Haya ndio mastori ninayo yapenda Sasa, pamoja sana Bwana davista
@user-mz4ry1sl8l10 ай бұрын
Hla haya maisha jaman tumuombe Mungu watot wetu wasiptie hya,maana kuna watu wanaptia magumu sna toka utoton mwao mpka ukubwani,Mungu uturehemu na uwasaidie watot wetu.
@ahmedomary247410 ай бұрын
Hongera davistar umetuletea kitu
@sukisa123410 ай бұрын
Dante davesta::mwambie karibu tunamsikiliza🎉🎉🎉
@rahaisacl995410 ай бұрын
Story nizipendazo ❤❤
@clasclass8 ай бұрын
Pia mimi dadangu
@user-bz1gm3jq3u10 ай бұрын
Hahaha davistar umechapia ..🤣😁😁 ATI mtumisii
@tahirnephessalum367810 ай бұрын
daah afadhali hatimae tumepata Story ya kufatilia
@paulndoya580510 ай бұрын
First
@pettiecranwel758810 ай бұрын
Pamoja sana davistar
@annkim269010 ай бұрын
Waa jamani Mungu tusamehe ATI unamuacha ndio afe waa anagoma kufa
@gaomariwa763710 ай бұрын
Sure story hizi ndo zenyewe asee davista usizicheleweshe tulianza pamoja mzee kutoka zile za kufikirika
@user-oc2fi8qc6b10 ай бұрын
Daa uyu wa nyumbani kabisa lumashi kama ajaenda kwa mahara uyu jama
@clasclass8 ай бұрын
Naomba number zake tafadhali, nmemtafuta sanaaaa
@bakari-si1pw10 ай бұрын
Safi sana karibu sana
@mosesjohnswilla992610 ай бұрын
Huyu mbona anataka kufanana na yule Flateni aliyetekwa na waasi Burundi?
@ochidovictor953110 ай бұрын
Yea😊 wakwanza
@flm153010 ай бұрын
Type Link ya mwendelezo please tuna mb za kutosha
@KaswahiliDaud-yv8gq10 ай бұрын
Leta story kama hzi za wazee wa scudi na bakora za kimkakati
@masoudsmasoudmasoud-84199 ай бұрын
Ile ya magere haitatokea bonge la story
@user-xk5hd3rg5n10 ай бұрын
Kivuli anamaanisha nafsi. Kama story inaanza kunoga frani vile
@user-fy9zl1oq7x10 ай бұрын
Mwendereza plz davistar
@praygodmaro144310 ай бұрын
Inaonekana hii itakuwa nzuri Sana
@josehkibona756510 ай бұрын
❤
@tututz10010 ай бұрын
J.boys 1999
@user-oq3gu9zi3m10 ай бұрын
Ulikwenda kukaa sehem sehemu gani?
@kotadapotar509410 ай бұрын
Kwanini wengi wakishafanya majabu ya kishetani ya kuzimu badae wanajifanya kuokoka?????🇹🇿🇬🇷
@user-ev8kp3lb8e10 ай бұрын
Siyo wanajifanya Kwan wewe mchawi? Lazim Aokoke ili asife hat mim nimeokoka na majin shetan kanikimbia
@edithaeugeni969510 ай бұрын
Na wengi wanakuwaga ni wachungaji kumaanisha ya kwamba shetani huwa hashuhuliki na wasio kuwa na kipawa shetani hapendi nguvu kazi ya Mungu ikiongezeka
@bintalmasi239310 ай бұрын
Msaada wao unafikiri wangeutoa wapi, ulinzi je baada ya kuacha uchawi? Huwa unasikiliza kweli hatari ya kuacha uchawi??
@user-ev8kp3lb8e10 ай бұрын
@@edithaeugeni9695 uko sahih au watu wenye nyota nzur