongera mkuu
@stephenntinginya1062
@stephenntinginya1062 Жыл бұрын
Inspiring story
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 Жыл бұрын
Mashaallaah
@hassankurwa464
@hassankurwa464 Жыл бұрын
Mh Hapi hongera sana. Vitendo vimesema na hii ni funzo kwa wengine wanao tushangaza. Maana tuna viongozi mtu ni Waziri wa Kilimo ama Katibu Mkuu wizara ya Kilimo lkn hana heka tano. Big up sana
@zuberimkuba2324
@zuberimkuba2324 Жыл бұрын
Kaz nzur
@naeematanzania9348
@naeematanzania9348 Жыл бұрын
Nimepende💗💗💗💗🌹
@faridangusi2085
@faridangusi2085 Жыл бұрын
Mashallah
@selestineramadhani7325
@selestineramadhani7325 Жыл бұрын
Ameweza sababu ana pesa ya mtaji wa kutosha
@richardlucas9612
@richardlucas9612 Жыл бұрын
Sawa kabisa
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 Жыл бұрын
Na kuthubutu
@masellemaziku1096
@masellemaziku1096 2 ай бұрын
Kikubwa ni kujiamini, kuthubutu na kung'ang'ana. Pesa zinahitajika sana, lakini vitatu vya mwanzo ndio muhimu zaidi. Tumpongeze tu. Kafanya jambo zuri. Sisi tuige na tumfuate. Inawezekana sana tu.
@mwajumayona7608
@mwajumayona7608 Жыл бұрын
Safi Sana kaka Bora tu ujiajiri waachie serikali yao
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 Жыл бұрын
Kweli mwaju
@telesphoramtenga569
@telesphoramtenga569 Жыл бұрын
safi
@kelvinnjawike1808
@kelvinnjawike1808 Жыл бұрын
Hongera sana huyu mfano halisi
@notickasimchimba7310
@notickasimchimba7310 Жыл бұрын
Really namkubali sana ally
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Safi saana Hawa ndio vijana wanaojua kutumia fursa
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Жыл бұрын
Hapi ameonyesha nguvu kubwa na elimu kwa watanzaniya wenye matumaini ya kupiga hatuwa kimaisha...hongera sana hapi
@mtangag774
@mtangag774 Жыл бұрын
Gud
@jameelahkasalu8833
@jameelahkasalu8833 Жыл бұрын
Nimependa mnooo!
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 Жыл бұрын
safi kaka kwaza menawili kazi zakupewa nazo nishida waka una amani chek uk kimya napiga ela zako tu
@babajay3445
@babajay3445 4 ай бұрын
Natamani sana haya maisha ya kulima na kufuga ila ndio sijui naanzaje
@africaendlesscruising
@africaendlesscruising Жыл бұрын
Hata Makonda nilimwona amepiga picha akiwa katika mashamba.
@denisyohana8104
@denisyohana8104 Жыл бұрын
ongera sana mr hapi
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 Жыл бұрын
❤❤❤👌
@afdtfx.9814
@afdtfx.9814 Жыл бұрын
Mheshimiwa ally hapi kajitoa mhanga kwa vipande vyake vya pesa.MUNGU MWENYEZI.amzidishie faida.na ampe uvumilivu kuvumilia changamoto za VILIMO.
@othmanmapunda2310
@othmanmapunda2310 Жыл бұрын
Safi sana
@msombanehemia7503
@msombanehemia7503 Жыл бұрын
Nice bro
@joycelorry3966
@joycelorry3966 Жыл бұрын
Nimependa
@arafakiloli749
@arafakiloli749 Жыл бұрын
Mashaa Allah
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 77 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 13 МЛН
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Global TV Online
Рет қаралды 304 М.
BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA
12:30
KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI KIDOGO -KANUNI MUHIMU NA BAJETI (PART 2)
22:44
AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA
Рет қаралды 3,6 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 33 МЛН